MREMBO WA "NAMBA UNAYOPIGA HAIPATIKANI" AFUNGUKA, PESA ALIZOLIPWA “WANADAI NIMEVUNJA NDOA ZA WATU"

  Рет қаралды 263,124

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

‪@millardayoTZA‬

Пікірлер: 885
@jrgongo6348
@jrgongo6348 3 ай бұрын
Uyo Mrembo Anaeleweka sana, Ni bonge la Mrembo Msomi. Anamatamshi mazuri ya kuvutia, katika lugha Zote mbili! Kwa Kiswahili na kingereza, Sauti yako ni tamu kwenye mtandao wa Tigo, Huwa natamani nipigage simu mda wote niskilizage Sauti yako nzuri. ok Mungu Akuinue zaidi ya hapo.
@davidoscooper237
@davidoscooper237 3 ай бұрын
Njoo mtaan kwetu umuonekabisa ikiwezekan upge nae story Hana majigamboo
@AnnaMoshi-wm4kg
@AnnaMoshi-wm4kg 3 ай бұрын
Nimekupenda bure wewe dada you are so talented acha upewe maua yako🎉🎉🎉
@TausiHasheem
@TausiHasheem 3 ай бұрын
❤ God first....Dada anamtanguliza Mungu Sana ndio maana anakutangulia❤❤
@msigwa1
@msigwa1 3 ай бұрын
Dada Yuko smart , confidence %100 well explanation, anaadabu zote anaonekana mcha Mungu....🔥🔥❤️👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@denisyohana8104
@denisyohana8104 3 ай бұрын
afu ni mrembo
@AzizNgitu-wk3ey
@AzizNgitu-wk3ey 3 ай бұрын
Weee
@ronaldchambasi7493
@ronaldchambasi7493 3 ай бұрын
Hakika ..umeona kama mimi 💪🏾
@msigwa1
@msigwa1 3 ай бұрын
@@denisyohana8104 😀😀🤣🤣 kabisaaaa jicho lako linaona vizuriiii
@msigwa1
@msigwa1 3 ай бұрын
@@ronaldchambasi7493 kabisaa
@jovinmutakumwa9611
@jovinmutakumwa9611 3 ай бұрын
Haya maojiano angeyafanya kama kikeke hivi au Millard mwenyewe ingekuwa poa sana. Sema mpaka hapo kajitaidi sana big respect ✊
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 ай бұрын
Unafaa kuwa Mtangazaji huko Mbele..nimependa una Hofu ya Mungu na Mungu akubariki sana..Mdogo wangu...Nadhani Tigo wanapaswa kukulipa zaidi
@mmassfashiondodomatz
@mmassfashiondodomatz 3 ай бұрын
Umejuwaje kati ya ww na yeye nani mkubwa
@JumaMigezo
@JumaMigezo 3 ай бұрын
Kwaiy na wew ukimpigia mtu sim akiwa hapatikan unajisikia sauti yako 😂😂
@theresiamanyanda1125
@theresiamanyanda1125 3 ай бұрын
Interview irudiwe i know the sister mrembo usiye ringa your very talented naona kuna kitu kikubwa waweza kufanya...hata kurudi kwenye Ndege huko...!Be blessed more🎉🎉🎉❤
@kajimadaud7163
@kajimadaud7163 3 ай бұрын
Communication Skills to the highest level. Hongera Dada
@NeemaJuma-dj2bx
@NeemaJuma-dj2bx 3 ай бұрын
Daah!!! Yaan mama yangu akijibiwa haipatikani, naye anajibu akipatikana mwambiye namtafuta.😆😆😆😆😆
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 3 ай бұрын
UMETISHA
@esthermalamsha2847
@esthermalamsha2847 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@BrunoNamanga
@BrunoNamanga 3 ай бұрын
Wenye wivu hawampendi huyu dada.😂😂😂 Mama yako katisha 😅😅😅😅😅
@Jerie-q1c
@Jerie-q1c 3 ай бұрын
Sauti nzuri sana. Na akiongea kimombo Maneno yanasikika na kueleweka
@bahatimkemi4309
@bahatimkemi4309 3 ай бұрын
Dada hongera nimekupenda Bure kwa hicho kipaji ulichonacho
@laxmajor
@laxmajor 3 ай бұрын
Nomaa sanaa 😍
@zitongwang6278
@zitongwang6278 3 ай бұрын
Dada Ako na bashasha balaaa , live long my sister , I real enjoy ur voice in tigo customer service , bakari yupo kikazi zaidi , Sura ya KAZI ✌️🌹😻🌹
@upendokiza6061
@upendokiza6061 3 ай бұрын
Hongera sana dada Mary, Mungu akufanyie wepesi katika kazi yako.
