Ambwene Mwasongwe - Nimeachilia (Official Music Video)

  Рет қаралды 1,034,330

Ambwene Mwasongwe

Ambwene Mwasongwe

Күн бұрын

Ambwene Mwasongwe presents the Official Music Video for "Nimeachilia"
Maelezo ya wimbo wa Nimeachilia;
Wimbo huu ni wimbo uliobeba hisia za maumivu makali ya usaliti ambayo nimekuwa nikishuhudia kutokana na maisha ya watu...
Wengi wetu tuna doa kama si vidonda moyoni kutoka kwa watu tuliowapenda na kuwaamini sana lakini hawakutulipa imani, upendo na matumaini tuliyokuwa nayo juu yao.
Je! Umewahi kuumizwa na mtu kiasi ukisikia hata jina lake linaitwa unahisi kama bomu la nyuklia limepigwa moyoni mwako?
Kwenye maisha haya watu tuliowatarajia na kuwapenda sana na kutoa kila kitu chetu, moyo, mali, muda, fedha, wakati mwingine hata tumewachangia figo ili waishi.. LAKINI BILA KUTARAJIA WAKATUAMBIA HAWANA FUTURE NASI NA HAWAJISIKII KUENDELEA NASI.
Haya maneno huwa hayatoki haraka moyoni, ni kama kisu kikali kilichokaa motoni kimeiva na kinakata moyo huku kinachoma..... Yanaleta kizunguzungu, kichomi, presha na mawazo mengj...
MIMI NAKUPA POLE KWA LOLOTE ULILOWAHI PITIA KWA MAISHA YAKO... NA KWA KUGUSWA NA MAUMIVU YAKO, MUNGU AMENIPA WIMBO NIKUAMBIAlE SAMEHE NA ACHILIA, MBELE YAKO YAKO MAISHA MENGINE.
Wewe umezungukwa na watu wengi sana wanaokupenda wa kwanza ni #YESU ANAYEKATA KIU YA UPENDO ULIYONAYO, YEYE HAWEZI KUKUAMBIA MANENO KAMA ULIYOAMBIWA..
Wa pili una wazazi wako baba na mama wanakupenda sana mpaka mwisho hawawezi kukukatia tamaa...
wa tatu ndugu zako, dada, kaka, wadogo zako na wengine... majirani na marafiki zako.
KWA NINI UFE NA UUMIE KWA SABABU YA MANENO YA KUUMIZA YA MTU MMOJA NA KWA NINI USIISHI NA KUWA NA FURAHA KWA SABABU YA MANENO YA UPENDO YA NDUGU WENGI NA #YESU AKIWA NA UPENDO MKUU ZAIDI.
NA MWISHO
NIPO MIMI #AMBWENEMWASONGWE NINAYEACHIA WIMBO WA KUKUPONYA KESHO JUMATATU TAR 13 Saa 1:00 usiku. USIKOSE WIMBO HUU #NIMEACHILIA
Kuanzia kesho tutasema kwa njia ya wimbo
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
#Nimeachilia #SemaTenaNIMEACHILIA.

Пікірлер: 1 500
@gaspersafari3816
@gaspersafari3816 11 күн бұрын
Huu wimbo unaponya moyo
@saraphinajohn9112
@saraphinajohn9112 Жыл бұрын
Tuliopona kupitia wimbo huu gonga like hapa mungu akubaliki ambwene🙏
@sophiakyalo1
@sophiakyalo1 8 күн бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏 After suffering for months finally my heart is at peace 🙏🙏🙏🙏🙏 si rahisi but let them go , achilia everything that is hurting you and tormenting you , may we all fine peace
@rachaelyusuph8492
@rachaelyusuph8492 Жыл бұрын
Wimbo unaponya maumivu yotee mtu aliyo nayo Moyoni.Mungu akubariki sana Una sehemu yako peke Yako peponi.Hunaga wimbo usio na maana kwenye maisha ya watu umezaliwa kwa Makusudi Libarikiwe Tumbo La mama yako aliyekuzaa🙏🙏🙏🙏
@user-gu2os1ns2f
@user-gu2os1ns2f Жыл бұрын
Kabisaaaaa mungu ni mwemaaa
@allenangumbwikewillieson6178
@allenangumbwikewillieson6178 Жыл бұрын
Lyrics!!! Ulipanda mti mzuri ukategemea kuvuna matunda, Ila mti wenyewe umezaa miba na michingoma, Uliwekeza muda na mali ukamwagilia ukitarajia, Matarajio yamekuwa sio sasa umebaki na maumivu, Japokuwa uliiona miba ulijipa muda ukapogolea, Ulitarajia mabadiliko ladba kesho mti utazaa, Sasa imekuwa kinyume mti wako mwenyewe unakuchoma! Unaliaa aaaaaaahh! (Ukimbuka mbegu) Unaliaa aaaaaaahh! (Ukikumbuka maji uliyo mwagilia) Unaliaa aaaaaaahh! (Ukikumbuka kazi uliyo wekeza) Sio kila kinacho kuja kwako ni chako, na si kila kiondokacho kwako ni chako, Hata kama unavipenda sio vyako, Vingine Mungu huviondoa ili wewe ubaki salama, Iwe kazi, nafasi, mahusiano au cheo, Japo vyaondoka kwa maumivu, Ila jifunze kuviacha viende, Nafasi ya moyo wako mpe Mungu. Chochote kile kikuumizacho Kufikia hatua ya kukua, Jua ulikikalisha mahali Pa Mungu! Jifunze kukiacha kiende, Jifunze kusema bye bye, Maana sio vyote vyakwako! Walitoka kwetu hawakuwa wakwetu, Maana wangekuwa wetu wangelikaa nasi, Walitoka ili wafunuliwe sio wote wa kwetu! Walitoka kwetu hawakuwa wa kwetu, Wangekuwa kwetu wangelikaa nasi, Walifunuliwa ili tujue sio wote wa kwetu! Eeeeh! Eeeeh! (Nimeachiliaaaaa) Aaah! jifunze kuuambia moyo wako… (Nimeachiliaaaa) Hata kama inauma sana jifunze kusema… (Nimeachiliaaaa) Eeeh! nimesamehe Mungu anaona mimi, (Nimeachiliaaaa) Tafuta mahali pa pekeyako, Mahali hakuna akuonae, Mahali pa siri pa utulivu, Mahali hakuna akusikiae, Ukakumbuke machungu yako, Maumivu yako na machozi yako, Ukayakumbuke maneno yote, Yakuumizayo moyo wako, Ukakumbuke vitu ulivyo poteza, Kakumbuke muda na watu wa