No video

AHMED ALLY APIGIWA SIMU NA WAZIRI MKUU/ALLY KAMWE AINGILIA/"MHESHIMIWA TUMIA JINA LA ALLY KAMWE"

  Рет қаралды 218,179

Mpenja TV

Mpenja TV

Күн бұрын

JAMBO LA NCHI Ni zoezi la Uchangiaji Tiketi kwaajili ya kuipa Sapoti Timu ya Taifa Ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kwenye Mechi ya Marudiano ya Kufuzu Afcon dhidi ya Uganda Siku ya Jumanne Saa 1:00 Kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Cliford Ndimbo Ofisa Habari wa TFF,amewakutanisha Maofisa wengine kutoka Simba Sc Ahmed Ally,Yanga Sc Ally Kamwe na Azam Fc Hasheem Ibwe ili kuendesha Harambee hiyo kwenye Mkutano na Wanahabari uliofanyika Leo Dar es salaam.
Jumla ya Ticket 10500 zimekusanywa kwenye Hatua ya Awali,Zoezi ilo likiwa ni endelevu Mpaka kufikia siku ya Mechi.

Пікірлер: 146
@user-dz1me6mt9e
@user-dz1me6mt9e 11 ай бұрын
Mpira uliharibiwa na manara ona hawa vijana wanafnya kazi kwa weredi mkubwa presconference za kuvutia wanatufundisha mpira ni urafiki wenye utani wa kujenga nmefurahi sana sana hawa vijana ni wanafaa kuigwa❤❤
@Retina-pm3uj
@Retina-pm3uj 4 күн бұрын
Umeonaeee yaani kiukweli tungekuwa mbali sana Tena hao vijana Wana hofu ya mungu matusi hawana nawapenda sana Bora ally kamwe aendee yanga
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Ukifanya kazi na brand kubwa utakuwa mkubwa tu na utajulikana na utakuwa karibu na wakubwa pia, hongera ahmed ally kwa kuichagua simba kuwa ndio klabu yako ya kuisemea
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Daaaaah aiseeee nimefurahi SN Hawa. Vijana AA HIZI ALLY KAMWE NA AHMED
@Elizabeth-fu3ze
@Elizabeth-fu3ze Жыл бұрын
Hongereni sana mmenifulahisha sana leo usimba na yanga pembeni,4000, kupitia kwa Ahmed,🤗💕
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 Жыл бұрын
Hongereni sana sana sana wasemaji wetu wa club zetu mmetisha mme vibe hii ni kwa mara ya kwanza kusupport hivi 👏 lkn Ahmed Ally ndio umpigie waziri mkuu kweli 😂 na mguu ukaweka juu eti ukimaanisha kazi umemaliza 🤣 sawa bhaana umeshinda 😂🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
@kennethnyahoza1806
@kennethnyahoza1806 Жыл бұрын
Hongereni sana Wasemaji wa timu zetu Simba, Yanga na Azam kazi nzuri sana. Matumaini yetu makubwa tutapata ushindi kwenye mchezo huo wa tarehe 28/03/2023 Bip Up pia TFF
@user-me2mu2ub7y
@user-me2mu2ub7y Жыл бұрын
Uhakika tumepata wasemaji kweli syo masiala wa ndo wasemaji Sasa utani mwingi d safi sana Aise siyo kina hajiz manala lopopot utani hajui ila sifatu ndomaana wakamufungua asijishilikishe na mpila miaka miwali na faini mana hajielewi
@AlexMzumbwe-h3i
@AlexMzumbwe-h3i 15 сағат бұрын
Ally kamwe umetisha
@akwinobenarddy
@akwinobenarddy Жыл бұрын
Simba na Yanga tumepata wasemaji wa mpira hii ndo napenda bravo Ahmed bravo Ally kamwe🎉
@merckmdamu2942
@merckmdamu2942 Жыл бұрын
Kuhusu manara vip
@Retina-pm3uj
@Retina-pm3uj 4 күн бұрын
Sanaaaaaaa
@Retina-pm3uj
@Retina-pm3uj 4 күн бұрын
