We kajamaa wewe kaovyo Sana mjumbe wa ibilisi Bwana akukemee
@mayaladominico2126 Жыл бұрын
Siku hizi vichaa mnavaa vizuri.zamani walionekana majalalani Leo wanahubiri injili Kwa uongo poleni waumini wake.
@ryobanchagwa249919 күн бұрын
WEWE MBWA KASORO MKIA TENA WEWE SHOGA NA UTAWEZA KUFA KWA KUMKANA YESU KRISTO
@The1979bornagain Жыл бұрын
Hii ndiyo injili ya kweli japo inashangaza sana kusoma maoni ya watu wengi yanayoonesha kuwa hawaelewi kabisa. Nadhani ni kwa sababu wengi hawaelewi wala kutambua kazi ya kifo cha Yesu msalabani. Ee Mungu tupe neema ya kufumgua akili na ufahamu ktk jina la Yesu Kristo, Amen! Asante mtumishi wa Mungu wa kweli!
@WTC4924 ай бұрын
Wewe Mzee tafuta kazi za kufanya nyingine nakuonea huruma. Sio hicho unachofanya.
@yudachelango68245 ай бұрын
Pumbafu sana, hakuna kitu kinachokosa sheria na kanuni,, imani vilevile
@witnessmlay74156 ай бұрын
Shetani kazini.
@MwaminiKifyasi2 ай бұрын
Iseee we kazee. Wewe injili Gani kajinga wewe
@OdhiamboLazaro-y8oАй бұрын
Yaani hayo masikio Yako yanaonyesha usikii kabisa.
@ryobanchagwa249919 күн бұрын
KWA NINI SERKALI ISIMFUNGIE HUYU KANISA
@usausatv2781 Жыл бұрын
Wewe Mtumishi Wa Munguuu Ao Umetumwa Na Shetanii? Mungu Akusamee Maana Hujuwi Unacho Kifanya Kupotosha Kanisa La Kristo Alilo Lifiya Kweli?
@focusernest5610 Жыл бұрын
Potosheni sana ila mshahara wenu upo
@jessicamorrison289 Жыл бұрын
Yesu mwenyewe kila siku alikuwa akimponya mtu anamwambia usitende tena dhambi yasije yakakukuta makubwa kuliko hayo, mwanamke mzinzi pia aliambiwa na Yesu mwenyewe nenda lakini usitende tena dhambi, maana yake bado dhambi ipo. Acha kudanganya watu. Ni lazima kuishi maisha matakatifu maana Mungu ni mtakatifu. Hata Yesu aliishi Duniani bila kutenda dhambi
@faustinelias3284 Жыл бұрын
aiseee nimeamin kazi ya ibirisi unaifanya vizur siku ikifika atakuri vema
@abelsimon8830 Жыл бұрын
Utaishije maisha matakatifu Kama unadhambi? ILI UISHI MAISHA MATAKATIFU INAKUPASA USIWE NA DHAMBI.HESABU NDIYO HII.
@WTC4924 ай бұрын
Asante kumkosoa huyu jamaaa.
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
2 Wathesalonike 2:9-10 ; kwa sababu walikataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, naye ataleta nguvu ya upotevu , wauamini huo uongo,ili wapate malipo yawasitahiriyo Matendo yao upotevu wao
@georgeahadi-zg2fn Жыл бұрын
Kwa kweli shetani anakutumia
@godfreyobadiah789210 ай бұрын
Wengine kwanza avute ndipo apande mazabahuni.
@godfreyobadiah789210 ай бұрын
Waambieni wake zenu wasitumie mafuta mengi ktk mapishi huondoa uasilia wa ubongo !
@mayaladominico2126 Жыл бұрын
Zinatafutwa.zinaliwa.
@loner_wolf4 ай бұрын
Huyu ndio yule wa ushoga twende tu mbinguni .
