AJIFANYA POLISI, AVAMIA MAHOJIANO, AWAKALISHA CHINI WOTE MTANGAZAJI NA WANAHOJIWA

  Рет қаралды 98,793

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 337
@elishasolomon9742
@elishasolomon9742 2 жыл бұрын
Afande ova ova tunakalibia tunachua kila mtu hpo tunaendanao kituon aliyemwona mama akiaga na kula kona kali gnga like twende sawa
@saljam82
@saljam82 2 жыл бұрын
Great creativity ...In real life situations ukikutana nazo na ukiamini, u naweza surprise your self 😅😅😅
@godblessyexaudnkyale20
@godblessyexaudnkyale20 2 жыл бұрын
Kama Kuna aliyee cheka kupita mm like zake hapaa🤣🤣😂😂😂🤣🤣
@henrymwambe7716
@henrymwambe7716 2 жыл бұрын
Napenda sana uti ya huyo askari.. always doing good kama usalama ivh alivo hahaha mnyama sana
@nmasare9364
@nmasare9364 2 жыл бұрын
Jamaa kaua aliposema tunakuja tunabeba wote waliopo eneo la tukio pale mpaka mjumbe mwenyewe alitaka kusepa😂😂 mpaka mashuhuda nao waliposiki msije kutulaumu wamepotea
@abdul-rahimkadhi766
@abdul-rahimkadhi766 2 жыл бұрын
Mjumbe ameonyeshaa upendo sana kwa watu wake...mjumbe wa Shima namba 14....nimempenda sana sana aisee ...na alikuwa real ..anastahili kupewa nafasi kama elimu yake inaruhusu....so far kipindi ni kizuri sana ...kinafundisha
@juhudinjili7178
@juhudinjili7178 2 жыл бұрын
Daaah hii Tz imezidi sana uhuru
@mosesliboston5437
@mosesliboston5437 2 жыл бұрын
Wa kwanza ku comment nipeni like zangu
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 2 жыл бұрын
Oeee!! Mm nenda Mskitinii mwadhini Ushaadhiniwa🤣🤣🤣🤣🤣
@godblessyexaudnkyale20
@godblessyexaudnkyale20 2 жыл бұрын
Naludia Tena kucoment jamani sijawaii cheka ivii mwenzenuu mm kweri bongo nyosoooo😂😂🤣🤣😂😂😂
@mwasa_tv
@mwasa_tv 2 жыл бұрын
jmaa yupp yupo tu yan ata aelewi yupo dunian kufanya nini
@SefuHabibu-sn8cx
@SefuHabibu-sn8cx Ай бұрын
Huyu mama msatarabu sana nimempenda sana huyu mama
@Said_Abdul
@Said_Abdul 2 жыл бұрын
Nembo ya mtaa #Africa is watching...fanya kipindi nchi zingine ,Kenya Uganda ,Malawi na south africa
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 2 жыл бұрын
Aidia kaiba Nigeria Kwan aujui iki kipind kuwa kipo adi Nigeria?
@Said_Abdul
@Said_Abdul 2 жыл бұрын
Kuiba aidia ninja siyo ishu ila nani ataenda international
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 2 жыл бұрын
@@Said_Abdul we unazijui TV za Nigeria kuwa ndo Tv zinatazamwa Sana Africa? Ukienda Apo Tanzania unajua kuwa Ni TV gani inafatiliwa Sana kuwa na vipindi safi?
