Wallah! Subra ni ngumu ,lakini Ina malipo Mema na Makubwa mbele ya M.Mungu.
@AliiKhalid4 ай бұрын
Vizur sans shekh wetu
@user-to6up4hg2w5 ай бұрын
❤❤❤❤❤ mashallha i like him he is best may Allah protect you amin❤❤❤
@arafasalum31695 ай бұрын
Jazaakallahu khayran.Allah akulipe kila la kheri Sheikh wetu.
@SalmaMohamed-z8e5 ай бұрын
jazzakallah kheir shekh Othman maalimu
@Omarimuhibumningechi5 ай бұрын
Hakika subira ni jambo zuri sana Allah atuzidishie subira wanandoa wote
@zamdarajabu27055 ай бұрын
Inshaallah
@HusnaAthumani-s3e5 ай бұрын
Ishàllh
@siriyangu47245 ай бұрын
Mashallah sheikh
@ShafiiOmarAli5 ай бұрын
MASHA ALLAH ALLAH AKBAR
@HasnutMfuruki5 ай бұрын
ALLAHU AKBARU NIMEFURAHI KUSIK8A CHEKO LAKO SH.OTHMAN❤
@HassanAmadi-zs1sj5 ай бұрын
Mashaallah Kwa darsa yako
@husna345625 ай бұрын
Mashallah tabarakallah
@chunaabdullah13335 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah
@NusuraShabani5 ай бұрын
Ndoa ni subra
@azizayassin36235 ай бұрын
Ukimpata anayejua subra kama baba zetu na mama zetu yanaenda lkn sasa🥹😪
@yasirshee31525 ай бұрын
Baba na mama bado wako kwa ndoa mtoto kazalishwa watoto 5 kila mtoto ana babake na baba wote wako hai
@azizayassin36235 ай бұрын
@@yasirshee3152 swali je aliolewa ama kazalishwa bila ndoa tuanzie hpo maada inaeleza walio ndani ya ndoa tu sio wanapendwa kuziniwa adi kuzalishwa watoto wa zinaa naam wewe unaongelea mda ipi
maendeleo yataka subira kosa la hapo kwenye fumanizi hapo taraka lazima
@shedrackzuberi89425 ай бұрын
good
@JakalinoNzota5 ай бұрын
Shekh mimi changudua wangu wandoa alitaka taraka bila sababu ya msingi nikampa taraka moja ya maneno tukaludiana akaitaka tena akaja na kaka zake anaitaka tena nikamwandikia taraka mbili vp apo naweza nikamludia tena akitaka au nikiitaka ktk makubaliano
@MeraiOmar-ok8bo5 ай бұрын
@jakalinoNzota..kwaiyo talaka ya maneno pia ndio?
@JakalinoNzota5 ай бұрын
@@MeraiOmar-ok8bo ndio nilitoa mbele ya shekh alietufungisha ndoa
@mwanamisakulembwa11475 ай бұрын
Nimekuelewa kakaangu shukran
@JakalinoNzota5 ай бұрын
Umeolewa
@MeraiOmar-ok8bo5 ай бұрын
@@JakalinoNzota ..Eka namba Yako nkutafute🫣
@JidaHassani5 ай бұрын
❤msha-14:44
@NurdineUsseneSamoja5 ай бұрын
Duuuu jamani nimemuacha mkewagu Sasa vimepita miezi yeye yupo taya kuludiana na mimi Niko tayali je tuludiane ?hau kuna kitu kifuate
@yasirshee31525 ай бұрын
Ulimpea talaka ngapi?
@NurdineUsseneSamoja5 ай бұрын
@@yasirshee3152 moja
@abiabi93535 ай бұрын
Je haidhihirishi hapa kuwa baadhi ya wake wa mtume walikuwa wakorofi?
@OsmanXossen5 ай бұрын
Sasa mkewangu nikimfumania siezi mpa zote Tatu kwa mpigo
@JidaHassani5 ай бұрын
mashall je kama mm nimemchoka mme ana tabia mbay nitafanyaje?
@fatmaFatma-hc4nd5 ай бұрын
Nenda kwa kadhi atakupea suluhu ya ndoa yako
@mohamedabdallah7865 ай бұрын
Kila MTU anatabia mbaya na mzuri ...stahamili
@yasirshee31525 ай бұрын
Umemtowa wapi huyo?
