AINA ZA TALAKA

  Рет қаралды 49,942

Izudin Alwy Ahmed

Izudin Alwy Ahmed

Күн бұрын

Пікірлер: 67
@khadijak3065
@khadijak3065 5 жыл бұрын
Jazaakaallah shekhe maada umeichambua vizuri nimeilewaa asantee shekhe Mimi niliiomba mume wangu alikuwa anatoka na mtu mwengine nikamshauri muowe basi nijuwe akanitukana mbele ya mama yangu mzazi ndio nikaiyomba taraka nikiwa na mimba ya miezi tiza amekataa akajibu najuwa kuowa hajui kuacha nikaondoka na mimba ya miezi Tisa shekhe nikarudi nyumbani nikajifunguwa mtoto mama akamwambia mkeo kajifunguwa akaja hakusema chochote baada ya kuosha arobaini kesho yake akaja kudai mke nikawa na msimamo nipe taraka amekataa nayo na Mimi nipo nyumbani kwetu basi Mimi nimilea mtoto mpaka kafikisha miaka mitatu nikampingia tena jibu lake ndio hilo hilo nikampandia gari nimemuacha mwanagu nyumbani nikamwambia Leo kitajulikana unipe taraka yangu basi akanipa siku akafikiria siku ya ahadi. Amenicha taraka mbili mpaka sasa mtoto hajui ndio maana napenda kufuatilia mawaidha yako yanafundisha nimeelewaa asantee shekhe
@maruthi8172
@maruthi8172 5 жыл бұрын
Khadija K unaombaje talaka unadhan mattz hutayakuta sehem nyngn
@ngwelesalu8348
@ngwelesalu8348 4 жыл бұрын
Duh!
@Ukhtyzuhura
@Ukhtyzuhura 10 ай бұрын
Darsa zuri hakika lina mazingatio...Jazakhallahu khairan(ummu Ahmad kutoka Northampton)
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 5 жыл бұрын
Masha Allah kheir sheikh wangu Allah akupe badala. Nakutakia afya njema na umri mrefu na upate mwisho mwema
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 5 жыл бұрын
Allahumma amiin
@iddykivu050
@iddykivu050 5 ай бұрын
Sheikh Vipi kuhusu Umempa Talaka Mkeo Kwa Mara 3 Ila Sio kwa Pamoja Megombana Mara ya kwanza mkarudiana Mala ya pili Mkarudiana na Mara ya tatu hiii Mmegona na kwa kigombanishwa na Mtu ambae kakusudia Mgombane Ili yeye HawevHappy Vipi Hapo Ina dwihi Kimrejea Mkeo
@khadijamuhammad6677
@khadijamuhammad6677 3 жыл бұрын
Assalam aleikum je mfano mume na mke wamekosana alafu mume aseme ukienda kupika nitajua nimke wangu usipoenda nitajua simke wangu jee talaka imepita mke hakwenda kupika kwa ajili mume amemchapa
@mbayaolekimojinomaulid2010
@mbayaolekimojinomaulid2010 3 жыл бұрын
Assalam Aleiqum na ikiwa mke wangu tuna zaidi ya mwaka sijalala nae kwasababu ya kukosana. Kisha nimpe twalaka, hesabu yake vipi na sijui hesabu ya hedhi yake
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 3 жыл бұрын
Kama anapata hedhi atakaa twahara tatu kama hapati tena damu atakaa miezi mitatu
@AshuraRamadhani-t7f
@AshuraRamadhani-t7f 8 ай бұрын
Je akiacha taraka moja yafaa kumrudia kwa wakat gani
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 8 ай бұрын
kabla hajamaliza Edah
@rahmahassan8341
@rahmahassan8341 4 жыл бұрын
Ma shaa Allah shekh...may Allah guide ad protect you shekh....today i rily need to ask you question can you get marrd without you mum ad dad permission if you are marrd ad gotten talaka....i have found someone i love we undstnd each other so much....i know when we remain single bcox of my dad ad mum then we will commit alot of sin....my mum say he belong to another culture which is not pure in islm ad i know its bcoz the boy is not rich
@nancycharo7708
@nancycharo7708 Жыл бұрын
Na mume akikupa talaka wakaty wanyonyesha
@mohammedsalum9079
@mohammedsalum9079 3 жыл бұрын
Shahe mm naishi
@khadijaahmed7600
@khadijaahmed7600 3 жыл бұрын
Jee akikuandikia nimekupa talaka hua ningapi na hujui kosa?
