POLISI FEKI AVAMIA KIPINDI, AWAKALISHA WOTE CHINI - "WANATAKA KUTUPELEKA POLISI" | HIVI NI KWELI...

  Рет қаралды 126,396

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

NEMBO ya Mtaa, Mo Town Sanya, ameuanza rasmi mwaka 2022 kwa season mpya kabisa ya Hivi ni Kweli. Leo tupo na Afande Musa (Polisi Feki) ambaye amevamia interview zote za Nembo ya Mtaa ila kilichowakuta waliokuwa wakihojiwa sasa utacheka....
POLISI FEKI AVAMIA KIPINDI, AWAKALISHA WOTE CHINI - "WANATAKA KUTUPELEKA POLISI" | HIVI NI KWELI...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 572
@allyahmed3726
@allyahmed3726 2 жыл бұрын
Daaah nimechekaa balaaa hiii ya leo kaliii sanya kweli mbunifu sana
@thedangotetv2962
@thedangotetv2962 2 жыл бұрын
Love from Mozambique 🇲🇿 nimekuwa nimekumiss sana mo town
@G24TZ
@G24TZ 2 жыл бұрын
Nicheki
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/eWbWYnSbn7d-sM0
@djneldizzyholimpovicente1782
@djneldizzyholimpovicente1782 2 жыл бұрын
Yah maning eu tambem sou de 🇲🇿
@thedangotetv2962
@thedangotetv2962 2 жыл бұрын
@@djneldizzyholimpovicente1782 gostei muito de ti ver aqui força
@MoTownGang
@MoTownGang 2 жыл бұрын
Motown Anajua macho penda 2022 hawezi waangusha Pamoja sana tu enjoy na pindi la kijanja ndani ya TV ya kijanja #WasafiTv
@masanjaabasi8970
@masanjaabasi8970 2 жыл бұрын
No bhana daaah nacheka uku naona huruma sanya usifanye ivo 😭🤣
@ibrahimsadick6137
@ibrahimsadick6137 2 жыл бұрын
Oyaaa mo town jamaa wa pili mmeniua mbavu zangu 🤣🤣
@elieneaezekiel5102
@elieneaezekiel5102 2 жыл бұрын
Inafundisha sana. Hapo jamaa alitakiwa nae aonyeshwe kitambulisho cha huyo askari. Epuka kutapeliwa
@Gachibravo3974
@Gachibravo3974 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haki nimecheka sanaa huyu jamaaa diamond amuongezee mshahara sio kwa kutuchekesha kiasi hichi #wasafi #diamond
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 2 жыл бұрын
21:31 Kimsingi anaolewa kimsingi kitu kimoja kimsingi kwamba ni mwamba mwamba kwasababu ni mnene Sana😂😂😂
@jordaniemusangwa1154
@jordaniemusangwa1154 2 жыл бұрын
2022 💥 💕 💥 sanya 🤣🤣🤣 umetuwalisha vizuri wapenzi wa radio 📻 yetu na vipindi vyote vya wasafi tv...1👋👋👋👌
@hassanisaidi9860
@hassanisaidi9860 2 жыл бұрын
Ifike muda nao police punguzeni njaa🙌
@essaunyange9206
@essaunyange9206 2 жыл бұрын
Wa kwanza leo nipeni likes nifurahi jamani
@mohammedkombo3727
@mohammedkombo3727 2 жыл бұрын
Ila sikumoja mtakuja kumfanyia mjeda mambo haya lazima Bongo mtaiyona imebadilikarangi
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 жыл бұрын
Xio mjeda tu ata mbunge anafanyiwa ivy
@masaludutta453
@masaludutta453 2 жыл бұрын
Dogo: kaka nisaidie... Kaka:Nikusaidie nn sasa🤣🤣🤣🤣🤣
@djpatruick
@djpatruick 2 жыл бұрын
Daah.! Jama amenitiya uruma kabs love from 🇧🇮
@mchalamchala7348
@mchalamchala7348 2 жыл бұрын
Mzee wa kitambaa mmemzingua kinoma🤣😂😂😂
@ottomanmwarabu6771
@ottomanmwarabu6771 2 жыл бұрын
Kinoma yaan
@OmanOman-ik9sp
@OmanOman-ik9sp 2 жыл бұрын
Sana yani nimecheka alafu baadae nikamuonea huruma 😂😂😂😂😂😂
@purityangle
@purityangle 2 жыл бұрын
Daaaaaaa first I thought it's reall mo town banaa nimefikiria washikwaa nimejihisi vibaya kumbeeeee mtaa banaaa una mengi hiii moto bro😂😂😂😂😂😘😘💯frm 🇰🇪
@mosesoballaonlinetv2579
@mosesoballaonlinetv2579 2 жыл бұрын
Mo town dah!!! Aiseee Leo nimecheka sana yani dah! Bro 🙌🤣🤣🤣
@thedangotetv2962
@thedangotetv2962 2 жыл бұрын
Nimekuwa naisubir kinoma😂 love from Mozambique 🇲🇿
@khamissufian8545
@khamissufian8545 2 жыл бұрын
Labda buza
@georgealoyce4849
@georgealoyce4849 2 жыл бұрын
😂😂😂 mozambique