@ben_digital
@ben_digital 2 жыл бұрын
Huyo askari anae sikika kwenye radio call msumbuf over nyingi
@nassoursalum7982
@nassoursalum7982 2 жыл бұрын
Hhhhhhh
@mamananga2849
@mamananga2849 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 2 жыл бұрын
umetisha kaka
@unjushekimweri6787
@unjushekimweri6787 2 жыл бұрын
Huyo afande anaeongea kwenye simu katisha San Over Over hahah dah
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 2 жыл бұрын
Napenda sanaa ichi kipindi hua nacheka paka nalia
@ramadhanikibenga4284
@ramadhanikibenga4284 2 жыл бұрын
Anaomba msamaha kwa kutembea juani 😂😂😂😂😂 mzenji wa watu 😃😃😃😃
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 2 жыл бұрын
🤣🤣 Uwiiiiiiiii kwakeli nimecheka saaaaaana na mjumbe number 24 ndio kaniuwa mbavu kabisaaaaa😂😂 Bongo nyoso 💪🏽🙏🏼
@msigwa1
@msigwa1 2 жыл бұрын
Best scenes......of the year.,.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😀😀
@mustaphanext1088
@mustaphanext1088 2 жыл бұрын
🤞🏾
@liliannyakerario1205
@liliannyakerario1205 2 жыл бұрын
Much love 💕 from Kenya
@dadaagnes4483
@dadaagnes4483 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃 Mtakuja kuwauwa watu kwa presha
@donhussle948
@donhussle948 2 жыл бұрын
Huyu hvi ni kweli afaa aje Kenya afanye mambo haya na huyujamaa amevaa flana nyeusi ajifanya Askari aje alete mambo haya kama hawatatiwa discipline ..Sema hao hawajui ryts zao. Sema Tu..natamani waje Kenya WA haswa na afande wao watolewe bundle ndo wajue Kenya hakuna ujinga
@luperbukuku2659
@luperbukuku2659 2 жыл бұрын
Utanaswa ya Kenya
@donhussle948
@donhussle948 2 жыл бұрын
Lakini c Mombasa 001 county hatuna usenge huo ...kila mahali Pana mipaka yake. Ukileta huu shoga zuna lakufata ...ufala huu Mombasa wasijaribu kabisa nishakujibu sasa vizuri
@allymachejo2996
@allymachejo2996 2 жыл бұрын
Iv wale wa NASWA sio wakeny mbona wakeny nao maboya tyu
@trifonidesdery8707
@trifonidesdery8707 2 жыл бұрын
Wale wa naswa na, kaa rada ni wa tz eti.we mwenyewe hujielewi.
@salim02tv24
@salim02tv24 2 жыл бұрын
Awoo wake ya uku bongo tunawakandaa dairy
@bakariabdallah8702
@bakariabdallah8702 2 жыл бұрын
😅😅😅 watu wanaogopa sana jeshi la polisi tz
@aliomari5961
@aliomari5961 2 жыл бұрын
mama is very responsible,,, kudos
@chrisregisiradukunda1574
@chrisregisiradukunda1574 2 жыл бұрын
Nembo ya mtaa akili zake anazijuwa mwenyewe 😅😅😅😅
@sakinamohamedy4646
@sakinamohamedy4646 2 жыл бұрын
Hii iko nouma sanya good creativity😍
@mustaphb.i.g4573
@mustaphb.i.g4573 2 жыл бұрын
Aaaah mm lazima nikimbie
@jumaamashaka2497
@jumaamashaka2497 2 жыл бұрын
M join clam kwenye pindi lako sanya
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
HAWA JAMAA UNAOWAIMBISHA UTAKUJA KUWATOWA MAVI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rajramson3672
@rajramson3672 2 жыл бұрын
Nimempenda mjumbe...ana spiritual
@Mkaluminium550
@Mkaluminium550 2 жыл бұрын
Eti km Kuna watu wasio husika tunabeba woteeee 😃😃😃😃 Kuna mama kakimbia
@audaxkumbuko3213
@audaxkumbuko3213 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣hatrii sanaa
@TheNewKid_TV
@TheNewKid_TV 2 жыл бұрын
😁😁
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 2 жыл бұрын
