Nimekuwa wakwanza ku views hii video, like zangu plz
@edmoh_kenya3 ай бұрын
What a blessing? Any Kenyans here? 🇰🇪
@gracelinda14603 ай бұрын
Me always here support my brother Aniset butati
@aviosilona3162 ай бұрын
Here we are 🎉🎉🎉🎉❤
@LucyNjoki-x7s2 ай бұрын
This song has come at my right time God bless you bro
@anneodeke36402 ай бұрын
Amen
@egbertcharles2 ай бұрын
Tuliokuwa tuna subilia video ya huu wimbo gonga like. Kaka Aniset Butati naomba uwe unaweka English Subtitles kwenye nyimbo zako baadhi ya wafuasi wako tunakufatilia kutoka nchi nyingine tulionao wanatamani kuelewa unacho kiimba. Nakufatilia kutokea China Mungu akubariki Kaka Aniset Butati.
@WambaliEliphaz2 ай бұрын
Niko Burundi ,napenda nyimbo zako asilimia kubwa !!!nyimbo zako zinanisaidia kabisa,que la grâce de Dieu soit avec vous
@dorrisnduki42372 ай бұрын
Nimejua kwamba kucheleweshwa sio kunyimwa
@ShedrackEstomih-ol9sr3 ай бұрын
Nitainuka tena kwa kishindo 😢😢😢😢😢😢
@mrnickmusician71392 ай бұрын
Amen mtumishi keep it up 🇰🇪
@agnessjonas93572 ай бұрын
Nimebarikiwa na hu wimbo barikiwa sana my brother 🥰🥰
@aviosilona3162 ай бұрын
From your status here I am blessings sister ❤
@evahedsonofficial10623 ай бұрын
Nitainuka tena
@kaitasicoster-jl6hiАй бұрын
Huyu mtumishi yuko na Mungu na Mungu ambariki sana kwa kazi zake na amzidishie ukuu na unyenyekevu. The song has blessed me so much
@aviosilona3162 ай бұрын
Wimbo wakutia mtu matumaini, yeyote anasoma hii comment, jitie nguvu ukijua shida hazina mizizi, unaehitaji ndoa, mwenye ndoa ina shida, wale wanahitaji karo, wale wanahitaji kodi Mungu awafungulie milango za mbinguni maombi yote mmeomba kwa siri Mungu awajibu kwa wazi... Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 pia sisi Mungu akumbuke nchi yetu tunahitaji amani na watoto wetu wapate ajira🎉🎉🎉❤
@EDITHACHINGUILE2 ай бұрын
Amen
@DuwayezuAgness2 ай бұрын
Halelua mugu we nimuzuri san❤❤❤❤❤❤❤❤ Saudia Arabia mutoto wamburudi nagupeda san nyimbo zako zinanifurahisha sana
@GIBSONESTON527-v1g3 ай бұрын
Daaah!!! Mpaka nakosa chakuandika Mungu akubariki Sana kaka yaani nabarikiwa/nimebalikiwa Sana na huu wimbo 🎉🎉🎉🎉
@Johnson_9k3 ай бұрын
You are my favorite my brother, my God bless you richly 🙏🙏
@JohnNgayeOfficial2 ай бұрын
Amen balikiwa Sana Mtumishi🎉🎉🎉🎉🎉
@NoahNyirenda-p5q2 ай бұрын
Nyimbo hii Yani Jenga sana mbalikiwe mtumishi wa MUNGU
@isaya.m.mwakapesa98083 ай бұрын
Kaka Aniset safi kabisa MUNGU Akuinue viwango vingine tena
@cheddyphannison50843 ай бұрын
What an awesome song?Glory be to God.God bless you bro.##kenyan boy
@tausimwinuka3 ай бұрын
🎉🎉Don't give up😢
@rebeccatoo3 ай бұрын
Source of encouragement God bless you as you continue reaching souls for Christ, I love your songs 100%
@kellybonface40393 ай бұрын
Ahsante sana Ndugu Aniseti Butati, Mungu azidi kukuneemesha kwa kazi nzuri. #KweliNitainukaTenaHuuSioMwisho❤🙏
@princessmercy73723 ай бұрын
So powerful💪 may God bless you man of God... Keep the fire 🔥burning
@BIJAEZEKIELIshara3 ай бұрын
Wimbo ni muzuri Sana ubarikiwe mutumishi 🕺💃💪🙏 wewe ni kiboko kweli 🤗
@danielngome83 ай бұрын
Wow that's awesome nitainuka Tena am blessed
@judithmwakilasa42902 ай бұрын
Huu sio mwisho nitainuka tena Barikiwa mtumishi wa Mungu
@evangelistaimenk45732 ай бұрын
Nyimbo nzuri sana!!! Like zangu hapa za watu wa Rwanda.
