Mashaallah Allah awajariye kheri na afya njema mmslize hijja sallama mrudi salaam mtuombee na sisi mliyotuacha Allah atujaliye nasi tuwe miogoni mwamahujaji na atujaliye kheri na afya pia ili nasi mwaka wwt tuende khija tunawaombe inshallaj
@zuwenamasoud-jz7juАй бұрын
Masha Allah Allah awajaalie kheri Hijja makbuul
@ZuhuraKhamis-rw1itАй бұрын
Ya Allah wakubalie. Ibada zao na ss utujaalie tuweze tufika inshaallah
@MUSSASILIMA-ts6dvАй бұрын
Allah awazidishiye uzima mahujaji wetu na awakubaliye hijja zao na ss watuombee tufike na watusalimiye bwana mtume na maswahaba wake amin
@ZanuraBakariАй бұрын
Mashaallah Allah awkubalia hijja zetu na mrud salama salmin bi idhinillah
@AbimsSailsАй бұрын
Mashaaallah Allah awappe Killa la kheri na atujaalia inshallah mwakani pia sisi twende hukuu
@omante1942 ай бұрын
Allah nijalie na na mm niwe miongoni mwao amina amina yalabilalamin 🤲🤲🤲☝🏾
@qwerqasd8597Ай бұрын
Allahuma aamin jamia
@user-ke3uo6ro4sАй бұрын
Amina
@frankaydeclassique6618Ай бұрын
Allahumma Swalli alaa Sayyidina Muhammad
@HamiduMashaka-ni6csАй бұрын
Allah awatiliye wepesi katika katika ibada hii
@MerwenSeidwАй бұрын
MASHAALLAH❤ jjazakallah ALLAH aibark zaid INSHAALLAH kheir
@mdika3811Ай бұрын
Ya Rabbi, tujaalie tuwe wenye subira na shukrani katika nyakati zote. Tuongoze kwenye njia iliyonyooka, njia ya wale uliowabariki, na siyo ya wale walioangamizwa au walioipoteza njia. Ewe Mwenyezi Mungu, tubariki kwa afya njema na riziki halali. Tupe ilimu yenye manufaa na utuongezee imani. Tunakuomba utuepushe na maovu yote na utujalie kuishi kwa amani na upendo. Tunakuomba uwalinde na uwabariki wazazi wetu, familia zetu, na wapendwa wetu. Waepushe na kila aina ya madhara na wajaalie heri na fanaka katika maisha yao. Ewe Mwenyezi Mungu, tunakuomba utusamehe madhambi yetu ya zamani na yajayo, ya siri na ya wazi. Ewe Mwingi wa Rehema, utuongoze na utujalie toba yenye ikhlasi. Ameen ya Rabb al-Alamin.
@TibaMatokeo-kk3mjАй бұрын
Ametoa maelezo mazuri sana Mungu amjalie Kila la kheri
@jumakapilima7295Ай бұрын
Bwana ni mmoja tu ambae ni Mungu
@HanifaSuleiman-sx4lqАй бұрын
Na ss M, Mungu atujaalie tufike huko
@JaziatBakaryАй бұрын
Mashallh Allh awatakabalie hjja inshallh
@binurusm8886Ай бұрын
Nimependa Huyu Baba Jinsi Anavyotoa Maelelekezo kwa Ufasaha, Mwenyezi Mungu Awaongoze InshaAlla.
@binurusm8886Ай бұрын
Nami pia Naomba MNisalimieni Mtume Na Mjumbe Wetu jamani.
@SalamasaadHaji13 күн бұрын
Amin❤
@FatumaRashid-db6cc2 ай бұрын
Allah awafikishe salama
@mdika3811Ай бұрын
Jamani na mm naombeni mnisarimie mtumie
@aquidamussamussaakidaАй бұрын
Mashalha
@ZiadaMwanfatimaАй бұрын
Inshahallah
@KaifaKaifa-uj1dzАй бұрын
Allah akbar
@user-bw6cd7ml1iАй бұрын
Inshaallah mwenyezi mungu atujaalie na ss tufike huko inshaallah
@Abuu-bakarAbdullahАй бұрын
Yarab tuwezeshe
@fatmaahmed8637Ай бұрын
Mwenye ezi Mungu awatimize Hija n mrudi Salaama
@setiseti5281Ай бұрын
Maashaallah
@Khadees262 ай бұрын
I wish am there in sha Allah
@zeinayusuph4566Ай бұрын
Alhamdulillah
@MustaphaKilukeАй бұрын
MashaAllah
@petermogha7025Ай бұрын
Imani ya Kila mtu isidharauliwe
@gamarmahsan8254Ай бұрын
اللهم صل وسليم عليه duwa zenu jamani alla awatakabaliye haja yenu twa tamani na sisi kufika hapo
@SalamasaadHaji13 күн бұрын
Inshallah
@aminaomary5567Ай бұрын
Nimempenda Hutu shekhe anaongea vyema❤❤❤🎉🎉
@fatmaabdulazizy22722 ай бұрын
Mashallah
@fatmam19972 ай бұрын
Mashaallah❤
@hamidashaban1203Ай бұрын
Shekh unaetoa introdaction Allah akuridhie pepo ya firdausi na akuhifadhi
@SwaahibulMakaanАй бұрын
Nisalimieni mtume muliopata fursa mkirudi mcheni allah
@user-gu8wv4bn4oАй бұрын
Mashaallah,lakini zingatieni kanuni za hijja msiwe kama mzee yusuphu mwana izaya alielaanika,okye najati killar
@Kiyara0000Ай бұрын
Masha Allah❤❤❤
@user-tu2ne7so3bАй бұрын
Munafanya mzaha Allah ,hapendi mzaha
@eshasaid3258Ай бұрын
Mashaallah❤❤❤mahujaji kufika madina munawar ❤❤❤❤❤
@user-tu2ne7so3bАй бұрын
Nyoso zenu zipo kidunia zaidi
@maufoungАй бұрын
Huonyeshi matukio,unatuonyesha watu
@dr.jjmwaka2596Ай бұрын
Alahu. Akibaru
@mdika3811Ай бұрын
Mashallh 🙏🙏
@KarimuHamisi-nv4lqАй бұрын
Mwenyenzi akupen wepec mkubaliwe toba zenu na mrudi kwa usalama nasi mtuombee kwa allah atupe wepes nasi tusienda basi atupe wepec na sisi tufanye ibada hii mwaka wowot
@HanifaOman-oo4plАй бұрын
Mtuombee Dua na sisi wapendwa. Allah awakubalie Duazenu.mnachok8takamk8pate huko mjitukufu
@jumakapilima7295Ай бұрын
Kulipia maktaba hawajafanya sawa,,,
@FatumaJuma-si9mtАй бұрын
E.mola.wajalie.wote.mahujaji.
@MuammaryAbdallaАй бұрын
hii saut ya huyu mzee ni yule ambae anatafsir kur ,ani