Comment nyingi nzuri humu ndani ila namimi naomba niweke jambo, nilicho kiona kwa huyu jamaa hatafuti umaarufu bali umaarufu unamtafuta yeye bila heleni sikioni wala kipini puani kiduku ndio kabisaa ila anapasua bila shida itoshe kusema he is a gentleman.
@benmkare109510 күн бұрын
Najifunza mengi sana kutoka kwa KINGKIBA 💥💥💥 very smart moves hazina mbwembwe
@muubaytz475411 күн бұрын
Nazidi kujifunza wakati wa mungu ni wakati sahihi saaana , nasubiri nione mengi zaidi ,
@mandyuwimana77359 күн бұрын
Nguvu nyingi hakilini. Hongera sana King Kiba ❤❤❤❤
@Dottomagarii11 күн бұрын
STANBIC Balozi Ni wakati wetu oll fan's king kiba . Wachafu mtaisoma. Namba
@IkoUwasi-it6qy11 күн бұрын
namba gani mpk umewataja ujue unateseka
@john_1trader11 күн бұрын
Mnashingaza wasafi ni media tayari ishaa pata mizizi tena imepigana vita kubwa wakati ilipingwa saana..angangane tu bila chuki na watu atafanikiwa
@omarifadhili65110 күн бұрын
Sema jamaa hanaga majivuno
@user-by2gj2bw9f8 күн бұрын
😂😂😂😂Umetixha kaka
@fakijecha11 күн бұрын
Najifuza maisha ni subra na sikukata tamaa na usifanye vitu Kwa kushindana ila simamia misimamo yako ndo nilichokiona mm
@user-vi7ly9zh1q11 күн бұрын
Haswaaa 👌
@Fadhilimwamlima11 күн бұрын
Nikweli kabisa usifanye kwa mihemko kwa sababu mwingine kafanya huwezi juwa unae mwona leo kaanza lini kujipanga
@user-ug3vp8dh7l9 күн бұрын
umepigaje hapo🙏👍💪 nimependa hiyo
@AbdallahRamadhan-nj9ls11 күн бұрын
watakubali kuwa ww ndio baba wa mziki❤
@Qqambaa11 күн бұрын
Huyu kiba amehamasisha vijana wengi c poa kukata tamaa na hakuwahi kata tamaa najua mengi mabaya yashawahi kusemwa kumhusu huyu kaka but hakutetereka aisee nmejifunza subra ni k2 muhimu sn maishani
@user-pk1yl7zt8p11 күн бұрын
Simba la masimba dangote ndo msanii pekee anayewapa watu kitu wanataka kwa wakat
@Qqambaa11 күн бұрын
Ukimwona kobe kainama jua anatunga sheria
@azizayassin362310 күн бұрын
😅😅😅😅mke tu ndio alishindwa kobe adi leo hawezi kutembea bila mke
@NduiMedia11 күн бұрын
Alikiba abaatishi Hana Kiki yeye nikazi tu sikutegemea kama Salim kikeke atamchukuwa is only one king..