Manara wa kazi gani mlopokaji tuu matusi kibao​@@merckmdamu2942
@noahkajinga7599
@noahkajinga7599 Жыл бұрын
Tumepata semaji la Caf Bravo Hamed Ally
@rizikijustin4747
@rizikijustin4747 Жыл бұрын
Haya ndy mambo tunayataka kwenye mpira wetu siyo waropokaji mpira umepata wasemaji
@kingsulyemani2559
@kingsulyemani2559 Жыл бұрын
hawa wasemaji wa simba na yanga ni watu wa michezo sana kazi wanaiweza
@serekachacha-zg2vp
@serekachacha-zg2vp Жыл бұрын
Semaji la migoli mingi mingi semaji la caf mimi niwaombe wanasimba wenzangu tumuunge mkono semaji letu wachezaji viongozi na bechi la ufundi kwa ujumla wake kwa hakika tutafika mbali kwa umoja wetu
@thomaskulwa425
@thomaskulwa425 Жыл бұрын
Jeri muro na manara walileta uadui🙆 na Hawa wasasa wameleta utani😋 hongeleni sana vijana wenzangu🙏🤝📌🔨
@alisenipeter4307
@alisenipeter4307 Жыл бұрын
Tatizo shule Ahmed na aliy kamwe ni wasomi
@beatricemsophe9839
@beatricemsophe9839 3 күн бұрын
Kumbe Jeri alikua msemaji wa timu gan maana mpira nmeanza kufwatilia mwaka juz 2022😂😂
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 Жыл бұрын
Ally Kamwe bhana,ninamkubali sana.Ibwe na Ahmed Ally pia ni wasemaji wazuri.Hongereni vijana kwa kulisogeza mbele soka la Bongo.
@sakinasakina1286
@sakinasakina1286 Жыл бұрын
Syo soka la bongo soka la tanzania wew bwege nini
@mweyoms5548
@mweyoms5548 Жыл бұрын
Naam!! Soka sio uadui.Soka hujenga umoja na mshikamano.Kongole kwa Hashim Ibwe,Ahmed Ally na Ally Kamwe.Kinachopendeza zaidi wote watatu ni matunda ya AZAM MEDIA
@ibrahimmsula201
@ibrahimmsula201 Жыл бұрын
I like this, hongereni sana Azam Kwa upendo mlioujenga Kwa hao vijana,wanaongeza hamasa na kuvunja uadui, nimefurahi walivyofanya na wanavyotaniana
@championtv255
@championtv255 Жыл бұрын
Napenda sana hali hii nchini kwangu.mpira sio vita jamani
@sniper93999
@sniper93999 Жыл бұрын
AZAM TV hapa ilizaa sana
@Football-ze9du
@Football-ze9du Жыл бұрын
Good improvement ya football ad wasemaj wanakaa pamoja
@shabanirajabu251
@shabanirajabu251 Жыл бұрын
Na hapo tumefany kumshtukiza mwenyekiti 😅😅tungempanga mngefurah😅😅
@drogbalodrigue9550
@drogbalodrigue9550 Жыл бұрын
Kiukweli kama mimi nashukuru sana kutokana mwenye kiti wa simba ❤
@abelmussa5061
@abelmussa5061 Жыл бұрын
Huu ndiyo Mpira tunaoutaka Tanzania Nchi yenye Amani furaha iliyoje kuwa na Wasemaji mahiri kama hawa big Up kwenu vijana🤣😂😂💪💪💪
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Жыл бұрын
Hawa ndio wasemaji sasa angekuwepo Ashura cheupe kingenuka jamaa mshari sana uropokaji kwa sasa wangeondonga hapo wamejazana vifua hongereni sana uongozi wa timu zote kwa kuchagua wasemaji wenye kujielewa
@laurentbabu153
@laurentbabu153 Жыл бұрын
Semaji la CAF umetisha
@user-ex9ic1cj2k
@user-ex9ic1cj2k 24 күн бұрын
Mko vizur sana mwenyez mungu azid kuwabaliki
@pastormartinshija374
@pastormartinshija374 9 ай бұрын
Hili jambo zuri sana liendelee tafadhali! Pia ni vema liwe linafanyika kwa ngazi ya vilabu!
