The Story Book: Mji wa Tanzania Uliokuwa Mji Mzuri Zaidi Duniani (Historia ya KILWA)

  Рет қаралды 433,223

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 661
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 жыл бұрын
Nimefurahi Sana prof Jamal kwa kuitangaza nchi yetu wengi wetu hatujui mambo mengi ya nchi kwa kuwa hatuna utaratibu wa kutembelea vivutio vyetu vya kale
@saidibinur9743
@saidibinur9743 2 жыл бұрын
Kwl kpnd hik kinakuwa siku gan na saa ngap
@neemamwita9733
@neemamwita9733 Жыл бұрын
Kilwa jamani ipo kama unaenda wap
@hassansaidhajji001
@hassansaidhajji001 2 жыл бұрын
Professor your are my model especial in knowledge,learning,innovation and other aspect Allah bless you my brother
@MWEGOHA
@MWEGOHA 2 жыл бұрын
Nilikuwa nikiisikia historia ya Kilwa ila sikujua kiundani hivi kama ulivyonielimisha leo @Prof Jamal, umenifanya niendelee kutafuta makala mbali mbali kuhusu Kilwa ila zaidi nahitaji kuutembelea nikajionee kwa macho mji huo ambao ni hazina kubwa sana Tz na Africa, Hongera Wasafi Media, Hongera Professor Jamal kwa kazi nzuri, "The Story Book" forever 💥
@jumakibe5032
@jumakibe5032 2 жыл бұрын
Dah...Jiwe la jahaz sio mchezo! Prof Jamal na mm Naenda kilwa kupaona. 🙏
@abdallahmwanjile471
@abdallahmwanjile471 2 жыл бұрын
M/mungu akinijaalia uhai nitaitembelea kilwa insha'Allah
@kingkittah6748
@kingkittah6748 2 жыл бұрын
PROFESSOR ...!! MTAALAMU KABISA.!! 🙏🙏🙏
@alimzee
@alimzee 2 жыл бұрын
Kwa kweli istoria nzuri inatungumbusha tuiwekee maanani sana.ikarabatiwe
@bakaryCMD
@bakaryCMD 2 жыл бұрын
The great professor of all time
@athuman6223
@athuman6223 2 жыл бұрын
from Philadelphia watching storybook 👏
@michaelliungo7811
@michaelliungo7811 2 жыл бұрын
kusini kumesahaulika sana na leo nimeamini kwamba Jamal ndio mtu pekee mzalendo wa nchi hii mwenye kujua thamani ya historia yetu
@adolphchilumba7999
@adolphchilumba7999 Жыл бұрын
Kabisa😭
@mahamudumbwana382
@mahamudumbwana382 2 жыл бұрын
Maaana halisi ya kwamba hakuna kinachodumu duniani😢😢 kila kitapita tu na kitabaki kua historia ee mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema
@perujumah1422
@perujumah1422 2 жыл бұрын
Ameen thuma ameen
@allahisone6386
@allahisone6386 2 жыл бұрын
@@perujumah1422 Allahumma Aaaameen
@SamirBSam
@SamirBSam 2 жыл бұрын
Watu tunapita. KILWA YA SASA NI KIJIJI CHA OVIO SANA. IMEBAKI KIJIJI CHA HISTORIA. SEHEMU WANAO PIKISHA KILA CHAKULA KWA MAFUTA YANAZI.
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 Жыл бұрын
Dah! Bonge moja la mji wa kihistoria ila nashangaa promo kubwa inapigwa Bagamoyo
@abuubilal2646
@abuubilal2646 2 жыл бұрын
Sababu ya mji wa kilwa kupotea ni kwamba walipokuja wareno kutaka kutawala waliwaamrisha wenyeji. wa kilwa kubatizwa kwa nguvu walipokataa ndipo kwa wivu wao wakaamua kuupiga makombora mji huo na kuuharibu na wakawachukua utumwani wenyeji.Ukitaka kuijua historia ya kilwa kiundani waulize waislamu wanaijua vizuri
@magigesabai8674
@magigesabai8674 3 ай бұрын
kwani wareno walitawala Tanganyika ?
