Bonyeza link hii kujiunga kwenye channel ya Telegram ya SnS - t.me/+uYTdRVvi...
Пікірлер: 72
@AliNassor-qt6fmКүн бұрын
Aliyeuwa watu Japan kwa nyuklia , Libya , Afghanistan, vietnam ndo mtetezi wa haki za binadamu😢😢😢
@rumdeesonsoa181122 сағат бұрын
@@AliNassor-qt6fm Sikujua kuwa Libya, Vietnam na Afghanistan pia waliuawa kwa nuclear.
@mpjozzegalvanize492622 сағат бұрын
@@rumdeesonsoa1811 umeishia darasa la ngapi wewe?
@rumdeesonsoa181122 сағат бұрын
@@mpjozzegalvanize4926 La 20 je ww umeishia la ngp?
@mundhirothman984216 сағат бұрын
Hahaha hatari
@rumdeesonsoa181112 сағат бұрын
@@mpjozzegalvanize4926 La 20 je ww umeishia la ngp?
@lucymtui868021 сағат бұрын
Ni Mungu tu
@StevenPeter-ov7pjКүн бұрын
Sns❤
@sharifahabsi500419 сағат бұрын
Subhanallah 🎉
@steveanthon5523Күн бұрын
Nawaza ingekuwaje ikiwa Marekani pekee ndiye angekuwa mmiliki wa mabomu ya nyuklia duniani? hakika dunia ingekuwa mateka, Marekani ina ubabe mwingi wa kuonea nchi ambazo hazijiwezi, Hongera Urusi, China na Korea kaskazini kwakutengeneza hayo mabomu ya nyuklia ili angalau kuwe na usawa duniani.
@nugwiziwe7577Күн бұрын
Kiukweli walitamani iweivyo lakini ndo basi tena
@hirsirashid3741Күн бұрын
vipi mzee bring more stories asate
@SimbaHaji-jm7mdКүн бұрын
Makafiri kabisa
@andrewmallya1704Күн бұрын
Wakwanza..naomben like😊
@luckg12_tz_1020 сағат бұрын
Huyu Mungu siyo kipofu siku moja malekani nao wataonja hiki kiama
@IceCube-o6sКүн бұрын
Tuletee historia ya Soviet Union mpka kuanguka kwake please 🥺🥺🤲🤲
@Chettymlambalipsi-lb9kmКүн бұрын
Hata mimi natamani sana kujua
@christinewomanoffaith547919 сағат бұрын
Google
@ImanTv-c4hКүн бұрын
USA hii dhambi itwatafuna t mpk mwisho WA dunia 😢😢
@tp-kh8hl22 сағат бұрын
Inawatafuma kivp na kila siku ndo ssi tunawaomba misaada!..na wao wanaishi maisha bora kuliko ssi na umri mrefu zaidi yetu😅
@thelonewolf4429Күн бұрын
Wale wanaofikiri urusi ni inch ya mzaa endeleeni kushabikia ujinga inch zamagaribi zenyewe zikiongozwa na marekani zikiskia urusi anaongea kuusu nuclear bomb maana zinafaamu urusi ana tsar ambayo mojatu ni mara 1k kuzidi ile ya iroshima&nagasaki na hakuna inch nyingine inamikili bomb aina ya tsar ni urusi pekee. Sasa msiombe mashoga wakoloni wajichanganye kwa urusi na Ndio itakuwa mwisho wao
@raydanfrenkКүн бұрын
Ww ni pimb Akijichanganya wanazilipua zikiwa kwake au unajitoa ofaamu
@thelonewolf4429Күн бұрын
@@raydanfrenk wewe ni kiongozi wa pimbi ulimwenguni
@raydanfrenkКүн бұрын
@@thelonewolf4429 njoo nikupaka mafuta 😂😂😂
@thelonewolf4429Күн бұрын
@@raydanfrenk Paka babako shoga uchwara, You seem you were born accidentally
@HamzaMbasha-xs2kyКүн бұрын
@@raydanfrenkvikianza wala Rusia hata umia ana eneo kubwa sana hao wengi ndoo watajuta..
@asyajey3479Күн бұрын
Aisee Marekani ni magaidi sana
@swalehaltooq5233Күн бұрын
Wewe umepatia kabisa
@lucymtui868021 сағат бұрын
Wajue Mungu ni mkubwa
@King_Of_EverythingКүн бұрын
✌️👊👍.