karibu, Kakumbuke hasara uliyo pata, Usiyasahau machungu yoyote, Lia usibakishe machozi, Lia usiyameze yoyote, Toa yanayo uthibu moyo, Toa yasibakie yoyote! (Aaaaah!!! Aaaaah! Aaaaah!) Toa usibaki na machungu, Hakikisha umetuliza moyo, Umesahau yote yaliyo pita, Achilia wote ulio shikilia, Waache waende si riziki yako, Hakikisha umekuwa mwepesi, Ji’editi moyo ubaki salama, Inuka sema kwa ujasiri, Nimeachilia ninaanza upya, Inuka jikung’ute mavumbi, Yakale yamepita sasa ni mapya! Nimeachiliaaa semaa, Nime achi lia!! Nimeesamehe yote, (Nimeeachilia) Nimejinyonyoa manyoya ya kale, Sasa ni mwepesi (Nimeeachiliiia) nimeota mapya, Aaaaah! Aaaaah! Aaaaah! Sasa niko huru, Nina luka luka na maisha mapya, Nimeeachilia (Nimeeachilia) Nimesamehe sasa ninayo amani, Ooh ooh Oooh Maumivu ya kale nimeyaacha nyuma. Nimeeachilia!! Yooow! Nimefunguliwa, nimewekwa huru, nina amani Bwana kaniwezesha!! Yooow! Yooow! Yooow! Sijinyongi tena, sijiui tena! Bwana Yeye ni Bwana wangu wa moyo wangu! Yooow!!
@yonasingooi7458
@yonasingooi7458 Жыл бұрын
@enjoysabuni3635
@enjoysabuni3635 Жыл бұрын
🙏🙏🥰🥰🥰
@barakamwakajumba
@barakamwakajumba Жыл бұрын
Ambwene umebarikiwa Kwa wimbaji napenda wimbaji wako saana yaan tangu nimeanza kusikiliza nyimbo zako nabarikiwa sana nataman siku moja nijekua kama wewe, Mungu aendelee kukubaliki.
@jacksonmrema4737
@jacksonmrema4737 Жыл бұрын
Mungu naomba unisamehe na unisaidie pale mm nilipokuwa sababu ya yeyote kuimba wimbo huu aachilie awe na amani, naomba Umpe nguvu na usimame naye awe imara kama Tai...Na mm nimeachilia kwa Machozi moyo wangu usahau, Mungu naomba Unipe Nguvu. 08 August 2023
@mercynnko3416
@mercynnko3416 Жыл бұрын
Nimepitia mazito for the past three months I lost my son after three day of delivery mwanaume alinitesa sana nilikua nimesema siwezi pona kutoka kwenye ile experience but Thank God nipo sawa nimepata amani ya moyo baada ya kuachilia kila kitu Mungu Akubariki Ambwene Nice Song
@eliakimulimboka6748
@eliakimulimboka6748 Жыл бұрын
pole sana, MUNGU akupe nguvu na uinuke tena na tena atakuinua sana na atakupa Amani
@jenipheryese378
@jenipheryese378 Жыл бұрын
Waaah pole sana mamaa...Mungu akupe amani ya moyoo
@RmwanashaMbeteRMM
@RmwanashaMbeteRMM Жыл бұрын
Hugs
@mercynnko3416
@mercynnko3416 Жыл бұрын
@@eliakimulimboka6748 Amina
@mercynnko3416
@mercynnko3416 Жыл бұрын
@@jenipheryese378 Asante ubarikiwe
@kashindiseti4493
@kashindiseti4493 Жыл бұрын
Therapy❤️🙏. Nimeachilia; Jehovah wewe wajuwa❤️🧎‍♀️🙏
@beatricekalisti3372
@beatricekalisti3372 Жыл бұрын
Yani nimeusikiliza huu wimbo hadi nimeamua kubadili maisha nimemrudia mungu nilikua sifai kabisa ameen ubarikiwe kaka ambwene🙏
@luizaathanas2904
@luizaathanas2904 Жыл бұрын
Yesu anakupenda ♥️
@josephmusa6990
@josephmusa6990 Жыл бұрын
Amen kagusa huasilia wa maish ya watu
@happylema3801
@happylema3801 Жыл бұрын
Barikiwa
@FurahiniSanga-i4h
@FurahiniSanga-i4h 22 күн бұрын
Nimeachiria kabisa kutoka mume nilie mpenda sana kanitelekezea watoto3na mimba ya4 na kutokujali familia yake kabisa na sasa nimesikia wimbo huu nimeinuka tena nimesamee nimeachiria ee Mungu nisaidie nilee watoto wangu
@matthewjames3380
@matthewjames3380 4 ай бұрын
Huu wimbo ulitia moyo Sana wakati nimeachwa kwa mara ya kwanza nauskiliza niliurudia rudi sana kwasababu sku naachwa ndio siku ya kwanza nauskia nikajiuliza kwani huu wimbo nimetungiwa Mimi au!!! nilihakikisha napata namba ya Huyu Muimbaji nikampigia akanitia moyo nikapona Mungu Akuinue Sana Baba yangu @AmbweneMwasongwe
@mbalilax162
@mbalilax162 Жыл бұрын
It's not just a song, it's a therapy📌
@shadrackwilfred1828
@shadrackwilfred1828 Жыл бұрын
It's very nice song...be blessed brother Ambwene
@kissajaphet2928
@kissajaphet2928 Жыл бұрын
Absolutely true
@siamrema
@siamrema Жыл бұрын
Indeed
@_fizzle
@_fizzle Жыл бұрын
yu said it correctly
@sharonlivingstone9415
@sharonlivingstone9415 4 ай бұрын
I remember I had pregnant,,lakini jamaa alikata kiukweli nilipata maumivu makali maana ckuwai waza kwamba hili jaribu lingenipata,,after some time due to stress while I was pregnant nilipata shida kiafya nikazaa wakati ambao sio na mtoto hakueweza kusurvive for long,,japo nilikimbiwa huh wimbo utanipa ujasiri wa kusame na kusau na kupata mwanzo mpya,,ubarikiwe sana
@lisserbrown9304
@lisserbrown9304 5 күн бұрын
🫂 dear
@DannyMuvunga-cz9zs
@DannyMuvunga-cz9zs 10 күн бұрын
Nduguyangu Ambwene Mungu wa Mbinguni aku tumiye kama chombo kyake kya sifa
@yohanaagastinymasumbuko8181
@yohanaagastinymasumbuko8181 Жыл бұрын
Jamn ambao tumesubilia kwa ham gonga like bas
