😂😂😂Vile nilisubiri hii simulizi Mungu tu anajua tujue mwisho wawabaya wetu REYANA hii vita utashinda tu team REYANA kueni tutiane moyo😢❤❤
@TegemeaMwasaga6 ай бұрын
Asante anko
@Khijratkhijrat-eq1px6 ай бұрын
Yan acha tyu
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
❤❤❤
@SoomaAsd-ml1ou6 ай бұрын
Niko haba kujua hatima ya rehana wetu ila tutashinda wabaya wetu
@aminaathuman49196 ай бұрын
Wasema polepole😂😂
@LyidiaSilayo6 ай бұрын
Weeee❤❤🎉🎉 mwacheni mungu aitwe mungu maana anajua kugawa dozi Kwa kipimo jmn wazazi wenzangu tujifunze jinsi ya kulea watoto wetu sababu tukipandacho ndicho tutakachokivuna Vanessa kudharau maskini kaishia Kwa mganga wa kienyeji mama yake kaishia gerezani wkt yeye alitaka riyana aishiye gerezani maisha yake yote badala yake imemgeukia hakika mungu fundi❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@PhoebeWafula-d6c6 ай бұрын
Malipo ni hapa hapa duniyani atimaye reyana mungu Ana mulipiya malipo nihapa hapa duniyani nice story ankojoy mapesa we lve you ❤❤❤❤
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
Mwishowa ubaya niaibu, uliyo yatafuta kwa mganga yakikurudia mtakabana natabitha ngoja tingatinga awakomeshe😂 reyana sema ukweli ote maana ukwel humuweka mtu huru🙏🙏❤
@agnesagnes52886 ай бұрын
❤❤❤❤
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
@@agnesagnes5288 mbona sikuoni kw wakat kpenzi
@VicentMwamba6 ай бұрын
❤❤❤🎉
@RahelIbrahim-id2li2 ай бұрын
Kweli aseme tu ukweli
@ZabibuHassan-ci5vz6 ай бұрын
Wa kwanza jmn nmewai ila msisahau mm n yule ambae sipendi ku comment kwasabab hamnipi likes 😅😅
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
👏👏🌹🏃
@NaomyBernard6 ай бұрын
Jaman naombeni like nimekuwa wamwish😢
@RitaannyManegabe6 ай бұрын
Maraheyo sijachelewa nimewayi ❤❤❤❤🎉🎉 Anko jay Asante sana kwa kutufikishiya mwisho simulizi REYANA
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
❤❤ ankojy asnte kuileta sehem hii nilisubili san, mungu akupe faraja binti reyana na mwanao alie tumboni umlee nakumpa upendo ote🙏🙏 utashinda yote kwa jina la yesu nakuombea🙏🙏🌹🌹🌹🏃
@maseleenaesleen81496 ай бұрын
Amen swthrt ❤❤🙏
@hdhjdh7756 ай бұрын
Amen 🙏
@hdhjdh7756 ай бұрын
Amen 🙏
@SmAlbovi6 ай бұрын
Keep hi ll lmk I'll k@@maseleenaesleen8149
@SusanNeema-re3hr6 ай бұрын
❤❤🙏🙏
@Lucy-vp8pm6 ай бұрын
Venesa na kiburi chake hatawahi olewa na mwana mme yeyote labda afanye ndoa na kiburi chake wale wana amini alili anabaki na reyana gonga like hapa wapenzi wenzangu wa ankoj
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
😂😂😂 nyie laana hii Vanessa Kawa make wamuganga najina achunywi😂😂😂 nimecheka ad machoz😅😭
@YASINTARINGO6 ай бұрын
Yani acha tuuuu😮😂
@SusanNeema-re3hr6 ай бұрын
Venesa jamani heri shetani ananafu
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
@@SusanNeema-re3hr acha! Mungu humlipa kla mtu sawa namtendo yake kaishia kuchekecha UNGA wa mizizi😂😂
@SusanNeema-re3hr6 ай бұрын
@@TeklaNdekeja hki utajiona wapitia mangu hata kuaza kukata tamaa, kumbe mungu amekupagia mema mbeleni ...
