No video

ALICHOKIFANYA MC ELIUD KWENYE WAISA (DOUBLE IMPACT PART 1)

  Рет қаралды 460,008

Eliud Samwel

Eliud Samwel

6 ай бұрын

#Waisacomedy #comedy

Пікірлер: 389
@user-vz7qe8im6d
@user-vz7qe8im6d 6 ай бұрын
Dah eliudi nakupenda sana anaempenda pia gonga like
@jullyhandmadecards
@jullyhandmadecards 6 ай бұрын
Mungu anakushika mkono Eliud...mweeh mweeh mweeh usije ukamuacha huyo Mungu wako......anakupambania
@KidotiTwiga
@KidotiTwiga 6 ай бұрын
Lamata village mna umoja sana Mungu awabariki❤️
@fatumahashimmcheni9610
@fatumahashimmcheni9610 6 ай бұрын
Kazi ya Lamataaa
@monicakiwia5649
@monicakiwia5649 6 ай бұрын
Eliud anaongea kama masikhara lakini hivyo ndivyo ilivyokua na wazee wetu kila ifikapo skukuu jamani I miss those days sana
@user-uh2qv6wf5k
@user-uh2qv6wf5k 6 ай бұрын
Ni kakako eeeh
@MuharamiKaposo-qt9cy
@MuharamiKaposo-qt9cy 6 ай бұрын
Eliud ni mchekeshashaji natural, hatumii nguvu kabisa. Kila neno lake ni kiburudisho😂
@user-bd2re1cj9u
@user-bd2re1cj9u 2 ай бұрын
Eliud unajua sana... Nimekupenda bure Bwana Yesu azidi kuwastawisha.❤🙌
@user-vi4sz4fq9h
@user-vi4sz4fq9h 3 ай бұрын
Namukubali sana Mungu atuweke sote tuzidi frahi
@user-dy7cw6yk6h
@user-dy7cw6yk6h 6 ай бұрын
Jua kali mtanivuja mbuvu zangu😂😂😂😂😂
@AdamMalili
@AdamMalili 8 күн бұрын
Umetisha sana kaka
@user-se4gi2or6o
@user-se4gi2or6o 6 ай бұрын
Kibibi axnte Kwa kumsapoart anganile wetu
@rahelihaule
@rahelihaule 6 ай бұрын
Jamani Eliudi Mimi Raheli Rechol WA njombe nimekukosea nini jamani 😂😂😂😂
@godfreycomedias9181
@godfreycomedias9181 6 ай бұрын
Mzee Eliud we nihatari baba, bora uzima tu ✌️ mr Godfrey comédy from uganda 🇺🇬🙏
@HonorinaSimba-tw6ke
@HonorinaSimba-tw6ke 6 ай бұрын
Hongera sana broo sio Kwa bahat mbaya ndo Nia na madhumuni ya watanzania hatupendag kuwadharau watanzania wenzetu tupo nyuma Yako tembea kifua mbele❤❤
@rev.musabalalarogersmusabalala
@rev.musabalalarogersmusabalala 6 ай бұрын
Ninakupenda sana Eliud Mungu akutunze
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 6 ай бұрын
Naiona tim jua kali ramata frank na wengine😂😂 mbarikiwe
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau Ай бұрын
Kuna mda tunakaaga tunalia2😂😂😂 mwanangu umetisha sana nimeipenda hiyo
@esterstaphord5184
@esterstaphord5184 6 ай бұрын
Juakal team nimewaonaaa ...stay blessed
@PaschalThomas-dm8by
@PaschalThomas-dm8by 6 ай бұрын
Mimi kama mimi cha nyumbani ni Bora kuliko chochote @eliud unajua mwanangu mpk kero😂😂😂😂
@frankabdallah5054
@frankabdallah5054 6 ай бұрын
😂😂😂Mungu akubariki sana bro, uko na talent kubwa sana
@matronmkenda3510
@matronmkenda3510 6 ай бұрын
Najiuliza wanaoishi na huyu jamaa si watakua na mbavu zimechoka sana
@ahz6907
@ahz6907 6 ай бұрын
Yupo kazini hapo 😂
@matronmkenda3510
@matronmkenda3510 6 ай бұрын
@@ahz6907 😂😂
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 ай бұрын
Yaani huyu jamaa anafanya vitu vya kipekee
@davisnyandindi4917
@davisnyandindi4917 Ай бұрын
Nimecheka mara mbili moja eliud mbl comment yako
@matronmkenda3510
@matronmkenda3510 Ай бұрын
@@davisnyandindi4917 😂😂😂
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 3 ай бұрын
UNACHEKA MWANZO MPAKA MWISHO NA HUCHOKI UNATAMANI IENDELEE,,TALENTED
@user-vx1cz3rc2u
@user-vx1cz3rc2u 6 ай бұрын
