Рет қаралды 787
Makala fupi ya kuwakaribisha mashabiki na wanachama wa Yanga Sc, lakini pia wadau wote wa soka kufika kufika Chamazi Complex 24/8/2024 saa 1:00 usiku.
Klabu ya Yanga kupitia msemaji wake Ali Shabani Kamwe aweka wazi kupewa fursa na CAF kuzindua rasmi michuano ya ligi ya Mabigwa Afrika, mechi ambayo watacheza dhidi ya Vital,O ya Burundi Uwanja wa Chamazi Complex.