Afande ova ova tunakalibia tunachua kila mtu hpo tunaendanao kituon aliyemwona mama akiaga na kula kona kali gnga like twende sawa
@saljam822 жыл бұрын
Great creativity ...In real life situations ukikutana nazo na ukiamini, u naweza surprise your self 😅😅😅
@godblessyexaudnkyale202 жыл бұрын
Kama Kuna aliyee cheka kupita mm like zake hapaa🤣🤣😂😂😂🤣🤣
@henrymwambe77162 жыл бұрын
Napenda sana uti ya huyo askari.. always doing good kama usalama ivh alivo hahaha mnyama sana
@nmasare93642 жыл бұрын
Jamaa kaua aliposema tunakuja tunabeba wote waliopo eneo la tukio pale mpaka mjumbe mwenyewe alitaka kusepa😂😂 mpaka mashuhuda nao waliposiki msije kutulaumu wamepotea
@abdul-rahimkadhi7662 жыл бұрын
Mjumbe ameonyeshaa upendo sana kwa watu wake...mjumbe wa Shima namba 14....nimempenda sana sana aisee ...na alikuwa real ..anastahili kupewa nafasi kama elimu yake inaruhusu....so far kipindi ni kizuri sana ...kinafundisha
@juhudinjili71782 жыл бұрын
Daaah hii Tz imezidi sana uhuru
@mosesliboston54372 жыл бұрын
Wa kwanza ku comment nipeni like zangu
@barakatabdul32122 жыл бұрын
Oeee!! Mm nenda Mskitinii mwadhini Ushaadhiniwa🤣🤣🤣🤣🤣
@godblessyexaudnkyale202 жыл бұрын
Naludia Tena kucoment jamani sijawaii cheka ivii mwenzenuu mm kweri bongo nyosoooo😂😂🤣🤣😂😂😂
@mwasa_tv2 жыл бұрын
jmaa yupp yupo tu yan ata aelewi yupo dunian kufanya nini
@SefuHabibu-sn8cxАй бұрын
Huyu mama msatarabu sana nimempenda sana huyu mama
@Said_Abdul2 жыл бұрын
Nembo ya mtaa #Africa is watching...fanya kipindi nchi zingine ,Kenya Uganda ,Malawi na south africa
@elvisoscar99122 жыл бұрын
Aidia kaiba Nigeria Kwan aujui iki kipind kuwa kipo adi Nigeria?
@Said_Abdul2 жыл бұрын
Kuiba aidia ninja siyo ishu ila nani ataenda international
@elvisoscar99122 жыл бұрын
@@Said_Abdul we unazijui TV za Nigeria kuwa ndo Tv zinatazamwa Sana Africa? Ukienda Apo Tanzania unajua kuwa Ni TV gani inafatiliwa Sana kuwa na vipindi safi?
@ben_digital2 жыл бұрын
Huyo askari anae sikika kwenye radio call msumbuf over nyingi
@nassoursalum79822 жыл бұрын
Hhhhhhh
@mamananga28492 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@rehemahramadhani34282 жыл бұрын
umetisha kaka
@unjushekimweri67872 жыл бұрын
Huyo afande anaeongea kwenye simu katisha San Over Over hahah dah
@chusseboywcb28082 жыл бұрын
Napenda sanaa ichi kipindi hua nacheka paka nalia
@ramadhanikibenga42842 жыл бұрын
Anaomba msamaha kwa kutembea juani 😂😂😂😂😂 mzenji wa watu 😃😃😃😃
@mkambamaulid4472 жыл бұрын
🤣🤣 Uwiiiiiiiii kwakeli nimecheka saaaaaana na mjumbe number 24 ndio kaniuwa mbavu kabisaaaaa😂😂 Bongo nyoso 💪🏽🙏🏼
@msigwa12 жыл бұрын
Best scenes......of the year.,.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😀😀
@mustaphanext10882 жыл бұрын
🤞🏾
@liliannyakerario12052 жыл бұрын
Much love 💕 from Kenya
@dadaagnes44832 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃 Mtakuja kuwauwa watu kwa presha
@donhussle9482 жыл бұрын
Huyu hvi ni kweli afaa aje Kenya afanye mambo haya na huyujamaa amevaa flana nyeusi ajifanya Askari aje alete mambo haya kama hawatatiwa discipline ..Sema hao hawajui ryts zao. Sema Tu..natamani waje Kenya WA haswa na afande wao watolewe bundle ndo wajue Kenya hakuna ujinga
@luperbukuku26592 жыл бұрын
Utanaswa ya Kenya
@donhussle9482 жыл бұрын
Lakini c Mombasa 001 county hatuna usenge huo ...kila mahali Pana mipaka yake. Ukileta huu shoga zuna lakufata ...ufala huu Mombasa wasijaribu kabisa nishakujibu sasa vizuri
@allymachejo29962 жыл бұрын
Iv wale wa NASWA sio wakeny mbona wakeny nao maboya tyu
@trifonidesdery87072 жыл бұрын
Wale wa naswa na, kaa rada ni wa tz eti.we mwenyewe hujielewi.