@mundhirothman984216 сағат бұрын
Hilo bomu la urusi lipigwe marekani bora waonje uchungu
@peresmagasi5330Күн бұрын
Na bado kuna watu wanaamini usa ni nchi inayotetea amani dah😢
@raydanfrenkКүн бұрын
Ndio ww usipo amini acha
@Ibrahim-ne3inКүн бұрын
Akina Lisu
@rumdeesonsoa1811Күн бұрын
Ni nchi ipi sasa inayotetea amani?
@omondiowino7875Күн бұрын
ungejua jinsi wakati huo Japan ilivyokuwa ikiwanyanyasa akina china na Korea...hhah! wakati mwengine jaribu kuchunguza ni kwanini Marekani ilifanya hivyo na ni marangapi Japan walionywa ila wakajiona wao ndo kusema
@peresmagasi5330Күн бұрын
@@omondiowino7875 kwani marekani wao ni Nan kwenye hii dunia?wao wanasababisha migogoro mingapi kwa mlengo wa kuuza silaha,kuteteza tawala zinazopingana na matakwa yao kusababisha migogoro nchi na nchi,kuchonganisha tawala za nchi nyingine na raia wake kufanya mission za mauwaji kwa kusingizia magaidi kushirikiana na Israel kuuwa raia huko gaza kufanya mission za mauwaji kwa raia Syria,libya afghastan,Iraq wao mbna hawawi mfano wa amani zaidi kuleta migogoro kama iyo....mbna hawafuata wanachosema jumuia ya umoja wa mataifa coz wao ndo wanaamua kila kitu
@GodfreyRichard-v4fКүн бұрын
Kwekweli hayo mabomu hayafai kabisaaa nihatariii
@kalamamuller-qe1ydКүн бұрын
Alafu Japan na Marekani ni freinds this is nosense freindship between these 2 people
@AFRICA_D669Күн бұрын
Marekani itakuwa waliuwa watu wenye misimamo Mikali wakawabakisha wanyonge ndio maana walio baki waliduwaa vbya mno ,lonely, ukilema, namadhaifu mengi sana 😴😴
@HamzaMbasha-xs2kyКүн бұрын
Walipiga miji ya majasiri hao waliobaki ndoo hichi kizazi cha machawa..
@anny19988Күн бұрын
Japan ni koloni la US kama ilivyo Korea Kusini na EU
@AFRICA_D669Күн бұрын
@@anny19988 sasa mbona ile vita iliyo kuwa inapiganwa kwenye kanda ya korea nzima marekani ilikuwa ikipigwa sana na Japan mpka wakaamuwa watumie siraha yao ya mwisho ambayo ndo nucrle
@anny19988Күн бұрын
@@AFRICA_D669Baada ya hayo mabomu Japan waliamua kusurrender kwa Marekani. Wakaruhusu Marekani ajenge kambi za jeshi kwenye ardhi yao. Ukishakuwa na kambi ya jeshi ya Marekani kwenye nchi yako wewe ni koloni la Marekani. Pia Marekani alijenga kambi za jeshi nchini Korea Kusini , Ujerumani na EU ili kuzuia kuenea kwa sera ya Ujamaa ya Urusi. Marekani anataka kuwa mbabe wa dunia na alikuwa tayari kufanya chochote ili kuzuia kuenea kwa sera ya Ujamaa ya Urusi. Mfano mwingine, Marekani waliufadhili utawala wa Makaburu wa Afrika Kusini maana Nelson Mandela alikuwa rafiki wa Urusi. Pia Marekani ilishiriki kumuua Patrice Lumumba aliyekuwa anapendelea sera za Ujamaa. Marekani pia walipigana vita ya Vietnam ili kuzuia sera za Ujamaa za Urusi kusambaa sehemu nyingine za Asia.
@chrispincelestin6446Күн бұрын
Kipindi icho ndo Japan ilikuwa nawapa taabu china na korea
@KassimKhalaid20 сағат бұрын
Irepuliwe tu iyo dunia juu uyo neatnhyahu ataki kuskia zpigwe tu kwani vp
@Pedeshee01Күн бұрын
Nauza Urenium iliyorutubishwa kwa kilo
@AFRICA_D669Күн бұрын
😂dah
@Dreamtech.24Күн бұрын
SNS TV 😓🤲
@AishaTabi-e2zКүн бұрын
Weee hehemaskin
@huseinomary8088 сағат бұрын
Ila Japan n wajinga yn tungekua wabongo tusngepatana nae abadan