@thedangotetv2962
@thedangotetv2962 2 жыл бұрын
@@khamissufian8545 🇲🇿😂😂😂😂
@abdulmasoko7241
@abdulmasoko7241 2 жыл бұрын
Mi mwenyewe nimeisubiri Sana kwakweli😂😂😂
@salim02tv24
@salim02tv24 2 жыл бұрын
Iki kipindi kinachekeshaa ilaa ukifikilia kwa mbali na uhalisia ndo uone njins gan raiaa wengi tunaonewa na askari bila kosa la msing ..kwa sabab askal wetu ni waonevu .. Mtu uwez ataa uliziaa kitambulisho
@clichecomedy92
@clichecomedy92 2 жыл бұрын
Daa kaka kipindi kizuri nakipenda lakini kaka chenye mmefanyia mzee wa nguo si haki jameni angalieni umri si kweli kabisa na sihaki kumtendea hivo witching from kenya kazi yako safi brother nakuaminia ila hii nayo kakangu sipoa
@SheilaOmar2007
@SheilaOmar2007 Ай бұрын
Anapewaga cha kupozea 😂😂😂
@jacksonjaphet8326
@jacksonjaphet8326 2 жыл бұрын
Mmezinguaa sanyaa mzee kama uyo unamkalishaje chini bhana umezingua leo
@neemaeliah8272
@neemaeliah8272 2 жыл бұрын
Jamani yule mwenye kitambaa jamaniiii🙌🙌🙌
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 жыл бұрын
Najua la Dar lilivyo kali😂😂
@stelajohn4901
@stelajohn4901 2 жыл бұрын
Yaan leo mmejua kunivunja mbavu mbavu aisei ni firee... hongera bro endelea na ubunifu wko
@credo7837
@credo7837 2 жыл бұрын
😂😂🤣🤣
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
Mo town sanyaaaaaa ma g.... Sema hyo poti mmpeni msasa kidogo anapapara sana...he needs to bring the reality...yeye kakomaa na radio call tu..
@noeljoseph7638
@noeljoseph7638 2 жыл бұрын
Machoz yananitoka jinsi watu wa hali ya chini tunavyo onewa
@Fabrice_Bobby
@Fabrice_Bobby 2 жыл бұрын
Kweli
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 жыл бұрын
Ndy ujitaid xaxa kua MTU wa chini
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
Mie nahisi inafundisha kitu
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 2 жыл бұрын
@@saidyharounkassita5093 🤣🤣🤣🤣🤣
@denisngoinde3693
@denisngoinde3693 2 жыл бұрын
Mzee wa tcha tcha tcha tcha konde kashndwa kutoa maneno hahahah
@zenahbayeh7371
@zenahbayeh7371 2 жыл бұрын
Ski hii ya Leo haijanifurahisha coz mumesumbua wazee WA watu sio poa hii ya Leo rekebisheni vzr
@asnabughe4220
@asnabughe4220 2 жыл бұрын
Mmenichekesha sana hamnaga kazi mbovu
@pesangwasalim5258
@pesangwasalim5258 2 жыл бұрын
Njaa na kutokujua sheria ni tatizo kwa askari wetu
@AKH_TZ
@AKH_TZ 2 жыл бұрын
Daah nimeipenda sn mo town unahuruma sn nimependa sn umemuelewa yule jamaa maelezo yake alivyosema hajala
@gerichmusha2459
@gerichmusha2459 2 жыл бұрын
Yaani nacheka lakini tena naingiwa na huruma
@mararegiononline3457
@mararegiononline3457 2 жыл бұрын
Ila Wasafi bana, Mo town una dhambi sana
@sahiltvontheline5560
@sahiltvontheline5560 2 жыл бұрын
Wasaf mnajitahid sana
@michaelchaula8141
@michaelchaula8141 2 жыл бұрын
my favorite tv show
@chibudenga8977
@chibudenga8977 2 жыл бұрын
Naitaji kujifunza kiswahili mnisaidie
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
Mo Town Sanya nembo ya mtaa hivi ni kweli au??🇹🇿❤️🚶🚶
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu aliefugwa kitambaa jamani ametia huruma kha
@ramlajuma1598
@ramlajuma1598 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@peacekitomary3736
@peacekitomary3736 2 жыл бұрын
My fave show frm wasaf tv
@uthmanmaluja7005
@uthmanmaluja7005 2 жыл бұрын
Week motown uanzingua Sanaa nimecheka yule kibonge wa mwisho kaishiwa pozi kabisa dah..lakin uwe unawatia japo ya soda bab umewapandisha presha sanaaa
@marymaimuna1767
@marymaimuna1767 2 жыл бұрын
Yani huyo mzee wakuhesabu atawapeleka kwa mganga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@neemasilim2836