@revbramwel95733 ай бұрын
Amen mtu wa mungu barikiwa sana kasa kabisa kiongozi
@komanyadotto56172 ай бұрын
Hongeraa sana mtu wa Mungu. Kwa kaz njema ya Baraka sana🎉🎉🎉
@JacklineKamonya-s1c3 ай бұрын
Huu wimbo ni wangu nitainuka tena kwa sasa hakuna msaidizi ila mungu tu,,,naaamini🙏🙏
@witnesshamisi7282 ай бұрын
Amen wimbo wakutia moyo barikiwa Sana 😭😭🙏🙏🙏🏾
@josephngara42753 ай бұрын
Hii nyimbo imenilenga kwa situation napitia sasa😭😭ila najua mungu ataniwezesha nienuke tena🙏🙏
@anneodeke36402 ай бұрын
Kweli kabisa
@MamanEstherEsther2 ай бұрын
Nabarikiwa sana naizi nyimbo kwa kweli kama vile uli niimbia mimi🙏🙏
@metrinemetilda85642 ай бұрын
Amen wimbo wakutia moyo,barikiwa sana
@AokoObwanda3 ай бұрын
Nice song indeed keep it up we love you and may god bless you,
@raphaelymsilu66912 ай бұрын
Amen nyimbo ina ujumbe mzuri mtumishi wa mungu 🙏
@TumepewaFungo-wx9rw3 ай бұрын
My favorite songs ❤❤, kaka Mungu akuinue zaidi 🙌
@JustusKimeli3 ай бұрын
Napenda Sana nyimbo zako butati toka kenya
@EzéchielMughenderwa17 күн бұрын
Ubarikiwe mtumichi wa mungu, mungu akupe nguvu
@emanherman96583 ай бұрын
Hongera sana Aniseti ,,wimbo mzuri sana wa faraja hakika nitainuka tena mungu akubariki sana 🎉🎉🎉🎉❤
@MlongechaBaraka-ow7kw7 күн бұрын
Amina mbarikiwe na Bwana na kama unamini popote ulipo gonga like God you bless always🙏👭🤝❤️🤝👬🙏
@paulinanduku27483 ай бұрын
Nice song,much love from Kenya
@joelymhega99693 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe sana
@chanilasumbuko2 ай бұрын
Nice 🎉 good work 👏 be blessed more 🙌
@josphatmogaka86683 ай бұрын
This song has hit me harder with my current situation 😢😢. Kweli sio mwisho wangu🙏
@Lucyiminza3 ай бұрын
Wow 👌 thank you for the words of encouragement 🙏 nitainuka tena ,be blessed sana.
@BOIZAHMGAYA3 ай бұрын
Duuuuuuh barikiwe saaana mtumish Mungu akutangulie katika kazi zingine
@Misheckkazilist-cv2hb3 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka nenda zaidi kimataifaa❤❤
@hollinessmasanju65183 ай бұрын
Hongera sana yani kiukweli inabariki....❤
@raphaeljohn45442 ай бұрын
Mungu akubariki Sana kaka kazi yako njema sana
@methodichristiani6153 ай бұрын
Hongera kazi ni nzuri kaka
@hellenchepkemoi77303 ай бұрын
Waow!! powerful one 👏👏👏🙏
@Charlesezekielimaganga3 ай бұрын
Hongera Sana kaka Kazi nzuri
@musaliaeugene79752 ай бұрын
Kaka nyimbo zako zinatubariki sana huku Kenya 🇰🇪
@MosesNtegeye3 күн бұрын
Mungu akubalik ndug aniseti
@Chrismasongs-z7n3 ай бұрын
Ameeni
@BlessahSaloon3 ай бұрын
Nakubali ❤❤kazi juu ya kazi
@AssumpterMshamaAssumpterM3 ай бұрын
Ubarikiwe Butati, Mungu aendelee kukufunulia
@freddybarakasolo2 ай бұрын
Mtu wa MUNGU songa mbele
@davidmugisa2 ай бұрын
Aksante sana. MUNGU akubariki.
@stellahchessi41713 ай бұрын
Ni kweli huu sio mwisho ,nitainuka tena
@BongonewАй бұрын
Mtumishi hongera kwa huduma ila jaribu kabadili ujumbe itfakali hyo kwa jicho la tatu
@Hosianaamosi2 ай бұрын
Wimbo mzuri sana ubarikiwe mtumishi
@joelymhega99693 ай бұрын
Wimbo mzuri sana kamanda ubarikiwe sana asanteee Desau Mwaweza kupitia ww Kwa njia ya Linki Wimbo umenibariki sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@eliud_sanya3 ай бұрын
Safi sana Mtumishi
@ObbyAlpha3 ай бұрын
Niombee 🧎🏾➡️
@victoirebatechi1133 ай бұрын
asante kwa wimbo mtumishi🙏 Mungu aku inuwe
@thentuzumusic3 ай бұрын
Kweli
@sephaniaadamu7282 ай бұрын
Pamoja sana kaka nakubali kazi zako
@jonathanvyaranse26683 ай бұрын
Balikiwa sana kaka Kaz nzuli mno inainua Iman
@g.moselnamaswa38583 ай бұрын
Kazi nzuri,ujumbe na matendo ya baraka.
@josephsaid695820 күн бұрын
Hakika maombi ni SILAHA kwakila mtu ❤
@moto-junior3 ай бұрын
Wow Beauryfu
@kbdmsafi_tz80943 ай бұрын
Wimbo Mkali Mzuriii
@gumimosile23893 ай бұрын
Hongera sana kaka mkubwa❤❤❤
@gumimosile23893 ай бұрын
Kaka natamani sana tufanye collabo mtumishi
@oswardnombo80622 ай бұрын
Kaz nzuri,barikiwa
@hellenkemunto53572 ай бұрын
Amen Amen Amen In JESUS NAME nitainuka tena
@emanuelsinkonde3 ай бұрын
Nimeguswa sana mtumishi barikiwa sana
@Moiibrahim3 ай бұрын
🙏🙏
@AssumpterMshamaAssumpterM3 ай бұрын
Nitainuka tena kwa kishindo, Mungu wangu anatenda
@ventusriobaofficial2 ай бұрын
Kaka MUNGU akushangaze 🙏🙏🔥🔥🔥
@MukasineBetty-k5gАй бұрын
Mungu si yo mwanadumukwel na mimi nirisha wona uwema wake