@elishamatulanya5539
@elishamatulanya5539 Жыл бұрын
mmetisha sana wasemaji wetu
@alexjohn-ff6kb
@alexjohn-ff6kb Жыл бұрын
Matunda ya Azam hao wote nawakubali sana
@Retina-pm3uj
@Retina-pm3uj 4 күн бұрын
😂😂😂😂raha sana wasemaji wetu wanajielewa mnooo na wanapendana sana
@apostlejacksonkalinga5191
@apostlejacksonkalinga5191 Жыл бұрын
Naomba Muunganiko huu, muwe nao hata kwa ngazi ya clab hususan vinapo kuja vilabu tuka nje ya nchi ni vizuri kama uzalendo utakuwa mbele kuliko usimba na uyanga.
@jacklinesimon7544
@jacklinesimon7544 10 сағат бұрын
I love you guys to the fullest ❤
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Kiufupi ally kamwe amelowa
@zakiaabubakar7446
@zakiaabubakar7446 Жыл бұрын
Well done Keep it up
@yonawilliam9419
@yonawilliam9419 19 күн бұрын
Kiukweli napenda kuona wasemaji mnashirikiana kwenye mambo muhimu kama haya. Mpira si uadui. Kiukweli mpo vizuri.
@massoudaly5154
@massoudaly5154 Жыл бұрын
Nimefrah sana hii ndo tunaipenda sana ktk soka nyny mashujaaa wasemaji wetu watatu nawapenda sanaaaaaaaa
@Elizabeth-fu3ze
@Elizabeth-fu3ze Жыл бұрын
Great moment's 🙏
@francemumba5323
@francemumba5323 Жыл бұрын
Eti nahapo tumemshitukiza daah
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Umekuja na silaha nzito kaka kudadadeki🤣🤣🤣🤣🤣
@gastonfuraha
@gastonfuraha Жыл бұрын
Hahahaha hawa jamaa wehu sana Ila kicheko cha ally kamwe cha kikuda
@nathanmmasi3890
@nathanmmasi3890 Күн бұрын
Alikamwe unachekesha sana yani nimecheka sana alivyo mkata semaji laazamu
@mengijose17
@mengijose17 Жыл бұрын
Nimecheka huo mguu hapo mezani siyo powa
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
PM wetu ni simba fan,anajulikana
@segeospatialtechnology7482
@segeospatialtechnology7482 Жыл бұрын
Namungooo😂😂
@josephlorri431
@josephlorri431 Жыл бұрын
@@segeospatialtechnology7482 ni mlezi wa namungo, anayo mapenzi na simba toka ujana wake
@mwajumaseifu216
@mwajumaseifu216 10 ай бұрын
​@@segeospatialtechnology7482Namungo na Simba hipi ya kwanza kuzaliwa
@jumafundi3133
@jumafundi3133 Жыл бұрын
Hongereni nyote wakuu wa simba,yanga,azam .pia komed kwawingi😅😅😅
@emmilianlukaye3125
@emmilianlukaye3125 4 күн бұрын
Nimefurahia sana 😅😅😅 Eti,hiyo silaa nzito. 😅😅😅
@momhalidi9786
@momhalidi9786 Күн бұрын
Duuuuuh kamwe kapita na namba ya waziri Mkuu hapo hapo kwenye cm ya semaji la caf😂😂😂😂😂😂😂 mamae
@wimranpatrick
@wimranpatrick Жыл бұрын
Naskia wivu kabisa Tanzania muko mbeleee kwaani nchi zingine za Eac usingizini tuuu
@oscarniyoguahima1781
@oscarniyoguahima1781 Жыл бұрын
Warifika wapi?
@josephstephen1079
@josephstephen1079 Жыл бұрын
We unatokea nchi gani kaka?