@user-pk1yl7zt8p11 күн бұрын
We boya kwel xx Kam chukua kikeke au yeye kachukuliwa na kikeke au ndo kapewa kichwa cha habar
@user-qp5vi9yt6m11 күн бұрын
Ebu tuambie wapi kikeke kamtambulisha kiba @@user-pk1yl7zt8p
@HudhaifaSeleiman11 күн бұрын
Kikeke ndo boss uyo ww
@AkexLamek-vv1cv11 күн бұрын
Kutoka Congo Lubumbashi 🎉 huyo kiba nimoto vraiment ❤
@omaryluambano349510 күн бұрын
Kingkiba salute
@sniperprotector696511 күн бұрын
Yuko vizur zaid ya wanavyo mfikilia god bless 👑🙏
@aboudsaeedali11 күн бұрын
Ali Ana dua ya Mama
@ALLY_K6111 күн бұрын
Kingkiba fire 🔥🔥
@idarousomar111 күн бұрын
Hakika sijakosea kuwa shabiki yake
@augustinomauki596911 күн бұрын
Hongera kwake bana jamaa anazidi kua bora zaidi ya jana tofauti na wengine wao jana ndio bora sio kama leo
@mwalizijulius168711 күн бұрын
Yy hyo Jana ya wenzie alikuwaje
@user-qq2vn4pk7z11 күн бұрын
Alikuw na maana kujiita KING
@user-vi7ly9zh1q11 күн бұрын
Uyo ndio🎉🎉 Ali kiba namkubali sana
@francis35811 күн бұрын
Nakubali kwamba kila kitu kina wakati wake
@barakadaprince374211 күн бұрын
My model king🤴 slow slow but we make it👑🙌🏿
@allynasri754411 күн бұрын
#kingkiba
@renatusmasalu11 күн бұрын
wakat wa mungu n wakati sahihi ali ni kioo cha jamii🎉
@belyseirakoze537111 күн бұрын
King ni junior sn salute kwak ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@carolsayo640911 күн бұрын
Congratulations to him, stanbic bank is international
@Mbaley11 күн бұрын
Jama alipiga live band ya kufa mtu
@emilegentil953811 күн бұрын
King kiba❤
@hamoudcreator634311 күн бұрын
Tunahitaji Recap ya Huyu Kiba Mpya, Hatari Kwa Industry 😂😂
@Jibambeshow254k11 күн бұрын
Steam kiba hatunanga papara mbwembwe tuliachia watoto wadogo we do slow bt sure game cool mind and that's how King 👑 do smart and clear
@user-kh7bc4js1m11 күн бұрын
N uwezo tu wa ALLAH na alivyo kuwa na subra
@stevenckanumba711 күн бұрын
Mungu azidikumubariki 🙏🙏🙏❤️❤️
@sonnyr189911 күн бұрын
Kimnya kimnya ni silaha kubwa kufikiya MAFANIKIYO.
@farahanafarer758811 күн бұрын
Usimchezee mtu mkiya hana kiki za kitoto wala anaishi maisha yake kabisaa
@SuleAmber-lw2tx11 күн бұрын
He is my role model, pesa inaongea mwamba hana makuzi sio vipesa kdg kelele km umekuwa Billgates
@user-pk1yl7zt8p11 күн бұрын
Dili zaky zote n Dili moja la lukuga thmn y pesa anayolipwa
@epicart335111 күн бұрын
Nimesikia ni balozi wa benk kubwa inayofanya kazi vizuri..!! Mpaka mwisho na sikilizia haujaitaja hiyo benk
@allenonesmomwebembezi624811 күн бұрын
Stanbic bank
@muzdinho11 күн бұрын
@stanbic bank
@rajabukipara300811 күн бұрын
Itakiwa Maskio Umeacha Nyumban😂
@ZakariaMachibula11 күн бұрын
Boss King anaupinga mwingi sana
@allenonesmomwebembezi624811 күн бұрын
This guy is soo inspiring😍😍😍
@frankmushi50911 күн бұрын
KING is king
@lisawilliam249111 күн бұрын
Uyu jamaaa ni mfano wakiugwa hapendi kiki kama jirani yetu 🤣🤣🤣🤣
@user-pk1yl7zt8p11 күн бұрын
Hana meno mbele ya Simba huyo local artist wenu hata mkiungana maana kazidiwa mbali Sana kwny Kila kitu
@salehkhalfan734511 күн бұрын
@@user-pk1yl7zt8pNaww je umemzidi nn ?