@FahdiSultan
@FahdiSultan 2 ай бұрын
Walitawala Kwa muda mfupi hapo kilwa na Nchi za Kusini mwa Africa ​@@magigesabai8674
@husnakalumba2578
@husnakalumba2578 24 күн бұрын
Waleno 😂kasome tena historia
@filbertivo1988
@filbertivo1988 2 жыл бұрын
Upo vizuri broo na kwaa picha iliyojijeenga kwetu ww n kama kioo lakini vp hzooo tattoo mkononi yan zinanisumbua japo kua n maisha yako binafsi
@happynelson1180
@happynelson1180 2 жыл бұрын
Historia ya vasko da gamma nimesoma shule yaani viongozi wameshindwa kabisa kujenga upya kisiwa cha historia cha kilwa ambacho ni muhimu sana wale wageni waliojenga magorofa kilwa wasingefukuzwa leo hii kilwa ingekuwa juu sana wageni walifukuzwa na kilwa ikafa moja kwa moja
@zamzamabdi5279
@zamzamabdi5279 2 жыл бұрын
Kweli kabisa.mchaganyiko ya watu ni maendeleo kubwa.wageni hawana hasara
@brunokalunga4552
@brunokalunga4552 2 жыл бұрын
Kilwa is an avenu in DRC of cause mwami m'siri aliye talawa jimbo la katanga enzi izo alikuwa munya mwezi na aka dumu Katanga adi Leo.... I love my King.
@mchenitv9703
@mchenitv9703 Жыл бұрын
Home 🏠 sweet home Asante pr.april Kwa kuheshimusha kilwa
@ramadhanjaphet2976
@ramadhanjaphet2976 2 жыл бұрын
Asante Sana Proffer J . Kwa simulizi ya kilwa. Nimefurahi sn! Mimi naomba uje utuelezee kwanini mji wa kilwa ulikufa? WHY KILWA ISLAND FALL? BY R . JAPHET
@haslyhasly7945
@haslyhasly7945 2 жыл бұрын
Nice story big up prof. Jamali April
@bintrobert4952
@bintrobert4952 2 жыл бұрын
Shukran kwa historia ya kilwa
@farajkibinda6151
@farajkibinda6151 2 жыл бұрын
Love it kikwa boy
@salhandembo2480
@salhandembo2480 2 жыл бұрын
Mashallah wangewacha warabu jaman
@yusufumwasha548
@yusufumwasha548 2 жыл бұрын
Wareno ni washenzi sana waliuharibu huo mji kwa maksudi
@dieudonnejohnson5200
@dieudonnejohnson5200 2 жыл бұрын
Kazi zako zote huwaga ni nzuri mno!👌 Kusema kweli, hongera sana ndugu yangu, wewe pamoja na team yako nzima. 💪 Ila, nina ka advice kadogo. Nadhani ingekuwa vema unge jitahidi kuweka "english subtitles" ili ku wa accommodate wenzetu wasio sikia lugha yetu hii ya Kiswahili. Maana darsa zako zote huwaga ni kubwa sana, na za kimataifa zaidi. Fikiria hili Bro, na ikikupendeza wewe, pamoja na team yako, basi implement hio strategy. Ila kama nilivo tanguliza kusema hapo hawali, ni wazo langu tuu, na wala si lazima kufanya hivo. Asante sana ndugu zangu, na m'barikiwe!! Congrats guys!💪💪💪 MAY GOD BLESS AFRIKA!!!🙏🙌💪❤
@philipbonhour4987
@philipbonhour4987 2 жыл бұрын
Wajifunze kiswahili
@muxxerju7532
@muxxerju7532 2 жыл бұрын
my brother me naona ibaki ivyo ivyo tuu hakuna haja ya subtitles wasiojua kiswahili wakajfunze then warud tuelewane kwa kiswahil. mbona wao kwenye makala zao hawatuwekei kwa njia ya kiswahil mpka tunajifunza lugha zao kwaiv na wao acha wakajfunze na ss lugha ytu ikuwe now ishakuwa lugha rasmi mpka kwnye jumuiya ya africa mashariki inatumika
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
@@philipbonhour4987 "wajifunze kiswahili," fullstop....
@sadanahimana7193
@sadanahimana7193 2 жыл бұрын
wajifunze kiswahili na sisi lugha zao tunajitahidi kuziiga hadi tunaweza mimi huwa na komenti kwa kiswahili chochote nikiona kinanifurahisha na watu wananiuliza hiyo lugha niyipi nina wajibu vizuri sana
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
@@sadanahimana7193 Hahaha umenifurahisha walai, kwanzia Leo nafwata nyayo zako.....kwani sisi miaka na Mikaka ndio tutakua tunajifunza za wenyewe...
