Afisa ajikuta matatani mbele ya Dkt. Gwajima

  Рет қаралды 84,309

BMG ONLINE TV

BMG ONLINE TV

Күн бұрын

Пікірлер: 184
@BMGOnlineTV
@BMGOnlineTV 4 жыл бұрын
DKT. GWAJIMA AGAWA DOZI NZITO KWA WATUMISHI WA AFYA kzbin.info/www/bejne/mF6wZmWDlpWojdU
@khalidkhalfan4349
@khalidkhalfan4349 4 жыл бұрын
Akisante brother gwajima
@juliussebastian5787
@juliussebastian5787 4 жыл бұрын
Hongera
@eunicemboje8931
@eunicemboje8931 4 жыл бұрын
Tena bora wazee wangepewa bima tu wanapata taabu mno wanafanyiwa vipimo wakifika kwenye dawa wanaambiwa dawa zimeisha
@marthaleonard2444
@marthaleonard2444 4 жыл бұрын
Uko vizuri Mhemishiwa !Hebu wafundishe kazi !Watu wengi hawataki ukweli.Wewe Mungu akulinde !!
@husseinhassain8188
@husseinhassain8188 4 жыл бұрын
Aisee huyu Mamaa nimempa %100 yuko vizuuri sanaa kwenye kazi hata hiii aliopewa sasa iko poa saaaaanaaa yaan anajua hii sekta vemaa sanaaa nimempenda bureee kikaz
@allymalabeja6132
@allymalabeja6132 4 жыл бұрын
Huyu waziri namkubali sana.tuu aendelee na huo mwendo hivohivo asilegeze ongera sana waziri wa afya kweli rais katuchagulia jembe liko sawa kikazi
@consolatablasi6212
@consolatablasi6212 4 жыл бұрын
Yaani alistahili mnooo
@rosetreffert6727
@rosetreffert6727 4 жыл бұрын
Mungu akutunze Mama katika Kazi zako 🙏❤️
@jamalahmed7057
@jamalahmed7057 4 жыл бұрын
Hongera mama hakika unaimani na ujuzi wa hali ya juu
@japhetdaud3781
@japhetdaud3781 5 жыл бұрын
Kazi yako inaonekana ,hapa kazi tuu Dor. Dorothy 🙏
@BMGOnlineTV
@BMGOnlineTV 4 жыл бұрын
Barikiwa kwa kutambua mchango wake
@ellancembilu3840
@ellancembilu3840 4 жыл бұрын
Huyu mama inaelekea anaelewa kazi yake vizuri. Aungwe mkono
@BMGOnlineTV
@BMGOnlineTV 4 жыл бұрын
Hakika
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 4 жыл бұрын
Ni Kweli kabisa
@fulgensiakapama3314
@fulgensiakapama3314 4 жыл бұрын
Wafundishwe na asasi za kiraia ili naowashiriki katika udhibiti Mungu akuongoze chapa kazi uache alama mdogo wangu
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 4 жыл бұрын
Nyota iling'ara mapemaa,na uzuri kazi unaiweza, Mungu na akupiganie na uwafanyie kazi wananchi Wats🤔🙋💪
@georgegerald1589
@georgegerald1589 4 жыл бұрын
Jmn Kuna viongozi wenye uxhungu na nchi yao Asante mama na waziri wetu mpendwa
@winfredbespoke8440
@winfredbespoke8440 4 жыл бұрын
Aisee kumbe uko vzr hivi! Mungu akusaidie
@johnpesambili4806
@johnpesambili4806 4 жыл бұрын
Mama mungu akubariki unaitendea haki elimu yako na utaalamu wako, na mzalendo wa kweli.
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 4 жыл бұрын
Kaz kaz mama angu mungu akupe nguv
@mackymneney9935
@mackymneney9935 4 жыл бұрын
Dr.Gwajima nakuweka mikononi me a Mwenyezi Mungu
@narmyheart2021
@narmyheart2021 4 жыл бұрын
Shikamoo mama la mama!!!! Shikammoo Mh.Magufuri kazi iendelee.