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thank you 😊
@aishamamy
@aishamamy 3 ай бұрын
​@@marychizi3353it's you..?
@joshuajustustz
@joshuajustustz 3 ай бұрын
Nimempenda Muhojiwa.... Ana-smile mda wote. Congrats Mary 🎉🎉
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Ahsante e😊
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 3 ай бұрын
Sisterhood is so proud of you.
@GibsonMamba
@GibsonMamba 3 ай бұрын
Good benefits 0f out education
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thank you 😊
@godlovephilemon5626
@godlovephilemon5626 3 ай бұрын
Congratulations
@graceandrew3988
@graceandrew3988 3 ай бұрын
Beautiful with brain❤congratulations 🎊 our girl..keep the sprit burning 🔥 inatia moyo sana kuona unavyobarikiwa kutokana na kipaji chako❤
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Amina Nampa Mungu utukufu Kwa Kuni wezesha kwakweli. Kipaji changu kimekuja na faida kubwa saana katika maisha yangu. 😊
@rachelbundala934
@rachelbundala934 3 ай бұрын
​@@marychizi3353rubean chizii ni ndugu yako
@asantenashukuru1390
@asantenashukuru1390 3 ай бұрын
Kai njema dada. MUNGU akubariki aidi
@asantenashukuru1390
@asantenashukuru1390 3 ай бұрын
Kazi njema mno dada. Namuomba MUNGU akuwezeshe zaidi.
@ezekiambise2595
@ezekiambise2595 3 ай бұрын
Wow,confidence is beauty ❤
@musaambonisye6046
@musaambonisye6046 3 ай бұрын
Muulizaji aliharbu interview, dada yupo energetic lkn jamaa kapoa alaaa😂😂😂😂
@winfridapetroluyeye2889
@winfridapetroluyeye2889 2 ай бұрын
Jamani Sio Muulizaji 😃😃😅😅😂.
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 3 ай бұрын
Hapa ndo ulimwengu tujue kuwa Mungu umpa atakaye na uamua Kwa nyakati zake mtu awe
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 3 ай бұрын
Mimi namshukuru Mungu kwa ajili yako, huna majivuno, kiswahili kimenyooka, hongera.
@jadetoto
@jadetoto 3 ай бұрын
Acha hizo kwani mtu mtu akiongea kingereza ndo dharau bwana kama hujui kingee nyamaza
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Ahsante saana ❤
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 3 ай бұрын
Hongera Sana Mary,kazi nzuri Sana Mungu azidi kukubariki kwa kipaji chako na vingine.
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Ahsante saana
@MlangomaAdo
@MlangomaAdo 3 ай бұрын
​@@marychizi3353hongera sana
@kamugishaevodius8943
@kamugishaevodius8943 3 ай бұрын
Hongera sana dada Mwenyezi Mungu, amekukilimia hicho kipawa. Mungu akupiganie
@SalimKiembaemba
@SalimKiembaemba 3 ай бұрын
Waliojaribu kupiga tena namba za tigo ambazo hazipatikani ili kuskia tena hii sauti like humu.
@calistanyimbo5225
@calistanyimbo5225 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mrp_manguluwe
@Mrp_manguluwe 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@marikwilliam9886
@marikwilliam9886 3 ай бұрын
Very sensive ❤to here to listen i like in totally 🎉🎉keep it up
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thank you 😊
@mapendoglory16
@mapendoglory16 3 ай бұрын
Yes!!!! We need people like you, who think globally but act locally. You have not allowed modernity to model with you.❤❤❤❤
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Amen ahsante saana 🙏🙏
@FaustiniKalyembe
@FaustiniKalyembe 3 ай бұрын
​@@marychizi3353umeolewa???
