Ambokile siku moja moja, kumbe unakuaga na akili sana, ww ni mchambuzi bora kuliko wote!
@GreysoniLeonard6 күн бұрын
Unajua kaka we ndo chuma cha reli
@GreysoniLeonard6 күн бұрын
Christina mwagala awe makin na huo mchezo
@anithawidambe75437 күн бұрын
AMBOKILE UPO SAHIHI SANA WAMBIENI HAO WANDISHI HAWAJUI KUHOJI. WAMBIE HAO HAWAJUI.
@MarySaduu8 күн бұрын
Huyo mwandishi anaye hoji anazo kweli au ni chura huyo
@nadilhassan64148 күн бұрын
nikweli kuhoji watu ambao hawana ueredi niujinga kweli nimajukumu yake kweli ww nichuma Cha leli
@relaxstarman7 күн бұрын
Haohao yanga wamesahau washapigwa mpka gori 6 na simba 😂😂
@ibrahimkadibo8107 күн бұрын
Ambokile acha kuuza code zetu bas
@JosephatJoseph-c9m8 күн бұрын
Mwambieni mwagala apunguze kimdomo
@MohammadHashimu8 күн бұрын
Chuma cha mjerumani
@japhetmajige74818 күн бұрын
Mnasema Dube ni wa kawaida sana,,ila ikitokea akafunga Goli tatu kwa timu kama memelody,,,maanza kusema Dube ni hatari hakuna mshambuliaji kama Dube,,Acheni unafiki wabongo
@SaduPaschal8 күн бұрын
Huyo mamelodi unakutana nae kwenye ligi au mamelodi ya tanga hiyo😂😂😂
@bone102 hujui nilichokiandika ndo maana unatoa lugha chafu.Uwe unasoma ujumbe vizuri
@ZuberiHuseni7 күн бұрын
Mamelody legends timu yetu ya chuo😂
@omarswaleh60828 күн бұрын
FIFA muko wapi sasa mpira umekuwa ni kamari shida nikuacha matajiri kuingilia mambo ya football ndio unaona sasa wanashindana kipesa na sio tena burudani ya mpira TFF kama mutazembea mutaliachia hili jambo kutawala kwenye mpira basi ujue mpira umeisha