@yohanaagastinymasumbuko8181
@yohanaagastinymasumbuko8181 Жыл бұрын
Namshukul mungu man Badi namtegemea ataniinua na mm mana naipenda hii kaz
@dynesssanga1948
@dynesssanga1948 Жыл бұрын
Haleluja nimejifunza kusema byebye
@wilsonemanuel9915
@wilsonemanuel9915 Жыл бұрын
Ulipenda mti mzuri ila siyo chako, Napenda sana kaka nyimbo zako
@wilsonemanuel9915
@wilsonemanuel9915 Жыл бұрын
Na mm nimeachilia
@estamichoromichoro5634
@estamichoromichoro5634 Жыл бұрын
Hata nami naachilia kwa jina la YESU. Naamini kwa neema ya Mungu nitapata mme ambaye yuko sahihi kwangu naomba na kuamini AMINA 🙏
@jaccquelinemakungu1777
@jaccquelinemakungu1777 Ай бұрын
Huu wimbo naona nimetungiwa Mimi maana nilikuwa naishi kwenye maumivu nashindwa kutoka siku natoka ndio naona wimbo unapigwa duuh si mchezo ku move on na watoto 3. Nimeachilia Sasa I'm so happy nime edit moyo kwa kweli
@siscoministry8400
@siscoministry8400 Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu .... I declare you are the best song writer in Tz....this is healing song...🔥🔥🔥...no one expected ....huu wimbo ni Balaa... Umechana( Rap) 😂🙌🏿🙌🏿🙌🏿..... Walitoka kwetu ,hawakua wa kwetu..wangekua wa kwetu wangelikaa kwetu ..walifunuliwa ili tujue sio wetu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿, Umebarikiwa Sana Daddy Ambwene Mwasongwe.🤴🏾
@JoyceAmlima-mg4hl
@JoyceAmlima-mg4hl Жыл бұрын
Hiyo Rap from 1 Yohana 2:19 & Ambwene yupo vizuri abarikiwe
@lilianokomba1607
@lilianokomba1607 Жыл бұрын
Nimeurudia huu wimbo almost 100 times. Si shibi kuusikiza. Thank you for using your talent to bless us. Beautifully done.
@amosizebedayo9190
@amosizebedayo9190 Жыл бұрын
Hakika wote walio niumiza nimeachilia 🙏😌 ubarikiwe Mtumishi Ambwene
@faustinammilla757
@faustinammilla757 Жыл бұрын
Uwiiii nimemuumiza mtu but still nampenda
@farajahalenko924
@farajahalenko924 Жыл бұрын
Amina mtumishi wa bwana,barikiwa sana🙏🙏kwa wimbo mzuri hakika nimebarikiwa sana pia nimejifunza kupitia wimbo huu kuachilia napitia mambo mengi ila mungu akanifunge mkanda kupitia wimbo huu.
@innocensiamwabena3787
@innocensiamwabena3787 Жыл бұрын
Nimebarikiwa mno
@agathasungura5047
@agathasungura5047 Жыл бұрын
Hii nyimbo sichoki kuisikilizaa
@amosizebedayo9190
@amosizebedayo9190 Жыл бұрын
@@agathasungura5047 hakika
@UweraPeruth-tw2hz
@UweraPeruth-tw2hz Жыл бұрын
huu wimbo ulinigusa moja kwa moja nilipo pitia mambo magumu yakumpoteza my first born wangu 😭😭😭
@eliamwita-leokatikahistori1271
@eliamwita-leokatikahistori1271 Жыл бұрын
Pole sanaaaa
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Жыл бұрын
Pole mpendwa 😭
@UweraPeruth-tw2hz
@UweraPeruth-tw2hz Жыл бұрын
@@eliamwita-leokatikahistori1271 asante sana
@UweraPeruth-tw2hz
@UweraPeruth-tw2hz Жыл бұрын
@@PaulinaSemindu-ob3de asante my dear
@Susy0610
@Susy0610 Жыл бұрын
This is what we call Ministry, barikiwa Mtumishi Kwa kweli nimeachilia 🙏🙏
@jiskakablack3402
@jiskakablack3402 Жыл бұрын
Ambwene, kweli vita Yako ni kubwa anayekupambania ni mkubwa Sana. Huu wimbo umepambana ndgu .sijui ilikuwaje ila naamini ubora huu wimbo ni ukubwa wa vita na mzigo ndani Moyo
@deborajoseph5270
@deborajoseph5270 Жыл бұрын
Nimeachilia hata Kama kinauma😭, barikiwe mtumishi
@Susy0610
@Susy0610 Жыл бұрын
Ingawa ni uchungu na inauma, itabidi tuachilie ndio Yesu Kristo akaweza kuponya mioyo yetu. Let go and let God Shalom
@jp.productionpasho6893
@jp.productionpasho6893 Жыл бұрын
How How 7th is 0
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 8 ай бұрын
Huu wimbo umenikumbusha mbali sana alikuja kama mti wa matunda mazuri ila wanadam wakasimama hata wale walikuwa karibu pia wakawa wanafiki kumbe wanalao jambo. Kweli sio Kinachokuja kwako ni chako maana Mungu aweza kuwa na njia zake. Nikweli ukiona jambo lakuuma ujuwe umelikalisha mahali pa Mungu. Yusuf ktk nyumba ya Potifa alipotezwa kwa kumkatalia Boss Mungu akampa muujiza wa Uwaziri Mkuu akitokea gerezani😭😭😭🙏🙏🙏
@jacksonygodiwe7417
@jacksonygodiwe7417 Жыл бұрын
huu wimbo Like umeniimbia mimi, Ahsante sana Mtumish wa Mungu, Yesu akutunze sana
@mfariji
@mfariji Жыл бұрын
Nimelia sana nikiangalia wimbo huu. Hujapitia usaliti, huwezi kujua maumivu yake. Kuachilia ni muhimu lakini sio rahisi kabisa. Mungu atusaidie, tuachilie. Nahisi nahitaji kujifunza kuacha viende, nahisi nahitaji kupata mahali pa peke yangu, mahali pa siri, pa utulivu ambapo hakuta kuwa na anisikiaye, nilie tu, nisamehe yote, nikakumbuke machungu yote, nikayatoe yote, nikaachilie wote walionisibu moyo, nikayatoe machozi yote niweze kusema nimeachilia. MUNGU NISAIDIE.