@hassanpande9915
@hassanpande9915 2 жыл бұрын
Wa KILWA 🛶🌴 Kam mim, kilwa masoko tujuane 👍
@RobbyDejan1234
@RobbyDejan1234 2 жыл бұрын
Tupo pamoja bro.
@adamliyoka7345
@adamliyoka7345 2 жыл бұрын
Nipo apa
@muryd6999
@muryd6999 2 жыл бұрын
Pamoja kaka
@shamilamuhamedi7904
@shamilamuhamedi7904 2 жыл бұрын
Mashaallah. Kilwa yetu. Iyoo lindi moja iyoo
@richbird.123
@richbird.123 2 жыл бұрын
Kwetu wasini pia Kuna Historia YA jahazi lililo jeuka kuwa jiwe Na watu kujeuka kuwa njiwa wenye lemba
@khaijakadija2082
@khaijakadija2082 Жыл бұрын
Wapi uko dear hadi raha wallah
@bonita329
@bonita329 2 жыл бұрын
Hivi imekuaje kuaje hatuna viongozi wasomi ama? 🤔🤔🤔 Kwanini wanaacha sehemu hii iaribike kiasi hiki ? Je, hawajui watalii wengi wanataka kujifunza Historia kuliko kutazama wanyama? Misri inapokea watalii mara kumi zaidi ya Tanzania na haina Pundamilia hata mmoja! Wote wanakuja kuona historia!🤷🏽‍♀️🤷🏽‍♀️
@CoachHafidh
@CoachHafidh 2 жыл бұрын
Big Point💥💯
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Hahaha, nimecheka Leo.... Bella umenijengea siku.....ati "pundamilia"
@tonyspencer1928
@tonyspencer1928 2 жыл бұрын
Yaani viongozi wetu Wana ufala mwingi mmno
@franksimre1116
@franksimre1116 2 жыл бұрын
Ni viongozi waliojaa uoga, tena usio na maana,yani wanaanda maisha bora kwa familia zao tu, wakiamini wakifa wao watoto wao hawatateseka, sasa watakumbuka watu wa asili yao?! Ni mashetani Sana.
@jumaamrani3295
@jumaamrani3295 2 жыл бұрын
fact
@hassanilimbega9121
@hassanilimbega9121 2 жыл бұрын
Wenye Kilwa yetu tumefarijika sana kwa simulizi hii
@maquizonlinetv3150
@maquizonlinetv3150 2 жыл бұрын
Najifunza vitu vingi kutoka kwako Mungu ukujalie
@brmtvtibaasili8289
@brmtvtibaasili8289 2 жыл бұрын
Upo sahihi kaka ila Alu badili sio dua kama wengi wanavyo zani albadili nishirki kwa mujibu wa qur an ana sunna
@mohammedbinjumaabinaweisal9188
@mohammedbinjumaabinaweisal9188 2 жыл бұрын
Kwenye hii Dua in kwamba Kilwa ilikuwa na miskiti 99 idadi sawa na majina ya Allah.(mwenyezi mungu) 99 na kila msikiti uliitwa Kwa jina moja miongoni mwa majina ya Allah. Siku MAKAFIRI Wa Kikiristo walipo kuja kuuvamia Kwa mara ya kwanza wenyeji waliamua kusoma adhana Kwa pamoja miskiti yote 99 Kwa pamoja na kuomba kupitia majina 99 ya Allah na kuangamizwa makafiri wote kwa kugeuzwa mwamba wa jiwe.
@mushimadege
@mushimadege 2 жыл бұрын
Kumbukumbu zangu ilikuwa ni adhana kwa jinsi tulovyosomeswa na masheikh zetu na sio albadil
@tanzanian8847
@tanzanian8847 2 жыл бұрын
Huwez kutengenisha historia y mji wa kilwa na ukuaji wa uislam afrika. Historia ya kilwa ilipotezwa ili kuficha historia ya uislam Afrika Mashariki na MCHANGO wa uislam katika maendeleo ya dunia. Ahsante sana Jamal Hashim kwa documentary hii.