@stevenmasato5787
@stevenmasato5787 4 жыл бұрын
Huyu mama ni hatari sana duh!!! asante sana dr Magufuli kwa kumteua huyu mama.kuwa Waziri wa Afya. wewe ni noma sana
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 4 жыл бұрын
Asante mama, Uko kikazi zaidi hakuna longolongo.
@linajames2653
@linajames2653 4 жыл бұрын
Waambie
@somoeomari562
@somoeomari562 4 жыл бұрын
Safi sana.mzee magufuli kapointi kwelikweli kwa waziri wa afya
@mjasiriamalishupavulailamu7163
@mjasiriamalishupavulailamu7163 4 жыл бұрын
Thank u for that mamaaa
@georgevalilanga7412
@georgevalilanga7412 4 жыл бұрын
Mama umeniflaisha mungu akupe maisha malefu
@FarmingFocus
@FarmingFocus 4 жыл бұрын
Duh huyu mama ni noma
@jumarashid2137
@jumarashid2137 4 жыл бұрын
Safi sana sasa hapa wizara imepata mtu anaeijua vzr safisana mungu amlinde huyu mama good
@jeshilamtu863
@jeshilamtu863 4 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥⛔ Barabara ya uchochoroni Imefungwa⛔
@africanbeauty6556
@africanbeauty6556 4 жыл бұрын
Nimempenda sana Waziri wa Afya uwakomeshe walizoea kutunyanyasia wazazi wetu huko nyumbani namadawa unatuma pesa kila wiki kununua madawa ya wazazi mpaka najiuliza kuwa sawa Zina bei kubwa huvyo . Thanks my African queen with brain Dr Dorothy Gwajima
@djmeza411a58
@djmeza411a58 4 жыл бұрын
Waliomzalau watakionna cha mtemakuni✋🤔🏃‍♂️🇹🇿❤❤🤩🥰
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 4 жыл бұрын
Rais anajua nani asaidie Afya ya Watu wake.... Unafanya Kazi mama... Mungu akutunze Sana kwenye Uwaziri huu.....
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 4 жыл бұрын
hapa sasa ndio wanaposemaga "barabara chuma, taili chuma, na dereva chuma! Huyu maana kaniacha mdomo wazi! Hongera sana Mh. JPM kwa kumuibua mama huyu! Mungu azidi kumsimamia, kumlinda, kumuongoza na kumbariki maana ataokoa maisha ya wagonjwa wengi wanaokufa kwa uzembe na wizi wa wafanyakazi wasio na uadilifu! Mungu azidi kumbariki, kumuongoza, na kumlinda rais wetu mpendwa Mh. Dr. John JP Magufuli na serikali yetu yote! Mungu azidi ibariki Tanzania!
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 4 жыл бұрын
Rais wetu huwa habahatishi ktk teuzi zake.......BIG UP saaaana Mama Gwajima
@mathiaskasato5247
@mathiaskasato5247 4 жыл бұрын
Moto umewakaaa
@jimmymberesero7350
@jimmymberesero7350 4 жыл бұрын
Mi Nnaomba Wale Wanaojua Kuomba Wasikose Kumuombea Sababu Huyu Dr. Dorothy Aliwahi Tumiwa Kitu cha Kichawi Gari Yake Ikaungua Yenyewe tuu.. NB; Vzr Havidumu Bila Maombi.
@lesusi7872
@lesusi7872 4 жыл бұрын
Hapa hta ummi haoni ndani mama uko vzr tumbua tu
@yusuphmathias4729
@yusuphmathias4729 4 жыл бұрын
kwer ummy haingii hata nusu kwa hiri jembe retu rakini tukumbuke kumuombea maana anatangaza vita ma wasiokuwa na uchungu wa nchi yao
@aminaomary5567
@aminaomary5567 4 жыл бұрын
Ni kweli dr,wanachukua sana dawa na kuyauza madawa maduka ya hata vijijini kote katika vitu vya afya.