@MarynessRugaimukamu-u7s
@MarynessRugaimukamu-u7s Ай бұрын
Hongera wajina huyo dada anajianini kwa anachkifanya anatufundisha tujiamini kwa vipaji vyetu❤🎉
@jaytv5079
@jaytv5079 3 ай бұрын
Her English slang is fantastic.. it sound like AI 😊
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thank you very much
@MarynessRugaimukamu-u7s
@MarynessRugaimukamu-u7s Ай бұрын
Asante sana unampenda Mungu ndo maana unapata ushindi victory
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 3 ай бұрын
Hizi ndio interview za kuangalia na kujifunza sio kutiletea mahojiano ya nani bwana yake nani, Watanzania tubadilike tutumie mitandao kwa kujifunza mambo mazuri Kama haya kutoka kwa Watanzania wenzetu
@jacksonjack3076
@jacksonjack3076 3 ай бұрын
Hakika pia imenifunza kitu hii interview
@dihm907
@dihm907 3 ай бұрын
Ubinfsi huo. Kila mtu ana interests zake. Acha kila mmoja apewe nini anapenda as long as sio lazima.
@BenedictaMagantg
@BenedictaMagantg 3 ай бұрын
Ha ha ha ha. Umenichekesha ila umesema ukweli.
@lucybatista2631
@lucybatista2631 3 ай бұрын
Dada hongera sana...mimi naomba kazi ya matangazo. Niliwahi kufanya kazi integrated ilikuwaga pale Morocco. Nilikuwa customer care pia seller's and marketing
@ShedrackDamiani
@ShedrackDamiani 3 ай бұрын
🎉🎉mauwa yako
@sophiamsangi9763
@sophiamsangi9763 3 ай бұрын
Hongera sana kwa kipaji chako endelea kubarikiwa na kuinuliwa katika mafanikio makubwa unayofanya mungu ni mwema
@farmerissa
@farmerissa 3 ай бұрын
Mimi mkenya, na huyu mdada anaweza. ❤
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
😊😊😊😊 i appreciate that thank you 😊
@ImaniBalankwaya
@ImaniBalankwaya 3 ай бұрын
❤dah jamni kwanza huna mashauzi huna makucha ya kishetani wanaoweka machangudoa unajiheshim unanidham yakazi so cacophonic joy mungu akujalie nawish nkusilimishe
@joppagraphix2868
@joppagraphix2868 3 ай бұрын
Wakati huo huo unatumia masimu ya kisherani hujaliii😂😂😂
@WallaceWaweru-ob7jz
@WallaceWaweru-ob7jz 3 ай бұрын
Uliona shetani kucha zake au 😅nauku ulisimuliwa ili uogope Ku focus ukawa maskini mwenye nyege wivu 😅😅😅
@CostanciaSimon
@CostanciaSimon 3 ай бұрын
😂😂
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 ай бұрын
​@@WallaceWaweru-ob7jzKwan mbona umechukua hivyo??
@kautharjay5868
@kautharjay5868 3 ай бұрын
​@@joppagraphix2868simu sio shetan
@Fathasssane-vs2th
@Fathasssane-vs2th 3 ай бұрын
Babu yangu alisema akija mwambie nimempingia😂😂😂😂😂😂nilicheka hatar😊
@godlovephilemon5626
@godlovephilemon5626 3 ай бұрын
😂😂😂
@DeborahSichone-b9c
@DeborahSichone-b9c 3 ай бұрын
Wahooo nimekupenda ila mtangazaji simuelewi na maswali yake dada yupo vizuri
@MaryNdondole
@MaryNdondole 3 ай бұрын
Mmi mwwnyewe huyu hara simuelewagi
@MaryNdondole
@MaryNdondole 3 ай бұрын
Mtangazaji anapandia panda maneno
@DenisDastan-y7e
@DenisDastan-y7e 3 ай бұрын
Uyu angeojiwa na millard mwenyewe ingetisha 😮😮 nawakilisha tu🎉
@shabaninjaidi1490
@shabaninjaidi1490 3 ай бұрын
SURE JAMAA KAMA HAKUJIPANGA VILE
@MageleCharles
@MageleCharles 3 ай бұрын
Umenena jamaa kapoa saaana
@janemsamati6700
@janemsamati6700 3 ай бұрын
Nilikuwa nawaza kama wewe
@Mrp_manguluwe
@Mrp_manguluwe 3 ай бұрын
😂😂😂
@gladnessshola2718
@gladnessshola2718 3 ай бұрын
Mtangazaji hatulii yani posture yake haiko pow, nimempenda huyo dada
@simbahussein4416
@simbahussein4416 3 ай бұрын
MY SISTER YOUR SOUND IT'S BEAUTIFUL AM FROM AUSTRALIA ❤❤
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thank you 😊
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 Ай бұрын
Hongera sana kipenzi ipo vzr mno
@deusgervas4676
@deusgervas4676 3 ай бұрын
Inatoshaaa kusemaaa Marry umeni push kwa mazungumzooo hayaa MUNGU Akubarikii sanaaa
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Amina
@milimathias
@milimathias 3 ай бұрын
Appreciation to you Mary , you are the woman with a lot of confidence.