@SalomeMpota4 ай бұрын
Maiti zinazoongea....mashoga hawa daah
@duncankipendaroho8833 Жыл бұрын
Biblia hauwezi kuielewa kwa kusoma nusunusu hivo. Biblia ni kwa muktadha
@ameliaamos3903 Жыл бұрын
Amen
@muromuro80374 ай бұрын
Masikio kama ya nguruwe wale waliokuwa na mapepo
@ryobanchagwa249919 күн бұрын
Na washirika wamekaa wanamsikiliza huyu kobe kweli cheki macho na masikio
@petermpenjwa1225 Жыл бұрын
Chumvi ya ulimwengu leo umekolea saana
@SeifSalim-x5k4 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
Mungu anasema kitabu cha mwanzo 6: Nanukuu, Binadamu baada ya kuzidi,usoni pa nchi,Wana wa Mungu wakawaoa binadamu ni wazuri wakawaoa,...Maasi yalipozidi usoni pa nchi,.Mungu akagairi kumuumba mwanadamu aliyemuumba, akasema nitamfutilia mbali mwanadamu na wanyama: Mwanzo :6:6
@manumunemanumune-uj6jq3 ай бұрын
Ninyi mawakala washetani ninyi acha kuwapotosha wana wa Mungu utwo tu hela mnato pewa tutaishia hapa hapa duniani
@duncankipendaroho8833 Жыл бұрын
Kwani Paulo si ndiyo huyohuyo mmemkataa kwenye mafundisho yenu? Hapa tena mnamkubali?
@judithmtiesa89453 ай бұрын
Mwenzangu ,hata Mimi nimesema hivyohivyo kama umenisikia hapa!kaah!
@ludovickvedastus3979 Жыл бұрын
Nondo n nzito sana 😅
@aluneanthony34688 ай бұрын
Watu wanataka kusafisha dhambi zao kwa nguvu zao wenyewe akat kwenye torati kuna sheria 623 kama binadam utaziweza??
@Kachuba-w9p4 ай бұрын
Kkkk hawana dhambi😂😂😂😂😂duh
@aluneanthony34688 ай бұрын
Hatuna dhambi kwa sababu kristo ameshamaliza dhambi zetu kalvari lakini watu wengi nadhan hawajui kazi ya Yesu . Endeleeni kutubu 😂😂sisi tupo kwenye neema ya KRISTO Yesu ameshatubebea dhambi zetu😊
@jimonmwakalebela9470 Жыл бұрын
Mawazo yako
@VirginiaWaithera-f1n3 ай бұрын
Hivi kuna watu wanawafwata hawa wachungaji nitashangaa
@heritier5119 Жыл бұрын
Kina zumaridi hawa wamemezeshwa biblia na waganga wa kienyeji wa Nigeria
@godfreyobadiah789210 ай бұрын
Ndio maana waisilamu wanauchoka ukristo.
@danielmrashani87103 ай бұрын
Huyo sio mkristo maana awezi kuhubiri neno la kristo
@HappyAtom-qd5sz6 ай бұрын
Pasta shoga
@sylvesterjoseph4575 Жыл бұрын
Makanisa ya mafundisho ya uongo huo
@ezekelmabesa4324 Жыл бұрын
Nimesikiaaa wa pumbavu wengi ila wew ni grade A hahahahaha unapotoshaa live bila chengaa
@abelsimon8830 Жыл бұрын
Kumbe wewe unaipenda dhambi endelea kuimiliki.
@titojb47034 ай бұрын
Ukiua itahesabika nini?
@IssaSeleman-b2t6 ай бұрын
Ndomaan ss waislam tunamashaka nabibilia sio kitabu chamungu natunauhakika kutokana nakufuru zilizomo
@duncankipendaroho8833 Жыл бұрын
Man of comedy
@CharlesThomasiАй бұрын
Aliye ndani ya Yesu hatendi dhambi , Sasa unakuta walokole wa Leo wanasema wanadhambi kwani Kristo Alikuja kufanyeje uko saw kabisa
Wachungaj wa Leo wanakaa wanahubiri dhambi kila siku hivi mtu amekuja kuokoka haraf bado unamkumbusha mambo ya dhambi ,badala ya kuhubiri upendo wa Kristo,wao ni dhambi TU walokole bana ndio mana wanakua maskini
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
Tusemeje nini basi? Tudumu kutenda dhambi ili Neema izidi kuwa nyingi? La hasha! Sisi tulioifia dhambi tuishi ktk dhambi? Waumi 6:1-2;
@salarose5980 Жыл бұрын
kweli wakati umewadia mafundisho haya duuh yesu tusaidie ili tufike
@fredymbilinyi6323 Жыл бұрын
Nani anamwelewa huyu jamaa . Anieleweshe🤔
@loner_wolf4 ай бұрын
Wenzako wanasema Yesu ni mungu .....naww nikuulize swali , Torati ni kitabu cha mungu alichokitelemsha mungu mwenyewe kupitia malaika Jibril ktk kifua cha Nabii Mussa . Sasa wewe unasema torati itoke ije neema , kwani ninani huyo aletaye neema hata amshinde mungu ? Yaan neema ni ya nani ?