@aaa64sa135 ай бұрын
😂😂😂😂@@yasirshee3152
@MewemaFundi5 ай бұрын
Je mume kuumpa tslaka mkewe bila ya kuumpa mahari yake yaswihi
@JakalinoNzota5 ай бұрын
Mumekumpa talaka mkewe bila yakummalizia mahali yake,(dai deni lako chukua tlk yako) kama utaidai katika wale wasiokanya ardh ya pepo aya
@MewemaFundi5 ай бұрын
@@JakalinoNzota shukran sana kwa kunielimisha
@Maryam-vj1rb5 ай бұрын
Sheikh naukiishi na mume asali kabisa haiko kwenye dini kabisa ushafu woote uko kwake vipi niishi naye naomba majibu
je kama mume ni mlevi unaweza kuwa na subra?haswali kila kitu umkumbushe hakupi tendo la ndoa na mnalala kitanda kimoja wala hakuuliz maumivu mengi mpk moyo hauna mapenz tena hp mnanisaidiaje?
@rahimushaaban63675 ай бұрын
Basi upate mume mwingine muoga wa mungu
@tigerqueen39345 ай бұрын
Una ruhsa ya kuomba talaka
@BadriaPhilipo5 ай бұрын
@@tigerqueen3934 Shukran sana
@BadriaPhilipo5 ай бұрын
@@rahimushaaban6367 Shukran sana
@yasirshee31525 ай бұрын
Mtihani mzito sanaa Subiri ukichoka mpeleka kwa kadhi ukiwachwa nitakuoa mm
@abiabi93535 ай бұрын
Hakuna talaka tatu kwa mpigo katika uislam, hizo ni talaka za omar bin hatwab ambazo zinapingana na Quran na hadith sahihi za mtume
@azizayassin36235 ай бұрын
Wacha kwanza nimsikilize shekhe alafu nije nikupe dawa yako maana naona amtusi sna wakati wewe na hyu swahab cjui nani alibashiriwq pepo
@abiabi93535 ай бұрын
@@azizayassin3623 Haha wewe jahili wakiwahabi kweli. Kwsni mtu akibashiriwa pepo ndo kawa mtume? Nani kakwambia eti kwasababu swahaba kabashiriwa pepo ndo ana mamlaka na ruhusa ya kupingana n Quran na mtume? Ndo maana nikasema tatizo kubwa la mawahabi ni uwelewa finyu na mbovu
@muradmohammed65595 ай бұрын
@abiabi9353 bila shaka ww ni Shia kwa hio usiliongelee usilokuwa na ilmu usijibebeshe dhi'ma siku ya qiyama
@azizayassin36235 ай бұрын
@@muradmohammed6559 madhebu tu kama gazeti uwezi taifa leo mwanasport lkn yte ni magazeti upo quran ni ile ile swala ni ile ile isipokuwa wao huwacha sunna na hakuna dhambi pili sio washirikina imetosha kuwa wao wako na imani kama yko pole jitambuwe kwanza wacha mihemkooo ya yutube
@azizayassin36235 ай бұрын
@abiabi9353 alafu sasa matusi ingekuwa kama ni njia tuliyofundishwa kufikisha ujumbe leo hii kusingekuwa na watu wnao silamu cha kuchekesha sasa hyu unayemtukana humfiki kwa elimu wla imani wla ibada zake pole snakubwa zaid nadhani umajuwa manabii 10 moja kwa moja peponi wewe na mimi sasa htujui hatima ytu zaid ya kungoja mizani ya amali zetu ndio tujuwe tnaenda wpi
@JidaHassani5 ай бұрын
mashall je kama mm nimemchoka mme ana tabia mbay nitafanyaje?
@abouassifmabrouk81105 ай бұрын
Angalia vizuri apo ipo namba Yao ya whatsap watafute kupitia hio namba uulize naswali yako na utajibiwa inshaallah 🙏
@shamzone3885 ай бұрын
Katika mabaya aliyonayo kumbuka moja zuri alilokufanyia utasahau yoote na utakuwa vizuri tu ndugu yangu
@mohamedabdallah7865 ай бұрын
Hata wewe unatabia mbaya uzistahamilie na za kwakwe
@JakalinoNzota5 ай бұрын
Mvumilie atabadilika,kwani subra ni tamu kamatende, nasubra chungu kama shubiri