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thank you very much 🙏
@KhalidiMsuya-h6o
@KhalidiMsuya-h6o 3 ай бұрын
Angekua kasoma chuo udom ungesikia akisema mimi cjui kiswahili vizuri
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 3 ай бұрын
Dada umefanikiwa kwa sababu umemuweka mungu mbele nimekuchunguza dada kila ukiongeya unamtaja mungu sana hiyo ndo siri ya mafanikio magu rip alimtaja mungu kila mda
@princehancesam9892
@princehancesam9892 3 ай бұрын
Uko sahihi nimependa comment yko
@theresiarutagwaba
@theresiarutagwaba 3 ай бұрын
Yes
@aliciagenius7779
@aliciagenius7779 2 ай бұрын
Siyo mungu kipenzi ni MUNGU.... Tena ni MUNGU wa miungu
@EvaFuraha
@EvaFuraha 3 ай бұрын
Be blessed.
@stephennyagonde637
@stephennyagonde637 3 ай бұрын
Hongera sana Mary, nilipata kumfahamu marehemu mzee wako Eng. Paul Chizi alinisaidia sana kuingia kwenye biashara ya consultancies. Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani. Sikuwahi kujua kama aliye tangaza tangazo hilo.
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 3 ай бұрын
Mwanadamu Bora niyule anae lipa shukrani,,Kwa Dua au Kwa fedha itafute familiar yake...
@damianmodestomuguta5086
@damianmodestomuguta5086 3 ай бұрын
​@@daudimaniseli759ahhahahaah. Usikute yeye ndio hana hela alafu unataka akafanye nn au unataka akajidhalilishe
@abeljames8081
@abeljames8081 3 ай бұрын
Hongera sana,.​@@damianmodestomuguta5086
@festokemibala5832
@festokemibala5832 3 ай бұрын
Chizi au Chiziii?
@jastinkimambo2812
@jastinkimambo2812 3 ай бұрын
Hii ni faida ya kusomesha watoto. Hongera kwa boss Chizi RIP
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 3 ай бұрын
Huyu dada Yuko vizuri sana
@MerinaMihayo
@MerinaMihayo 3 ай бұрын
Hongera ❤❤dada
@baghabaghaingwengwe1750
@baghabaghaingwengwe1750 2 ай бұрын
Ni hakika sauti yake ni nzuri mno unavumia kuickia inavyo tiririka sikioni, Hongera yake sana
@MussaAthumani-hk5qm
@MussaAthumani-hk5qm 3 ай бұрын
I wish you good work congratulations
@ChainesBoufee
@ChainesBoufee 3 ай бұрын
Nmekupenda mama huna pozi kabisa mung akubarik sana.
@issakisalu9237
@issakisalu9237 3 ай бұрын
Angehojiwa na Mirad ingekuwa bonge la show this man is very serious na huwa kama hajali sana
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 3 ай бұрын
Kweli kabisa. Huyu jamaa hawezi kabisa kuhoji. Kwanza hata ukaaji wake sio mzuri. Ana hoji kama ana dharau vile.