@salim02tv242 жыл бұрын
Awoo wake ya uku bongo tunawakandaa dairy
@bakariabdallah87022 жыл бұрын
😅😅😅 watu wanaogopa sana jeshi la polisi tz
@aliomari59612 жыл бұрын
mama is very responsible,,, kudos
@chrisregisiradukunda15742 жыл бұрын
Nembo ya mtaa akili zake anazijuwa mwenyewe 😅😅😅😅
@sakinamohamedy46462 жыл бұрын
Hii iko nouma sanya good creativity😍
@mustaphb.i.g45732 жыл бұрын
Aaaah mm lazima nikimbie
@jumaamashaka24972 жыл бұрын
M join clam kwenye pindi lako sanya
@salimmalaka2562 жыл бұрын
HAWA JAMAA UNAOWAIMBISHA UTAKUJA KUWATOWA MAVI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rajramson36722 жыл бұрын
Nimempenda mjumbe...ana spiritual
@Mkaluminium5502 жыл бұрын
Eti km Kuna watu wasio husika tunabeba woteeee 😃😃😃😃 Kuna mama kakimbia
@audaxkumbuko32132 жыл бұрын
🤣🤣🤣hatrii sanaa
@TheNewKid_TV2 жыл бұрын
😁😁
@barakatabdul32122 жыл бұрын
Yani Bongo kuna baadhi ya watu Maboya sanaa...🤣🤣🤣🤣🤣
@burudaninamatukio7072 жыл бұрын
Kali sana hii
@KoreanDramaMoviesKiswahili2 жыл бұрын
🔥❤🔥
@stevensalum53122 жыл бұрын
Duuuh nimecheka kwa sauti 🔥🔥🔥🤣🤣
@zaipazzi94902 жыл бұрын
😂😂😂 jamani kwetu leo bonge la msanii
@ramatv20052 жыл бұрын
Ww Sanya msenge sana
@paulchiloleti5782 жыл бұрын
😂😂😂 huyo Dogo aliyekimbia ni Mimi kabisa
@Simbabwoysk7 ай бұрын
Sanya Utakuja kutuuwa na Cheko 😂😂 Kama kawaida wote ambao wako karibu wote tunabeba😂😂😂😂😂😂
@skyerkilonzo50692 жыл бұрын
Mama mwenye batiki alvyoaga😂😂😂😂😂
@rehemadaudi98342 жыл бұрын
Akaona ya Nini mie ya niniii
@ericksalustian70062 жыл бұрын
Kawaaga kwa kupungaa kabisaa😂😂😂😂
@theophilyyona99402 жыл бұрын
tukija tunazoa wote mama akaona isiwe shida 😂😂🤣🤣
@dorinemwakalinga6705 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@kombomaused54082 жыл бұрын
Sanya hii umetisha mzee
@matatasaid7332 жыл бұрын
Mda wa ibada hauna udhuru
@petersylvester321 Жыл бұрын
Atareee sana
@rashdiyange77582 жыл бұрын
nimekuchikia sanaa ww mortown manina wwww iv kwer mtu leo nasema naenda swali namzingua ivo
@theophilyyona99402 жыл бұрын
ya leo ina chekesha mpemba anataka kulia na uyo polisi wa simu anajua sana😂🤣🤣
@matatasaid7332 жыл бұрын
Wadau mda wa ibada jumaa! Ni siku kubwa na msimfanye mtu achelewe msikit na aingie nyumba ya ibada akiwa na hofu
