Na hiyo $ 18 ni ndogo inategemea state gani au kama mgonjwa akiwa private unalipwa up to $ 30 per hour Alhamdulillah
@irenemtui929123 сағат бұрын
Watu wana fikra mbaya wakati hawaja wahi kuwa marekani wanaona tunateseka tunafanya kazi za ajabu ila siyo kweli Diana anaongea ukweli malipo mazuri sanaa tena zile kazi tunazo zidharau ndo kazi zenye pesa nzuri. Nani nalipata 10M kwa mwezi akiwa huko? Sema tu ukiishi huku bills nazo nyingi but ukiwa na mipango maisha mazuri sanaa huku. Acheni kusema tunateseka.
@aminatanzanya747519 сағат бұрын
Nina mpango wakuja huko pls nipe mawasiliano nikuulize mawili 3
@stellahlinusi82153 сағат бұрын
next year naja na mm
@AlHamra-k4uКүн бұрын
Diana na lulu walitisha kwenye movie zao. Diana aliendaga wapi jamani
@ednaJF102823 сағат бұрын
Actually Kuna hiyo kazi anayofanya some of them ni $30 $40 $50 kwa saa
@ednaJF102823 сағат бұрын
Mana wanalipa kwa saa Na ukitaka ulipwe vizuri usiajiriwe uwe unafa wanaitwa in call hiyo huwa wanalipa vizuri ndo kazi ya kuazia mostly ukifika huku
@FredrickMatiku-xf2uk20 сағат бұрын
Mimi niliishi uingereza nilienda kusoma nilishangaaa sana nilifanya shoping nilitumia zaidi ya paundi 2000 nikakaribia kumaliza poketi money yangu ikabidi nianze kufanya kazi nipate kipato part time job for student sababu niliona nguo zangu za kibongo nilizonunua za kishamba local sana nilikuwa navaaa kama nimetoka kijijini ikabidi nifanye shopping ya nguo mpya uingereza
@Mkwanja-Odds-Win10 сағат бұрын
Kazi za Caregiver😂😂 mabaharia tunaita Kazinyeusi Sema hapo kasahau kusema Bills Bills Bills Bills 😂😂 Utajikuta huna ata mia usipo kuwa na D2 😂😂😂
@FredrickMatiku-xf2uk20 сағат бұрын
Kubeba maboksi ni kazi za viwandani warehouse kazi hakuna kukaaa ni kusimama ukisikia kengele ya burekiiii mapunziko unafurahia unanyosha na mgongo migongo inakuwa inauma ni viwandani machine zinaandaa bidhaaa mnaweka mnapaki mnabeba maboksi kigari kinakuja kinachukua iyo kazi ndiyo ilinifanya nikiimbie uingereza na kurudi bongo baada ya kumaliza kusoma sikuona futureee
@UpendoGidion-b9j2 минут бұрын
Jamani Kuna community health workers, au home basic care tunaombeni mtuunganishe huko tuko tayari kufanya kazi. Tafadharini
@khadi-z4o18 сағат бұрын
Hata mimi Napata Mil8 Kwaushee Kwamwezi.ILA HAPO HUYO HAJAFAFANUWA. HIYO HELA SIYO YOTE YAKE HAPO KUNA MAKATO YANYUMBA,KUNA HELA YAKO YAMATUMIZI,CHAKULA KUVAA,USAFIRI,N.K INAMAANA HAPO KAMA KAPATA POKET MONEY YAKE ANAWEZA KUPATA KUPATA MPAKA MI5 SAFI KABISA. HUWO NDOOUKWELI ANAPASWA AFAFANUWE 🇬🇧
@Masokabya084 сағат бұрын
ilikuwa mya 12 years.
@FredrickMatiku-xf2uk20 сағат бұрын
Unaweza ukalipwa milioni 10 hizo dollar 5000 us dollar lakini kule ni marekani sio tanzania gharama za maisha ni kubwa tofauti na tanzania na kuna kulipa kodi na bili zako mwenyewe maisha yaende chakula na mahitaji mengine na maisha ni gharama kulingana na mji unaoishiii bado na ndugu tanzania wanakuomba pesa unaweza usifanye ata maendeleo tanzania au kusave mambo ni mengi
@ChenchiKing20 сағат бұрын
Ndo Ukweli Huo
@irenemtui929118 сағат бұрын
@@FredrickMatiku-xf2uk you have to be smart
@FredrickMatiku-xf2uk12 сағат бұрын
@@irenemtui9291 ukiwa smart sana unaweza ukawa kama mtumwa unafanya kazi zaidi ya 2 au 3 na bado kipato kinaweza kisitoshe vile vile
@MohamediKalanje9 сағат бұрын
Hv vidox huwez kuzungumza bila kunyanyukia kiti hv ni staili ya kutafutia maneno ya kuongea au nn sijaelewa😂
@Masokabya084 сағат бұрын
sorry ilikuwa myaka 12 years.
@sharifamahamudu1828 сағат бұрын
Kulea wazee mshara wake mtamu atar
@ChenchiKing20 сағат бұрын
Kaz Ni Nying Huku🇺🇸Na Ndo Pesa Ilivo Ahijalish Ni Kaz Imagine Kuna Kaz Zingn Zinalipa 💵19-20