@Lucy-vp8pm6 ай бұрын
😂😂😂😂😂nmecheka adi machozi yamentoka yaani venesa vishindo na uspeshali wote alio kua nao ameingia kwa muganga wale wamecheka kama mm like hapa
@Babyfaty-m3y6 ай бұрын
Me nimecheka kwa tabitha njins alivo ibiwa mwnasesere wake na njins anko jay ivo anavosimulia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@SofiaKhamis-ol1bn6 ай бұрын
Olivia alimlea vibaya mwanae sai hana hata adabu kwa mzazi wake 😂😂😂😂🎉🎉🎉
@lilianeerica33186 ай бұрын
Yani ni Aibu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Anethmbalale6 ай бұрын
Thank you anko ,,,,Nimekua wa kwanza leo like zen naomben
@YasintaHongela-j4s6 ай бұрын
Asante sana Ankoj hii burudani na funzo halisi ila nijuavyo Mimi mapenzi ni hisia TU na haijalishi niini kitasimama mbele ya wahusikakama yapo yapo tu
@johniphilipo6 ай бұрын
Wakati mwingine ukweli unamufanya mtu awe huru.Jifunzeni kuwa wakeri.Nimeipenda sana❤
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
Hakka
@RahelIbrahim-id2li2 ай бұрын
Kweli ,ukweli unampa mtu kuwa huru
@Polite9016 ай бұрын
Mungu akikuoangia baraka na neema mwanadamu hata afanye nn hawezi kupangua
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
Amen🙏
@avelinabaluhya28046 ай бұрын
Hakika
@سيدا-ص1زАй бұрын
@@avelinabaluhya2804kweli kabisa
@RakaPk6 ай бұрын
Oh nilikuwa na isubili ii mh acha niketi sasa wanaviporo wenzangu mambo ni 🔥🔥 Asante sana anko wetu mungu akubaliki ❤❤
@khadijahamisi65586 ай бұрын
Hatimaeeee🔥🔥🔥🔥asantee anko j allah azid kukuweka inshaallah🤲🤲❤❤❤❤❤🥰🥰😍
@happinessgerald25912 ай бұрын
Kwakweli❤😊
@AngellaNdambuki6 ай бұрын
Haya sasa reyana atatoboa kwenye mahusiano kweli😢😢😢
@MoshiMoshi-qy8dq6 ай бұрын
Jaman tunao taman Reyana asamehewe haraka gongen like hapo❤❤
@LizaLiza-v2m6 ай бұрын
Niko na wewe kpz
@RoseMbuya-cn5dg6 ай бұрын
Simulizi tamu wadau munaonaje simulizi ya reyana like zangu ziko wapi❤🎉🎉
@RahelIbrahim-id2li2 ай бұрын
Iko poa sana
@GloriaMduma6 ай бұрын
Anko j unajua siku hizi na nenepa kisa simulizi jmn umetupendelea mno❤❤❤
@aumuelly29096 ай бұрын
Ahsante bwana anko Jay simulizi ❤❤❤wewe ni mungwanasana ukitutaja mashabiki tunafurahika
@UmayyaNkya-ze3ri6 ай бұрын
Tuseme kweli huyu anko mapesa ana saut nzur 🤔😇😇😋😋cpati picha akimpigiaga simu bebi wake😅😅sema tulio single tunateseka hapa natamani saut ya mwamba flan hivi oooh naota kumbe 😯🚶♀️🚶♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
@ankojay_6 ай бұрын
😂😂😂😂
@AfrahAfrah-o4o6 ай бұрын
Wee umemupenda anko J Ee
@Babyfaty-m3y6 ай бұрын
We anko jay hujamsikia alipo sema bora uwe na mwnme kma alivn anawez kukupmbania kuliko yy mwenye saut ya gentlemen lkn kupambna hawez🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani anko unanichekesha sauti ya mfanyakazi unaipatia 🎉🎉🎉🎉🎉
