Asili ya watu wa Kilwa na mwenyeji halisi

  Рет қаралды 21,647

Mtembezionline

Mtembezionline

7 жыл бұрын

Asili na wapi walipotokea watu wa Kilwa na ni nani haswa ambaye ndio mwenyeji wa kwanza wa mji wa Kilwa katika historia - KAMBI POPOTE #Mtembezikusini.

Пікірлер: 13
@darenymsham2467
@darenymsham2467 3 жыл бұрын
Big up maskati yetu
@aliyambarak5024
@aliyambarak5024 5 жыл бұрын
Safi sana #UKWENI😘
@mastermfaume
@mastermfaume 5 жыл бұрын
Safi sana
@fatumajamaldin1084
@fatumajamaldin1084 4 жыл бұрын
Kilwa ndio home
@momadeatibo6729
@momadeatibo6729 4 жыл бұрын
yani vitu vya maana havina vyuwazi nyingi ila muoneshe hamba ruti na matako ya buza utaona.
@faithdaniel5652
@faithdaniel5652 4 жыл бұрын
Kilwa ndio nitakapo weka makazi yangu
@Rukxernxerlim2312
@Rukxernxerlim2312 4 жыл бұрын
hapo sasa
@fakihisilima3414
@fakihisilima3414 2 жыл бұрын
Maneno meng mbona?, Maudhui chache?
@RachelBriervanity1
@RachelBriervanity1 3 жыл бұрын
mbona kipindi kiimepotea?
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 жыл бұрын
ACHA UONGO WAMATUMBI SIO WANGONI!! Wamatumbi walikuwepo Kilwa kabla ya ujio wa wangoni na ndiyo wenye Kilwa yao ambayo ndiyo mji na dola la kihistoria la Kilwa Afrika Mashariki lilipoanzia. Huyo anayesema wamatumbi ni wangoni sio kweli, anadanganya mila na tamaduni za kimatumbi na za kingoni hazifanani, lugha ya wamatumbi na wangoni haziingiliani kabisa mngoni akiongea mmatumbi hana lolote analoambua na mmatumbi akiongea mngoni naye hana chochote anachokielewa. Asili ya wangoni walitokea Afrika kusini wakimkimbia Shaka Zulu kwenye vita vya Mfekane. Wangoni walipofika Afrika Mashariki miaka ya 1800 na kitu kuja juu (inakadiriwa kati ya 1840, 1850 mpaka 1870) miongoni mwa makabila waliokabiliana nayo vikali katika vita vyao vya uvamizi ili watwae ardhi au kusonga mbele kama ilivyo kawaida yao walikuwa wamatumbi na makabila mengi kama wahehe (ambao waliwanyamzisha kabisa wangoni) na kadhalika, kwa mara ya kwanza wangoni wakapigika. wangoni walikuwa na utaratibu wa kuvamia na kupiga kila mwenyeji wanayemkuta ktk ardhi ngeni wanayoingia na kuwajumuisha vijana ambao ni mateka ktk jeshi lao, lakini safari yao iliishia kusini mwa Tanzania kwani makabila ya kusini wakiwemo wamatumbi walipambana nao vikali mpaka wangoni wakasalimu amri na kuweka silaha zao chini. Kwa kuwa wangoni ilikuwa ngumu kwao kurudi walipotoka kutokana na waliyoyafanya njiani hususan katika maeneo waliyopita walijitengenezea maadui wengi na hata huko walipotoka walikimbia mapigano ya vita vya Mfekane ikalazimika utumike ubinadamu ndipo wakaachiwa eno la Ruvuma hususan upande wa kusini wa Songea hii tunayoijua sasa na waweke makazi. Hapo wakatengeneza udugu na mahusiano mema na makabila waliyoyakuta na hata kwenye vita vya majimaji ilikiuwa rahisi kwa makabila hayo kuungana dhidi ya udhalimu wa majeshi ya mjerumani huku Kinjeketile Ngwale ambaye ni mmatumbi na mwasisi wa vita hivyo akawaongoza wote na makabila yote ya kusini pamoja na upande wa mashariki mwa Tanganyika kuwa kitu kimoja na kupambana na wajerumani. Kwa matokeo hayo ya wangoni kushindwa na makabila ya wenyeji kwenye vita wakati wanaingia Afrika mashariki na ndiyo ikawa sababu mpaka leo wangoni wana utani na wamatumbi pamoja na makabila mengine ya kusini, nyanda za juu kusini, jirani na kusini magharibi, mpaka karibia na katikati mwa Tanzania na pia waliakaribia kwa wanyamwezi na wasukuma na hata mashariki ya Tanzania kuanzia Morogoro mpaka mpaka mkoa wa Pwani, na baada ya kushindwa kwao kwenye vita hivyo walitaniwa na makabila ya wenyeji kwa majina mengi kama wahehe waliwaita wapoma au wamapoma wanyamwezi na wasukuma waliwaita watuta na kadhalika. Ndugu zangu ni bora kukaa kimya kuliko kuongea kwa kujibu usichokijua. Wangoni ni wangoni na wamatumbi ni wamatumbi!!
@zainabmkwepu5498
@zainabmkwepu5498 3 жыл бұрын
Kina mkwepu tujuane
@andersonnambunga3388
@andersonnambunga3388 2 жыл бұрын
Duh
@hadisalum8658
@hadisalum8658 8 ай бұрын
Sema baba....hii history wameificha mashuleni
Historia ya Kilwa na sarafu yake
37:10
ITV Tanzania
Рет қаралды 7 М.
KIPATIMU (IAMCO)
22:36
JAS JOE SALAM
Рет қаралды 9 М.
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 16 МЛН
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 82 МЛН
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 14 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 6 МЛН
Kumbe Watu wa Kabila la wahaya wana asili ya Kirundi na waganda
13:45
Mtembezionline
Рет қаралды 17 М.
UWEKEZAJI KISIWA CHA BAWE
7:10
ZIPA TV
Рет қаралды 7 М.
A Quick History of the  Great Zimbabwe Empire
8:02
Zim Tech Guy
Рет қаралды 32 М.
Siya Wezi Yaillahi
8:58
Maulidi Juma - Topic
Рет қаралды 3,2 М.
This Village Will Make You Smile ! Kilwa Masoko Southern Tanzania🇹🇿
17:08
Maajabu ya kisiwa cha Mafia.
41:16
ITV Tanzania
Рет қаралды 13 М.
KILWA KIVINJE
7:11
Mr.khan_ Bongofun
Рет қаралды 1,2 М.
Wahaya kwanini hawawezi kufanya kazi ngumu
10:08
Mtembezionline
Рет қаралды 8 М.
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 16 МЛН