Rest in peace my love 😭😭😭😭😭I love you Mama Eid Mubarak
@jumamuharami76444 жыл бұрын
Home is home I love you mafia
@ramimsatinhoarino27233 жыл бұрын
Kila sehemu wapo wa asili wa eneo hilo na mafia wenyeji wa asili ni wanyagatwa na hii ndio orodha ya makabila yanayo patikana hapo mafia ukijumuisha wahamiaji kwenye 10 bora asilimia %100 wafuatao ) 1)wanyagatwa %50 2)Arabian tribes %20 3) wandengereko%10 4)wangazija%04 5)wagunya %05 6)wapokomo%2 7)wamatumbi%1 8)wangindo%1 9)wamakonde %1 10)wapemba$unguja%1
@ramimsatinhoarino27233 жыл бұрын
Niliwasahau wambwera %5 samahann
@mwinyikherikhalfanmzee62963 жыл бұрын
@@ramimsatinhoarino2723 sasa ss washirazi tupo kwenye group gani hapo kati ya Wanguja,wapemba au wambwera
@HadijaRajabu-pr9di2 ай бұрын
@@ramimsatinhoarino2723Wandengereko ndio wenye mafia yetu wanyagatwa tumewakaribisha tu.
@AaAa-vm8bb Жыл бұрын
مافيها Hili neno mafiha yaani ni neno la kiarabu maana yake hapana
@mozasaid38694 жыл бұрын
Ya kale dhahabu!
@binseif2216Ай бұрын
Waarabu hawakufanya biashara ya utumwa,ispokuwa history ilibadilishwa na nyerere na karume kupitia wazungu sabb wao walisimikwa na wazungu kwahiyo walikubali hayo matakwa
@thegreatsource29532 жыл бұрын
Natamani kufanya Kazi Mafia mimi, niombeni kwa Mungu nipelekwe Mafia
@leith87seif55 Жыл бұрын
Mafi ha maana yake ni sio hii au sio hapa
@lulukatunzi49822 жыл бұрын
Chetu ni chetu mbalikiwe kipindi kizuri kinatufundisha mambo mengi,but huo mziki unaotumbuiza uko sauti ya juu kiasi hatusikii maongezi yanayoendelea
@sultannassor48682 жыл бұрын
hiyo miziki toweni tuskie zivuri
@mwanaishazain79852 жыл бұрын
Maa fighaa??
@jotafungo46223 жыл бұрын
Mafia yetu
@saidothman25212 жыл бұрын
Nahc naitwa kwetu mana kila nikisikia jina hili mwili unanisisimka namuomba Allah anihifadh na anipe nguvu ya kuiona kwetu kabla sjafa
@imash04tv202 жыл бұрын
anajua kutia chumvi sana huyu jamaa tatizo walipewa elimu hio ya uongo ili kueneza chuki maana kasema jengo la wajerumani lilikua hospitali mara anasema warabu walikua hawawatibu watu wembamba mbona anajigongagonga ?jengo la nani mbona uongo mtupu mm naelewa watu wote wakitibiwa biashara ya watumwa zaidi ilifanywa na wazungu na hata picha zinaelezea hivyo picha halisi ama picha zakutengenezwa wanaekwa warabu .......
@johnmastaki1814 Жыл бұрын
vn tr
@HadijaRajabu-pr9di2 ай бұрын
Hata ninyi waarabu biashara ya utumwa muna fanya adi leo.