😂😂😂😂 nampenda eliud anavoongea
@user-yd8fh6qn5q
@user-yd8fh6qn5q 6 ай бұрын
Nawapenda Sana timu jua Kali ❤❤❤
@elolam7
@elolam7 6 ай бұрын
Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳
@felistasiwale7582
@felistasiwale7582 6 ай бұрын
Ameeeeen
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 6 ай бұрын
Amiin tajir
@bernardaugust4021
@bernardaugust4021 6 ай бұрын
Tupo pamoja matajiri
@esterwayesu
@esterwayesu 5 ай бұрын
Amen barikiwa sana mtumishi🎉❤
@user-ce3kc7vc2j
@user-ce3kc7vc2j 5 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😢😢😊😢😢😊😊😮😢😊😊😊😊😊😊😢😊😢😢
@franktiba1506
@franktiba1506 6 ай бұрын
Wow nmependa nmemuona Kibibi asanteni kwa upendo
@user-wf7bj1so8g
@user-wf7bj1so8g 6 ай бұрын
tunamwona kibibi tujuane
@user-oy4hn9rf4l
@user-oy4hn9rf4l 6 ай бұрын
Nimefurahi sana kumuona Jasiri wa PETE
@adamfumbo5116
@adamfumbo5116 5 ай бұрын
Hongera boss wangu umefanya pakubwa boss
@joiriawanjala8497
@joiriawanjala8497 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana eliud yani sura yenyewe n kichekesho kabisa😂😂😂naona kaka frank anavyoisha kwa kicheko....big up to all jua kali family mnaushirikiano sana 🇰🇪🇰🇪
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m 6 ай бұрын
Nimecheka sana sate mjomba ake diba😂😂😂😂
@thebios2553
@thebios2553 6 ай бұрын
Kuna kitu ameongea eliud ni comedy ila ni moja ya vita safi sana kwenye familia zetu za zamani Kuna watu tuliishi nao vzr na Wala sio ndugu ila tulikaa nao nyumbani vzr kama ndugu
@barakacmwanza
@barakacmwanza 6 ай бұрын
𝙉𝙖𝙠𝙪𝙢𝙗𝙪𝙠𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖
@emmanuelkato2375
@emmanuelkato2375 6 ай бұрын
Kaka unajuwa sanaaa Mungu azidi kukuonyesha njia ya kwenda juu zaidi
@maryojungu8647
@maryojungu8647 6 ай бұрын
Nampenda Sana uyu mkaka❤❤...Utacheka tu
@user-ml3zb3gk6e
@user-ml3zb3gk6e 21 күн бұрын
Ninacho kukubari Eliud hautumii nguvu yaana yanakutoka tuu ni 🔥🔥🔥😂😂😂😂
@asiamsemo6172
@asiamsemo6172 6 ай бұрын
Eliud wew sio mzima wallah😂😂😂
@samwelimwaim7136
@samwelimwaim7136 6 ай бұрын
Nakukubali sana ndugu MUNGU AENDELEE KUKULINDA na kukupgania Katka Kaz zako,
@edinamyovela4422
@edinamyovela4422 6 ай бұрын
Nawapenda sana team Juakali mnanipa rahaa
@VedastoKeya-vt8pf
@VedastoKeya-vt8pf 4 ай бұрын
Mshikaji anachekesha halafu yy yupo comftable
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 6 ай бұрын
Nampenda sana eliudi,😂😂😂😂😂😂😂
@majutoeliasi
@majutoeliasi 6 ай бұрын
Namuona kajala
@user-pi6ye5fb4s
@user-pi6ye5fb4s 6 ай бұрын
Nakupenda sana unajua
@janekapoya4733
@janekapoya4733 4 ай бұрын
Nakuelewa sana Bwana mdogo mc Eliud
@Juke995
@Juke995 6 ай бұрын
Hivi eliud hizi nguo anazitoaga wapi 😂nimemuona wakazi kwa mbali analazimisha furaha 😂😂😂nikirudi bongo lazima niende kusikiliza live
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 6 ай бұрын
Eliud anafanana sana na ex wangu jmn wanafanana mpaka kucheka na yy ni mnyakyusa pia sema eliud mfupi ila yule kima alikua mrefu sana
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 6 ай бұрын
Kima Tena mh🤔
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 6 ай бұрын
@@laurnyandwi-sb1gu ehee ndio mtu ambae unamuonyesha upendo halafu yy anacheza na hisia zako
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 6 ай бұрын