@neemasilim2836 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@cyliviaelias933
@cyliviaelias933 2 жыл бұрын
Nimejisikia huruma mlichomfanyia huyo mzee na kitambaa kichwani tabia mbaya aisee acheni nimekwazikaa 😩😩wenzenu hata kama ni games waga at the end of the day wanaambiwa it was a joke 😔😔
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 жыл бұрын
Wajinga niweng xana kama kitu auelew acha kuangalia cozy ujalazimixhwa uxhamba nimzigo
@meshachkigumbi
@meshachkigumbi Жыл бұрын
ndio mjini boy wewe ungekubali kufungwa kitambaa awa maboya
@frolianjohanes2505
@frolianjohanes2505 2 жыл бұрын
Nomaaaa snaaaa
@dominickjames5770
@dominickjames5770 2 жыл бұрын
Mo town sanya nomaaaa
@LeviBoy488
@LeviBoy488 2 жыл бұрын
I love you mo town sanya
@TALLUBOY
@TALLUBOY 2 жыл бұрын
Mumezingua Leo sjapenda Iki kipsnde za uyu uncle muliemfunga Kitambaa UH SIYO USTAALABU
@geofreyjohn1099
@geofreyjohn1099 2 жыл бұрын
🤣😂🤣😂
@maishayetufilm
@maishayetufilm 2 жыл бұрын
Sure wamemkosea sana
@dereckdavid9609
@dereckdavid9609 2 жыл бұрын
@@maishayetufilm ni kipindi iko sio live session, ukiona mpaka imeruka ujue jamaa karidhia
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
Halfu wa bongo jamani tupunguzeni uwoga....tujifunze sana sheria inasema vp..half mo town kazaaaa banaaa...umemcheka mzee wa watu alivombwala..😂
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila mtafanya watu wazimie kwa presha kaka wa watu anaongea na sim huku ana tetemeka jamani
@fatumaaybu8648
@fatumaaybu8648 2 жыл бұрын
Maskini nimemuonea huruma uyu baba wanguo😭
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 жыл бұрын
Taften namna Bora ya kuchekesha hiyo haifai mnadharirisha watu hapo
@stanleymlowe8230
@stanleymlowe8230 2 жыл бұрын
Hiyo ni prank bro vitu vya kawaida
@kbbongotv
@kbbongotv 2 жыл бұрын
@@stanleymlowe8230 sio prank vitu vya kawaida vinautaratibu wake baada ya kumfanyia ivyo inatakiwa umueleze ilikua ni prank utusamee nae anawaunga mkono sio mtu mnamuacha anaenda kwao akiwa na hofu kua amewakimbia polisi ni makosa hayo
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 жыл бұрын
Msitete vtu vya kjnga huwez kumuweka mtu na presha mtu natoka nduk speed 180 presha juu cyo vzur
@ybmtaakwamtaaofficial3415
@ybmtaakwamtaaofficial3415 2 жыл бұрын
Daaah nomaaaa sana mkuu
@ibrahimzuberi1029
@ibrahimzuberi1029 2 жыл бұрын
Idea poa sana ,mwisho mtoe shule unless ni kosa la uzalililishaji sababu mnaowarecord wanafamily zinawaangalia
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 2 жыл бұрын
Yaan sijapenda kabisa mlivyomdhalilisha baba angu nitaenda mwambia amichukulie hatua
@ayubleo
@ayubleo 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@khadijatanzania8040
@khadijatanzania8040 2 жыл бұрын
@@ayubleo wanichekaeee
@ayubleo
@ayubleo 2 жыл бұрын
Ni mzee wako nn
@jacobtitus3311
@jacobtitus3311 2 жыл бұрын
Hivi ikitokea siku mnafanya huo ujinga halafu mtu ana faint anakufa mnasimama WAPI,. Kuna utani mwingine sio poa
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 жыл бұрын
Toa ujinga apa
@mr.vionge
@mr.vionge 2 жыл бұрын
Jeshiiii!!!🔥🔥🔥🔥🔥
@jumannewazir6716
@jumannewazir6716 2 жыл бұрын
Motown Sanya nakukubali chaliwangu mzeee kakata mchichicha kinomaaaa aseeee Moja mbili
@foncethomas424
@foncethomas424 2 жыл бұрын
Mzee kalaa speed kwenye Kona🤣🤣🇿🇲🇹🇿
@ydtv9167
@ydtv9167 2 жыл бұрын
Noma sana
@tripledee9184
@tripledee9184 2 жыл бұрын
Noma
@ahmedloya7674
@ahmedloya7674 2 жыл бұрын
Mo town mim nataman ninge kutana na hilo pndi live wala usinge niokota but pa1 sana tuna enjoy kinoma.
