Apokea povu zito baada ya kumwambia mpenziwe kuwa si mwanamke mrembo zaidi duniani ila anampenda tu

  Рет қаралды 6,531

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 42
@BHTV-ly4jf
@BHTV-ly4jf 2 жыл бұрын
kaongea ukweli kunawarembo kumzidi nawenye akili kumzidi ila kamchaguwa yeye
@saidahamad5920
@saidahamad5920 2 жыл бұрын
Nilichojifunza hapa ni kwamba uongo unapendwa sana kuliko ukweli!!
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 2 жыл бұрын
Mbona jamaa yuko sawa tu sioni makosa yake tatizo watu wanapenda kuongopewa tu
@morrisalascas5124
@morrisalascas5124 2 жыл бұрын
Wapumbavu tu ndio wanamkosoa lakin hajakosea chochote kabisa
@adbellar338
@adbellar338 2 жыл бұрын
He said the truth. If most men could be as honest.
@benedictomb
@benedictomb 2 жыл бұрын
Jamaa hajaandika makosa, kwani duniani kote hakuna mwanaume ambae ana ana mwanamuke mzuri ao mwenye akiki kuliko wote.
@africanproudly4004
@africanproudly4004 2 жыл бұрын
Tunazidiana kwa kila nyanja na hakuna aliemzidi mwenzake haya ndio maajabu ya alietuumba For me he is so right take me as I am
@rebeckyusuph8058
@rebeckyusuph8058 2 жыл бұрын
Kaandika vizuri Sana kunakitu kwenye maandishi ndani yake nimemuelewa hakuna bola zaidi ya mwingine
@kibandachasimu
@kibandachasimu 2 жыл бұрын
Hii dunia inawapumbavu wengi kuliko Wenye Akili zaidi So sishangai walimwengu Kumshangaa uyu jamaa nini kaandika.
@iddimoshi8459
@iddimoshi8459 2 жыл бұрын
Fact
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 2 жыл бұрын
😀😀😀😀😀🤣🤣sasa kakosea wapi yeye anaempenda ndo kaongea ivyo wao from no where unaponda 2 jmn
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 2 жыл бұрын
Who came up with the standard of beauty? Were all beautiful each in their own ways.
@b.chantal5831
@b.chantal5831 2 жыл бұрын
Hehehe 🤣🤣🤣 Nakumbuka kijana alivyoniambia"wewe siyo mulembo sana lakini nitakuwowa kwa sababu una roho nzuri".Nilimuacha, ..and it was very dramatic...,,he didn't believe.
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🙌🙌
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@adamyasin4089
@adamyasin4089 2 жыл бұрын
He is right by the way
@mildredajiambo7835
@mildredajiambo7835 2 жыл бұрын
But amesema tu ukweli waja hawapendi ukweli
@blessingbagio4857
@blessingbagio4857 2 жыл бұрын
He is an honest man. Bad thing people want to hear what they wanna hear. And all they want is lies. She's beautiful but not most beautiful 👌
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 2 жыл бұрын
Mh
@capteinchuimchafu7894
@capteinchuimchafu7894 2 жыл бұрын
Mjuba kajiripua😂😂😂😂😂
@allymachejo2996
@allymachejo2996 2 жыл бұрын
Iyo ilibd ibak iwe siri yake sio kusema hazaran baharia mwenzetu kafel kinoma
@nadiaamisha2958
@nadiaamisha2958 2 жыл бұрын
Jamaa kaongea ukweli 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
@queentoto3878
@queentoto3878 2 жыл бұрын
But she's beautiful everyone has her own beautiful it's not jus a out this man his so rude 💔 and hi not proud of her girlfriend 💔💔💔💔💔💔💔💔💔
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 2 жыл бұрын