@SilaMinanda
@SilaMinanda 7 ай бұрын
Ni kweli kaka, historia ya kweli inafichwa ambayo ni kubwa kuliko ata nyerere wanaomuabudu na kumuita baba wa taifa, wakati huo waislam ndio walianza kupgania uhuru maana ata ukoloni ulianzia pwani na sio bara.
@sarastephano3409
@sarastephano3409 2 ай бұрын
​@@SilaMinandaHata uislam pia uliletwa na waarabu ko wenyeji hawakuwa waislam Ila waliletewa hiyo dini na waarabu
@victormneney1475
@victormneney1475 2 жыл бұрын
Huku unaweza okota Dhahabu Shaba Historia nzuri sana tuendeleze huo mji kwa kujenga majengo yanayoenda na michoro ya 13s au 14s
@gwakisamatingo4861
@gwakisamatingo4861 2 жыл бұрын
Nakubali prof...
@mayassahmtumweni
@mayassahmtumweni 5 ай бұрын
kilwa ni evidence ya early swahili civilization yaani ustaarabu wa mswahili najivunia kuwa miongoni mwa vitukuu wa dola ya kilwa ❤❤
@rinirietransfomaorenge4309
@rinirietransfomaorenge4309 2 жыл бұрын
Ahsante Sana Prof. Marekani Kasikazini nawapata mbashara mpaka maeneo ya Kisii Kenya sitakosa kufuatilia
@susanbeadskenya7009
@susanbeadskenya7009 2 жыл бұрын
God not god
@sefujuma275
@sefujuma275 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Bwana Jamal
@arapninja_things
@arapninja_things 2 жыл бұрын
Hakika professor Jamal , nimeweza kujua kikamilifu staarabu za kilwa ya kale... Naitazama kutoka nchi Jirani ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Asante sana
@dullyhaleem6962
@dullyhaleem6962 2 жыл бұрын
PWANI YETU🌴❤❤
@kairatiswahilli7024
@kairatiswahilli7024 Жыл бұрын
Majengo ya kiarabu ukiyaona UtIjuw tu mie nipo Omani ila hiyo ndio mijengo yao halisi🥰
@perujumah1422
@perujumah1422 2 жыл бұрын
There is no permanent situation,Allah atujalie mwisho mwema😢😢🤲🤲
@GWIDJIQShabaniGWIDJIQSHABANI
@GWIDJIQShabaniGWIDJIQSHABANI 2 ай бұрын
BEST HISTORY 👏👏
@salumkudrakihulo7613
@salumkudrakihulo7613 2 жыл бұрын
Narudi kuandika tena WEWE NDIE PROFESSOR PEKEE UNAYE UTUMIA UPROFESSOR WAKA KWA MANUFAA YA JAMII YAKO sio wale wanao subili kutolewa majalalani wakina nanilii,
@Mwamba67
@Mwamba67 2 жыл бұрын
😂 Wakikusikiaa hee shaur yako,,,,!!
@faustineelias2059
@faustineelias2059 2 жыл бұрын
ningependa uendelee kuichambua nchi yetu
@khalifa3863
@khalifa3863 2 жыл бұрын
Professor why you haven't told us the fallen of the island the reason behind much love ✌
@thetrends472
@thetrends472 2 жыл бұрын
mji wa kilwa kwa ujumla wote ulikuwa mzuri ila sera za serikali hazikuwa ni zenye kuinufaisha kilwa namaanisha mji wa kilwa umeuliwa na serikali yenyewe ya TZ haswa sera ya ujamaa. najua utaniuliza kivipi? ni hivi sera ya ujamaa ilikandamiza sana miji ya pwani au coastal regions ni stori ndefu ila kwa kifupi ni serikali ndo imeuwa mji wa kilwa na si kilwa tu ila miji mingi ya pwani. fanya utafiti mdogo utaniambia kama uongo
@hutchblaq2998
@hutchblaq2998 2 жыл бұрын
Kwa uelewa wangu mdogo naona mji ulikua na maendeleo makubwa yaliofanywa na waarabu pia ndo walikua wakazi wakuu wa eneo hilo na waafrika wachache wengi waliondoka baada ya ujio wao na uongozi wao na majengo yalijengwa kwa knowledge yao so ilkua ngumu kuendeleza wakat walipoondoka maana ata wakazi weusi eneo hilo walkua wachache sana ulipotelekezwa hakubaki mtu yeyote ilkua lazima ufe miji ya nchi zngne ya zaman ilijengwa na wakazi wakuu wa maeneo hayo
@shaujimpota7202
@shaujimpota7202 2 жыл бұрын
@@thetrends472 mjadala huu na swali lililoulizwa linahusu kilichouangusha mji wa kale wa kilwa kisiwani, sio kilwa ya baada ya uhuru, kwasababu ukisema sera ya ujamaa ndo ilipelekea kilwa kuanguka ina maana kwamba mpaka kufikia miaka ya 1966 huo mji uliozungumziwa kwenye story book ulikuwa upo vizuri, kitu ambacho hakipo. SMH!