Yani Bongo kuna baadhi ya watu Maboya sanaa...🤣🤣🤣🤣🤣
@burudaninamatukio707
@burudaninamatukio707 2 жыл бұрын
Kali sana hii
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 2 жыл бұрын
🔥❤🔥
@stevensalum5312
@stevensalum5312 2 жыл бұрын
Duuuh nimecheka kwa sauti 🔥🔥🔥🤣🤣
@zaipazzi9490
@zaipazzi9490 2 жыл бұрын
😂😂😂 jamani kwetu leo bonge la msanii
@ramatv2005
@ramatv2005 2 жыл бұрын
Ww Sanya msenge sana
@paulchiloleti578
@paulchiloleti578 2 жыл бұрын
😂😂😂 huyo Dogo aliyekimbia ni Mimi kabisa
@Simbabwoysk
@Simbabwoysk 7 ай бұрын
Sanya Utakuja kutuuwa na Cheko 😂😂 Kama kawaida wote ambao wako karibu wote tunabeba😂😂😂😂😂😂
@skyerkilonzo5069
@skyerkilonzo5069 2 жыл бұрын
Mama mwenye batiki alvyoaga😂😂😂😂😂
@rehemadaudi9834
@rehemadaudi9834 2 жыл бұрын
Akaona ya Nini mie ya niniii
@ericksalustian7006
@ericksalustian7006 2 жыл бұрын
Kawaaga kwa kupungaa kabisaa😂😂😂😂
@theophilyyona9940
@theophilyyona9940 2 жыл бұрын
tukija tunazoa wote mama akaona isiwe shida 😂😂🤣🤣
@dorinemwakalinga6705
@dorinemwakalinga6705 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@kombomaused5408
@kombomaused5408 2 жыл бұрын
Sanya hii umetisha mzee
@matatasaid733
@matatasaid733 2 жыл бұрын
Mda wa ibada hauna udhuru
@petersylvester321
@petersylvester321 Жыл бұрын
Atareee sana
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 жыл бұрын
nimekuchikia sanaa ww mortown manina wwww iv kwer mtu leo nasema naenda swali namzingua ivo
@theophilyyona9940
@theophilyyona9940 2 жыл бұрын
ya leo ina chekesha mpemba anataka kulia na uyo polisi wa simu anajua sana😂🤣🤣
@matatasaid733
@matatasaid733 2 жыл бұрын
Wadau mda wa ibada jumaa! Ni siku kubwa na msimfanye mtu achelewe msikit na aingie nyumba ya ibada akiwa na hofu
@kelvfedrcktz4692
@kelvfedrcktz4692 2 жыл бұрын
Dah huyu mwamba hua ananifurahisha sana
@pdwanakaza2411
@pdwanakaza2411 2 жыл бұрын
Hahhahah huyu jamaa anaejifanya Askari ananifurahisha sna kama police kwelii
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 2 жыл бұрын
Daaaah ira nmecheka na over
@frankalex6166
@frankalex6166 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Oya Sanya hizi dhambi utakuja kujibu wallah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@samsonmatwiga6098
@samsonmatwiga6098 2 жыл бұрын
Nembo ya mtaa 🔥🔥🔥🔥
@samanyaswai
@samanyaswai Жыл бұрын
Aliye Ona Yule Mama Alivyo Sikia Kuwa Tutakeye Mkuta yeyote Tunamchukua Mama Katoka nduki huku akiongea Mwenyewe
@seinabelimi2296
@seinabelimi2296 2 жыл бұрын
km ndo mm hapo nafariki alf nakimbia nawaachia msala wa kesi hakuna kingne nafariki alf nakimbia watajua hawajui 🤣🤣🤣🤣
@martinjosephat4694
@martinjosephat4694 2 жыл бұрын
Una ahidia broo
@youngpep9457
@youngpep9457 2 жыл бұрын
Oya ii kali sana
@yunyun799
@yunyun799 2 жыл бұрын
Gonga beat😂😂😂 balaaa huyo jamaa ana chekesha akiji ona sijui ata jixikiaje
@mosesvpajitv6644
@mosesvpajitv6644 2 жыл бұрын
Mwenye dera kaona isiwe tabu sanya we ni noumaaaaaaaaaa sana
@matatasaid733
@matatasaid733 2 жыл бұрын
Ndio mana juz kijana wangu mrema aliwavimbia askari wakamsweka lupango ukiwanyonge unachekwa🤣🤣
@benardboaz6347
@benardboaz6347 2 жыл бұрын
Wasukuma bana.