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 4 жыл бұрын
Wanawake oyeeeeeee,Safi Sana
@robertmolila7545
@robertmolila7545 4 жыл бұрын
Mama nmekukubali🙏🙏🙏🙏
@winifrdaerias2693
@winifrdaerias2693 4 жыл бұрын
Mama tunapenda sana ufanyaji kazi kwa sababu mheshimiwa rais alikuwa anaboresha afya na kuona yupo sahihi kumbe sisi wananchi tunajua kuwa hospital kuna utaratibu wa hovyo sana
@fredkyara3278
@fredkyara3278 4 жыл бұрын
Mama hakika wewe ni mchpa kazi kama Rais wetu upo vizuri twskuombes maisha marefu. Nipe bac hata binti yako nimwoe uwe mamamkwe wangu,
@ayoayoo1222
@ayoayoo1222 4 жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa hawa madaktari wanamiliki maduka ya dawa na hospital banafsi
@jafariathumani2451
@jafariathumani2451 4 жыл бұрын
Duh kila LA kheli mama we nimchapa Kaz wame zoea Sana ukifika Wana kuandikia na kukuelewesha uka nunue wapi dawa wakat dawa zipo Wana tumiza Sana Hao mungu akulinde kwa kila baya mama
@himlayzer3543
@himlayzer3543 4 жыл бұрын
Mama hongera sana enderea ivoivo nenda na Tabora hospitor ya mkoa kitete kuna shida izo za wizi wa dawa
@saidmogelela3838
@saidmogelela3838 4 жыл бұрын
Ahsante waziri
@geofreyngaga5330
@geofreyngaga5330 4 жыл бұрын
Namuombea mema tupu ktk kuboresha sekta ya afya yupo vzr.
@samuelhenry9194
@samuelhenry9194 4 жыл бұрын
Mh Gwajima Chapa kazi mama Ikiwezekana kabisa wape darasa hata wakaguzi wa ndani maana inawezekana hawajui namna ya kujua mifumo ya dawa.
@nebartmuyagala9545
@nebartmuyagala9545 4 жыл бұрын
Yn ccta nimekukubali sana
@alphoncewilliam6864
@alphoncewilliam6864 4 жыл бұрын
Yuko vizuri
@alisele5299
@alisele5299 4 жыл бұрын
Nilijua kampendelea magufuli,kumbe duu: hapa kazi tu
@francavantini9098
@francavantini9098 4 жыл бұрын
Jpm apedelei
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 4 жыл бұрын
Kweli Mh Mgufuli anajua kuchagua. Huyu mama sikujua ni mfuatiliaji hivi. Atainyoosha wizara ya afya maana dawa zimekuwa zikitokomea kusikojulikana
@titusrobert5890
@titusrobert5890 4 жыл бұрын
Imekaa sawa
@rajaburajabu3963
@rajaburajabu3963 4 жыл бұрын
The best one
@botlomeoevodi9638
@botlomeoevodi9638 4 жыл бұрын
Mama hongera
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 4 жыл бұрын
Kwelikweli mama yetu. Majembe yapo, hayajaibuliwa tu. Mungu tupe macho ya rohoni, wasomi wetu wafa Nye yale waliyosomea kwa ubunifu zaidi bila upendeleo. Haki itendeke , sifa ba utukufu ni kwa serikali ya wazawa.
