Chief huu ni ufunuo wa next level I wish Watanzania wote wasikilize hili somo maana hizi Roho Za wafu zinatesa vizazi na vizazi na mbaya zaidi wengi hawaelewi kuwa wamefungwa na hizo Roho Za Mizimu .Thanks Chief be blessed.
@swedyjovano82752 жыл бұрын
Amen. Somo nzuri sana. Ubarikiwe. Nimefatlia hii somo nikiwa nchini🇨🇦 .nimejifunza mengi na nimebarikiwa . Ni kweli kabisa yanenavyo maandiko " watu tunapotea kwa kukosa maarifa " ni kweli tena kwamba" Hakika Bwana hatafanya jambo lolote bila kuwafunulia watumishi wake n'a manabii wa Bwana siri zake" neno la Mungu lasema ivo.
@juliusmutie76342 жыл бұрын
Thanks! This is so powerful I can see clearly the truth, actually I relate this at home I understand much better the problem,
@jumaona83522 жыл бұрын
Dah ad nmebarikiwa sana mtumishi apo kwa musa na eliya nimekua na maswali mengi sana ila jibu nimepata Mungu akubariki sana
@mauwashomari81602 жыл бұрын
hii roho ya mizimu ina sumbuliwa familia yetu sana nandomana atufanikiwi ata kidogo tuko watu wakuzarauliwa sana, Mungu tusaidiye mimi pamoja na familia yetu tupate kushinda roho ya mizimu
@stellahokworo65612 жыл бұрын
Am always blessed with the sermon am following you from Saudi Arabia please remember me too during your prayer time
@user-ce4wg5de8c4 ай бұрын
Powerful msg Apostle
@jescarwegoshola17542 жыл бұрын
Somo zuri Eee Roho Mtakatifu fungua akili za wote wanao msikiliza huyu Mtumishi wako wapate kujua na maandiko. Ubarikiwe Apostle 🙏
@user-io1tp6nz8m4 ай бұрын
Mungu tusaidie maisha haya bila wewe Yesu hatuwesi
@sautisevarino16567 ай бұрын
Asante sana mtumishi kwa kutufungua macho na masikio
@pastorkennypauls94862 жыл бұрын
Apostle sasa watu wanaenda Nigeria kutafuta nini, mbona Tanzania Upo wewe!! I believe Wa Nigeria very soon watawarudisha Wa Tanzania wanapoteza Nauli kwenda Nigeria wakati Tanzania kuna Chief Commanding commander, Sir Apostle endelea ni kwa ajili yetu wewe hata hufaidiki na chochote ni sisi ndo tunaofaidika, Thank you for what you are doing for the sake of our generation, you have not failed us, we are learning sir, I look at you Apostle I see a better tomorrow!!
@trophywilson72112 жыл бұрын
Kule wanamfuata Baba yake wa Kiroho Chief Bushiri
@vj83132 жыл бұрын
@@trophywilson7211 Bushiri si yuko south Africa siyo Nigeria
@happinessmwenda27732 жыл бұрын
Bushiri hayuko SA na haruhusiwi kukanyaga kule
@vj83132 жыл бұрын
@@happinessmwenda2773 He! Kumbe hakurudi
@trophywilson72112 жыл бұрын
@@vj8313 duuh ngoja atangetange Mara Kufufua wazima hahaha
@highzacknnko96852 жыл бұрын
Mtalemwa vs josephati gwajima huwa nawasikiliza sana masomo yao yanaenda deep sana unajikuta unapata ufahamu ,jamani ukipata muda ingia you tube sikiliza masomo yafuatayo ya gwajima 1. Akili iliyologwa 2. Vifuniko vya kichawi 3. Kalenda za kichawi 4.kesho iliyopigwa kona 5. Roho ya yezebeli 6.vita vya kukaribia kupata
@vj83132 жыл бұрын
Asante
@irenemfinanga74412 жыл бұрын
Asante Mungu kwaajili ya somo la injili ya leo...naomba unipe nguvu ya kuishinda nguvu ya mizimu! Mimi na uzao wangu nataka kumtumikia Mungu wa mbinguni. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
