Unataka Kukata Tamaa? Inuka Tena maana Yu Hai na Anakuja Tena Kitambo Kidogo Twende Naye Nyumbani. Shikilia Imani hadi wakati Huo. Bwana Akubariki Sana. #INUKATENA2023
Пікірлер: 128
@namsifumaduhumwita24952 ай бұрын
Mungu awakumbuke atakapokuja kutuchukua kwenda nyumbani
@kirumbaadventistchoirkac68232 ай бұрын
Amen, Tamanio letu tukutane pamoja nawe pia.
@user-oq7zk8di8p6 күн бұрын
Hakika Bwana wetu Yesu Kristo nakuja
@nyakwesimagoma7121Ай бұрын
Mtunzi wa hii nyimbo kwa kweli alitunga yaan sichoki kusikia,Mungu akubariki sana
@christineachieng62116 ай бұрын
Tunapovuka mwaka bila shaka tutiwe moyo kuwa yu hai
@jessebiseko33010 ай бұрын
Amina na amina, ni kitambo tu tunakaribia kwenda nyumbani. Japo dhoruba kali zinavuma, hiyo ni ishara tunakaribia nyumbani. Bwana awabariki Kirumba ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@slyvestermayala704510 ай бұрын
Amen.
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@mcharomtungulu34598 ай бұрын
Ni kitambo kuivika bahari!
@lydiachemutai1107 ай бұрын
A
@hezbonmichael36199 ай бұрын
Asante sana kwa kunibariki , Mungu aendelee kuwatumia na awashikilie katika uimbaji wenu. Praise God.
@singoeiyego56510 ай бұрын
Wapendwa katika Yesu WA Kirumba nabarikiwa Sana na nyimbo za kumsifu Mungu mnazoimba. Mungu aibariki KAZI yenu. From Kitale, Kenya.
@mongetantale71457 ай бұрын
Ubarikiwe zaidi ndugu.. karibu tarehe 30 kwa ajili ya season 3
@Ransmedia254Ай бұрын
Amina! Amina...hakika kuja kwake Yesu imekaribia
@jameschambua9725Ай бұрын
The meaning of music. Aisee mnanibariki sana ❤❤❤
@victormilanowino80694 ай бұрын
Amen and Amen, someone get me contacts of the choir director.
@jrkaluli563810 ай бұрын
Napataje cd za nyimbo hizi. Nipo ulanga Morogoro
@mkwasageorge-io3kb10 ай бұрын
M-barikiwe sana Mungu awasaidie tukakutane mbinguni waungwana.
@jairfernandes58156 ай бұрын
Aaaaaamem!!! Deus ouve tais louvores. Muito bom. De Brasil
@LenaAst-lj8dg3 ай бұрын
Дорогие братья братья и сестри Благословений вам с Украини Благодарни за молитви Просим вас молитесь за Украину
@dainessmnenwaa47588 ай бұрын
Kirumba amena kwenu Tanzania tuna Ambasada
@mbuchedinah._ke_Tv.4 ай бұрын
Amina...mbarikiwe sana kwa uimbaji mzuri🙏
@zeddyologi23 күн бұрын
Amen
@dorothymuganda130010 ай бұрын
Amen Amen and Ameeeen..Mbarikiwe kwa uimbaji mzuri sana🙏🏼🙏🏼
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@user-uw8du8kw7p10 ай бұрын
❤nami nazipenda sana tena sana MUNGU awabariki
@HellenMolongwe-dn2gq7 ай бұрын
Oohh Mungu wetu twangojea marejeo yako muda wa kuish dunian umeish dalil zatokea tunazozisoma katika maandiko matakatifu ya biblia , kitambo twaenda nyumban 🙏🙏🙏
@quintamia39543 ай бұрын
Amen amen amen!!!!!!😊
@vedastusmarubi73468 ай бұрын
sure Jesus is coming. and where I shall be, you shall be there also.
@DavidChaula4 ай бұрын
Amen nimebarikiwa saaana🙏🙏🙏
@PeterMasala-gh5np10 ай бұрын
Asanteni kwa wimbo mzuri.. Tunaomba Muuimbe wimbo wa piga panda na ya Makelele pia wimbo wa ""Na tumwabudu huyo mfalme. ""
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Barikiwa sana. Piga Panda tafadhali tazama Nyimbo za Season One umeimbwa. Asante
@Bkinyuah8 ай бұрын
Ni kitambo ni namba ngapi kwa NZK?
@samwelmtaka29867 ай бұрын
Mungu awabark san
@channelkomunitasABsimpson4 ай бұрын
Amen, Haleluyah..Puji Tuhan, Tuhan Yesus baik, Ia tetap sama baik kemarin hari ini dan sampai selama-lamanya. Ibarni 13 : 8. Saya dari Pulau Papua (Papua Barat), Kita kulit Hitam sangat berharga d mata Tuhan.