@@pikanaauntzuu1466 msamehe..,alkuwa sio riziki Yako
@laurnyandwi-sb1gu
@laurnyandwi-sb1gu 6 ай бұрын
@@pikanaauntzuu1466 utampata akupendaye Zaid yake mala dufu
@aginni94
@aginni94 6 ай бұрын
Kima Tena alafu mrefu
@samwelimadaraka4358
@samwelimadaraka4358 6 ай бұрын
Team jua kali nawaona hapo ❤
@richardmhagama5028
@richardmhagama5028 6 ай бұрын
Team Jua Kali .... Mwali mindu...
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 6 ай бұрын
😂😂😂atimae wakazi kacheka
@mosesnassary6720
@mosesnassary6720 6 ай бұрын
Mwaisaaaa mtu mbaadiiiiii😂😂😂🔥
@janethgeorge5791
@janethgeorge5791 4 ай бұрын
Shangazi hataki kukaaa😁
@HeryMwakyusa
@HeryMwakyusa 6 ай бұрын
Brother tunashukulu kwa kutuwakilisha wanyakwusa.
@RechoKimaro-jp5zq
@RechoKimaro-jp5zq 2 ай бұрын
Love you so much Eliud ❤
@marcusjulius6572
@marcusjulius6572 5 ай бұрын
kuna wasela hawacheki😅😅😅😅
@FiveStar-uc5ec
@FiveStar-uc5ec 4 ай бұрын
😮😮😮😮😮
@odiliaherman5658
@odiliaherman5658 6 ай бұрын
Ivi uku kiingilio shingapi😊😊
@FiveStar-uc5ec
@FiveStar-uc5ec 4 ай бұрын
Mwenyewe s elewi natamani kweli cku Moja ningeenda
@janethjustin5256
@janethjustin5256 5 ай бұрын
One of My Best Comedian 😅😅😅😅😅😅😅
@sherry7339
@sherry7339 6 ай бұрын
Eliud weee ni nyau kabisaa😂😂😂
@sayozmediatv6021
@sayozmediatv6021 6 ай бұрын
Pongezi kwako kijana safi sana
@monicaalute3143
@monicaalute3143 6 ай бұрын
Kumchekesha mtu mzima kz sana
@VianaKokutensa
@VianaKokutensa 6 ай бұрын
Iyo suti ndo angevaa kweny harusi ya anna😂
@irenekaro2848
@irenekaro2848 6 ай бұрын
Anna ameshitukaa😂😂😂
@janethmshahara4048
@janethmshahara4048 6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅 ety mikikimikiki kama ya Farida
@scholasticajackson6760
@scholasticajackson6760 6 ай бұрын
Jaman naona watu wengi had my o level classmate bigup sana
@elskimalatukengela1058
@elskimalatukengela1058 6 ай бұрын
Wanyakyusa 🙌🙌
@sarahmsambule5235
@sarahmsambule5235 6 ай бұрын
Nusa si kwetu tayari 😂😂
@veronicamassala562
@veronicamassala562 6 ай бұрын
Jua kali wapo wengi
@VianaKokutensa
@VianaKokutensa 6 ай бұрын
Wamekuj kumsupport mwenzao ujamuona ata boss ake lamata
@FatinaKiondo-ke9tq
@FatinaKiondo-ke9tq 6 ай бұрын
Hahahahahah umenimalizia bando🤣🤣🤣🤣
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 6 ай бұрын
Nipo busy na nguo ya Eliud
@wa-mbeyaTv4725
@wa-mbeyaTv4725 6 ай бұрын
Nsekile mpk katile fwituuu😂😂😂😂😂😂😂 mmenye gweliwe
@tusajigwengondya
@tusajigwengondya 6 ай бұрын
Fyutu fyo fiki
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau Ай бұрын
Hii nyumba mbona kama wanawake wapo wawiri😂😂😂😂😂😂😂
@EsitaDombo
@EsitaDombo 2 ай бұрын
Nina Imani nitashinda na kushinda Tena kwa nguvu ya roho mtakatifu mi ni tajiliiiiiii
@Wami-Sababisho
@Wami-Sababisho 4 ай бұрын
Eliud wewe sio mzima kijana wangu🤣🤣🤣🤣🤣, nimecheka sana story ya kulamba katoto mkono 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@issasanga8509
@issasanga8509 3 ай бұрын
😂😂😂😂ako ni noma sana
@lyrics_forum
@lyrics_forum 6 ай бұрын
Juakali Imesababisha Tumenunua Dstv sio Mchezo kabisa 😂
@fredyezekiel252
@fredyezekiel252 6 ай бұрын
Haujamalizia kipande bhanaa😂😂
@samielvutsipa52
@samielvutsipa52 6 ай бұрын
Uyu jamaaa hana hofu ya kajala
@FaithKayamba-ji5lx
@FaithKayamba-ji5lx 6 ай бұрын