@kelvfedrcktz46922 жыл бұрын
Dah huyu mwamba hua ananifurahisha sana
@pdwanakaza24112 жыл бұрын
Hahhahah huyu jamaa anaejifanya Askari ananifurahisha sna kama police kwelii
@amanishiughaaa63452 жыл бұрын
Daaaah ira nmecheka na over
@frankalex6166 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Oya Sanya hizi dhambi utakuja kujibu wallah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@samsonmatwiga60982 жыл бұрын
Nembo ya mtaa 🔥🔥🔥🔥
@samanyaswai Жыл бұрын
Aliye Ona Yule Mama Alivyo Sikia Kuwa Tutakeye Mkuta yeyote Tunamchukua Mama Katoka nduki huku akiongea Mwenyewe
@seinabelimi22962 жыл бұрын
km ndo mm hapo nafariki alf nakimbia nawaachia msala wa kesi hakuna kingne nafariki alf nakimbia watajua hawajui 🤣🤣🤣🤣
@martinjosephat46942 жыл бұрын
Una ahidia broo
@youngpep94572 жыл бұрын
Oya ii kali sana
@yunyun7992 жыл бұрын
Gonga beat😂😂😂 balaaa huyo jamaa ana chekesha akiji ona sijui ata jixikiaje
@mosesvpajitv66442 жыл бұрын
Mwenye dera kaona isiwe tabu sanya we ni noumaaaaaaaaaa sana
@matatasaid7332 жыл бұрын
Ndio mana juz kijana wangu mrema aliwavimbia askari wakamsweka lupango ukiwanyonge unachekwa🤣🤣
@benardboaz63472 жыл бұрын
Wasukuma bana.
@khamischumu68302 жыл бұрын
We mkali sanya
@lameckdingoo44042 жыл бұрын
Nakubali dingoo
@seinabelimi22962 жыл бұрын
km ni nusu bs nusu yke ndo nimetembea jua kali🤣🤣🤣🤣
@alisuleiman29532 жыл бұрын
MKO vzr yaan mnachekesha vibaya
@yusuphmbilinyi6122 жыл бұрын
haaaaaaaaaaa kenge sana mo sanya
@athumanifatah90542 жыл бұрын
Kwa hapo mmekosea snaa mo town Sanya uyo mtu anawaambia anaenda msikitini na adhan mmeisikia ni kosa sana mmefnya
@robertmaingi46352 жыл бұрын
M pesa tz 👏👏👏💯👍
@chakaboy.2 жыл бұрын
Mnamjua msanii MPY anaitwa #Deenize jamani
@Johanah77212 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamaaa Alie kimbia kanichekesha sana wote wanao ojiwa waoga hao vijana wamenichekesha 😂😂😂😂😂😂😂 wamechukulia niukweli🤣🤣🤣🤣
@hejmabohejhej92 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😀🤣
@alimahmoud3582 жыл бұрын
Motown upo vzr lakini tatizo lako moja kama utajrekebisha kusuka au na ww unaliwa jicho?😂🤣🤣?