@christiannyamamba9089
@christiannyamamba9089 2 жыл бұрын
Kwanza niseme chini wameenda watu wenye akili na maarifa mengi sana na wajuzi kizazi chasasa mtu anakaa shule miaka zaidi ya minne kusoma engineer na unampa kazi anakujengea jengo hata miezi sita haijafika ikija upepo kidogo tu chalii sijui tunakwama wapi mana haya tunayofanya sasa yote ni marudio mana yote yalishafanyika tunajiita wabunifu kumbe vyote tunacopy na kupaste yakale mana walishafanya kila kitu. Hii ni zaidi ya royal tour nimevutiwa sana kutembelea hii sehem kujifunza mengi hakika nikirudi bongo ntafanya kila namna kutaka kufaham zaidi
@rubenmatley9552
@rubenmatley9552 2 жыл бұрын
🙌🙌👏👏 you are inspiring me to seek more knowledge
@abdallahomary6942
@abdallahomary6942 2 жыл бұрын
Welcome home KILWA
@ipyanamwansasu8567
@ipyanamwansasu8567 2 жыл бұрын
Story tulivu inavutia sanaa
@hilaliabousalim2715
@hilaliabousalim2715 2 жыл бұрын
Bro inabidi hii iwe endelevu uitembelee kilwa yote km Kivinje,songomnara,songosongo naamini tutaenjoy na kujifunza wote
@umojaafrika2447
@umojaafrika2447 2 жыл бұрын
Mimi ni mfaransa na nilijifunza vitu vingi na video hiyo !
@eng8251
@eng8251 2 жыл бұрын
Mfaransa unajua Kiswahili🤔
@umojaafrika2447
@umojaafrika2447 2 жыл бұрын
@@eng8251 Ndiyo ninajifunza kiswahili tangu miaka 3 kwa sababu ninataka kufanya kazi nchini Kenya
@eng8251
@eng8251 2 жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu tuwasiliane WhatsApp
@leonardpeter3953
@leonardpeter3953 2 жыл бұрын
Nafatilia sana kaka simulizi zako, big-up sana kwa kutufunulia yaliyokuwa nje ya ufahamu wetu. Naomba pia siku moja utuletee simulizi ya JACK THE RIPPER.
@ayubushembwana7914
@ayubushembwana7914 2 жыл бұрын
Profesa ,Nakupongeza sana unaelezea history kwa ufasaha na kwa lugha yetu ya kiswahili .Ayubu Shembwana .Bachelor of arts with Education ( Ba.ed )
@mustaphasayyid6740
@mustaphasayyid6740 2 жыл бұрын
My home KILWA
@valentinernestkavishe7297
@valentinernestkavishe7297 2 жыл бұрын
Mkoa gani
@mustaphasayyid6740
@mustaphasayyid6740 2 жыл бұрын
@@valentinernestkavishe7297 lindi
@thulanimashaba8491
@thulanimashaba8491 4 ай бұрын
Historia nzuri
@josephatmarko6155
@josephatmarko6155 2 жыл бұрын
Nimejaribu kutembelea majengo ya zamani barani ulaya hasa katika nchi ya uswiss na Italy, kuna utofauti mkubwa sana majengo yao pamoja na kwamba yameishi miaka zaidi ya elfu bado yapo vizuri japo si kwa mwonekano ule wa awali lakn wanajitahidi sana kuyatunza.Nchi yetu imeyatelekeza hayo majengo wangeweza kuyafanyia ukarabati kama wanavyofanya wenzetu ili angalau majengo yetu yaweze kuendelea kuonekana kama majengo kwa watalii na vizazi vijavyo.
