AMPLIFAYA: DIANA KIMARI ATAJA MSHAHARA MTU ANAYEHUDUMIA WAZEE MAREKANI “INAFIKA MILIONI 10”

  Рет қаралды 4,930

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 23
@levismbowela4630
@levismbowela4630 22 сағат бұрын
Kipindi kizuri Sana fanya iwe tivii💯💯💯💯
@samiamshangama4738
@samiamshangama4738 17 сағат бұрын
Na hiyo $ 18 ni ndogo inategemea state gani au kama mgonjwa akiwa private unalipwa up to $ 30 per hour Alhamdulillah
@irenemtui9291
@irenemtui9291 23 сағат бұрын
Watu wana fikra mbaya wakati hawaja wahi kuwa marekani wanaona tunateseka tunafanya kazi za ajabu ila siyo kweli Diana anaongea ukweli malipo mazuri sanaa tena zile kazi tunazo zidharau ndo kazi zenye pesa nzuri. Nani nalipata 10M kwa mwezi akiwa huko? Sema tu ukiishi huku bills nazo nyingi but ukiwa na mipango maisha mazuri sanaa huku. Acheni kusema tunateseka.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 19 сағат бұрын
Nina mpango wakuja huko pls nipe mawasiliano nikuulize mawili 3
@stellahlinusi8215
@stellahlinusi8215 3 сағат бұрын
next year naja na mm
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u Күн бұрын
Diana na lulu walitisha kwenye movie zao. Diana aliendaga wapi jamani
@ednaJF1028
@ednaJF1028 23 сағат бұрын
Actually Kuna hiyo kazi anayofanya some of them ni $30 $40 $50 kwa saa
@ednaJF1028
@ednaJF1028 23 сағат бұрын
Mana wanalipa kwa saa Na ukitaka ulipwe vizuri usiajiriwe uwe unafa wanaitwa in call hiyo huwa wanalipa vizuri ndo kazi ya kuazia mostly ukifika huku
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 20 сағат бұрын
Mimi niliishi uingereza nilienda kusoma nilishangaaa sana nilifanya shoping nilitumia zaidi ya paundi 2000 nikakaribia kumaliza poketi money yangu ikabidi nianze kufanya kazi nipate kipato part time job for student sababu niliona nguo zangu za kibongo nilizonunua za kishamba local sana nilikuwa navaaa kama nimetoka kijijini ikabidi nifanye shopping ya nguo mpya uingereza
@Mkwanja-Odds-Win
@Mkwanja-Odds-Win 10 сағат бұрын
Kazi za Caregiver😂😂 mabaharia tunaita Kazinyeusi Sema hapo kasahau kusema Bills Bills Bills Bills 😂😂 Utajikuta huna ata mia usipo kuwa na D2 😂😂😂
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 20 сағат бұрын
Kubeba maboksi ni kazi za viwandani warehouse kazi hakuna kukaaa ni kusimama ukisikia kengele ya burekiiii mapunziko unafurahia unanyosha na mgongo migongo inakuwa inauma ni viwandani machine zinaandaa bidhaaa mnaweka mnapaki mnabeba maboksi kigari kinakuja kinachukua iyo kazi ndiyo ilinifanya nikiimbie uingereza na kurudi bongo baada ya kumaliza kusoma sikuona futureee
@UpendoGidion-b9j
@UpendoGidion-b9j 2 минут бұрын
Jamani Kuna community health workers, au home basic care tunaombeni mtuunganishe huko tuko tayari kufanya kazi. Tafadharini
@khadi-z4o
@khadi-z4o 18 сағат бұрын
Hata mimi Napata Mil8 Kwaushee Kwamwezi.ILA HAPO HUYO HAJAFAFANUWA. HIYO HELA SIYO YOTE YAKE HAPO KUNA MAKATO YANYUMBA,KUNA HELA YAKO YAMATUMIZI,CHAKULA KUVAA,USAFIRI,N.K INAMAANA HAPO KAMA KAPATA POKET MONEY YAKE ANAWEZA KUPATA KUPATA MPAKA MI5 SAFI KABISA. HUWO NDOOUKWELI ANAPASWA AFAFANUWE 🇬🇧
@Masokabya08
@Masokabya08 4 сағат бұрын
ilikuwa mya 12 years.
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 20 сағат бұрын
Unaweza ukalipwa milioni 10 hizo dollar 5000 us dollar lakini kule ni marekani sio tanzania gharama za maisha ni kubwa tofauti na tanzania na kuna kulipa kodi na bili zako mwenyewe maisha yaende chakula na mahitaji mengine na maisha ni gharama kulingana na mji unaoishiii bado na ndugu tanzania wanakuomba pesa unaweza usifanye ata maendeleo tanzania au kusave mambo ni mengi
@ChenchiKing
@ChenchiKing 20 сағат бұрын
Ndo Ukweli Huo
@irenemtui9291
@irenemtui9291 18 сағат бұрын
@@FredrickMatiku-xf2uk you have to be smart
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 12 сағат бұрын
@@irenemtui9291 ukiwa smart sana unaweza ukawa kama mtumwa unafanya kazi zaidi ya 2 au 3 na bado kipato kinaweza kisitoshe vile vile
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 9 сағат бұрын
Hv vidox huwez kuzungumza bila kunyanyukia kiti hv ni staili ya kutafutia maneno ya kuongea au nn sijaelewa😂
@Masokabya08
@Masokabya08 4 сағат бұрын
sorry ilikuwa myaka 12 years.
@sharifamahamudu182
@sharifamahamudu182 8 сағат бұрын
Kulea wazee mshara wake mtamu atar
@ChenchiKing
@ChenchiKing 20 сағат бұрын
Kaz Ni Nying Huku🇺🇸Na Ndo Pesa Ilivo Ahijalish Ni Kaz Imagine Kuna Kaz Zingn Zinalipa 💵19-20
@irenemtui9291
@irenemtui9291 18 сағат бұрын
@@ChenchiKing that’s right
ZA NDANI, JOYCEKIRIA AWAJIBU KUHUSU UFUGAJI WA KUCHA
7:30
Wasafi Media
Рет қаралды 406
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 13 МЛН
Остановили аттракцион из-за дочки!
00:42
Victoria Portfolio
Рет қаралды 3,1 МЛН
Je peux le faire
00:13
Daniil le Russe
Рет қаралды 21 МЛН
Mbunifu wa trekta ya kulimia kwa kutumia injini ya mashine ya kusaga
3:56
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
BBC News Swahili
Рет қаралды 378
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 13 МЛН