Рет қаралды 25,151
Mgombea Urais kupitia tiketi ya chadema Tundu Lisu ametaja maeneo muhimu atakayoyashughulikia kwa mikoa ya kanda ya Ziwa iwapo atashinda Urais kuwa ni kufufua kilimo cha zao la pamba, kuweka mazingira bora ya biashara kwa wamachinga kuboresha sekta ya uvuvi pamoja na bima ya afya kwa kila Mtanzania