@leith87seif55
@leith87seif55 2 жыл бұрын
Ile ni miji ta kiislamu na historia ni yabkiislamu hawawezi kufanya hivo katikabseheku ambayo serikali wamekusahau kwa Tanzania ni upande wa kusini mwa Tanzania kila kitu kibovu wewe angalia barabara ya kule tu utajua
@christophertz
@christophertz 2 жыл бұрын
Wa Kwanza 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
@moxasaidi3398
@moxasaidi3398 6 ай бұрын
Wenzetu wa ulaya vitu kama hivi huvikuza na dunia nzima hufika na kujizolea kodi kubwa sisi waafrica tupo nyuma sana
@teaminfinity4995
@teaminfinity4995 2 жыл бұрын
Ibn Battuta was a moroccan traveller the great city at the most powerful. writing in 1332 Battuta note that the city of kilwa is among the most beautiful cities and elegantly built
@duncannjuguna2691
@duncannjuguna2691 2 жыл бұрын
T
@jamesbakari1307
@jamesbakari1307 2 жыл бұрын
Saf sana
@jaypmunyamaofficial3488
@jaypmunyamaofficial3488 2 жыл бұрын
I really like your storytelling
@nasramuhammad2404
@nasramuhammad2404 2 жыл бұрын
Prof Allah aibariki kazi yako kwa sasa yafaa uwekee subtitles in english ipate kutembea duniani
@adriansabudema4898
@adriansabudema4898 2 жыл бұрын
Endelea kutupa historia hizi na ikiwezekana wafunsihe watu wengi wawe Kama wewe maana katika vitu tunavyokosea Ni kutoacha wafanani
@Homeofrhumba
@Homeofrhumba 2 жыл бұрын
Kilwa ya Tz na Fort Jesus ya Kenya zote ni almost the same, Long live east africa.
@eliasaismail4657
@eliasaismail4657 2 жыл бұрын
Not the same
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Kuna mji mwingine kule lamu, wa kitambo kuliko hata fort Jesus ...nimesahau jina lake....
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 2 жыл бұрын
Ndio ni kweli
@mirajiabdallah1339
@mirajiabdallah1339 2 жыл бұрын
wee jamaa nakukubali mnoo🙏🙏🙏
@ismailkizito5692
@ismailkizito5692 2 жыл бұрын
Professor uandae na story inayokuhusu ww maake naww ni miongon mwa watu wakipekee sana kweny sanaa
@luckysonmiani553
@luckysonmiani553 2 жыл бұрын
Kwel KABC
@NORIS-h8l
@NORIS-h8l Жыл бұрын
Nakubari
@oswaldmwihavapaul8517
@oswaldmwihavapaul8517 2 жыл бұрын
Waziri wa Mali Asili na Utalii , akae na wataalam wake wa utalii wafanye kitu hapa Kilwa ..hiki ni kivutio kikubwa cha utalii na kinaweza kusaidia sana sana Tz
@bonita329
@bonita329 2 жыл бұрын
yaani sijui ujumbe wanaupataje hii sehemu Watanzania pamoja na Viongozi wanaichukulia powa lakini ni sehemu muhimu sana kuliko hata zanzibar... hapa maarifa yanaitajika hapa dah 🤦🏽‍♀️
@richardlucas2275
@richardlucas2275 2 жыл бұрын
Si ndioviongoz wakianza kupambana kuitangaza nchi tunaanza kubeza mambo ya royal tour
@ismailel-mazrui6983
@ismailel-mazrui6983 2 жыл бұрын
Kabisa ndugu shm km hz ndo katalunya ya madrid
@CoachHafidh
@CoachHafidh 2 жыл бұрын
Hicho kichemba ndani ya mskiti wa watu malindi kinaitwa 'kibla' na sio mimbar....Mimbar ni kama jukwaa analotengezewa mhatibu ili apande juu yake aweze kuhutubia waumini kwa mfano kama kutoa hotuba siku ya ijumaa...ila 'imaam' au kiongozi anaposwalisha au kuongoza ibada ya swala anaongiza akiwa ndni ya hicho kichba kitaitwa kibla
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Very nice...