@violetmulongo16366 ай бұрын
Every time i listen to this song i feel like its my first time. Am blessed thank you
@user-me7et9fp6m8 ай бұрын
Nimewapenda bure
@ruthwamalika979010 ай бұрын
Imina🙏🏼ni kitambo twende nyumbani
@beavonmogire57310 ай бұрын
Amina ni kweli hakuna machozi kwenye nchi tamu.Mbarikiwe sana
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@emmanuelmaduhu778010 ай бұрын
Ameeeeeen, Uimbaji mzuri sana
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@stevenkibochannel55136 ай бұрын
Nzuri sana
@peninasnyamhanga486010 ай бұрын
Mnanibariki sana Mbarikiwe nanyi pia
@cleo_kibet10 ай бұрын
Amina! Sabato njema wanaKirumba! Be patient, Christian soldier. Yet a little while, and he that shall come, will come. The night of weary waiting, and watching, and mourning is nearly over. The reward will soon be given; the eternal day will dawn. There is no time to sleep now,-no time to indulge in useless regrets. He who ventures to slumber now will miss precious opportunities of doing good. We are granted the blessed privilege of gathering sheaves in the great harvest; and every soul saved will be an additional star in the crown of Jesus, our adorable Redeemer. Who is eager to lay off the armor, when by pushing the battle a little longer he will achieve new victories and gather new trophies for eternity? {RH October 25, 1881, par. 11}
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@vedastusmarubi73468 ай бұрын
amen
@godsfinalwarninggfw64927 ай бұрын
Ooh Hallelujah, come Lord Jesus!
@godsfinalwarninggfw64927 ай бұрын
Hallelujah, glory to God, can we all meet in heaven to sing the song of Moses and the Lamb!
@isaacbirir222010 ай бұрын
Nimebarikiwa sana kwa huduma wenu kupitia huu wimbo❤❤❤
@gracedaniel723610 ай бұрын
Hakika nafarijika na nafurahi Sana kuskiliza nyimbo zenu🙏🙏🙏🙏🙏🙏be blessed
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@gracedaniel723610 ай бұрын
🙏
@irinairina2273Ай бұрын
❤❤❤🤗🤗🤗🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝🤝
@erickwanjira1427 ай бұрын
Ni kitambo tu twakaribia.,..,.,.ni kitambo twende nyumbani na ahadi hii ya milele ni hakika. Halelujah..Amina.
@michirapaul975810 ай бұрын
The experience is totally on a different level. The transpose is amazing. Praise God
@robinsononyango67628 ай бұрын
Majina yangu ni Robinson obwoge kutoka Kenya nabarikiwa zaidi kwa nyimbo zenu naamini siku Moja tutaonana uso kwa uso
@mongetantale71457 ай бұрын
Karibu sana Mr. Robinson. Tarehe 30 tuna season 3
@eunicenyandiko1389Ай бұрын
Hallelujah Amen ❤❤❤🎉🎉🎉
@magorimagori926410 ай бұрын
Amen..Maisha yetu yamejaa huzuni sana kwani ni Kitambo twende nyumbani..
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@enoshmisanajocktan850310 ай бұрын
Mbarikiwe sana KAC. Hakika ni kitambo tu twende nyumbani. Furaha gani iliyoje kwenda nyumbani. Nyumbani kwetu ni pazuri mno, natamani sana kuwepo nyumbani kwetu baada ya kuivuka bahari iliyojaa upepo mkali, mawimbi na fujo nyingi za baharini. Mungu atusaidie sote, tukutane nyumbani maana ni kitambo tu.💕💞💞💕
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@danielkiprotich360310 ай бұрын
Amina. Great song this is.
@maigamajogoro569410 ай бұрын
Among very few Africans ...... wengi tunaharibu aina hii ya uimbaji lakini nyie nawasikiliza nikijihisi kama niko ulaya ..... only you keep it up ... mnajua hakika Mungu azidi kuwatumia
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Barikiwa na Karibu sana
@lilianouma10 ай бұрын
Wonderful song soloists nailed
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@joshuakikoti93549 ай бұрын
AMINA AMINA na AMINA ni kitambo twende nyumbani. Namwomba Sana Mungu niwe mmoja wao hao watakaopata Neema ya kuingia
@kirumbaadventistchoirkac68239 ай бұрын
Amen, barikiwa Joshua
@rademaadema75959 ай бұрын
Asante kwa kutubariki kwa nyimbo zenu tamu I am so uplifted and encouraged by your beautiful songs following from Vancouver canada
@kirumbaadventistchoirkac68239 ай бұрын
Amen, Be blessed
@rebeccafredy289610 ай бұрын
Haleluya
@joshuambwambo465610 ай бұрын
Ukweli natamani Sana Yesu Aje Dunia Inachosha Sana Na Aje Bwana Wetu.
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen Amen
@Leo20098110 ай бұрын
Ameen… MBARIKIWE sana
@kirumbaadventistchoirkac682310 ай бұрын
Amen
@kerrymartin252810 ай бұрын
Such a blessing,let’s get involved,He’s coming soon