UKIITAMBUA HII UTAONA BADILIKO KUBWA KWA KILA UNACHOFANYA. Angalia hadi mwisho
Пікірлер: 48
@nielekezehyonimependastell38693 жыл бұрын
Kwanza Mungu akubariki sn kwa utumishi wako kwake, ila unanifaa sn mafundisho yako nitiba kwangu,lkn pia sipendagi kufarijiwa zaidi napenda ukweli mchungu japo unauma ila nidawa.
@nurunathoo23832 ай бұрын
Kalini mungu uteuwa mtu kutoka wabaya kuwa uteule wake ajili ya jina lake au utukufu wake....damu ya tosha na utakaso pia heb 2.18 aminaa
@johnhongo6493 жыл бұрын
Naibarikiwa na mafundisho yako ....Mungu apewe sifa...John Hongo from Nairobi Kenya
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMEN🙏AMEN🙏;..mchungaji me hubarikiwa sana na mahubiri yako.and vile unaongoza huo wimbo kuanzia mwanzo👍👍👏👏👏👏💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞super🙏.be bless always🙏na asante kwa kutuombea pia nasi tunao kufwatilia kwenye mitandao kutoka nchi mbali mbali.🙏
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Amen
@maxlove26683 жыл бұрын
Wonderful,God bless you Pastor
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Amen
@MR-BTHEONE29 күн бұрын
❤ubarikiw
@mandwashija49923 жыл бұрын
Amina pastor, ubarikiwe kwa somo zuri.🤝🤝
@mwambazmazoyah46283 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor
@DanielDaniel-wb7lt2 жыл бұрын
Àmina nabarikiwa
@namsifumallya28163 жыл бұрын
Ujumbe Mzito wa kueleweka, hakika unabariki mno, Mungu na aendelee kukuinua PR.
@elizabethjuma2983 жыл бұрын
Ameen nimebarikiwa kwa somo nzuri
@magynzioka11223 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana 🙏🙏🙏
@travissplatnumz3 жыл бұрын
Barikiwa
@davidimmael13003 жыл бұрын
Amina Pr. Mungu anatupenda sana ,
@MaryWilson-vg2mm3 жыл бұрын
Ameen
@m-ruagaboy4110 Жыл бұрын
Hakika mungu akubari sana Kaka🙏🙏
@kwizeraelly92613 жыл бұрын
Amen!
@lucyjacob1293 Жыл бұрын
Mchungaji mbona sielewi kudanilodi Tena basi sisi ambao vocha tu
@doriskyaruzi75093 жыл бұрын
Pastor sema tupone
@zachariahonga3 жыл бұрын
Nimeitafuta hiyo chapter ya 'heredity and environment' ila sijaiona
@ntiliyothomas51463 жыл бұрын
Balikiwa
@anoldkevin63193 жыл бұрын
Ni mgeni lakini nahisi uwepo wa Roho mtakatifu. Hili kanisa iko Tanzania???
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Ubarikiwe. Lipo nchi nzima
@anoldkevin63193 жыл бұрын
Ndio najua, hapa Kenya mko wapi?
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Niambie uko sehemu gani nikulekeze kanisa la karibu na wewe
@anoldkevin63193 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga ni kama hunielewiiii!!!
@simonogaro69903 жыл бұрын
Tafuta kanisa lolote la wa adventista wa sabato
@pepchallanga36263 жыл бұрын
Pr,kabla ya Mungu kuwaumba wanadam hakujua kuwa wangekuwa hatari?
@MahubiriPrMmbaga3 жыл бұрын
Alijua,ndio sababu Ukombozi uliandaliwa kabla dunia haijaumbwa. Ufunuo wa Yohana 13:8 Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.
@antipascann27973 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga kwahiyo tuseme kama jina langu halikuandikwa tangu kuumbwa kwa misingi ya dunia na nikaamini kupitia yesu naweza kuokolewa bado imani yangu itakuwa ya buree??
@barakabenjamin44683 жыл бұрын
@@antipascann2797 @Antipas Clement kama jina lako halikuandikwa toka kuumbwa kwa ulimwengu, usingekuepo mpaka sasa, Ila ishu ya kuokolewa , haijalishi ni dhehebu gani ila kanuni ni moja tu, Yohana 3:16 ( 16 Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. 17 Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye. 18 Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakuliamini jina la Mwana pekee wa Mungu.) Ndio maana kuna mwizi pale msalabani aliokolewa kwa kuamini tu (luka 23:39_43)
@antipascann27973 жыл бұрын
@@barakabenjamin4468 je wale ambao bado wanaishi na hawamwamini yesu wataokolewa vipi?
@barakabenjamin44683 жыл бұрын
@@antipascann2797 @Antipas Clement yasio wezekana kwa wanadamu, kwa Mungu yanawezekana, ikiwemo na hilo, cha msingi we shika kile unacho amini, maana hata Yesu alisema kua ana mengi ya kusema ila mda bado (naamin hata hilo ni moja wapo)