@ludanaftal2018
@ludanaftal2018 4 жыл бұрын
Uko vizur mama
@edwardmsongelwa5455
@edwardmsongelwa5455 4 жыл бұрын
Kama MNA kumbuka nilisema huyu mama atatusaidia sana si mnaona hata JPM AMEMUONA HONGERA SANA
@temkezatv4381
@temkezatv4381 4 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@alexanderngasa5786
@alexanderngasa5786 4 жыл бұрын
Mama dr doroth gwajima we ndo sample za magufuri kama mungu ananisikia naomba baada ya magufuri uje uwe rais wa nchi mambo yatakuwa mazuri na tutafika mbali zaidi
@linajames2653
@linajames2653 4 жыл бұрын
Harika
@mayanimorice7645
@mayanimorice7645 4 жыл бұрын
Vzr Sana mama
@missangatv1368
@missangatv1368 4 жыл бұрын
Good!
@nemecymsanya3191
@nemecymsanya3191 4 жыл бұрын
Hii safi safi safi sana jamani yaani hapa mzee makufili kapatia Ila namuona mkuu wa mkoa wa iringa yupo powa Sana mh happi
@jumamayele8130
@jumamayele8130 4 жыл бұрын
Msamehee tuu
@rehemandam2366
@rehemandam2366 4 жыл бұрын
Dkt Gwajima mama huyu yupo vizuri yupo makini na anainekana hana makuu
@jumarashid2137
@jumarashid2137 4 жыл бұрын
Yani kwakweli tumeibiwa dawa sana hapa sasa tutawezana mama wanyooshe kumbe hii kazi unaijua vzr yan mpaka raha
@mgallason...5686
@mgallason...5686 4 жыл бұрын
Viva Magufuli. Huyu atakufaa Mzee.
@victorcampbell2659
@victorcampbell2659 4 жыл бұрын
Asante Mama.
@samsonisaack5145
@samsonisaack5145 4 жыл бұрын
Mama shikamoo
@mathewungani9724
@mathewungani9724 4 жыл бұрын
Mama Kiboko...
@hawaabdallah4782
@hawaabdallah4782 4 жыл бұрын
Madokta kazi mnayo
@sudymgeni701
@sudymgeni701 4 жыл бұрын
Duhh wiki tu watu wako hoi mama wapeleke wanauza dawa kwa maduka yao mama mkwe.
@mawazodaniel9164
@mawazodaniel9164 4 жыл бұрын
Duu huyu mama inaonyesha nihatari saana.
@kimsamespa8490
@kimsamespa8490 4 жыл бұрын
Waizi wamepatikana wasamehe mama wajirekebishe
@djmeza411a58
@djmeza411a58 4 жыл бұрын
Akuna kucheka mama unauchingu
@dominickndomba4474
@dominickndomba4474 4 жыл бұрын
Magufuli hujakosea kumchagua huyu mama tunaomba waziri wa kilimo nae awe amepitia madhila ya kilimo mashambani nawakulia tutafurahi
@simonpure109
@simonpure109 4 жыл бұрын
Aisee ghafla eti nimekuelewa ktk muda mfupi,huwa natatizo la kuwaelewa watu!!! Leo eti nimeweza kumuelewa huyu mama!!! Sitosahau hii siku mweeh!!!
@bishopephraimmwansasu6094
@bishopephraimmwansasu6094 4 жыл бұрын
MUNGU akutendee Mema waziri wa afya. MUNGU akulinde ili maadui washindwe kukuvuruga kwenye kazi yako.