@khamischumu6830
@khamischumu6830 2 жыл бұрын
We mkali sanya
@lameckdingoo4404
@lameckdingoo4404 2 жыл бұрын
Nakubali dingoo
@seinabelimi2296
@seinabelimi2296 2 жыл бұрын
km ni nusu bs nusu yke ndo nimetembea jua kali🤣🤣🤣🤣
@alisuleiman2953
@alisuleiman2953 2 жыл бұрын
MKO vzr yaan mnachekesha vibaya
@yusuphmbilinyi612
@yusuphmbilinyi612 2 жыл бұрын
haaaaaaaaaaa kenge sana mo sanya
@athumanifatah9054
@athumanifatah9054 2 жыл бұрын
Kwa hapo mmekosea snaa mo town Sanya uyo mtu anawaambia anaenda msikitini na adhan mmeisikia ni kosa sana mmefnya
@robertmaingi4635
@robertmaingi4635 2 жыл бұрын
M pesa tz 👏👏👏💯👍
@chakaboy.
@chakaboy. 2 жыл бұрын
Mnamjua msanii MPY anaitwa #Deenize jamani
@Johanah7721
@Johanah7721 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamaaa Alie kimbia kanichekesha sana wote wanao ojiwa waoga hao vijana wamenichekesha 😂😂😂😂😂😂😂 wamechukulia niukweli🤣🤣🤣🤣
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀🤣
@alimahmoud358
@alimahmoud358 2 жыл бұрын
Motown upo vzr lakini tatizo lako moja kama utajrekebisha kusuka au na ww unaliwa jicho?😂🤣🤣?
@omarnzaro31
@omarnzaro31 2 жыл бұрын
Wabongo bana mpaka Steve nyerere pia hamumjui vizuri. Yani wakishajua raisi, makamu wa raisi na waziri mkuu tosha bado Diamond na kiba
@bernardsamwelmapuga406
@bernardsamwelmapuga406 2 жыл бұрын
Watu wana mambo yao maisha magumu ukae unawaza viongozi au stiv yanahusu nn
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 2 жыл бұрын
Hahahaha jamaa mic 🎤 kaona km bangi
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 2 жыл бұрын
CREATIVE
@joeldaniel3348
@joeldaniel3348 Жыл бұрын
Jamaa kakimbia kinoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@eliathomasmarcel8719
@eliathomasmarcel8719 2 жыл бұрын
Poti kazinguaa eti “naomba chuchumaa” (dakika9:01-03) 😂😂😂😂
@hammynassor3028
@hammynassor3028 2 жыл бұрын
😂😂😂
@eliathomasmarcel8719
@eliathomasmarcel8719 2 жыл бұрын
@@hammynassor3028 sindio poti anaomba eti 😂😂😂😂
@jasminemussa4546
@jasminemussa4546 2 жыл бұрын
Wanaokuepo kwenye eneo la tukio tunakuja kubeba over🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@TheNewKid_TV
@TheNewKid_TV 2 жыл бұрын
Over over over over ya nyoko😂😂😂😂😂etty kama kawaida yetu wote tunaowakuta eneo la tukio tunabeba wote watakutwa kituoni over 😂😂😂 bongo sihami😂😂😂😂
@ibraahtv2101
@ibraahtv2101 2 жыл бұрын
😂
@salmabinyaga2357
@salmabinyaga2357 Жыл бұрын
Me mwenywe pia niende wapi ss
@BigZhumbe
@BigZhumbe 2 жыл бұрын
Bibi kuskia wote tunabeba akaona isiwe kesi kasepa zake 🤣🤣🤣🤣
@ben_digital
@ben_digital 2 жыл бұрын
Afande mwenyewe anataka kucheka
@kimuratv255
@kimuratv255 2 жыл бұрын
Hahaa ubunif mzur sanaaaaa ilike it
@الرعدالصغير-ت1ش
@الرعدالصغير-ت1ش 2 жыл бұрын
Sanya😍😍
@fababindawood8363
@fababindawood8363 2 жыл бұрын
Nimecheka sana jamaa aliposema tukifika hapo tubabeba beba watu wate walokuwa kwenye eneo hilo watu ndukiii mpk mjumbe alikuwa tafran 🤣🤣🤣😅😅😆😆😆