@PilyAlly6 ай бұрын
Yani nilisubili hii k2 adinikakata tamaa asante anko mapesa mungu akuweke milele na milele 🙏
@FatimaRamadan-s4f6 ай бұрын
Amin
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
@@FatimaRamadan-s4f amina
@MariamMarisa-k8x6 ай бұрын
Ila hiz simuliz zinazoanzia na binti zinakuaga 🔥
@LizaLiza-v2m6 ай бұрын
Waooo namie ni 63 mungu mwema ngoja niskie ila ndoa tunao na tunatamba nayo haili ni wetu
@SoomaAsd-ml1ou6 ай бұрын
Asante anko nilingojea sana hii sehemu ❤❤❤
@NurahMummy6 ай бұрын
REYANA INA TOSHAA😭😭☹️😭😭nmelia vyakutoshaa SAbra wa Abdallah maua yake jamani
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
Kwali😭😭🙏
@JumaMachano-vu5kk6 ай бұрын
Story zake konkii
@FatimaRamadan-s4f6 ай бұрын
Mpe mauwa yake hayo 🎉🎉🎉❤
@HajranasMwatajiri6 ай бұрын
🎉 🌼 🌸 🌻 🌹
@wertqwe83266 ай бұрын
Duuuh leo nmechelewa kwe nlikuwa nmeshikika sana
@Josephinemasila6 ай бұрын
Asante anko jay kwa mwendelezo,much love❤️❤️
@TyT-h5l6 ай бұрын
Venessa anaroho mbaya kweli aaah 😮
@lilianmwanthi96486 ай бұрын
Number 3😂😂😂😂nipeni like jamani ,,bona mie nalike zenu
@susansamira81376 ай бұрын
Haya jameni tujue wabaya wa Riyana walifanikiwa au la❤❤❤
@TeklaNdekeja6 ай бұрын
Haitwi Vanessa ni achuywiii nimecheka kwa saut kuu🤣🤣🤣 aaaa,! Tingatinga wewe🔥🔥🔥🤔
@RahmaNiyonkuru6 ай бұрын
Wow asnte maana nilikuwa nime isubiri iyi ❤
@nuriatqueen55756 ай бұрын
sijacelewa👩💻🇬🇧🎉 sana leo jamani like please 🧡🧡✨️✨️🔥🔥
@KhadijaNassor-g1q6 ай бұрын
🎉 anko jay wa moto love u like zangu jmn km mshabik na kipenz cha ank jay🥰
@hdhjdh7756 ай бұрын
🤣🤣😂😂😂😂ila Anko wafanyakazi vile sauti zao kwer daaah 😂😂😂😂
@FadhilaJumanne-l8k6 ай бұрын
Kweli hii imetulia ubarikiwe pia ankojey 🎉🎉🎉🎉
@Fatmamakame-q5w6 ай бұрын
Wao nipeni like zenu apa sijachelewa🎉❤❤😊
@Nuru95686 ай бұрын
Hatima imetufikia Tulisubiri sana❤Asante Anko
@SaraA-r8w6 ай бұрын
Hatimae imefika tumpee maua 🎉🎉🎉 yake ankojay
@marryofficial91436 ай бұрын
Wa mwisho tukutane hapaa😊😊
@dianandabirorere63656 ай бұрын
Barikiw Anko wetu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@Shadia5446 ай бұрын
Hatimae finally tujuwe itakuwaje jamaniii BINTI REYANA HAYA TUJUWE MWISHO WAKEE LIKE 10 KAMA NA WEWE UNATAMANI KUJUA✌️✌️
@usterbae6 ай бұрын
Nilivyokumiss kwenye comment😂
@Shadia5446 ай бұрын
@@usterbaenimekumis pia kipenzi 😂😂😂😂
@HusnaAthumani-yr3kp6 ай бұрын
Nilijua lbd leo umechelewa kumbe uliwahi dad angu🥰🥰
@SusanNeema-re3hr6 ай бұрын
Haya yako hiyo❤🎉🎉🎉
@Shadia5446 ай бұрын
@@HusnaAthumani-yr3kpmiee humu leo nimewahi kipenzi changu 😂😂😂😂
@MarimGodifrey6 ай бұрын
Hatimae imetufikia episode 3ambayo ya mwisho
@gressigotti36536 ай бұрын
Waooh nlisubr sanaa anko maua yakoo
@DalalDalal1-x6w6 ай бұрын