@wendecharles7326
@wendecharles7326 4 жыл бұрын
Pastor upo jmn,kitambo sana tamani nione kazi zako tena
@titojeremia8365
@titojeremia8365 4 жыл бұрын
Upele umempata mkunaji
@namsamson3443
@namsamson3443 4 жыл бұрын
Tanzania mpyaaaa tinaiona kwenye kitengo cha afya
@Mboro7
@Mboro7 4 жыл бұрын
Kumbe tokea kitambo mtata 2021
@BMGOnlineTV
@BMGOnlineTV 4 жыл бұрын
Hahahaaa mfuatiliaji tangu kitambo
@athonyjohn3521
@athonyjohn3521 4 жыл бұрын
Alipe
@geraldkyoma4332
@geraldkyoma4332 4 жыл бұрын
Wakimbizeeeee wananchi wanashida mnooo
@rhodachangala6670
@rhodachangala6670 4 жыл бұрын
Mama yupo kikazi zaidi
@isihaqgpsum
@isihaqgpsum 4 жыл бұрын
Piga kazi mom
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 4 жыл бұрын
Waimarishe bima ya afya ili kila mtu atakayenunua dawa data zake zisajiliwe kwa njia ya dijitali
@lukasmathias4537
@lukasmathias4537 4 жыл бұрын
Waziri wa afya chapakazi halinitete mahospitalini
@habarikazanzibar3667
@habarikazanzibar3667 4 жыл бұрын
Huyu Mama angekuepo kipindi cha Korona tungeskia mengine kabisa
@errydeo8865
@errydeo8865 4 жыл бұрын
Ummy kafanya vizuri sana pia,badika bandua za JPM
@jumasaad5520
@jumasaad5520 4 жыл бұрын
Alikuepo mbona..au haujui kua yye ndio alikua katibu mkuu....
@jonathanjj.pachajjpacha9127
@jonathanjj.pachajjpacha9127 4 жыл бұрын
Kwer mama
@naturelle1097
@naturelle1097 4 жыл бұрын
Waondolewe wote wanao iba iba ...no compromise. Hapo ni kwenye dawa tu ..hujazunguka kuona huduma zingine ...ni aibu kuona watu wazima na akili zao timamu wana chezea kazi kiasi hicho. It's a shame! Mtu anakiri uzembe bado kasimama hapo..alitakiwa kujikuta nje ya hio kazi siku mingi sana!!
@renatusrweyemamu6611
@renatusrweyemamu6611 4 жыл бұрын
Rais hapa kapatia kabisa
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 жыл бұрын
Kweli Rais Magufuri hakukosea kabisa kukuteua kuwa mbunge na kuwa Waziri wa afya hakika kazi yako nimeiona unafaa kabisa...
@abelmwakipesile4503
@abelmwakipesile4503 4 жыл бұрын
Mama nenda na kitete hospital tabora
@sondanzingulasondasam4029
@sondanzingulasondasam4029 4 жыл бұрын
Sie wabongo sijui tumelogwa na nani wafanyakazi hovyo kila sehemu
@mgallason...5686
@mgallason...5686 4 жыл бұрын
Tatizo tunapenda sana shirt-cut, na kuendekeza Uvivu.
@nenolako8522
@nenolako8522 4 жыл бұрын
WATU KAMA HAWA KUPEWA UONGOZI HAPO NDO UNAIONA NIA YA JPM KUTAKA KUINUSURU NCHI HII.
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 4 жыл бұрын
Uyu alifaa KBS kua wazili,,,sasa amekua Wazili sasa mtakoma
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 4 жыл бұрын
Hahahhaha mama... Ni msukuma full
@madirishasimon9692
@madirishasimon9692 4 жыл бұрын
Anajitahidi na kazi yake
@elizabethmassi7327
@elizabethmassi7327 4 жыл бұрын
Sio msukuma huyu ni mnyiramba ila kaolewa na msukuma
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 4 жыл бұрын
Waache. Na nambaza Sim wanapewa dawa wasije kudanga Ya kumbe wanawPa familiayao
@prospermushi6168
@prospermushi6168 4 жыл бұрын
huyu mheshimiwa ji mfano mzuri wa viongozi ambao wamesoma na kufanya kazi kuanzia ngazi za chini kwenda juu. hawakuvusha darasa wa mitihani. wamepata promotion kupitia ktk fani zao na kwa bidii zao kazini. hivyo wanapofika juu wanafahamu kwa undani kinachoendelea ktk ngazi za chini. wanafanyakazi kwa ufahamu, siyo kwa kuambiwa wala kubahatisha. muhimu zaidi mama ni mzalendo na anakata kuleta mabadiliko ya kweli. tunahitaji wengi kama huyu mama. mungu bariki sana wewe. hapa kazi tu!!! wazembe watazimika tu. maadili ya kazi yatarudi tu muda si mrefu.