@matildalossenmsokwa4037
@matildalossenmsokwa4037 3 ай бұрын
​@@roberttagaya9098anaonekana mvivu mvivu anaboa
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 ай бұрын
Mtangazaji naye yuko Vizuri ana Sauti nzuri
@tztanzania2262
@tztanzania2262 3 ай бұрын
Bakar chijumba yupo poa tu pia
@amirisaid6341
@amirisaid6341 3 ай бұрын
Hana time 😅
@SaadaNdaro
@SaadaNdaro Ай бұрын
Uko vizuri mery
@GoodluckGodfreyNgomuo
@GoodluckGodfreyNgomuo 2 ай бұрын
🌹🍁☘️🥦🥦🥀🌻🌼💐🌺kumbe wewe ndoo ulinifanya nipende tigo be bless my sister
@marychizi3353
@marychizi3353 2 ай бұрын
Ndio mimi
@ewaldkiria4031
@ewaldkiria4031 3 ай бұрын
Anaehoji hayupo focused, Anahangaika alafu hasikilizi kwa kumaanisha, Ila Dada Upo vizuri
@overplantv21
@overplantv21 3 ай бұрын
huyo kesharidhika na Hela za Mirad Ayo au basi atakuwa anawinda ukuu WA wilaya Huyo...😅😂😂😂so Kwa suti hizo
@jackytuyi8899
@jackytuyi8899 3 ай бұрын
True
@saulamachumi8320
@saulamachumi8320 3 ай бұрын
Hata mimi nimeona hilo anaboa. Yaani unamhoji mtu kwanini akili yako isitulie ukamsikiliza vzr. Halafu kuna muda anashika simu kabisa dada anaona wazi jamaa hamzingatii😏😏😏
@cath._rynee8584
@cath._rynee8584 3 ай бұрын
Yaaaniiiii
@JohaDomi-bg5yh
@JohaDomi-bg5yh 3 ай бұрын
Maskini kaonesha sana ushiriano mchangamfu ila mtangazaji sio kabisa
@rosegodlove1956
@rosegodlove1956 3 ай бұрын
Ni mrembo na yuko simple sana no makeup wala nn ❤❤❤
@HappyJohn-h8q
@HappyJohn-h8q 3 ай бұрын
Kabisa urembo bila make up safiiii sanaaaaa
@jasonchanzi1023
@jasonchanzi1023 3 ай бұрын
Sanaaa
@BrightKikungwe
@BrightKikungwe 3 ай бұрын
ila uache kutuambia tuongeze salio kama hatuna ujiongeze😂😂😂😂😂
@isaacjosephjoseph2733
@isaacjosephjoseph2733 3 ай бұрын
Daah wewe dada wewe sikumoja uliniudhi mimi nilizania nachitiwa kumbe cm iko hewani 😂😂😂nilichangamka moyoni kumbe ilikuwa mtandao tu.🤝❤️💯
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 3 ай бұрын
Mashaaalah,namba isopatikana,mdada,
@ThomasAlute
@ThomasAlute 3 ай бұрын
Mtoto wa kishua lakini Hana mambo ya kishetani hajaweka makucha bandia,kope na vitu vingine ni malezi Bora sana
@MariaDamson-u8r
@MariaDamson-u8r 3 ай бұрын
Una wazimu ww kwahy malezi bora ni hayoo😅😅😅 au una makasiriko yakoo hata hilo wigi kwa wengn n ushetan hapo vipi km huna hela ya kumtunza mtu tulia ushetan wa nyokwee
@nassoromfumya7319
@nassoromfumya7319 3 ай бұрын
😂​@@MariaDamson-u8r
@elishajilungu1055
@elishajilungu1055 3 ай бұрын
Umepiga kwenye utosi watu
@ThomasAlute
@ThomasAlute 3 ай бұрын
@@elishajilungu1055 Asante sana
@Theironrod9373
@Theironrod9373 3 ай бұрын
Naona kuna mtu umemkuna hapa!!
@HassanMohamed-vs4re
@HassanMohamed-vs4re 3 ай бұрын
EBANA FURSA IPO SGR WAPELEKEE VOICE YAKO KIDOGO TUTABURUDIKA
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Nitawacheck aaaise kweli itapendeza 😊
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 3 ай бұрын
AYO TV tafuta mike ya kuchomeka kwa nguo hiyo ya kuhamihamisha inasumbua muongeaji
@husseinabdallah4766
@husseinabdallah4766 2 ай бұрын
She is very pretty 😍 anamacho mazuri chukua maua yako🎉🎉❤
@GoodluckGodfreyNgomuo
@GoodluckGodfreyNgomuo 2 ай бұрын
Mungu humbariki mtu kipaji mungu akubariki sanaaaaaa🙏
@Meil_77
@Meil_77 2 ай бұрын
Nimempendaaaa bureee i watch this video almost ninavoingia utube 🥰
@FatumaKawawa-e6p
@FatumaKawawa-e6p 3 ай бұрын
Hongera sana Mary.