@7176M
@7176M 5 жыл бұрын
Masha Allah.kwamawadha.malaika.waher.akutangulie.udhid.kutuelimisha .
@7176M
@7176M 5 жыл бұрын
mwjuma.athumani
@shufaamohammed5357
@shufaamohammed5357 2 жыл бұрын
Shekhe talaka ya kadhi wakaa vipi
@تيتيتؤزؤزين
@تيتيتؤزؤزين 3 жыл бұрын
Assalamu Allaikum,je kama pengn mulikosana na mumeo halafu kazaa na mke mwengn na mm niko mbali wakati hatuna mausiano naweza hachika bila talaka?
@abullahkabaka8774
@abullahkabaka8774 4 жыл бұрын
MASHALLAH ALEIK
@innocentjay5844
@innocentjay5844 5 жыл бұрын
Waislamu wamefeli upande wa ndoa.kitu kidogo NIPE TALAKA YANGU
@fatmasaid9115
@fatmasaid9115 2 жыл бұрын
A.alaykum Swali langu ni hili nimeachwa talaka 2 mpaka eda imemaliza hakunirejea.baada y muda kupita akanioa tena. Je akiniacha tena hio talaka inahisabika y kwanza ama y 3?
@kautharramadhan-ej2iy
@kautharramadhan-ej2iy Жыл бұрын
@@fatmasaid9115 ya tatu shoga angu
@mishisaidi8696
@mishisaidi8696 6 жыл бұрын
sheikh lakini kunawanawake wengine hupata heidh mwezi adi mwezi
@mahmuodmusa5883
@mahmuodmusa5883 5 жыл бұрын
Jazakallahu kheir Ustadh
@sauhatmoses5414
@sauhatmoses5414 3 жыл бұрын
Sikuelewa kabsa sheee
@dailylaughingworld0079
@dailylaughingworld0079 7 жыл бұрын
vizuri sheikh
@msafiridadisalim7341
@msafiridadisalim7341 6 жыл бұрын
Kwa mtu asie jua na haja kusudia alikua na hasira na katoa bila kukusudia inakuaje
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 6 жыл бұрын
NAPENDA sana kufuatilia darsa zko Ila kwa taraka umechemka
@zainabuhmbabazi4928
@zainabuhmbabazi4928 5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@alihussein5159
@alihussein5159 5 жыл бұрын
Ni binadam pia ako na upungufu wake
@mohammedrashid7735
@mohammedrashid7735 5 жыл бұрын
Ww ulitaka aelezee vp?
@HamzaHamza-zc2vs
@HamzaHamza-zc2vs 6 жыл бұрын
Sheikh na je hawa watu ambao hawapati damu kwa sababu ya ugonjwa au family planning eda yao itakua vipi
@zenastadi2772
@zenastadi2772 2 жыл бұрын
Mume akimwambia nimeamua tuachane je talaka hapo imepita
@IzudinAlwyDin
@IzudinAlwyDin 2 жыл бұрын
mpaka akuwache
@sayyidathmanabdulrahmanhh1467
@sayyidathmanabdulrahmanhh1467 4 жыл бұрын
A a vp kuhusu wasopata kabsa hedhi kwa ajili ya maumbile ya الله
@jahifamau6873
@jahifamau6873 6 жыл бұрын
Wallahi darsa zuri na pia lafurahisha.
@seifkhatib227
@seifkhatib227 6 жыл бұрын
Muhammed idimaisha ya ndoa
@khatibshkh5530
@khatibshkh5530 3 жыл бұрын
Je km mke umepewa talaka ya 2 mkitaka kurudiana ni vipi
@shamomar629
@shamomar629 3 жыл бұрын
Kama haijafika miezi mitatu na siku kumi tangu kukuacha basi aweza kukurudia, kama kipindi hicho kimepita anaweza kukuoa upya
@mamlatmudrik5469
@mamlatmudrik5469 5 жыл бұрын
Asalam alaykum shekh jetalaka inaulazima wa shahidi
@saidhassan7779
@saidhassan7779 2 жыл бұрын
🙆🙆🙆🙆
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 6 жыл бұрын
Nausifananishe M pesa Na mambo ya dini
@zulekhahassan1025
@zulekhahassan1025 5 жыл бұрын
ADAM NGUVU hio mpesa it’s just an example elewa bro
@lindaanyango3418
@lindaanyango3418 5 жыл бұрын
Sheikh,je mwanamke akipewa talaka kwa ajili yakutokwenda kwa Kina mume,Ni hatia?
@aishaibrahim5138
@aishaibrahim5138 4 жыл бұрын
Talaka ni talaka haina mjadala.
@nabiltwahir9109
@nabiltwahir9109 6 жыл бұрын
Asalam alekum shekh . jee kuna talaka bila mashahidi .
@nasirnassourmasoud5337
@nasirnassourmasoud5337 4 жыл бұрын
Talaka haihitaji shahid
@arafatmwamtind3410
@arafatmwamtind3410 7 жыл бұрын