@janethmabwa1012
@janethmabwa1012 Жыл бұрын
ubarikiwa sana mtumishi ,nimepita kipindi kigumu sana nusura ya kupoteza uhai wangu ,wimbo huu ni kama Mungu amekutumia uutoe wakati huu kwaajili yangu mtumishi ...Amen nimebarikiwa na nimejifunza kua kumbe sio vyote ni vya kwetu na vinavyoondoka kwetu sio vyetu na nafasi ya moyo wangu nimpe Yesu🙏
@wistonbigera989
@wistonbigera989 Жыл бұрын
Pole Sana, trust in God
@afcambassador4566
@afcambassador4566 Жыл бұрын
Pole sana
@anusiatamichael1957
@anusiatamichael1957 Жыл бұрын
Umesema kweli..
@jamesfanuel4595
@jamesfanuel4595 Жыл бұрын
1 Yohana 2:19 Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.
@janethmabwa1012
@janethmabwa1012 Жыл бұрын
@@wistonbigera989 ahsante amina
@majormanaseh5668
@majormanaseh5668 Жыл бұрын
"Sio kila kinachokuja kwako ni chako" this part went deep down in me🤲🥹🥹
@gracejoshua6519
@gracejoshua6519 Жыл бұрын
Me too brother
@ipyanakajembula7879
@ipyanakajembula7879 Жыл бұрын
Sure brother
@mercykasyoka4007
@mercykasyoka4007 Жыл бұрын
Mpenzi wangu ndiye amenitumia wimbo huu na anadhani mimi smpendi sasa ameenda naomba mungu amrudishe kwangu kwa utukufu wa Mungu 😢😢😢😢
@pascallyaruu
@pascallyaruu Жыл бұрын
Kwa huu wimbo kuna jambo inabd niachilie maisha yasonge, siyo kwa Maisha haya aisee,ahsantee Ambwene mwasonge umenifar sanaaaaa sanaaa.Amina mtumishi.
@emmymwanjala2788
@emmymwanjala2788 8 ай бұрын
Huu wimbo nimeuona live ktk maisha yangu mwaka 2023. Namshkuru Mungu alinivusha salqma ktk kipindi cha msongo wa mawazo. Amina.. nimesamehe Mungu anaona
@KahindoChristelle-o6v
@KahindoChristelle-o6v 6 күн бұрын
Wimbo inanibariki sana mungu akupe Maicha marefu😢😢😢😢 ukuenaniombea sana
@MariaWaYesu
@MariaWaYesu 3 ай бұрын
Ninapitia Wakati Mgumu Sana ambao Sijawahi pitia katika Maisha yangu tongue nizaliwe, YESU nishike Mkono Usiniache, Ukiniacha Ndo mwisho wangu BABA 🙏🙏😭😭😭😭
@user-ml2mu6er9h
@user-ml2mu6er9h 3 ай бұрын
Pole kipenzi kila kitu kitakaa sawa
@lisserbrown9304
@lisserbrown9304 5 күн бұрын
Hugs dear
@chimsmulumbi8937
@chimsmulumbi8937 Жыл бұрын
Ni kama Roho wa Mungu aliniongoza nipate wimbo huu... Two days ago nilifiata hubiri kuhusu Kusamehe, I told to God that I want but sina nguvu ya kuachiliya... Ndipo wimbo huu nikaupata. Kwa hakika nnimehudumiwa n'a Roho wa Mungu kupitiya wimbo huu...
@gotafostv7305
@gotafostv7305 Жыл бұрын
Mtumishi Ambwene nimekuelewa sana baba ,nakujua kuwa ni mtu wa point(hoja) nzito sana zenye fikra na tafakari za rohoni sana ,mimi huwa nasikiliza nyimbo zako kwa umakini mkubwa,neno hata neno ,kwa mfano kwenye huu wimbo nimenukuu neno zito sana ulilosema (NIACHILIE KWAKUWA HAWA WALIOONDOKA WALICHUKUA NAFASI YA MUNGU) ,Kumbe hiyo nafasi ilikuwa akae Mungu ,lakini cha ajabu nilimkaisha huyo mtu,nimeelewa kwakuwa mimi ni moja ya vijana niliyesaidia sana watu wengi sana kumjua Mungu na kuwagharamikia sana,kiasi cha mimi kuishi maisha magumu sana,lakini waliniacha na kuondoka ,aiseeh nimebarikiwa na kuelewa sana ujumbe huu
@zuberinyenzi1982
@zuberinyenzi1982 Жыл бұрын
@@maryemmanuel8462 😳
@maryemmanuel8462
@maryemmanuel8462 Жыл бұрын
Ndugu yangu pole Sana hii simu kunamtu aliishika kwakweli hadi nimeogopa
@user-zf8ok2zz3o
@user-zf8ok2zz3o Жыл бұрын
Naenda kuachilia kusamehe kutoka moyoni stalia tena nimekusamehe mme wangu nilikubeba moyoni nenda uweda mm sio fungu lako
@user-zo3yk9fg5w
@user-zo3yk9fg5w 11 ай бұрын
❤❤❤😅😅 😅
@apostlejoshuakuhanda5524
@apostlejoshuakuhanda5524 Жыл бұрын
My brother Ambwene. Thank you for this deep message. Your song and the message in it has healed and restored my heart. I'm a new person. I cried out for help and now through this song I realise that the lord God has heard my prayer. May you be more anointed and live long in his presence. Amen Amen Amen
@luizaathanas2904
@luizaathanas2904 Жыл бұрын
Amen get healed 🙏
@mabulaamos9256
@mabulaamos9256 Жыл бұрын
Kaka napenda unavyopangilia maudhui yako na uimbaji wako, Mwenyezi Mungu azidi kukubariki sana.