@chuserkibavu
@chuserkibavu 2 жыл бұрын
Hakika✊
@siasia5469
@siasia5469 2 жыл бұрын
Ndio kunavyoitwa atakua amechapia Jamal
@edgarchiluma6401
@edgarchiluma6401 2 жыл бұрын
Mtu kama huyu Jamal April,, ndiyo ilifaa waingizwe kwenye utengenezaji wa Royal Tour
@robinmuganda7690
@robinmuganda7690 2 жыл бұрын
You make Swahili sound elegant. Kazi safi Prof. Much love from 254.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Hakuna lugha tamu kuliko kiswahili, kote duniani....
@masupildula
@masupildula Жыл бұрын
@@mpendakiswahili3053 kila lugha Ina uzuriwake na ubayawake kwa watu mbalimbali Mzanzibari anayosoma UChinani, na ndiyo najua kuzungumza kichina, usalama ukupate.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
@@masupildula Kiswahili hakina ubaya....utamu mtupu....
@Mwakyusa323
@Mwakyusa323 2 жыл бұрын
bonge la story
@African2TheWorld
@African2TheWorld Жыл бұрын
Uongozi bora ndio chanzo cha maendeleo, kwa kifupi Wa Africa kwa ujumla hatujali yaliyopita wala yajayo. Ndio maana hatuendelei sana kama wenzetu.
@saidkaim768
@saidkaim768 2 жыл бұрын
"tulivyofukuza walowezi tukawacha waende na maarifa yao " it so pain brother
@ahmedzahor2975
@ahmedzahor2975 2 жыл бұрын
Muongo pashia si warabu ni Wairani na Wairani hata kiarabu hawajui
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
@@ahmedzahor2975 Dah, hilo sio hoja.... mbona tunatilia maanani yasio muhimu
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Aiii, huwa najiuliza, kwani sisi waafrica tulilaaniwa au nini...mbona tunafaili kwa kila jambo ...
@saidkaim768
@saidkaim768 2 жыл бұрын
@@mpendakiswahili3053 mpango tu
@shaujimpota7202
@shaujimpota7202 2 жыл бұрын
@@ahmedzahor2975 pashia ndo nini? Halafu pia toa tafsiri yako ya waarabu tuiskie. Na mwisho kabisa, hilo neno waarabu linatumika na wengi na inakubalika kuziita jamii zilizo nyingi za mashariki ya kati ikiwemo Oman, Saudi Arabia, Yemen, Iraq, Iran, n.k
@zubeirshamat562
@zubeirshamat562 Жыл бұрын
Nyumban kama nyumban nakupenda sana nyumban
@ladyt1471
@ladyt1471 2 жыл бұрын
Asante prof
@richardibrahim5609
@richardibrahim5609 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 babu alizngua, yan akampa na nyongeza ya binti
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 жыл бұрын
Hahahhahaha kweli kazingua
@youngpaincompany1440
@youngpaincompany1440 2 жыл бұрын
😂😂😂
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu Жыл бұрын
Utunzwe sana huo msikiti
@sdeshnjwetr6707
@sdeshnjwetr6707 2 жыл бұрын
Historia inatafakarisha sana hasa sisi wa AFRIKA.
@baobabstudiobagamoyo
@baobabstudiobagamoyo 2 жыл бұрын
Imenipa hamasa ya kutembelea kilwa yote sasa
@najmaabduli9593
@najmaabduli9593 2 жыл бұрын
Ningoje twende wote
@najmaabduli9593
@najmaabduli9593 2 жыл бұрын
Nyumbani Jamani 💋❤️
@juliusmageni9139
@juliusmageni9139 2 жыл бұрын
Respect
@AllyHaydary-fh5vm
@AllyHaydary-fh5vm 7 ай бұрын
Jamal apa umefanya la mana kutukumbusha historia yetu kak salut kwako, nisaidie kit kimoja kaka kama kuna uwezekano ongea hata na waigizaji ili tupate movie ya historia yet ili wat waijue
@selemannaoda2027
@selemannaoda2027 2 жыл бұрын
Upo vzr Sanaa!! Kilwa Ina historian kubwa Sanaa. Ingawa serikali Ina inaacha historian ya mji uwo inazidi kupotea. Inashindikana nn kutengeneza mjii una unaofanana na historian unayo silmuliaa?! Ili tuweze Linda historia ya mjii wa Kilwa.