@omarnzaro312 жыл бұрын
Wabongo bana mpaka Steve nyerere pia hamumjui vizuri. Yani wakishajua raisi, makamu wa raisi na waziri mkuu tosha bado Diamond na kiba
@bernardsamwelmapuga4062 жыл бұрын
Watu wana mambo yao maisha magumu ukae unawaza viongozi au stiv yanahusu nn
@bennymochiwa48002 жыл бұрын
Hahahaha jamaa mic 🎤 kaona km bangi
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
CREATIVE
@joeldaniel3348 Жыл бұрын
Jamaa kakimbia kinoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@eliathomasmarcel87192 жыл бұрын
Poti kazinguaa eti “naomba chuchumaa” (dakika9:01-03) 😂😂😂😂
@hammynassor30282 жыл бұрын
😂😂😂
@eliathomasmarcel87192 жыл бұрын
@@hammynassor3028 sindio poti anaomba eti 😂😂😂😂
@jasminemussa45462 жыл бұрын
Wanaokuepo kwenye eneo la tukio tunakuja kubeba over🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@TheNewKid_TV2 жыл бұрын
Over over over over ya nyoko😂😂😂😂😂etty kama kawaida yetu wote tunaowakuta eneo la tukio tunabeba wote watakutwa kituoni over 😂😂😂 bongo sihami😂😂😂😂
@ibraahtv21012 жыл бұрын
😂
@salmabinyaga2357 Жыл бұрын
Me mwenywe pia niende wapi ss
@BigZhumbe2 жыл бұрын
Bibi kuskia wote tunabeba akaona isiwe kesi kasepa zake 🤣🤣🤣🤣
@ben_digital2 жыл бұрын
Afande mwenyewe anataka kucheka
@kimuratv2552 жыл бұрын
Hahaa ubunif mzur sanaaaaa ilike it
@الرعدالصغير-ت1ش2 жыл бұрын
Sanya😍😍
@fababindawood83632 жыл бұрын
Nimecheka sana jamaa aliposema tukifika hapo tubabeba beba watu wate walokuwa kwenye eneo hilo watu ndukiii mpk mjumbe alikuwa tafran 🤣🤣🤣😅😅😆😆😆
@mudrikatchusy4201 Жыл бұрын
Polisi wako vizuri ila mama mjumbe kazi anaiweza ila mwenyeji sss
@naomimbise-zp1xm Жыл бұрын
Montana kwa kijikausha 😅😅😅😅😅😅
@hashimabdalah31612 жыл бұрын
Tutakaowakuta eneo la tukio wote tunabeba iyo imemchanganya sana mama
@jasminbeno62032 жыл бұрын
Nacheka Kama mazuri vile😂😂😂😂
@abdulmbanila77772 жыл бұрын
Hatariii sanaaaaaaaaaaa
@rldyable20772 жыл бұрын
Ooyaa, toka APO tuna shuti😂😂😂
@jonathanmzava18042 жыл бұрын
Nilicho gundua Dar es salaam kila siku wanakuja makolo kutoka mikoani ,mf hao wote walio hojiwa hawana hata krisimasi 1 mjini
@robinhomesuza89062 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@donaldmartin12332 жыл бұрын
Kwahiyo yohana hata hamjamjulisha kinachoendelea
@chibunews56422 жыл бұрын
Huyo wa kwanza mnyaturu 😁😁
@shamsaazhar3473 Жыл бұрын
Nimecheka hyo mama aliyekimbia hapo
@edwinelias85542 жыл бұрын
Mama wa dera na hao jamaa wamelala mbele 😂😂tunakuja kuchukua wote waliopo eneo la tukio over Over afande
@habibi56882 жыл бұрын
Ametoka haraka uyo mama 😂😂😂😂😂😂😂
@JRN26122 жыл бұрын
Kijana anawaambia anaenda Msikitini nyinyi bado munaendelea na utani wenu. Mumekosea hapo.
@abdibilali41862 жыл бұрын
wamenikera Sana
@saidasimba99792 жыл бұрын
Wewe ni mnafki ametumia muda gani kuwa nae na amemuacha aende wewe unasema kamzuia imani za kukalili hizo jinga wewe unataka uonekane wewe ndio unaijua sana dini chz wewe
@JRN26122 жыл бұрын
@@saidasimba9979 una stress sikulaumu. Allah akusamehe na mimi pia nimekusameh. Alhamdulillah nimeisoma vizuri elimu ya dini na bado naendelea kuisoma, najua nilichokiandika.
@aronmbunda66032 жыл бұрын
Daaah ila tz bhana raha sana🤣🤣🤣🤣🤣
@adnanel-islam3291 Жыл бұрын
Naomba jına la hiyo nyimbo ya Chris Brown
@misheckmrk8848 Жыл бұрын
Tz ujasili Bado nishida sana
@elvisoscar99122 жыл бұрын
Dar kila siku wanaingia maboya sijui wasukuma bana😂😂