@malkavoice2570
@malkavoice2570 2 жыл бұрын
Moo town sanya. Tisha sanaaaa!
@pitysimon9731
@pitysimon9731 2 жыл бұрын
Ukisikia naomb tuongee ujue imeish iyoo 😂😂😂😂
@kabintmpase1544
@kabintmpase1544 2 жыл бұрын
Nyie punguzen mpumbavu mna mchuchumalisha mtu na nguo zake anauza zinagusa chin zina chafuka ndo kwa iyo elfu kumi yenu mlio mpa au punguzen utan kwa watu msio wajua mtu akija kuwafia kwa presha mta msaidiaje
@waheedahtanzania4912
@waheedahtanzania4912 2 жыл бұрын
Daa price,nimekamatwa na askar,eti wanaleta difenda waje wanipeleke police 😂😂 Astaghfirullah laadhwim 🤣
@huseinmohamed2996
@huseinmohamed2996 2 жыл бұрын
Daaah nmefurahii kinoma pindii namba moja wasafii asehe
@Balogetv
@Balogetv 2 жыл бұрын
Jaman Moh haufai unawafanya watu watoke mbio😂😂😂😂
@oxanlwansika2139
@oxanlwansika2139 2 жыл бұрын
Uko vizuri mo town
@isaacgara3528
@isaacgara3528 2 жыл бұрын
Next level
@diiram_bee.
@diiram_bee. 2 жыл бұрын
Ila @motown sanya peponi utapasikia tu..😄😄
@sumatanjunior231
@sumatanjunior231 2 жыл бұрын
Watanzania wengi hawajui haki zao. Wanakamatwa kienyeji na wanakubali haha Jamaa hata hajaonyeshwa kitambulisho dah.
@irenemwakalinga4350
@irenemwakalinga4350 2 жыл бұрын
Mwisho WA kipjndi mmngekua mnawaita na kuwaomba radhi km mmeharibu Mali zao mnawalipa na kuwapotezea muda kma gag'g
@Everythingisok360
@Everythingisok360 2 жыл бұрын
Dogo: braza nisaidie Jamaa : nikusaidie nn sasa😠
@yussufrabba2282
@yussufrabba2282 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@richbird.123
@richbird.123 2 жыл бұрын
😭🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
Hii mimi sijaipenda mtawapa watu presha bure 🙆
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 2 жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 😂 😂 wee boya tuuuuu
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
🙆🙆🙆
@rojaamos4097
@rojaamos4097 2 жыл бұрын
Nawakubali
@moonsunm451
@moonsunm451 2 жыл бұрын
Mmeua kinyama yani mmetisha🔥
@simbawatown2729
@simbawatown2729 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Mzee wa ticha konde kapoteza adi network aisee nimecheka kinoma
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 2 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃🤣😂🙌🏻
@allyhamadi678
@allyhamadi678 2 жыл бұрын
safi sana kwa ubunifu
@g_eazmusic1329
@g_eazmusic1329 2 жыл бұрын
Watanzania wengi niwaoga
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Maskini wew mo town Sanya jmn, nimesikia uchungu huyo kaka wa T shart ya brue alivyokuwa anaongea na cm😂😂😂😂
@margretkuvuna1627
@margretkuvuna1627 2 жыл бұрын
Happy new year, mwanzo mpya, heheheeeeeeee
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Jamani mkimaliza mue mnawapoza japo pesa zambi mnawatia hofu na plesha watu wasiejua sheria
@hasanoshohilali10
@hasanoshohilali10 2 жыл бұрын
Kweli
@Young9John
@Young9John 2 жыл бұрын
Safi sana,ila ingependeza zaidi kama mwisho mngekuwa mnatoa elimu za haki ya mtu kwenye situations kama hizo,ili kipindi kivutie zaidi au?