@candy996911 күн бұрын
Acha chuki 😂@@user-pk1yl7zt8p
@tonnybrighton752811 күн бұрын
Unafilwa nn@@user-pk1yl7zt8p
@shanatatrigger653711 күн бұрын
Hakun asiependa kiki bongo acha zako
@hasanimkamba837711 күн бұрын
King kiba
@eliud21savage4811 күн бұрын
King wa moto
@DambweRama11 күн бұрын
Mtoto wa mama kiba🎉🎉🎉
@user-lb4xf5zf4k11 күн бұрын
mwenyezi mungu amfanyie wepec lnashall
@HidayaKarim-wy9yc11 күн бұрын
Sijuti kua team kiba 👑💯
@ZakariaMachibula11 күн бұрын
huyu kaka❤
@ShabaniLikele11 күн бұрын
nampenda xana uyu jamaa
@ulicydickson681611 күн бұрын
King 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@emilioadremaneadremane270611 күн бұрын
Big sana king
@faidhamyovela17911 күн бұрын
silent killer 😂😂😂
@rajimuashirafa826511 күн бұрын
Namkubali snaaa mwamba anajua anachofanya halafu anapiga mkwanja mkubwa snaa bila kelele yeyote ile mwamba ananigusa na kuniaminisha maisha ni nidhamu tu na ustarabu na mafanikio yapo
@user-pk1yl7zt8p11 күн бұрын
Kujifarj kweny zero n upumbafu ulopitiza
@rajimuashirafa826511 күн бұрын
@@user-pk1yl7zt8p tokea mnaongea upumbavu wenu nakumbuka ni mwaka 2014 ila mpaka leo hii tupo 2024 kiba anapaa tu halafu hafeli sasa kwann nisijifunze kupitia kwake tatizo ukiwa na chuki na wanaofanikiwa huo ni uchawi
@rajimuashirafa826511 күн бұрын
@@user-pk1yl7zt8p unadhani kupata ubalozi katika benki kubwa duniani ni kazi rais hiyo na wanapewa wakubwa tu ktk zao
@TaarabChannel9 күн бұрын
Muje na kwangu wapenzi...sapoti yenu
@user-tw3jc4zz3m11 күн бұрын
Hiiyo nikawaida ya watangazaji kama kwenye media na kwenda media nyengine❤😂😂
@neemapaul325711 күн бұрын
ninavompenda ally kiba natamani sns kila siku mpost habari za alikiba2❤ nawapenda sana sns from Denmark
@user-uh9xg1pn6i11 күн бұрын
❤
@touches4lifeonlinetv469 күн бұрын
King anajua🎉
@Sidrasidra63611 күн бұрын
Mungu ampe zaidi na zaidi
@twentyacresfarms346410 күн бұрын
Mbona umesifia sana mkuu, script yako iweke poa kaka, kazi njema
@ahammedmahruki870811 күн бұрын
Alishasema dili zina kuja sana ila kiwango cha pesa kinapikwa kidogo ndio maana wanapewa wengine .sasa hii mpunga ni mrefu Sana ndio maana kakibali❤❤
@mwalizijulius168711 күн бұрын
Mrefu kulingana na stage ya hadhi yke inamtosha, pengne alikuwa akipata million 20 saiv kapata 100mil wakat wenzie Wana 3bil
@Mkombozi25511 күн бұрын
Story za chini ya kapeti zinasema hii ni redo ya mzee wa msoga 😮😮
@AliAbdalla-lb8su11 күн бұрын
Crown media
@Mariam-fm8vq11 күн бұрын
Shukurani zote ziende kwa Allah na akusimamie king kiba ❤❤❤😊
@user-wm3xc2sl7o11 күн бұрын
Unashindwa kuombea maisha yako unaombea jirani yako hizo akili matope😂😂😂😂😂😂
@Mariam-fm8vq11 күн бұрын
@@user-wm3xc2sl7o unapo muombea mwenzio kher Allah anaanza na ww unapo muombea mabaya basi yatakurudi mwenyewe halafu hizo zako ni akili za wcb mna roho mbaya sana wachawi wa nafsi nyie
@seifmohamed33039 күн бұрын
natamani crown iwe kubwa iandae taarifa za international news isiwe wa udaku tuu wa ndani news za uhakika
@user-io5ex4tf3o9 күн бұрын
king him self❤