@BMGOnlineTV
@BMGOnlineTV 4 жыл бұрын
Kabisa
@meryjohn7120
@meryjohn7120 4 жыл бұрын
Nguvu yasoda utapoa tu
@matingo-bk1248
@matingo-bk1248 4 жыл бұрын
Kama huelewi usicomment ujinga angalia hiyo video ya lini kwanza. Hapo kipindi akiwa naibu katibu mkuu tamisemi sio kipindi hiki
@gasparyeugene4855
@gasparyeugene4855 4 жыл бұрын
Mwiz wa dawa wewe inaonesha😀
@aurelialyimo8650
@aurelialyimo8650 4 жыл бұрын
Chapa kazi dada
@estherkayaya800
@estherkayaya800 4 жыл бұрын
Hakika upele umepata mkunaji nimekupenda buleee piga kazi mdada
@restitutamassawe5828
@restitutamassawe5828 4 жыл бұрын
Gwajima baba uko wapi??? Mbezi kawe hatukusikiii
@aurelialyimo8650
@aurelialyimo8650 4 жыл бұрын
@@restitutamassawe5828 huyu ni dada sio baba
@aurelialyimo8650
@aurelialyimo8650 4 жыл бұрын
Huyu waziri wa afya😎
@restitutamassawe5828
@restitutamassawe5828 4 жыл бұрын
@@aurelialyimo8650 nimesema mbunge wa kawe yeye ni baba mchangaji
@djmeza411a58
@djmeza411a58 4 жыл бұрын
Siwalikuzalau sasa waojeshe
@daslamonline4665
@daslamonline4665 4 жыл бұрын
Wapigaji hao wamekutana na moto
@robertombewa3140
@robertombewa3140 4 жыл бұрын
Tungekuwa na waziri kama hawa nchi itanyoka
@mamahustru
@mamahustru 4 жыл бұрын
Hii klipu huyu mama alikuwa ni naibu katibu mkuu. Inasemekana alikuwa moto, wakubwa wake wote walikuwa wanamchukia na kumzibia, na kumpiga majungu. Akitoa maagizo kama hapo, wao wanatengua. Magu anajua yanayoendelea huko mawizarani. Alafu watu wanafikiri ni msukuma sababu ya jina, lakini ni Mnyaturu wa Singida huko.
@gladysalbinus7646
@gladysalbinus7646 4 жыл бұрын
Mh Ndarichako akasome hapa Ni hatari
Nvidia CEO Huang New Chips, AI, Musk, Meeting Trump
15:28
Bloomberg Technology
Рет қаралды 217 М.
Malaysia's Minister Says Growth Set to Surpass 5% in 2025
28:42
Bloomberg Television
Рет қаралды 32 М.
Непосредственно Каха: сумка
0:53
К-Media
Рет қаралды 12 МЛН
Маусымашар-2023 / Гала-концерт / АТУ қоштасу
1:27:35
Jaidarman OFFICIAL / JCI
Рет қаралды 390 М.
Jaidarman TOP / Жоғары лига-2023 / Жекпе-жек 1-ТУР / 1-топ
1:30:54
Young Lionel Messi Was Actually INSANE
14:20
VSP7 FOOTBALL
Рет қаралды 454 М.
Putin and Trump Meeting / Venue Preparation
12:07
NEXTA Live
Рет қаралды 242 М.
Thousands of Christians Convert to Islam After Humiliating Muslim Boy
17:20
Bajeti ya mwalka 2025/26 yaibua hoja nzito jijini Mwanza
12:47
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 171
MKUU WA MKOA FEKI AKAMATWA MBEYA, ANASIKILIZA KERO ZA WANANCHI!
4:37
Непосредственно Каха: сумка
0:53
К-Media
Рет қаралды 12 МЛН