@gloriamoshi5220
@gloriamoshi5220 Жыл бұрын
The healing song, it's like you are reading our minds, thank you for the ministry Ambwene,let our almighty God continue using you exceedingly and abundantly. I am blessed 💕💕
@preshTzpreshTz553
@preshTzpreshTz553 10 ай бұрын
Nenda Joachim sitaki tena nikufikilie maisha yangu yote hata kama nipo kwenye mji wenu hata nikikuon uwe wa kawaida sana naachalia kila kitu
@tukuyufm
@tukuyufm Жыл бұрын
wimbo huu umeshirikisha kila tarajio la fikra zetu, na ndiyo maisha ya kila mmoja, "mtumishi anaimba universal lessons - mafunzo yanayolenga kila mtu duniani. katika umbo la ndani Napendelea sana maudhui ya mguso wa roho unayoifanya ( fikra + utashi wa kuamua mema). Hakika mungu amekupa mbio za akili kwa urefu na upana wa kuzikatiza fikra za jamii kwa nyimbo za FARAJA ZINAZOTIBU MATUMAINI kwa ukubwa nyimbo ulizoimba tunaishi nazo kilasiku zinaachilia bado mienendo mizuri. Mungu akubariki sana namwomba mungu aibariki familia ya mwamlenga kwa kazi njema ya mungu unayoitumikia hapa duniani.
@emmanueljacobo-iy5sf
@emmanueljacobo-iy5sf Жыл бұрын
Hakika
@tukuyufm
@tukuyufm Жыл бұрын
@@emmanueljacobo-iy5sf mfumo wa muziki wa injili unatupa faraja na MATUMAINI yenye uhakika. Tupo hapa duniani tumezingirwa na hali zinazojiri katika miguso ya huzuni, masononeko, chuki, na kujikatia hamu ya kuendelea kuishi. Pamoja na miguso ya furaha, amani na upendo ambapo ndio mahali sahihi pa kuishi kwa macho ya elimu ya nje.
@tukuyufm
@tukuyufm Жыл бұрын
ndugu @@emmanueljacobo-iy5sf tunahitaji sana elimu ya ndani (elimuyaroho) kuzistahimili hali pasipo kujali utegemezi tuliouwekeza awali .
@berthabraison7979
@berthabraison7979 9 ай бұрын
Umenibariki sana mtumishi nilifiwa na mchumba wangu 😢 sijakaa vzr Mama yangu mzazi sina Baba hatasikuwahi kumuona leo Mama nae Ameniacha nililia nilipousikia Wimbo nililia sikubakiza machozi namshukuru Mungu
@selinagwandu8183
@selinagwandu8183 9 ай бұрын
Pole dear
@user-yk9ts7pj7d
@user-yk9ts7pj7d 8 ай бұрын
Mungu ni mwanifu nilifiwa na baba na namiaka 13 na baada ya miaka 6 mama kututoka na nyuma yangu watt wa 5 Mimi nilibaki baba na mama wa wadogo zangu niliumia kupita kawada,wimbo huu wanipa faraja tunashukuru Mungu tuna ishi vyemaa ko wimbo huu uwe faraja kwa wote
@lisserbrown9304
@lisserbrown9304 5 күн бұрын
Hugs 🫂 dear Mungu akupe faraja kuu
@mikenickson6585
@mikenickson6585 Жыл бұрын
Imenichukua takribani miaka 2 lakini baada ya kuskiliza hii nyimbo nimepata mwanzo mpya ......Nimeachilia mimi nimesamehe 😭😭😭ijapokuwa ilikuwa ni ngumu maumivu makali sana lakini leo nimepona
@anethturinge2472
@anethturinge2472 9 ай бұрын
Nilikua na mwanaume nampenda sanaa lakn aliniumiza sanaa nilikua nafikilia adi kujiuwa lakn kupitia hu wimbo nimejifunza kuachilia sio kilakinacho kuja kwako ni chako balikiwa🙏🏼mtumishi🙏🏼 wa mungu kwakweli nimeachilia sijiuwi tena🙏🏼
@dashconceptz
@dashconceptz Жыл бұрын
100% Ministry When you know the assignment and the One who has called you for His purpose you do not worry about views but you just worry about fulfilling His will. May God remember you man of God
@kwilasajunior5367
@kwilasajunior5367 23 күн бұрын
KUNA NYAKATI TUNAZIPITIA HAKIKA HUU WIMBO UNAKUPONYA KABISA 🎉🎉🎉
@surendereka5982
@surendereka5982 Жыл бұрын
Huu wimbo Mungu ameuleta ili useme nami, NIMEACHILIA NA NIMESAMEHE, ninaimani YESU atalejesha yote maradufu🙏🙏🙏🙏🙏
@mdoefernandes5442
@mdoefernandes5442 Жыл бұрын
Im Muslim but hii nyimbo haitaji ITIKADI KALI saana kusikilizaa ujumbe mzuri saaana
@gloriousnp
@gloriousnp Жыл бұрын
Ikr 🙏🏿
@SPK450
@SPK450 Жыл бұрын
Ambwene is not only talented, but also blessed I really feel blessed too listening to this song
@esteragustino6141
@esteragustino6141 Жыл бұрын
Amina
@crisndembwele4016
@crisndembwele4016 Жыл бұрын
😥😥😥Daah umenigusa sana kaka nilikata tamaa niliona km MUNGU anawatu wake nilipoteza Kila nilichotegemea kiwe msaada kwangu mipango yangu yote iliyeyuka 😥😥😥lakini umenifanya nione naweza kuanza upya 🙏🙏🙏 MUNGU akubariki sana kwakutibu mioyo yetu iliyopondeka
@neykidoti102
@neykidoti102 Жыл бұрын
Message nzuri sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu Ambwene
@carlowilly1600
@carlowilly1600 Жыл бұрын
nimeachilia ee bwana kama ni mahusiano n ndoa vtkuja kwa wakat wake
@alphyzqrw7222
@alphyzqrw7222 10 ай бұрын
I came across this song today morning on TV. I feel bad the woman I already introduced to my family ghosted me without any reason... Her absence made me crazy! I went to her place and she didn't want to see me. We've had an on and off relationship for the last 4 years. Anyway, NIMEACHILIA!