@boazmasonga7772
@boazmasonga7772 3 ай бұрын
Hongera sana Dada, sura yako inazungumza vingi, Itoshe kusema Mungu akuweke muda mrefu na ufanikishe malengo yako 26:30
@savemeallah5180
@savemeallah5180 3 ай бұрын
Naipenda sautiyako nitamusana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@scopy0428
@scopy0428 3 ай бұрын
Familia ya kisomi madam anaongea kisomi sana hana mashauz wala mapozi ya ajabu ajabu
@JohaDomi-bg5yh
@JohaDomi-bg5yh 3 ай бұрын
Mchangamfu ila anayemuhoji anaboa
@jacksonbiswalo8360
@jacksonbiswalo8360 3 ай бұрын
Dada mrembo sana hf hata haringi ❤❤❤
@MsafirGervas
@MsafirGervas 3 ай бұрын
Dada mzuri sana
@JordanBegumisa
@JordanBegumisa 3 ай бұрын
Serikali imchukue impeleke air 🇹🇿 Tanzania anafaaa sana kama hostes
@bdkexecutive
@bdkexecutive 3 ай бұрын
😂 did you mean serikali imchukue au yeye aichukue serikali? Nadhani yuko beyond being kwenye hiyo position.
@lucasmangora23
@lucasmangora23 3 ай бұрын
Si amesema amefanya mpaka British Airways
@kwayayamtakatifuscholastic9132
@kwayayamtakatifuscholastic9132 3 ай бұрын
The best voice over artist ❤
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thank you
@stivertz7014
@stivertz7014 3 ай бұрын
Dah sema mtangazaji anashika shika sana simu 😂
@MKOLOSAIZENGO-o7f
@MKOLOSAIZENGO-o7f 3 ай бұрын
Mbona wewe unae mhoji hauko happy ndugu uwe unakuwa happy kwenye mahojiano ndugu nawakilisha shinyanga kwa washamba huku😂
@saidilindukwa
@saidilindukwa 3 ай бұрын
Job well done ma sister,Niko Jozi umetuheshimisha huku wazulu wanakufatilia,keep going,may Allah bless,guide n protect u,in shaa Allah
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Hahahaha yeah God is good all the time 😊
@omarylukindo5306
@omarylukindo5306 3 ай бұрын
Mbona huyo jamaa anayehoji km anamuogopa huyo dada,maana hatulii kwenye kitu huku anatazamia kwa kuibia km anaona aibu😂
@samuellubunga
@samuellubunga 3 ай бұрын
Umemakinika sana Upewe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉
@ZENZEMALA
@ZENZEMALA 3 ай бұрын
Waooh ❤❤
@InnaSenseiSwahiliLessons
@InnaSenseiSwahiliLessons Ай бұрын
Vizur sana dada
@ChristopherKayombo-o5m
@ChristopherKayombo-o5m 3 ай бұрын
Yaani merry chizii ila akili timamu😂😂
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 3 ай бұрын
Mm nilifikii ni Computer Kwa kweli, Duuuuuue hongera.
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Ni Mimi sio computer
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Ni Mimi sio computer
@GoodluckGodfreyNgomuo
@GoodluckGodfreyNgomuo 2 ай бұрын
My sister your so good be bless🙏 ​@@marychizi3353
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 3 ай бұрын
Dada sauti yako ni nzuri na unaeleweka vizuri. Jina lako hiyo chizi ndo umenitisha. Ila sauti hiyo ni ya kumtia kichaa mtu. SAUTI YA PEKEE.
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 3 ай бұрын
Aliyehoji sauti si ya amzing ..ilitakiwa ahojiwe na ayoo
@IbrahMoyo
@IbrahMoyo 3 ай бұрын
Brilliant sister I love you..........
@wambukashungu4789
@wambukashungu4789 3 ай бұрын
Anaju kingerza bt anaongea kiswahil fasaha❤❤❤❤
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thanks guys❤
@EliaPundugu
@EliaPundugu 3 ай бұрын
Uko vizur sister angu mungu akubariki
@NassoroSipemba
@NassoroSipemba 3 ай бұрын
Yote haya mzr yaliyo fanywa na kampuni ya tigo,halafu ana tokea jamaa mmoja anajiita tundu lisu anataka kuichafua kwa muda mfupi huyu mtu hafai ktk maendeleo kwa taifa letu.