Mbona jamaa hajakosea popote.Ni kweli hata biblia ilimsema Raheli kuwa ni mzuri lakini Leah alikuwa na chongo ndio maana YAKOBO alifanya kazi kwa mjomba wake Laban miaka Saba Ili amuoe Raheli.Cha ajabu alibadilishiwa mke akapewa Leah kwasababu desturi Yao ilikuwa ni haiwezekani mtoto wa kike mdogo aolewe kabla mkubwa wake hajaolewa kwahiyo ilimlazimu YAKOBO kufanya Tena kazi miaka Saba mingine jumla ikawa 14 Ili amuoe Rachel na kweli akamuoa Rachel ambaye ndio alikuwa chaguo lake.Kaka yuko sawa kwamba wanawake tunazidiana.Huyo dada ukimpanga na Cleopatra yule malkia tunayemsomaga kwenye vitabu vya historia hawezi mfikia.Au TU tumlinganishe na baby sky wa kaka yetu Fredrick Bundala mbona huyo dada anapigwa mbali Sana🤣🤣🤣🙌
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 2 жыл бұрын
Hajakosea hata kidogo wapuuzi watamuatak
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 2 жыл бұрын
Ila akumbuke sisi wanawake tunapenda kudanganywa angemsifia tu nazani Ata uyo mwanamke atojisikia vizuri na atakua kashapunguza asilimia fulani katika moyo wa uyo mwanamke kama amempenda mtu basi ulichompendea ndio uwo uzuri wake kwahiyo tuelewane kwamba Ata kama mwanamke anajijua yeye si mrembo ukimwambia mrembo uwa a nafurahia Ata mwanamke ni mrembo ukimwambia sio mrembo Ata kama anajijua yeye ni mrembo atachukia sisi wanawake tunapenda kusifiwa Ata mkeo usipomsifiasifia siku akikutana na kijana anamsifia aisee unaweza kusalitiwa Ata kama una pesa za aje kwahiyo wanaume muwe makini na sisi msituchukulie poa sisi ni viumbe tunaopenda sifa
@nelsonmatiku5862
@nelsonmatiku5862 2 жыл бұрын
Hapa mwendo wa uongo tu 😄😄
@rjb31
@rjb31 2 жыл бұрын
Sns please, Just check An bring it up #wajakoyah Lookalike The kenyan Presidential Contestant
@najuf8021
@najuf8021 2 жыл бұрын
Kaandika point
@makondefinest
@makondefinest 2 жыл бұрын
That’s true
@ellybrown5989
@ellybrown5989 2 жыл бұрын
It's ridiculous 🥺, indeed.Siyo kwamba wanawake tumezoea kuongopewa hapana, The beauty is the eyes of the beholder,kwahiyo hataki kumsifia sababu gani!mi nadhani mwanaume huyo ana inferiority Fulani ndo sababu Kaamua kuua confidence ya mrembo wa watu. Laiti tungepata nafasi ya kumuuliza mrembo huyo kwamba na yeye kampendea nini huyo mwanaume maana na wanawake nao Wana vigezo vilevile 🤔. Asituchoshe!🥱🥱🥱🥱.kama vipi angekaa kimya Tu.
@shadyandizeye9453
@shadyandizeye9453 2 жыл бұрын
I'm so proud of him 🤗 mi nimchana ila nimependa san alicho kifanya ,co's sipendi kudanganya😊
@muddyshaka9017
@muddyshaka9017 2 жыл бұрын
Mmh
@MK-bk9ww
@MK-bk9ww 2 жыл бұрын
This is worse than the PANDEMIC 🤮🤮🤮
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 2 жыл бұрын
Is ridiculous
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
😔
@yeunhiasrwetze8377
@yeunhiasrwetze8377 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@Masokabya08
@Masokabya08 2 жыл бұрын
uyu kaka akili zake azina akili.
@hakizimanadiamant9796
@hakizimanadiamant9796 2 жыл бұрын
Wewe njo hauna akili
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 137 МЛН
HAH Chaos in the Bathroom 🚽✨ Smart Tools for the Throne 😜
00:49
123 GO! Kevin
Рет қаралды 16 МЛН
Nastya and balloon challenge
00:23
Nastya
Рет қаралды 70 МЛН
MKWE KAROGWA S2 Ep 11 ( Love Story 💕💕💕 )
20:28
kijiti media
Рет қаралды 853
LULU ATOA MACHOZI MAHAKAMANI, HUKUMU YAKE NOVEMBA 13
1:52
FRANCIS DANDE (Habari Mseto)
Рет қаралды 25 М.
YAFAHAMU MENO BANDIA
4:11
Alexia Hospital
Рет қаралды 5 М.
UKISIKIA MASIKINI JEURI NDO HII SASA
1:38
b boy rama
Рет қаралды 37
A Day at Johari Rotana Hotel Dar es Salaam Tanzania
9:52
EssKayworld
Рет қаралды 7 М.
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 137 МЛН