@lisserbrown9304
@lisserbrown9304 5 күн бұрын
Pole jamani 😢
@mariammganga5061
@mariammganga5061 Жыл бұрын
Wa MUNGU ni wa MUNGU tuuuu,, mshike Sana MUNGU kwani tunaamini yuko ndani YAKO,,, YESU KRISTO anang'aaa ndani yako
@eunicenyaboke86
@eunicenyaboke86 Жыл бұрын
najuwa na nimeamini Mungu uko na sababu na mimi huu wimbo umenipata wakati wa machozi 😭😭wacha nilie yote kisha niwachilie 💔🙌 ahsante mtumishi wa Mungu umenifunza kitu 🙏
@afcambassador4566
@afcambassador4566 Жыл бұрын
Pole
@rusimgoya1449
@rusimgoya1449 Жыл бұрын
Pole san
@sarahmmbando2467
@sarahmmbando2467 Жыл бұрын
Ni Mungu tu anajua 😢nimeachilia imeniponya 🙏🏻😭Utukufu kwake aliyeweka huduma hii ndani yako
@niccobrianreality6940
@niccobrianreality6940 Жыл бұрын
The wait is a finally over Kenyans 🇰🇪🇰🇪leave a Like and show this Great Man Of God love
@prospermsogoya177
@prospermsogoya177 Жыл бұрын
Im just healed psychologically instantly...Yesu Kristo nitakuweka moyoni mwang ukae wewe tuuu other things baadae
@abelpilato8851
@abelpilato8851 Жыл бұрын
Congratulations mwamba hakika siku zote huwa nasema hujawahi kosea kwenye kazi zako uko full package mtumishi hukurupuki mungu akutunze my brother God is good all the time 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💚💛💪
@einothlaizer7563
@einothlaizer7563 Жыл бұрын
Story of my life,,barikiwa sana mtumishi wa Mungu
@JoyceAmlima-mg4hl
@JoyceAmlima-mg4hl Жыл бұрын
🙏🙏🙏 huu wimbo umenigusa sana ni maisha yangu kabisa.... Ubarikiwe sana ambwene ♥️♥️♥️ nikweli vingine Mungu huviondoa Ili tubaki salama.
@joshuaayoub840
@joshuaayoub840 Жыл бұрын
Ni nyimbo ambayo kama vile nilikua naisubiri katika uponyaji wangu wa kuachilia niliyoyashika na yalionitesa kwa mdaa. Ubarikiwe sanaa mtumishi wa bwana. #NIMEACHILIA SASA😢
@SekelaMwakagile
@SekelaMwakagile Жыл бұрын
Be blessed alot son of God
@witnesmkemwa2562
@witnesmkemwa2562 7 ай бұрын
2023naona umekuwa mwaka wa shetan🙏🙌🙌nilipitia magumu sana😭😭but mapenz Yana changamoto sana🙏🙏ILa nyimbo hii ilinipa moyo sana
@marthakambona87
@marthakambona87 Жыл бұрын
YESU utuhurumie utufunulie vilivyo vyetu😭🙌
@mathewmassawe5982
@mathewmassawe5982 Жыл бұрын
Ameeen!! Nimeachilia,! huyu ndo AMBWENE MWASONGWE! MUNGU akubariki sana kwa ujumbe huu mzuri, MUNGU aendelee kukutunza kwenye huu utumishi wa kumuimbia, uendelee kumuimbia kwa uzuri na utakatifu.
@brunomapunda831
@brunomapunda831 Жыл бұрын
Nachokupendea ambwene wewe Baba unaimba wimbo kwa ajiri ya utukufu wa MUNGU. Hauenendi kama dunia inavyotaka bali unafanya kile kinatakikana mbele za MUNGU, unafanya yaliyomapenzi ya MUNGU. Hakika MUNGU hatokuacha chini. Atakufanya mfalme
@ivvansiwiti9085
@ivvansiwiti9085 Жыл бұрын
AMBWENE WEWE MUIMBAJI WA MFANO NIMEJIFUNZA KUJUA HII 🙏🙏
@renatusmillambo2014
@renatusmillambo2014 Жыл бұрын
Huyu ndugu ndiye hunipa MAHUBIRI ya madhabahuni.....dah....siyo kwa jumbe hizi....Wala huu siyo wimbo...Bali Ni wito kwa kila MMOJA wetu........Ambweneeeeeeeeeeewwwww
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 Жыл бұрын
nime barikiwa sana na mwibo huu mpaka naurudia kusikia kila nikiweka nyimbo ata nikiwa nafanya kazi nasikia moyowaku unaimba mwibo uhu bila kutarajia 🙏🙏💯💯 Mungu akubariki mtumishi amen.