Huo ndo mtoko wa harusi wa diba umebumaa😂
@miriammaruwa2046
@miriammaruwa2046 6 ай бұрын
Hahahahahq
@dianerditto
@dianerditto 6 ай бұрын
Hahahahhaaa😂
@rahelyngogo771
@rahelyngogo771 6 ай бұрын
😂😂😂jamani umenikumbusha mama gulooo mweeeee
@joycekaganga6924
@joycekaganga6924 2 ай бұрын
Big up sana Mc Eliudi
@yuzzoruta9757
@yuzzoruta9757 6 ай бұрын
pure talent😅😂
@magreciousthomas3527
@magreciousthomas3527 6 ай бұрын
Kajala bahis ni regina wa juakali
@clementinaaguka
@clementinaaguka 6 ай бұрын
Regina ni pindi chana mh.
@marthalangia
@marthalangia 6 ай бұрын
Eliud hujatufanyia poa mashabiki wa Farida mbona hujatuletea tumuone😂😂au yupo saloon anasokota dred😜
@northerncruiser137
@northerncruiser137 6 ай бұрын
Wakazi sindio huyu aliyesema comedian wabongo hamna kitu
@salomenashon5864
@salomenashon5864 6 ай бұрын
Anganile😂 umenichekesha sana😅
@annembijima391
@annembijima391 5 ай бұрын
Ilikuwa nzuriiii😂😂😂
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 ай бұрын
Aisee sahivi sitakua namiss comedy zake
@lastsimbatv1497
@lastsimbatv1497 6 ай бұрын
Namkubar san hatumii ngvu yan ongea yake ni comedy tosha
@coleinvee3181
@coleinvee3181 6 ай бұрын
mbavu zinauma 😂😂
@adolphriwa3534
@adolphriwa3534 5 ай бұрын
Safi sn Eliudi unajua sn .
@JoyceAbuu
@JoyceAbuu 2 ай бұрын
Eliudi jamani una nipa lahaa san😂😂❤
@FREDCHILUMBA-hf5dm
@FREDCHILUMBA-hf5dm 6 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 unajua sana broo
@mkombozierick7828
@mkombozierick7828 6 ай бұрын
Namuona Chichi hapo
@jacksonwilliam5991137
@jacksonwilliam5991137 6 ай бұрын
Brother eliud ni kweli hujawahi kuwa mweupe kabisaa😅 au Baba aliuza rangi yako wapate hela za kupaulia msauzi 😂
@geraldnjau7186
@geraldnjau7186 6 ай бұрын
Sauti mmepeleka wapi hapo mwanzo😂
@Jerrymaswaga
@Jerrymaswaga 6 ай бұрын
Hahahaaaaaaa KAKA UNAJUA SAAAANAAAAAAA.......nitakutafutaaaa
@hadijajuma9550
@hadijajuma9550 6 ай бұрын
😂😂😂😂unatisha boss
@godblexxgyunda6060
@godblexxgyunda6060 6 ай бұрын
Hujawah kumwacha Mungu😂😂😂
@user-vg6xe7tj8z
@user-vg6xe7tj8z 6 ай бұрын
Nimekuelewa sana😂😂😂
@user-gk7ic7dh8m
@user-gk7ic7dh8m 6 ай бұрын
Rebecca ndio mmi dda yako 😂😂
@user-oo5sj8hb5m
@user-oo5sj8hb5m 6 ай бұрын
Hongera Sana eliud upo vizuli
@FabienDeo
@FabienDeo 6 ай бұрын
Je eliud anajua😅
@user-yu1nm8rq9i
@user-yu1nm8rq9i 6 ай бұрын
Eti put your 🤞 together for eliudi
@SmartVicenzo
@SmartVicenzo 4 ай бұрын
Nimekumbuka Mbali kweli
@rachelabnel6687
@rachelabnel6687 6 ай бұрын
Daaa jamn et rahel
@rithaferdinand3738
@rithaferdinand3738 6 ай бұрын
Waooooh kaka Fule kafurahi mwenyewe
ELIUD KWENYE JUKWAA LA WAISA (PART 2)
12:53
Eliud Samwel
Рет қаралды 370 М.
MAISHA BAADA YA KUFELI SHULE - mc Eliud
17:18
Eliud Samwel
Рет қаралды 549 М.
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 18 МЛН
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 288 М.
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 95 М.
UTACHEKA TX DULLAH AKISIMULIA MAREHEMU AKIGAWA MAJUKUMU
6:16
Kimonga Pro
Рет қаралды 110 М.
KIPOTOSHI, KUSH KIDY,MC MBONEKE, INNO PRESENTER 😂😂😂
7:21
MBEYA STAND UP COMEDY
Рет қаралды 8 М.
MC Eliud Samwel akiwavunja watu mbavu kwenye mkesha wa THE ICON 2023 | CCC UPANGA
21:43
TAZAMA SHOW YA ELIUD MBEYA, (PART 2)
13:55
Eliud Samwel
Рет қаралды 113 М.