@daudihankungwe5802
@daudihankungwe5802 3 ай бұрын
Hongera sanA kaz nzuri
@othumanomari1589
@othumanomari1589 3 ай бұрын
Congratulations 👏🌹 uc tupange tena tuki call tumpate muhusika🤣🤣
@AidaKajala
@AidaKajala 3 ай бұрын
Kasomea Kwa madiba kakulia Kwa madiba bado anaongea Kiswahili ila ngekua ma Dada wa bongo njooni mjifunze kitu
@kodackdeblack7982
@kodackdeblack7982 3 ай бұрын
Wamesoma feza tu apo wanajikutk km wako Harvard 😂😂😂😂
@lucasmlowezi9214
@lucasmlowezi9214 3 ай бұрын
Dah uko sahihi
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 3 ай бұрын
Upo sahihi
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 ай бұрын
Malizia bongo movie😅😅
@annakbunga8377
@annakbunga8377 3 ай бұрын
​@@kodackdeblack7982 huyu ni mtoto wa mzee chizi baba yake alikuwa anafanya kazi serekalini wa kishuwa amesoma kweli south kweli
@thomasluhumbika9986
@thomasluhumbika9986 3 ай бұрын
Very smart woman katika angle zote. Big up
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
😊😊thank you very much 🙏
@davidoscooper237
@davidoscooper237 3 ай бұрын
Shem kama shem congratulations
@ShaabanRamadhanShaaban
@ShaabanRamadhanShaaban 3 ай бұрын
Dada upo vizur big up sana👍
@nyanginyamhoza1106
@nyanginyamhoza1106 3 ай бұрын
Mary your so cute and good in voice congrats dear na wala huringi ❤
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
😊😊😊
@nyembobea7285
@nyembobea7285 3 ай бұрын
Nakupenda sana umetisha sana ubarikiwe
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
Thank you for the love. 😊
@robertnyakunga1950
@robertnyakunga1950 3 ай бұрын
dada yupo smart sana
@abelyabuu7223
@abelyabuu7223 3 ай бұрын
Dada yupo vizuri 11:36 sana kwenye kuongea na kuhojiwa kwa ujumra... Ila mtangazaji ndio kazingua... Mbwembwe nyingi za mapozi kibaooo kama kazi kalazimishwa ifanya aisee
@Faya884
@Faya884 3 ай бұрын
Goood mydear mrembo👏👏🙏
@NeemaGumbo-k5n
@NeemaGumbo-k5n 3 ай бұрын
Diva namalingo yake hafikii hata robo kwauyu dada yeye anajibana mpaka mav ili aongee vizur 😂😂😂😂😂
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 3 ай бұрын
Akili nyingi sana uyo dada 🎉tatizo ameolewa ningejaribu kumwambia isia zangu juu ya sauti yake ❤
@miaduana
@miaduana 3 ай бұрын
😂😂😂
@AlexJohn-pt5sp
@AlexJohn-pt5sp 3 ай бұрын
Dah u nataka kumuoa
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 3 ай бұрын
@@AlexJohn-pt5sp yes kwani dhambi
@gracebwambale5032
@gracebwambale5032 3 ай бұрын
Apana si dambi​@@Boniphaceshayo5
@marychizi3353
@marychizi3353 3 ай бұрын
😊😊😊😊
@evansherman9343
@evansherman9343 3 ай бұрын
Mtangazaji hajui jinsi ya kuuliza maswali. Ila dada yupo vizuri
@MaryThomas-h6e
@MaryThomas-h6e 3 ай бұрын
Mary dada Mungu akutunze tu somo angu,,,!
DUNIA (Ep 48)
23:19
ASMA FILMS
Рет қаралды 56 М.
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
Cheerleader Transformation That Left Everyone Speechless! #shorts
00:27
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 16 МЛН
Арыстанның айқасы, Тәуіржанның шайқасы!
25:51
QosLike / ҚосЛайк / Косылайық
Рет қаралды 700 М.
EXCLUSIVE : IMEVUJA SAUTI YA AHMED ALLY AKIDEKA KIMAHABA KWA MREMBO
6:14
REAL or FAKE? #beatbox #tiktok
01:03
BeatboxJCOP
Рет қаралды 18 МЛН