@invocavitmbise5296
@invocavitmbise5296 Жыл бұрын
MUNGU huviondoa ili ubaki salama.....!!!🎤
@liannsambu7264
@liannsambu7264 5 ай бұрын
Ila kwenye hii Dunia jamani , hapana hapo ndipo unaona Bora kuwa pekeyako na YESU TU , Maana people mmmmm hapana jamani
@cleveraziz1673
@cleveraziz1673 Жыл бұрын
Uuuuu wimbo visa vinafanana na vyangu nimeachiliaa nafasii imebakii kwakoo mungu , gospel upande juuu ihubiriwe injilii
@user-un4fe3qg6d
@user-un4fe3qg6d 8 ай бұрын
Jamani ihi nyimbo inaniusu mwanzo mwisho mim kabisa nimeumia Sana mwaka 223 mwanamke nilio mpa kipaumbele kwenye Maisha yangu tena tulipanga nimuoe mwezi wakumi nambili Ila akayavunja mapenzi yangu na kwenda kuolewa na mtu mwengi mwenzi hule hule nilio panga nilipitia magumu sana na nilikata tamaha kwa kila kitu .Ila bado najitia moyo japo muda unazidi kusonga .
@user-un4fe3qg6d
@user-un4fe3qg6d 8 ай бұрын
Nimeachilia 😂😂
@brandymassay2142
@brandymassay2142 8 ай бұрын
I pray everything goes well on your side in Jesus name
@user-un4fe3qg6d
@user-un4fe3qg6d 7 ай бұрын
Thank you brandy
@lisserbrown9304
@lisserbrown9304 5 күн бұрын
Hugs dear Mungu atakupa mwingine wako wa pekee 🫂
@eliudmadilisha5546
@eliudmadilisha5546 Жыл бұрын
Yan niwimbo mzur lakin ulivyo malizia kuimba haifanani kabisa nawimbo ulivyo na ujumbe mzur lakin niwimbo mzuri mungu akubaliki lakin haija pendeza kabisa ulivyo imba huko mwisho.
@witymazubu2977
@witymazubu2977 10 ай бұрын
2023 huu nilianza vyema lakin katikati ya mwaka nilipitia magumu ambayo nilisema mungu hichi kikombe kwangu kikubwa sana kupoteza nyumba ,kazi ,mume , biashara kuanza moja siyo jambo rahisi tena kwa mara moja ila siku nasikia hi nyimbo nilijipiga kifuwa nikasema nahitaji kuachilia na kushukuru paka leo November 3 nasema mungu asante sana niliachilia ukanipa mwanzo mpya
@jenipherkyando4822
@jenipherkyando4822 Жыл бұрын
Kumbe vingine vilikuwa sio vya kwetu tukang'ang'ania ona vilinyotutesa maana vingekuwa vya kwetu vingebaki kwetu 🙏🙏 Amina
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 Жыл бұрын
Kuna waombaji Alaf Kuna Ambwene mwasongwe/Mwamlenga🙏🙏🙏 our gifted gospel singer
@edsonedmond6919
@edsonedmond6919 Жыл бұрын
Nimejifunza mambo mengi nakutafakari yalio mengi sijawai kuelewa Uwezo aliyo uweka ndani yako ,kwa utunzi mashairi ,na maneno magumu Unayo yatumia katika nyimbo zako acha Mungu akufinyange zaidi tuweze kupokea mengi kupitia wewe Mtumishi wa Mungu aliye hai
@nebartsanga7890
@nebartsanga7890 Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwakwel umefanyika baraka sana kwa utunzi wa nyimbo zako zote zina tia moyo sana na kufariji saana Najivunia uwepo wako ktk Tanzania yetu Mungu akubariki sanaaa
@jeninyereu5576
@jeninyereu5576 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu binafsi nimeachilia yoooteee
@BenadethaSanga-db8zz
@BenadethaSanga-db8zz Жыл бұрын
NIMEACHILIA huu wimbo umekuja muda muafaka kwangu hakika MUNGU ameniponya kupitia huu wimbo ubarikiwe sana mtumishi
@emmanuelmhina7176
@emmanuelmhina7176 Жыл бұрын
True story about me. Wakati nikitafakari nikakuta mtu mwingine anasononeka Kwa anayoyapitia, rafiki ake akamwambia usilie, sikiliza NIMEACHILIA. Ndipo nami nikajikuta hapa. Naamini lipo suluhisho mbeleni 🙏
@josephmazala6271
@josephmazala6271 Жыл бұрын
Ujumbe mzuri, watu wengi wanashikilia uchungu wa usaliti mioyoni mwao. Wajifunze kwa Yesu Kuachilia. Maana alipokuwa akifa msalabani aliwaombea watesi wake kuwa Mungu awasamehe. Sehemu ya mwisho ya wimbo .... maneno yo yo yo sijajua kama ni taaluma ya muziki au la, lakini ni kama uimbaji wa rapping, na nafikiri haikupaswa kuwa hapo.
@josephamchilo2256
@josephamchilo2256 Жыл бұрын
Nyimbo zako zinatupa ujasiri Sanaa kiroho!!!