@surusuru199411 күн бұрын
Masha Allah ❤
@Officialmodel_00110 күн бұрын
Yebabaaaaaaaa✌️
@Abdul8715010 күн бұрын
Alikiba Yuko vizur na wewe uko vizuri 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@Zuu67311 күн бұрын
Mambo ya salim kikeke CEO
@Afyayamifupa11 күн бұрын
C.E.O wa crowntv ni Idan chalii, manager wa Alikiba.. yaani msimamizi, maana ya neno c.e.o, Alikiba ni own pamoja na kusaga, yaani wamiliki waliowekeza, salimkikeke ni kaajiriwa kwa mkataba tuuh km wengine japo kwa hela nyingi... acheni kuwapa watu sifa ambazo sio zao... hizi mambo ziliwekwa wazi toka mwaka jana July... Sema wengi ndio mnashtuka saivi... Alikiba na kusaga boss wa clouds ndio ana share hapo lkn asilimia nyingi kabeba Alikiba
Lazima aanze na wenye uzoefu ili akuze biashara yake kwanza uezi kuajili vijana wapya wasio na uzoefu kwenye biashara mpya ambayo huna taaluma yake lazima uwape nafasi wakongwe alafu wao ndio watawapika hao new generation hili wawe kama wao au hata zaidi ya wao kwa kuongeza ubunifu nadhani uliona heka heka walizopitia wasafi 😂😂😂😂😂 ni kwasababu waliajili watu ambao walikuwa nje ya taaluma hawajui miiko ya kazi wakasababisha media kufungiwa kwa vipindi tofauti tofauti
@noahmbaru911711 күн бұрын
Nice analysis
@issamussa333111 күн бұрын
Sns chawa wa kiba
@shaibukhamis86311 күн бұрын
Wew chaw wa wasafi😂
@Mariam-fm8vq11 күн бұрын
Na roho mbaya itakuuwa ww😮SnS haijawahi pendelea
@HidayaKarim-wy9yc11 күн бұрын
Unateseka ukiwa wapi 😅
@issamussa333111 күн бұрын
Matakon kwako
@michelinemapendo665211 күн бұрын
ALIKIBA NIMWANAUME NANUSU ANAJITAMBUWA SIYOWALE WANABAKILIYA KKKKK ZAKU BRECK UP 😂😂😂😂. UNASHUSHA BRAND BILAKUJUWA MONDI WA ZARI NA SLAMKAY SIYO WA SASA 😂😂😂😂
@user-pk1yl7zt8p11 күн бұрын
Simba toka mbuga ya tandale naona swala wanafosiiiii tuwe saresare ukinivhukia sikosi hela kunicomper na sindelela aaa haiwez kuwa fresh
@abdulkadirgafla388911 күн бұрын
Bado akuchukue na wewe je utakubali
@amsiabbas380911 күн бұрын
😂 Ally Kiba Kaingia kwenye Biashara ya Media Bado nimchanga sana Kwenye Biashara hizo kwaiyo hatupaswi kumpamba sana Bado sana subiria tuangalie kama Mwaka Mmoja atakua wapi alafu tutampa Maua yake maana asije akatuletea mambo ya Mo fire alafu akapotea Maana Katika Binaadamu ambao hawaaminiki ni Wanasiasa na Wasanii
@princessplatnum441611 күн бұрын
Kwakua kapiga atua atausipo mpa maua yake sisi tutampa Kama mashabiki kajalibu kiwango chake
@jamalahmad417311 күн бұрын
Kwani Unajuwa Kikeke Ni Nani Pale Au we Mgeni Hapa Bongo. Mtu Ameamua Kurudi kaacha Madola huko uk. Karudi kufunguwa Chombo CHAKE lna hivi Ndo Biashara Ndo inavyo Taka. Vitu vingi Hapa Bongo Watu Wana Shea Kama mtu Hujuwi Ndo utatokwa na Povu kwahyo kuhusu Uzowefu Kuna mzowefu wa hizo kazi😂😂😂
@user-pk1yl7zt8p11 күн бұрын
Fact yy ap n msindkzadj2 kikke ndo mmliki
@dottombilinyi59797 күн бұрын
salut kwa king aisee
@user-mv7km8lt5j11 күн бұрын
❤❤❤
@ModextaModexta-on7mi11 күн бұрын
🙏🤲🤲❤️❤️❤️❤️❤️👌👌
@bigirumanalululouise454010 күн бұрын
❤❤❤❤
@Mickmul-p3m11 күн бұрын
🎉🎉🎉