@Ndalolusulo-yt2ol
@Ndalolusulo-yt2ol Жыл бұрын
Safi sana wote hapo mezani
@diwanikatayankonko2671
@diwanikatayankonko2671 Жыл бұрын
Ahmed alicheza faulo mwanzo...alipiga mwenyewe ahmed
@maryhaule5625
@maryhaule5625 4 күн бұрын
Safiiiii sanaaa
@farlykunga8599
@farlykunga8599 Жыл бұрын
Ally kamwe ni comedian san an!!!🤣🤣🤣🤣
@MathiasMatteo-tl8xn
@MathiasMatteo-tl8xn Жыл бұрын
Nimecheka sana ally kamwe balaaa
@adamlyanda9450
@adamlyanda9450 Жыл бұрын
So funny...mmetisha sana
@emmaa_God1
@emmaa_God1 18 сағат бұрын
Hawa jamaaa nawakubali Sanaa😂😂😂😂
@sanityonline4512
@sanityonline4512 Жыл бұрын
Ahmed anapigia majalia apo 😂😂
@azizihfarijala5307
@azizihfarijala5307 Жыл бұрын
ahmed ndiye aliyempigia majaliwa rudia tena uangalie
@jafarsalum6891
@jafarsalum6891 Жыл бұрын
Ni kweli
@Kombs-cr2mj
@Kombs-cr2mj 2 күн бұрын
Guys u are good 2024
@yakobontigwambukwa
@yakobontigwambukwa Жыл бұрын
Ali kamwe anakalibia levo ya ahmed ko akazane😃😂
@livinuskamugisha5296
@livinuskamugisha5296 Жыл бұрын
Huu ndo upendo unaotakiwa kwetu watanzania.
@omarymwenebatu
@omarymwenebatu Жыл бұрын
Wabongoi badilikeni hiliniswala la TAIFA u SIMBA na uYANGA wekeni pembeni tupambanie inchikwanza msituletee usimba na yanga kwenye comment.
@onekisstv8412
@onekisstv8412 Жыл бұрын
Hawa wapo kwa ajili ya uhamasishaji wote wanatetea taifa
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 Жыл бұрын
Ali kamwe ndo kanogesha press 🔋
@mckombe7200
@mckombe7200 Жыл бұрын
Mpira siyoo uwadui tutoee izoo zana ongereni wa semaji wote kazi yenu njema utani usiyoo umiza ongera shirikisho la mpira pia, @mc kombe
@FaridiMohamed-ou9eq
@FaridiMohamed-ou9eq Жыл бұрын
Hapa angekuwepo kenge mmoja ivi angejifanya msemaji peke yake
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
Yule Loooooooooooooser!!!
@KITOLA6666Films
@KITOLA6666Films 3 күн бұрын
❤❤❤❤ tzs
@mariamchiga846
@mariamchiga846 Жыл бұрын
Kama ndo mm Ahmed Ally ningempiga kwel kbao
@salimliemba3458
@salimliemba3458 Жыл бұрын
Shiikamoo Ahmed Aly
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Жыл бұрын
Mama katoa ahadi waziri mkuu mfuate kwa mawaziri muanze na waziri wa michezo pia ahamed usisahau spiker wa bunge ni Simba yule
@zainabmikidad791
@zainabmikidad791 Жыл бұрын
Ila Ahmed jamani mpole
@SalumMballa-tu8lk
@SalumMballa-tu8lk Жыл бұрын
Thank you
@welsonleonad1743
@welsonleonad1743 Жыл бұрын
😂😂😂 wajua kabsa kuchekesha
@DebbyGecho
@DebbyGecho 2 күн бұрын
Makofi kwake mwenye kiti bado mwenye mezaa 😂😂😂
@nathanmmasi3890
@nathanmmasi3890 Күн бұрын
Simba tunatisha tuko juu
@Chombezaflava
@Chombezaflava Жыл бұрын
SILAHA NZITO 😅😅😅
@dannyjacob4618
@dannyjacob4618 Жыл бұрын
Yeah,I appreciate
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 Жыл бұрын
Naaa naaahapo tumemshtukiza🤣🤣🤣🤣🤣
@charleschao9809
@charleschao9809 Жыл бұрын
Kamwe amekaa kinafki sana 😂
@doktmtanga7303
@doktmtanga7303 Жыл бұрын