@aliisaid854
@aliisaid854 Жыл бұрын
Nyerere ameua mambo yote
@samwelygerld3477
@samwelygerld3477 2 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka
@lotilazaro8845
@lotilazaro8845 2 жыл бұрын
Big up xaaana professor Jamal unaendelea kutuonyesha ubora na thamani Yako katika Kazi yako
@awadhbuya9649
@awadhbuya9649 2 жыл бұрын
U always inspire me prof.
@haarunsaidabdillahi4082
@haarunsaidabdillahi4082 2 жыл бұрын
Mtangazaji you are doing a wonderful job. I learned alot about Kilwa which i have not leaned anywhere.
@lucashenry2406
@lucashenry2406 2 жыл бұрын
Leo nimezitaft the story book mapy mpy ikabid niwe nazirudia tu nlizozichek il bro unachelewesh kutoa nawdays had tunamis
@jumakibula4851
@jumakibula4851 2 жыл бұрын
Kaka jamali twaomba pia utembelee Tanga , tupate Taarikh yake, History yake tuiFahamu kwa Uzuri
@gangmore9091
@gangmore9091 2 жыл бұрын
ccm wanaiyari wapoteze pesa lakini jambo lao lifanyike
@hallin9561
@hallin9561 2 жыл бұрын
kilwa ilikuwa imeendelea ila sio kwa watu weusi wenyeji, wazawa waliendelea tu na maisha yao ya msituni kama sokwe, utajiri ulibaki chini ya waarabu tu na wareno na ajabu hawakuacha vizazi vyao kabisa hawakutaka kabisa kuBond na watu weusi.
@capt.mallahimubarakmarine4899
@capt.mallahimubarakmarine4899 2 жыл бұрын
🤣 🤣 🤣 Unauhakika au chuki tu binafsi 😅😅Maana kilwa waarabu kibao kuliko mambas
@Sautiyamajini
@Sautiyamajini 2 жыл бұрын
Jamal wewe. Ni kipenzi changu katika utafiti na kutuletea mambo mazuri kama haya you are my favorite documentary artist be blessed
@novotechenterprises8747
@novotechenterprises8747 2 жыл бұрын
Nikiona haya naumia sana. Huu ni urithi na utajiri mkubwa. Hakika watanzania hatujaipa hadhi inayo stahili. Nchi nyingine zinapata utajiri mkubwa kutokana na historia yao. Naomba viongozi wetu watembelee utajiri huu na tukubali kuwekeza ili tuchume.
@hajikombo1220
@hajikombo1220 2 жыл бұрын
Haya majengo yanatakiwa yafanyiwe renovation itaongeza sana na kuchochea utalii kama walivyofanya nchi za wenzetu. Mtu kwenda na kuangalia magofu haimake sense viongozi wa afrika wengi wengi hawajitambui.
@KoreanDramaMoviesKiswahili
@KoreanDramaMoviesKiswahili 2 жыл бұрын
🔥❤️🔥
@mwambakharidi3972
@mwambakharidi3972 Жыл бұрын
Unatisha sanaa
@susananyasani6526
@susananyasani6526 2 жыл бұрын
Asante kwa Historia ya Kilwa Nchni Tansania
@mohamedituchome5387
@mohamedituchome5387 2 жыл бұрын
Karibuni kilwaaaaa🤟👊👊
#TheStoryBook MATESO MAKALI YA UTUMWA (SEASON 02 EPISODE 02)
22:17
Wasafi Media
Рет қаралды 564 М.
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 62 МЛН
An Unknown Ending💪
00:49
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 57 МЛН
JESUS (Swahili: Kenya) 🎬
2:01:45
Jesus Film
Рет қаралды 3,1 МЛН
The Story Book: WAMASAI na Mila za Ajabu za Makabila Ya Waafrika.
49:20
The Story Book : Kweli Kula Nguruwe Ni Haramu Au Uzushi Tu !?
37:44
Wasafi Media
Рет қаралды 506 М.
Kisa Cha Mtoto wa Tajiri Kuliwa Na watu Msituni (The Story Book)
47:44
Wasafi Media
Рет қаралды 1,2 МЛН
THE STORY BOOK: UBABE WA KIM JOUNG UN | KIDUME ANAYE TIKISA ULIMWENGU
37:36
The Story Book: MOBUTU ‘Dikteta Aliyewafilisi Wakongo’
44:00
Wasafi Media
Рет қаралды 689 М.