@RastaSuma2 ай бұрын
Nyinyi machoko wakubwa
@WorshippersofGodarmy-ot1mk12 күн бұрын
Mmeihonga serikali au, maana serikali inakimbilia kufungia Wana maombezi, kwa sababu huyu ni mtanzania ndio maana mmemwacha? Sasa kama serikali inafanya kazi hapa sasa ndio tutaona mapunguani kama huyu, asiejitambua mpumbavu mwalimu wa wapumbavu, kichaa, mwalimu wa vichaa, punguani, wa mapunguani
@danmike5701 Жыл бұрын
Huyu ni mbwa mwitu Mkali
@robertmondu3878 Жыл бұрын
Hivi hata kama huna akiri timamu or unavundisha mazezeta broo
@EdwinKapinga-hg5kw4 ай бұрын
Wewe unasikiliza cheka tu unadhan labda ni furaha,jaman wakati wa mwisho huu tubadilike sabato ITABAKI pale pale ndo inayo mtambulisha MUNGU mwenyewe,NAJISI vitabaki kuwa najisi,DHAMBI ITABAKI kuwa DHAMBI,POMBE ni halam, kama una mbingu yakwako endelea kutumia na kumfhata mfuasi wa JOKA atakufanya nawewe ukose MBINGU
@solomonmugao47333 ай бұрын
Huyu Ni nabii Wa uongo. Yes mwenyewe Ni mdhambi Wa ajabu Wa kukana yesu. . Ndigvyo unaona wengihawataki kufuata biblia. Wewe utapotea Na wwengi
@pastoralexanderofficial60233 ай бұрын
Ninani alikuabia bona mnaubiri kwakukurupuka tu
@godfreyobadiah789210 ай бұрын
Nyoko
@SeifSalim-x5k4 ай бұрын
😂😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676 Жыл бұрын
Ila nyie Ila nyie mmepotoka wazi wazi wala kuwajua ninyi mnafundisha uongo ni rahisi,
@lucasjuna73002 ай бұрын
Huyu katoka wapi!!!?Kichaa kabisa huyu
@EdwinKapinga-hg5kw4 ай бұрын
BIBLIA nikitabu pekee cha Mungu mwenyewe fuatilia ufaransa kiliwakuta Kwa sababu kukataa BIBLIA na Mungu mwenyewe shetan hawatakii mema Wanadamu ndio maana kunamawakala kama hao wanaohubiri uongoo,wewe mwislamu nenda urudi BIBLIA ita aki kuwa takatifu 2timotheo3:16-17,waebrania4:12,mithali30:5-6,zaburi119:9-11,99,155,165,isaya8:20,mathayo5:17-19,ufunuo22:19,soma utaelewa,DHAMBI ITABAKI TU KUWA DHAMBI msimsikilize anaye Nena kama JOKA ufunuo13:6,
@petermpenjwa1225 Жыл бұрын
Chuma hunoa chuma
@duncankipendaroho8833 Жыл бұрын
Imekwisha nini mwanadamu?
@odilomwemeziernest646 Жыл бұрын
Ila shetani amewaleta wahuni wengi.
@odilomwemeziernest646 Жыл бұрын
Hawa jamaa nashanga,wameikataa Biblia na kuna Bible wanaisubili iletwe .hivo nafikri haitaandika dhambi.
@mpefu_49364 ай бұрын
Anaubiri pumba tu huyu
@amanimolell4204 Жыл бұрын
Acha kuongea mambo usio yajua warumi 6.1
@amanimolell4204 Жыл бұрын
Ufunuo 21.6-8
@daniellaiser4672 Жыл бұрын
Huyu sio mchungaji hata neno hajui
@EdwinKapinga-hg5kw4 ай бұрын
Wewe acha KUNENA kama JOKA naona unamsaidia kazi shetani MUNGU alisema amesema nyiee waumini wake somenii BIBLIA hamtadanganyika tena
@salarose5980 Жыл бұрын
yesu ali acha sala gani itunike? kunakifungu cha kufanya toba kila tusalipo lakini wewe unapotosha jipime sawasaw
@noahmfinanga507 Жыл бұрын
Huyu jamaa serious Kuna waumini kweli anawahubiria na wanamkubali? au Yuko peke yake? Mbona Huwa hawaonyeshwagi?
@fidelisbutondo1659 Жыл бұрын
Hahahahaha
@nicodemusmsangi284 Жыл бұрын
Hahahaha hawa wapotevu bhna wanapotesha watu wazi wazi hakuna Aliya kamilika nyie mashetani tuu eti nenda kituo Cha polisi katukane hahaha Anza wewe alafu utaona shoo wewe pepo