Kasimu majaliwa nimnyama piwa na nikocha na nimtu wasoka anaujuwa mpila
@doktmtanga7303
@doktmtanga7303 Жыл бұрын
Hongera Sana
@ramadhanimtatifikolo7735
@ramadhanimtatifikolo7735 Жыл бұрын
Safi sana wasemaji sio manala alikua kaziyake kugombanisha watu,
@ifraimifraimuhusen282
@ifraimifraimuhusen282 Жыл бұрын
Good moments
@Elizabeth-fu3ze
@Elizabeth-fu3ze Жыл бұрын
🤣🤣mpigie amedi ali kamwe vp tulia semaji la kafu lazima lipigiwe kwanza si mkubwa 🤣💕🤗
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Жыл бұрын
Mbona niwatu wasimba tu wanao changia hatujasikia mmewapigia watu wa azam na yanga nyinyi nikuwapigia wasimba tu
@francemumba5323
@francemumba5323 Жыл бұрын
Muheshimiwa kupitia kupga kwa ahmedi imetia nguvu kwake
@yusufsong7993
@yusufsong7993 Жыл бұрын
Mbona wa azam wanamtenga
@egbartjosephat-gf4oc
@egbartjosephat-gf4oc Жыл бұрын
Mamb Tanzania Kwa ushind!
@egbartjosephat-gf4oc
@egbartjosephat-gf4oc Жыл бұрын
B
@mohamedsuleiman5356
@mohamedsuleiman5356 Жыл бұрын
Kuna io sehem ally anateta na ibwe tangu babra aondoke
@samwelkakintwa9702
@samwelkakintwa9702 11 ай бұрын
Nimefurai sana na sprained ya semaji la kafu.
@user-rt1me6up4e
@user-rt1me6up4e Ай бұрын
Raha ya mpira ❤🎉🎉🎉😂
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 Жыл бұрын
kiukweli raha sanaa,
@yusufsong7993
@yusufsong7993 Жыл бұрын
Kamwe anasema kaja na slaaa nzito duu
@francemumba5323
@francemumba5323 Жыл бұрын
Simba mfumo wake mgumu sana yanga hers akisema imeisha
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Tulia mwana utopolo
@Retina-pm3uj
@Retina-pm3uj 4 күн бұрын
Tulia hapa ni uraia wetu sio uadui
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Kaka kaka ameshinda🤣🤣🤣🤣🤣
@samsonmgeta2345
@samsonmgeta2345 9 күн бұрын
Ila Ahmed Ally ameshindikana
@rachelmwaluko8054
@rachelmwaluko8054 11 күн бұрын
Saf sana semaji la caf
@stephennyangi2403
@stephennyangi2403 Жыл бұрын
Hawa majamaaa hapana aisee😂😂😂😂
@asrymohd6690
@asrymohd6690 Жыл бұрын
Hiii ndio sokaaa sio kelele
@erickjohnglobal1536
@erickjohnglobal1536 Ай бұрын
🔥💎
@DanielIsaack-mx4fc
@DanielIsaack-mx4fc Жыл бұрын
So funny😂😂😂
@albertmullah2377
@albertmullah2377 Жыл бұрын
Yaani SIMBA tulishazoea kuonea onea tu madunduka Loosers haya 😂😂😂😂... THIS IS SIMBAAAA ❤❤❤💪💪💪🦁🦁🦁🦁
@AbdulKigoda
@AbdulKigoda 23 күн бұрын
Imeisha hiyooo
@kidotimerry6715
@kidotimerry6715 19 күн бұрын
ila Hawa watu comedy duh😂😂😂😂
@abdullymaruzuku-uy8rb
@abdullymaruzuku-uy8rb Жыл бұрын
Ali kamwe anajipendekeza
@charleselasto3067
@charleselasto3067 Жыл бұрын
Kwahiyo uwanjani ni bure
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 1,8 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 29 МЛН
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 17 МЛН
Yanga SC 6-0 Vital'O FC | Highlights | CAF CL 24/08/2024
11:56
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 1,8 МЛН