@mudrikatchusy4201
@mudrikatchusy4201 Жыл бұрын
Polisi wako vizuri ila mama mjumbe kazi anaiweza ila mwenyeji sss
@naomimbise-zp1xm
@naomimbise-zp1xm Жыл бұрын
Montana kwa kijikausha 😅😅😅😅😅😅
@hashimabdalah3161
@hashimabdalah3161 2 жыл бұрын
Tutakaowakuta eneo la tukio wote tunabeba iyo imemchanganya sana mama
@jasminbeno6203
@jasminbeno6203 2 жыл бұрын
Nacheka Kama mazuri vile😂😂😂😂
@abdulmbanila7777
@abdulmbanila7777 2 жыл бұрын
Hatariii sanaaaaaaaaaaa
@rldyable2077
@rldyable2077 2 жыл бұрын
Ooyaa, toka APO tuna shuti😂😂😂
@jonathanmzava1804
@jonathanmzava1804 2 жыл бұрын
Nilicho gundua Dar es salaam kila siku wanakuja makolo kutoka mikoani ,mf hao wote walio hojiwa hawana hata krisimasi 1 mjini
@robinhomesuza8906
@robinhomesuza8906 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@donaldmartin1233
@donaldmartin1233 2 жыл бұрын
Kwahiyo yohana hata hamjamjulisha kinachoendelea
@chibunews5642
@chibunews5642 2 жыл бұрын
Huyo wa kwanza mnyaturu 😁😁
@shamsaazhar3473
@shamsaazhar3473 Жыл бұрын
Nimecheka hyo mama aliyekimbia hapo
@edwinelias8554
@edwinelias8554 2 жыл бұрын
Mama wa dera na hao jamaa wamelala mbele 😂😂tunakuja kuchukua wote waliopo eneo la tukio over Over afande
@habibi5688
@habibi5688 2 жыл бұрын
Ametoka haraka uyo mama 😂😂😂😂😂😂😂
@JRN2612
@JRN2612 2 жыл бұрын
Kijana anawaambia anaenda Msikitini nyinyi bado munaendelea na utani wenu. Mumekosea hapo.
@abdibilali4186
@abdibilali4186 2 жыл бұрын
wamenikera Sana
@saidasimba9979
@saidasimba9979 2 жыл бұрын
Wewe ni mnafki ametumia muda gani kuwa nae na amemuacha aende wewe unasema kamzuia imani za kukalili hizo jinga wewe unataka uonekane wewe ndio unaijua sana dini chz wewe
@JRN2612
@JRN2612 2 жыл бұрын
@@saidasimba9979 una stress sikulaumu. Allah akusamehe na mimi pia nimekusameh. Alhamdulillah nimeisoma vizuri elimu ya dini na bado naendelea kuisoma, najua nilichokiandika.
@aronmbunda6603
@aronmbunda6603 2 жыл бұрын
Daaah ila tz bhana raha sana🤣🤣🤣🤣🤣
@adnanel-islam3291
@adnanel-islam3291 Жыл бұрын
Naomba jına la hiyo nyimbo ya Chris Brown
@misheckmrk8848
@misheckmrk8848 Жыл бұрын
Tz ujasili Bado nishida sana
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 2 жыл бұрын
Dar kila siku wanaingia maboya sijui wasukuma bana😂😂
@sifatiiman
@sifatiiman 2 жыл бұрын
tukome wewe 😂😂😂
@user-xy8kl9wd2i
@user-xy8kl9wd2i 2 жыл бұрын
Kila kitu wasukuma khaa
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Hata mkoani maboya kutoka dar wengi Sana...
@raheemmahadi2987
@raheemmahadi2987 2 жыл бұрын
We mwenyewe boya
@ngebafaila3581
@ngebafaila3581 2 жыл бұрын
Yani nimecheka sana jama anakataa mahike 🤣🤣🤣🤣🤣
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 12 МЛН
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,8 МЛН
MIAKA 30 JELA, MTEGO WA MADAWA YA KULEVYA WANASA | HIVI NI KWELI
24:34