@royalpriesthoodpraiseandwo3149
@royalpriesthoodpraiseandwo3149 Жыл бұрын
sanaaaaaaaaaaaaa aiseeee
@josephamchilo2256
@josephamchilo2256 Жыл бұрын
Umeonaaa eeeeh!!!! Huwa napenda kusikiliza nyimbo zakee hata ukiwa na uchungu moyoni unapata ahueni aiseee
@royalpriesthoodpraiseandwo3149
@royalpriesthoodpraiseandwo3149 Жыл бұрын
@@josephamchilo2256 mimi nilisikiliza wimbo ulinipa ujasiri mkubwa saana ule wa misuli ya imani hadi leo sichoki kuusikia
@geraldlaurent6750
@geraldlaurent6750 Жыл бұрын
Umeniombia Mimi huu wimbo mtumishi ubarikiwe nimechilia aende tyu dunia itamfundisha
@carolinejohn9201
@carolinejohn9201 Жыл бұрын
Kwakweli inatupasa tuachilie ili Mungu Ainue ukuu wake ndani yetu 🙌🏾🙌🏾
@janerosealetasmbunda3235
@janerosealetasmbunda3235 Жыл бұрын
Nimeachilia MUNGU wangu,Nimewasemehe wote jaman ndugu zangu wotee nimewasemeh
@nehemiamwashinani1821
@nehemiamwashinani1821 Жыл бұрын
Thank you 🙏 Dear Lord nilisha achilia yote yamepita nashukuru Mungu ulinivusha salama!! 🙏🙏✅
@bestchoice383
@bestchoice383 Жыл бұрын
Yani huyu kaka anaimba jamani ...nyimbo zake zinanirudisha sana kwenye uwepo ....God bless you @ ambwene
@nossimlukumay5327
@nossimlukumay5327 Жыл бұрын
Kuna mambo hatuwezi kuelezea kwenye maisha yanatuumiza kiasi cha kuwaza kujiua huu wimbo umenifunza mengi kwa sasa NIMEACHILIA
@namdigumagwenge193
@namdigumagwenge193 Жыл бұрын
Amen 😢😢😢eeee yesu nionekanie Mimi ninyoshee mkono wa ukombozi juu ya maisha yangu ponya moyo wangu, maisha yangu na vizazi vyangu vyote
@eliahjeremiah6487
@eliahjeremiah6487 Жыл бұрын
Hii nilikuwa naipenda since siku ya kwanza naiskia nilikuwa naimba mwenyew ndan kwangu mpaka nalia na nilikuwa sjui kwann na sikuwa najua nini nmeachilia now ni two month toka nilipoamua kubadilisha maisha yangu na leo nmejua kitu gan nilikuwa namaanisha wakati naimba kipind kile😢😢😢😢
@anethmapunda7734
@anethmapunda7734 Жыл бұрын
Ukisikia Mungu huwa anazungumza na watu kupitia mtu au wimbo ndio huku sasa Leo Mungu amesema n mm kupitia huu wimbo Nilikuwa natembea na kinyongo na maumivu makali moyoni, Nimeachilia Leo naaza upya MUNGU AKUBARIKI KAKA AMBWENE HUDUMA YAKO IZIDI KUSONGA MBELE 👏👏
@iddymwakapugi7894
@iddymwakapugi7894 Жыл бұрын
Hakika Mungu ni Mwema sana wimbo mzuri sana na hakika tumebarikiwa sana🙏🙏
@josephkangwano3950
@josephkangwano3950 Жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi kwa kazi nzuri 💯💯
@SaraMdoe
@SaraMdoe 3 ай бұрын
Kwa wimbo huu naamini nitavuka maumivu haya maana kwa uwezo wangu siwezi😢
@suzanneullimboka-hp2hz
@suzanneullimboka-hp2hz Жыл бұрын
Baba huwa unaimba nyimbo nzuri sana zinanibariki lakini huu wimbo umenibariki zaidi
@mrmartinipaul2464
@mrmartinipaul2464 Ай бұрын
Mmmh japo ni ngum kuachilia😢😢😢 Imagne ada yoote nililipa mimi alivaa atakavyo akamiliki sim za gharama na pc kwasbb yangu then baada ya kumaliza chuo kaniblock na kuolewa na mwingine eti kisa ameona akiolewa na mm hawez kuwa na sauti kwangu milele coz nimemtoa matopen😢😢😢😢
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw 7 күн бұрын
Pole sana
@eliamwita-leokatikahistori1271
@eliamwita-leokatikahistori1271 Жыл бұрын
Jaribu la ndoa au kuondokewa na uliyempenda sanaaa inaumaa sanaa lakini ja achabu Mungu huwaleta watu kwako ambao hukutarajia na huweza kuutuliza moyo jifunze kuachilia viende ambavyo huna uwezo kuvizuia vibaki
@roseasimwe827
@roseasimwe827 Жыл бұрын
Walitoka kwetu hawakuwa wetu wangekuwa wetu wangekaa kwetu amen, ubarikiwe mtumishi
@elitagoodluck4840
@elitagoodluck4840 Жыл бұрын
Hii ni therapy haki tena MUNGU akubariki kwa kazi nzuri...🙏
@hurumaelmanyareg
@hurumaelmanyareg Жыл бұрын
A verily healing song. Mungu azidi kukubariki na kukuinua kaka Ambwene Obadia Mwansongwe
@nurunzyela-no7bi
@nurunzyela-no7bi Жыл бұрын
Huu wimbo umenibarik sana na najua umetubariki wengi hasa hiki kipindi ambacho vijana wengi tunapitia usaliti umekuwa janga kubwa aisee nilikuwa na wakat mgum ila huu wimbo umekuja wakati mwafaka nmeachilia wote nmeachilia yot am free
Ambwene Mwasongwe - Tumekubalika na Mungu(Official Music Video)
7:17
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 581 М.
Uso Wangu
9:52
Emmanuel Mgogo - Topic
Рет қаралды 113 М.
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 48 МЛН
Just Give me my Money!
00:18
GL Show Russian
Рет қаралды 1000 М.
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 15 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 98 МЛН
Ambwene Mwasongwe - Unikumbuke (Official Music Video)
7:56
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 922 М.
Dr.Ipyana - NAWEZAJE KUNYAMAZA//NAMNA HII SIJAONA
15:41
Dr Ipyana
Рет қаралды 702 М.
Ambwene Mwasongwe - Nifundishe Kuomba (Official Music Video)
7:15
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 232 М.
OMBI LANGU BY AMBWENE MWASONGWE (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
5:52
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 4,2 МЛН
AMBWENE MWASONGWE - NITAAMBATANA (official music video)
7:48
Ambwene Mwasongwe
Рет қаралды 400 М.
Rutuma ndirimba || James&Daniella
9:10
JamesDaniellaTv
Рет қаралды 232 М.
Nikurejeshee
12:42
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 348 М.
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. Ipyana
15:42
Dj Marita
Рет қаралды 2,2 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 48 МЛН