assalam alykm nina swali sheikh je kama mtu ameandika talaka kwenye kila karatasi ameandika nimekuatha talaka tatu imepita vp
@mrsmisifa7908
@mrsmisifa7908 4 жыл бұрын
hata ukamuandikia kumi yahisabika ni moja tu
@nasirnassourmasoud5337
@nasirnassourmasoud5337 4 жыл бұрын
Talaka 3 zitahisabika na ameachika
@nasirnassourmasoud5337
@nasirnassourmasoud5337 4 жыл бұрын
@@mrsmisifa7908 sio kweli itahisabika ni 3
@jumamwacharodzikowa523
@jumamwacharodzikowa523 6 жыл бұрын
Sheikh,heidh ya mwanamke ni kila mwezi au kila wiki mbili,mana umenichanganya kusikia heidh ya mwezi mara tatu
@againstallodds8548
@againstallodds8548 6 жыл бұрын
juma mwacharo dzikowa inategemea na vile mwanamke anapata heidh zake kuna wengine after 1month wengine after 2wks na wengine baada ya masiku kadhaa ndio ivyo sasa ule mda atakua ashajitwahirisha ni twahara ya kwanza sasa ivyo zikifika twahara tatu ndio khalas ashamaliza Eda
@jahifamau6873
@jahifamau6873 6 жыл бұрын
Je kumueka.mke eda ni lazima.na kama ni lazima je mwanamume asomueka mwanamke eda hukmu yake ni nini?
@halimaabdullahi1201
@halimaabdullahi1201 6 жыл бұрын
nini maana ya eda? kiswahili is so hard
@sarahbadawi7908
@sarahbadawi7908 3 жыл бұрын
Talaka ikiandikwa kwa karatasi ina vunjika kama mwanaume ame kupa karatasi
@glorsglors2197
@glorsglors2197 6 жыл бұрын
Me nilipewa talaka 2 na mume wangu kaoa so.... na fanyeje....
@againstallodds8548
@againstallodds8548 6 жыл бұрын
Glors Glors minaona mda ulioachwa mpaka sasa zimepita twahara tatu coz hapa nimeelewa twahara tatu basi ushamaliza Eda
@aishaibrahim5138
@aishaibrahim5138 4 жыл бұрын
Kama ushamaliza eda na hajakurudia basi sio mke wake tena.
@zenastadi2772
@zenastadi2772 2 жыл бұрын
A.a mume akisema umeamua tuachane je talaka imepita hapo, lkn hakutamka nmekuacha.akasema lkn hakua na Nia kuniacha
@aminaabdallah3136
@aminaabdallah3136 6 жыл бұрын
Gghh
@adamnguvu1020
@adamnguvu1020 6 жыл бұрын
Sheikh kwa upande wa taraka tatu umechemka taraka tatu hata iweje ni taraka ambazo hutolewa kwa twahara tatu sio ukisema tu mara tatu eti taraka tatu hpo umechemka
@alihussein5159
@alihussein5159 5 жыл бұрын
Fungua channel yako na ww kisha toa elimu ya dini acha kuongea upumba
@thumaamsupa695
@thumaamsupa695 4 жыл бұрын
Babu we ulikuwa wapi kwani c utoe ww hyo mawaidha ya talaka basi
@taqiyyuddincadis6281
@taqiyyuddincadis6281 4 жыл бұрын
Ewe Adam replay the video. Fungua akili na masikio yako vizuri. Una ilimu ipi katika dini ili na sisi tusome kwako
SHARUTI ZA KUONGEZA MKE WAPILI ?
44:58
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 95 М.
VITIMBI VYA WANAWAKE
1:00:27
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 110 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 2,7 МЛН
Зу-зу Күлпаш 2. Бригадир.
43:03
ASTANATV Movie
Рет қаралды 609 М.
Worst flight ever
00:55
Adam W
Рет қаралды 54 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 28 МЛН
AINA ZA TALAKA // SHEIKH OTHMAN MAALIM
16:23
arkas online tv
Рет қаралды 16 М.
NI NINI ZINA . P-1
49:51
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 29 М.
MTAZAMO WA UISLAMU JUU YA TALAKA KWA NJIA YA SIMU
13:01
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 14 М.
Uzito wa Fadhila za Sadaka hii ya Ajabu. Sh. Nassor A. Bachu
30:00
OBA Online tv
Рет қаралды 54 М.
MKE ANAE FAA KUPENDWA ZAIDI NIHUYU
1:11:42
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 30 М.
NININI NDOA
48:06
Izudin Alwy Ahmed
Рет қаралды 45 М.
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 2,7 МЛН