Ndugu Ngena Elelwa, nakutakia baraka za Mungu muumba wa mbingu na Nchi akutiye nguvu zaidi. Unafanya kazi njema sana tena ya kuinuwa Bara letu la Africa.
@hamisiabwe5160 Жыл бұрын
Mweneombe akanyibwe manga sana!!
@Nyaruking14 жыл бұрын
That really keep it up
@justiceherisabuni7678 Жыл бұрын
Mzee wetu,mi2 ni kijana mbembe,hendeleya Na kutuelimisha.
@LushidulaJidamawi20 күн бұрын
Ukosawa ndugu yetu
@Blackmedjay4 ай бұрын
Asili ni maisha yetu
@aminaathumani68323 жыл бұрын
😳😳😳jisikiee uhuuru zaidi muzazii karibuu tena kwetu tanzania
@justiceherisabuni7678 Жыл бұрын
Safi Sana.
@rajaburashidirjb32314 жыл бұрын
Mzee unasema vizuri sasa tatizo ni kwamba ungehanza kwanza mambo ya asili ungehungwa mkono sana,unajua watu wamevurugwa sana na maisha sasa unawaletea mambo ya asili nahuku mwenyewe ndo bado uko nje kabisa ya asili jihangalie kwanza.
@vnkjproduction78983 жыл бұрын
Yuko sahii kabisa Anasema kweli ndugu huyu
@kahangadekula22804 жыл бұрын
👏👏👏👏😊
@jamesmialano4442 Жыл бұрын
Umeoongeaah mengi Ila yote umekopi tu! Na anayetakaka kusikiliza hoja zangu anifuate inbox
@LushidulaJidamawi19 күн бұрын
Hajaiga anasema ukweli naukweli unauma
@kakozimusimbwa98264 жыл бұрын
Asili nini nawe unapiga suits,pamoja na tie,na Asili ya watu zamani walivalia ,ngozi za miti ,nyama nk.....
@Morano47 Жыл бұрын
Kwani unafikiri kuvaa ngozi za nyama na miti ndo hasili? Acha ujinga hakusema eti mrudishe wakati nyuma alisema mkumbuke hasili na muhiheshimu,,.
@LushidulaJidamawi20 күн бұрын
Watu walifuma nyuzi.zapamba tangu zamani zaidi yamiaka4000 iliyopita
@jacquelinen97644 жыл бұрын
Haha; wewe mwenyewe unaongea kiswahili. Hala unalalamika tunapotenza asili yetu. Kama sio nyie mnao ipotenza asili yenu. Mambo ya kicongomani unaongea kwa kiswahili ndo nini?
@rogerasifiwe63944 жыл бұрын
Hana hongea kiswahili lli watu wengi waelew.
@rebeccaselemani9597 Жыл бұрын
💯💯kabisaaa
@LushidulaJidamawi20 күн бұрын
Kiswahili nikicongo
@LushidulaJidamawi20 күн бұрын
Namba yako yamawasiliano nashida nawawe maana umenifunguwa ubongo