@DavidMbwilo-qk1bz11 күн бұрын
Ukimtaja Ali kiba mbele yake kuna kioo cha kujitizama kioo hicho ni diamond platnumz ndio kioo chake yote Kwa yote tunajifunza kupitia Kwa waliotangulia Safi sana Kwa king kiba
@MajutoElliasi9 күн бұрын
Ni wakati king kiba na konde waturie
@TwahaAlly-wb8mk8 күн бұрын
Hana mpizani
@DelightfulMacawBird-tl5hf5 күн бұрын
Hana sifa huyu kaka
@Mkombozi25511 күн бұрын
Acheni kumpamba hii ndiyo endorsement ya kwanza kubwa ya Ali kiba tangu awe msanii,
@user-oh8ig2cy9q11 күн бұрын
Sio wote wajinga wengine tunajielewa kama kilimo cha nyanya kinalipa ivyo sawa
@dicksonmichael579311 күн бұрын
Usikariri watu wanaficha vipato vyao kulinda husda na usumbufu wa vyombo vya kiserikali we jianike unazo uone watakavyokunyoosha ,we ushangai jamaa anafanya mziki kwa kujiskia lakini anaishi fresh jiongeze watu wanabiashara zao pembeni wana share kwenye makampuni na biashara za watu wengine we umekariri mziki tu na endorsement wenzio walishawaza mbali maisha bila mziki
@PozzTonny-in8vy11 күн бұрын
Mfalme
@user-by2gj2bw9f8 күн бұрын
Pull up
@moizjohnston384111 күн бұрын
Crown ni ya Ali I hope Kikeke atakua na shea tu,ni kawaida hata Wasafi Media ni ya Kusaga
@mustafamsati959911 күн бұрын
Kubari tu ndugu sasa utafanyaje ndo imeshatokea hivi akiajiliwa chaz hilali nae mutasemaje?
@lilianjeremia10249 күн бұрын
Anakuja n kasi ya 5G
@Qqambaa11 күн бұрын
Nina swali kiba ashawahi kuchorwa tattoo?? ni swali 2
@raydanfrenk11 күн бұрын
Ajawai labd kutoboa maskio
@mauwaishara735111 күн бұрын
@@raydanfrenkata maskio ajawai
@MkaliZuberi-rt3gb11 күн бұрын
Chibu apewe maua yake mapema maana kawafufua wafu
@keddyrichard51211 күн бұрын
Ulichongea uko sahihi ila wewe nitimu kiba so kwakumpambamba uko mbna madili yakawaida sana usafini tena ilo dili utakuta iyo bank ilimfafwata mkurugenzi wa WCB ya Simba lamasimba ila walishindwa mlipa coz zombe ukipenda muite haujui nimtyu waziwango zyajuu mno xjawahi jutia kua usafini
@user-pk1yl7zt8p11 күн бұрын
Ukinivhukia sikosi hela hivo kwang cyo kes kunicompea aaa haiwze kua fresh simba toka mbuga ya tandale naona swalaaaa wanafosiiiii tuwe salesale#goat is Simba forever
@jeremiahcharles602711 күн бұрын
Ila jaman penye ukweli tuseme ukweli ,,,,, DIAMOND PLATENUMZ Atabaki kuwa the best,,,,,,anglia mapokeo ya Media ya kiba ,,na compare na mapokeo ya wasafi Media
@AngelmackieCharity11 күн бұрын
Maumivu yakizidi muone daktari😅😅😅
@its_khalidy_4611 күн бұрын
Umekosea room, mzee huku ni chumba cha wanaume 😂
@omarzinga704611 күн бұрын
This shit mond did it a long way ago kiba just follow the way that mond created
@user-md9iy9qn1k11 күн бұрын
Sio radio yake nią kikeke tatizo hamuelewi ivi mtu anawezeje kuasha kazi uk 🇬🇧 na akasema atatumikia mtu yoyote atafanya yake sasa iyo ni yake Ila ipo kwa kimvuli cha kiba Ila sio yake kabisaa
@shabansued11 күн бұрын
Joh!! Kikeke Akuacha kazi ..though Amefanya kazi zaid ya miaka 20 😮
@salumabdallah299011 күн бұрын
Unateseka na maisha ya watu ukiwa wapi ivi kuna mtu anaye taka kujishusha kijinga 😂