kaongea ukweli kunawarembo kumzidi nawenye akili kumzidi ila kamchaguwa yeye
@saidahamad59202 жыл бұрын
Nilichojifunza hapa ni kwamba uongo unapendwa sana kuliko ukweli!!
@mwanajumaomahundumla65042 жыл бұрын
Mbona jamaa yuko sawa tu sioni makosa yake tatizo watu wanapenda kuongopewa tu
@morrisalascas51242 жыл бұрын
Wapumbavu tu ndio wanamkosoa lakin hajakosea chochote kabisa
@adbellar3382 жыл бұрын
He said the truth. If most men could be as honest.
@benedictomb2 жыл бұрын
Jamaa hajaandika makosa, kwani duniani kote hakuna mwanaume ambae ana ana mwanamuke mzuri ao mwenye akiki kuliko wote.
@africanproudly40042 жыл бұрын
Tunazidiana kwa kila nyanja na hakuna aliemzidi mwenzake haya ndio maajabu ya alietuumba For me he is so right take me as I am
@rebeckyusuph80582 жыл бұрын
Kaandika vizuri Sana kunakitu kwenye maandishi ndani yake nimemuelewa hakuna bola zaidi ya mwingine
@kibandachasimu2 жыл бұрын
Hii dunia inawapumbavu wengi kuliko Wenye Akili zaidi So sishangai walimwengu Kumshangaa uyu jamaa nini kaandika.
@iddimoshi84592 жыл бұрын
Fact
@lilianjeremia10242 жыл бұрын
😀😀😀😀😀🤣🤣sasa kakosea wapi yeye anaempenda ndo kaongea ivyo wao from no where unaponda 2 jmn
@damariszuckschwert94892 жыл бұрын
Who came up with the standard of beauty? Were all beautiful each in their own ways.
@b.chantal58312 жыл бұрын
Hehehe 🤣🤣🤣 Nakumbuka kijana alivyoniambia"wewe siyo mulembo sana lakini nitakuwowa kwa sababu una roho nzuri".Nilimuacha, ..and it was very dramatic...,,he didn't believe.
@malak-lz6kx2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@pastorteddywaziri57542 жыл бұрын
🤣🤣🤣🙌🙌
@magrethjohn49292 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@adamyasin40892 жыл бұрын
He is right by the way
@mildredajiambo78352 жыл бұрын
But amesema tu ukweli waja hawapendi ukweli
@blessingbagio48572 жыл бұрын
He is an honest man. Bad thing people want to hear what they wanna hear. And all they want is lies. She's beautiful but not most beautiful 👌
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Mh
@capteinchuimchafu78942 жыл бұрын
Mjuba kajiripua😂😂😂😂😂
@allymachejo29962 жыл бұрын
Iyo ilibd ibak iwe siri yake sio kusema hazaran baharia mwenzetu kafel kinoma
@nadiaamisha29582 жыл бұрын
Jamaa kaongea ukweli 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
@queentoto38782 жыл бұрын
But she's beautiful everyone has her own beautiful it's not jus a out this man his so rude 💔 and hi not proud of her girlfriend 💔💔💔💔💔💔💔💔💔
@pastorteddywaziri57542 жыл бұрын
Mbona jamaa hajakosea popote.Ni kweli hata biblia ilimsema Raheli kuwa ni mzuri lakini Leah alikuwa na chongo ndio maana YAKOBO alifanya kazi kwa mjomba wake Laban miaka Saba Ili amuoe Raheli.Cha ajabu alibadilishiwa mke akapewa Leah kwasababu desturi Yao ilikuwa ni haiwezekani mtoto wa kike mdogo aolewe kabla mkubwa wake hajaolewa kwahiyo ilimlazimu YAKOBO kufanya Tena kazi miaka Saba mingine jumla ikawa 14 Ili amuoe Rachel na kweli akamuoa Rachel ambaye ndio alikuwa chaguo lake.Kaka yuko sawa kwamba wanawake tunazidiana.Huyo dada ukimpanga na Cleopatra yule malkia tunayemsomaga kwenye vitabu vya historia hawezi mfikia.Au TU tumlinganishe na baby sky wa kaka yetu Fredrick Bundala mbona huyo dada anapigwa mbali Sana🤣🤣🤣🙌
@mariamyoyote81722 жыл бұрын
Hajakosea hata kidogo wapuuzi watamuatak
@sistertrashid24882 жыл бұрын
Ila akumbuke sisi wanawake tunapenda kudanganywa angemsifia tu nazani Ata uyo mwanamke atojisikia vizuri na atakua kashapunguza asilimia fulani katika moyo wa uyo mwanamke kama amempenda mtu basi ulichompendea ndio uwo uzuri wake kwahiyo tuelewane kwamba Ata kama mwanamke anajijua yeye si mrembo ukimwambia mrembo uwa a nafurahia Ata mwanamke ni mrembo ukimwambia sio mrembo Ata kama anajijua yeye ni mrembo atachukia sisi wanawake tunapenda kusifiwa Ata mkeo usipomsifiasifia siku akikutana na kijana anamsifia aisee unaweza kusalitiwa Ata kama una pesa za aje kwahiyo wanaume muwe makini na sisi msituchukulie poa sisi ni viumbe tunaopenda sifa
@nelsonmatiku58622 жыл бұрын
Hapa mwendo wa uongo tu 😄😄
@rjb312 жыл бұрын
Sns please, Just check An bring it up #wajakoyah Lookalike The kenyan Presidential Contestant
@najuf80212 жыл бұрын
Kaandika point
@makondefinest2 жыл бұрын
That’s true
@ellybrown59892 жыл бұрын
It's ridiculous 🥺, indeed.Siyo kwamba wanawake tumezoea kuongopewa hapana, The beauty is the eyes of the beholder,kwahiyo hataki kumsifia sababu gani!mi nadhani mwanaume huyo ana inferiority Fulani ndo sababu Kaamua kuua confidence ya mrembo wa watu. Laiti tungepata nafasi ya kumuuliza mrembo huyo kwamba na yeye kampendea nini huyo mwanaume maana na wanawake nao Wana vigezo vilevile 🤔. Asituchoshe!🥱🥱🥱🥱.kama vipi angekaa kimya Tu.
@shadyandizeye94532 жыл бұрын
I'm so proud of him 🤗 mi nimchana ila nimependa san alicho kifanya ,co's sipendi kudanganya😊