upuuzi kabisa, omba BWANA Mungu akusaidie, acha kudanganya watu.
@EvaFMlamboАй бұрын
Nitakuomba sana, Pastor kama unavyo jiita tafadhali acha kudanganya watu.
@KashindiMazimwekabilaJamesАй бұрын
Uyo jama alisha elewa ila anasikiyaaya yaku mukubali yesu. Huruma sana kabisa
@ubunifu113Ай бұрын
Barikiwa sana kwa majibu mazuri, wasabato kukuelewa ni vigumu lakini huo ndio ukweli
@kudra2.Ай бұрын
Napenda mada sana
@SamuelBarasa-r8sАй бұрын
Hamuwelewi hamana roho wakiristo. sabato ni jumamosi amr hapatiliki
@cosmassisa5256Ай бұрын
Someni Waebrania 4:1_13 kuhusu sabato mtaelewa
@user-sx8iz4dj8n21 күн бұрын
Piga kelele usiache wahubilie dhambi yao wana wa yakobo
@japhetndoro6533Ай бұрын
We'we wapotosha watu Kwa kusema sabato iliisha
@user-nt1lf8rr9gАй бұрын
Elewa vizuri siku haina kitu chochote, hali siku nikwabwana atakama jumatano,
@JeanMuzaliwa-bs6qhАй бұрын
hawa bado wanafunzi amuna lolote eti Mungu amebadi amri ya 4 ata mtu mwenye akili zake akiwasikiliza atawaona muko ma chizi kbs nendeni mukajifunze kwanza!
@user-it7ih1it3mАй бұрын
Ww ndo bado mwanafunzi huelew walimu wako
@EvaFMlamboАй бұрын
Kwanini sisi wanadamu tuna changanikiwa na NENO la BWANA?. Kwanini tuna pinga Amri za BWANA?.
@petromachanga5538Ай бұрын
Umekalia uyahudi
@user-nt1lf8rr9gАй бұрын
Kwani kama sabato nikwabwana kunashida gani kukiwa najumatano kwa bwana? Naona povu kubwa kukutoelewa maana ya sabato kwa bwana, siku yanini, kama lengo nikwabwana?