@MoTownGang
@MoTownGang 2 жыл бұрын
Kweli kabisa litafanyiwa kazi
@saidaliy5173
@saidaliy5173 2 жыл бұрын
Mtakuja kukutana na wahuni kuwatisha kwenu watarusha nyembe .
@ayububakari9942
@ayububakari9942 2 жыл бұрын
au wakasababisha mtu akakimbia na kugongwa na gari !!
@saidyharounkassita5093
@saidyharounkassita5093 2 жыл бұрын
Wahuni ndy xix
@junioryoung1535
@junioryoung1535 2 жыл бұрын
Sanya salute kwake
@jamesblackjaguar2084
@jamesblackjaguar2084 2 жыл бұрын
Wewe Motown Utakuja Kupigwa Kaka😂😂😂😂😂
@mangisenya4012
@mangisenya4012 Жыл бұрын
Huyo mzee mmemwonea sijapenda
@farahanafarer7588
@farahanafarer7588 2 жыл бұрын
Umepatikana
@Hanskapella
@Hanskapella 2 жыл бұрын
Huyo Mwenye kitambaa wakuhesabu mpaka 50, nimecheka kijinga 🤣
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 2 жыл бұрын
mo town sanya mbinguni utafika umechoka sana asee😀😀😀😀🤣🤣🤣
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 2 жыл бұрын
Keep up with your work brother pamoza Sana Motown SONYA
@johneasy9458
@johneasy9458 2 жыл бұрын
Iyi kali saaana mzeee
@k.i.v.i.n.a
@k.i.v.i.n.a 2 жыл бұрын
Best Episode Brother 😄😄😄🔥🔥🔥
@danielmkama24
@danielmkama24 2 жыл бұрын
Hichi kpindi ni 💥💥
@rozina2161
@rozina2161 2 жыл бұрын
Duh nkafikiria ni kweli hahaha waa montown ni firee
@denisjoshua4761
@denisjoshua4761 2 жыл бұрын
mwanangu sanya umeua sanaaaa
@abdulabdallah3796
@abdulabdallah3796 2 жыл бұрын
Nnavo kufatilia huwezi nipata nakujua vizur mo town Sanya
@bwittozmjomba7019
@bwittozmjomba7019 2 жыл бұрын
Watanzania tujifunze kujua vitu muhm vya kuomba pindi police akitaka kukukamata lzma akuonyeshe kitambulisho chake N kituo chk cha kazi Ila Mo Leo kaua 😂😂🙌
@barakakalinga6960
@barakakalinga6960 2 жыл бұрын
Dah nomaaa
@sadabahla7120
@sadabahla7120 2 жыл бұрын
Alafu mnamchelewesha mwenzenu mtu mpaka anataka kulia
@fatumaaybu8648
@fatumaaybu8648 2 жыл бұрын
Jamn moo umichekesha sana mpenzi daaa 🙌🙌🙌🙌
@abbakarisaidi1270
@abbakarisaidi1270 2 жыл бұрын
mo round hii umezinguwa sana
@jeremayaClassicPhoto
@jeremayaClassicPhoto 2 жыл бұрын
dah cjapenda kwa yule mzee mliyemfunga kitambaa nmejisikia vibaya kiukweli 🤔🤔😔😔
@255_apollo26
@255_apollo26 2 жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🤣
@mangalilikilawe6788
@mangalilikilawe6788 2 жыл бұрын
Kakata hadi mia 2😂😂
@alimarezi3613
@alimarezi3613 2 жыл бұрын
Polis Yuko vizuri
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 70 МЛН
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 40 МЛН
BABA YANGU KIPOFU Full episode /39/ #love
23:12
BabaJoan
Рет қаралды 22 М.
MADAWA
9:09
Joti TV
Рет қаралды 476 М.
MANDONGA MISULI IMELEGEA, HAMNA KITU YULE, KAZEEKA | HIVI NI KWELI
29:32
ASKAR FEKI
7:22
Joti TV
Рет қаралды 525 М.
NDARO NA MBONEKE UTACHEKA
8:52
Ndaro Tz
Рет қаралды 210 М.
MIAKA 30 JELA, MTEGO WA MADAWA YA KULEVYA WANASA | HIVI NI KWELI
24:34
The Joker wanted to stand at the front, but unexpectedly was beaten up by Officer Rabbit
00:12