Jaman asate ak j mana mpaka tumekoswa sitor tukawa tunarudia risa asate mugu akubariki
@IreneFuraha-y6z6 ай бұрын
Nice simulizi kaka anko ❤❤❤
@MohamedAlawi-of1on6 ай бұрын
Yaan vanesa anaroho robo mbaya kam ya mama yake ila Anko J hakuna kama wewe nakupa maua yako🌷🌷🌺🌺🌺
@shakiramohamed88246 ай бұрын
Tulingoja sana jamani ❤❤❤❤❤❤
@priscillahsirya65446 ай бұрын
Asante kwamwendelezo anko wetu wapendwa ❤❤❤❤❤❤❤
@FayzhF-g3z6 ай бұрын
Nilikua naisubiri kwahamu Sana ❤❤❤
@qaltumsaid30956 ай бұрын
Asante sana ankoJay Kwa Kutuhitimishia fainali ya story nzuri yenye mafunzo ndani yake.....🎉❤❤ Kama ndiyo kwanza unaangalia tafadhali gonga like ili tuende sawa ✅✔️🇹🇿🇶🇦
@DamariJohn6 ай бұрын
Hakika nimejifunza mengi kwenye hii simulizi ❤❤ Mungu awabariki Lissa na anko j🎉🎉
@Angle22-kk8fz6 ай бұрын
🎉1 namba one ❤❤
@dinahnamalwa6 ай бұрын
Olivia ukiachwa achika,,,,,na hata ukiwa king'ang'anizi Kwa Khalid utakaa naye kwasababu ya tabia yako mbaya
@AnnaFilbert-u3b6 ай бұрын
Jioni SIN iendelee J❤
@ZuwenaIsmail-vb4md6 ай бұрын
Jamani LAFUDHI ya tabidha mimi Hoi kwa kucheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila anko Jay
@victoriangasa6 ай бұрын
Ukiskia simulizi iko na mdada wa kazi lazima usikie sauti hiy kwa Anko J
@ZawadiIddi-g3y6 ай бұрын
Tupo wote wadau 😂😂😂
@SafiyaAhmed-k1k6 ай бұрын
❤❤❤❤❤asantee sana anko jay kwa simulizi murwa kabisa ❤❤❤❤❤
@FadhilunMohamed-je8en6 ай бұрын
Sawa Kaka nakuelewa sana
@AsiaNgochele-n1p6 ай бұрын
❤nilikuwa nasubri kwa hamu
@haleemahhamisi25346 ай бұрын
Nimewai mashaallh ❤❤🎉🎉🎉
@BahatiKaninka6 ай бұрын
Sijui wangap but nikusikiliza tu 😂😂
@AfrahAfrah-o4o6 ай бұрын
Vanessa noma sana haa😂😅 🤲 hapo kwanza nicheke maana nikivumbi najasho
@BestinaMichael6 ай бұрын
Asante anko jey hatmaye sehem ya tatu imetoka
@MwanatumuJumaa-rj4fg6 ай бұрын
Sabra Abdallah. Hajawahi tuangusha .utunzi wake upo juu sana.🎉🎉🎉 yakona msimuliaji wetu Anko jay mapesa
@Loy-g2m6 ай бұрын
Siyo kila masikini yupo kama Tabitha,, Vanessa Mungu atakuhadhibu mbwa wewe
@MariamJuma-o9z6 ай бұрын
Anko jay shukran sana kwa very nice nimependa sana ❤❤❤hongera kwa Sabra ya Abdallah
Dadekiii tingatinga limeshaanza kufanya kazi yake 😂😂😂😂mtakoma ubishi uchawi siyo mzuri
@avelinabaluhya28046 ай бұрын
🤣🤣🤣 hata na Tingatinga atasubiri adhabu yake toka juu🤣🤣🤣🤣🤣
@avelinabaluhya28046 ай бұрын
Hee,mchimba kisima huingia mwenyewe, 😂😂😂😂 Vanessa nyodo zote zakuwaita wasiojiweza kama takataka ameishia kwa Tingatinga bila shuruti,hujafa hujaumbika,tuishi kwa akili
@ShahranjumaaRamadhan6 ай бұрын
yaan nimeisubil sana tuu
@fetreshazKhamisi6 ай бұрын
Mmh sijuw itakuwaje 🇴🇲🇴🇲
@SamsonMzehe6 ай бұрын
Nimefurah wameelewana
@MamahetuChikuti-mp5lj6 ай бұрын
Kumbe nakimbiwa uku ata Leo nimesahau kuchungulia mambo tayari ok c mbaya 86 tunasikiliza