@prophetjoshua14572 жыл бұрын
Asante sana Chief Apostle kwa mafunzo yako hakika unatujenga kiroho sana. Mungu akuongezee Neema zaidi ya kufundisha. Amina
@joycemaige86832 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana na azidi kukutumia Hili ni neno langu kabisa silipingi mwezi wa 12 nimeshiliki kiwachangia watu waliyo enda mkoani kujengea makabuli lakini walipo fika na walicho kifanya dah wanajua wao kwakweli sijawahi ona nguvu ya Mungu ikitenda kazi ndani yangu kwa kuniazibu kwanza nilianza kuota mandoto nikiwa vijijini Yani mpaka nakuja kuambiwa shida nini na adhabu ninazo pitia sikuamini Ila leo sasanajua ukweli zaidi nanamna ya kujifunza kukataa kuchangiachangia michango ya jambo usilolijua Mungu azidi kutu rehema hakika pia Mungu akubariki Sana kwakukutumia kutusogezea hili neno maana Mungu amakutumia kunichambulia maana ya kuchangia michango ya kila miezi ya 12 na safari za mwisho wa mwaka na maana yake apostle Mungu anakutumia Sana huu ujumbe ni wangu sipingi na nilipata maonyo Ila tunajiitaga sisi bado niwachanga kiroho Ila Mungu alimwambia yeremia wewe siyo mtoto kwasasa nataka nikutume asante kwa ujumbe Mungu atu rehema Sana tulipo kosea
@epafrangweshemi40142 жыл бұрын
Asante kwa kuendelea kufungua vifungo vya mizimu. Koo, familia na ndoa nyingi zinataabika na roho hizi. This is a master key of curse in our society.
@oscarngati12247 ай бұрын
Thankyou Appostle for the mizimu teaching be blesse
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣💪Amen nimeacha ushirikina kwanzia leo.
@johntiokoepungure99412 ай бұрын
Wonderful teachings
@joank79292 жыл бұрын
Powerful teachings.
@estinakadinde93442 жыл бұрын
Chief haya material unatoaga wapi aseeee yaani wewe God bless you so much tunaomva utusaidie tunatokaje sasa maana mpaka hapa bado tumefungwa usitusahau kutupa somo la jinsi ya kutoka
@ramsdenjames97822 жыл бұрын
Achana na mizimu fuata maagizo ya Yesu hyo ndo solution
@mumbinarankaik3132 жыл бұрын
Thank you Man of God, I wondered Moses died how did he appear to Jesus, now I know
@shikeniwilliam55312 жыл бұрын
Powerful teaching. Amen 🙏 mtumishi. Nimejifunza mengi apa. Ubarikiwe 🤗🙏
@fatumamichael56647 ай бұрын
Mungu nisaidie .Mimi na familia yangu kushinda roho za mizimu maana ndo zinatesa familia yangu
@annewamaitha14882 жыл бұрын
Heeh, umetufunza mtumishi, ubarikiwe maana maandiko yanasema " watu wangu waangamia ni kukosa ufahamu". Ee Mungu tuelimishe. Asante mtumishi wa mungu.
@liliansolomonofficial83732 жыл бұрын
You are a blessing Apostle may God help us to keep our my faith,, thanks for rebuilding my faith.Glory b to God 🔥🔥
@zawadijoel75162 жыл бұрын
Chief Apostle, hujawahi kosea. MAfundisho yako yanaleta uelewa wa mambo tunayo pitia kila siku. Mungu wa Major1 akubariki na azidi kukutumia kwa viwango vya juu, mtumishi wake. Hakika mafundisho yako ni baraka kwetu.
@rachaellusava93262 жыл бұрын
Amen amen mtumishi umebadilisha maisha yangu sana mungu akuzidishie hiyo neema witching from Kenya
@sifumungu22 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI KABISA ,HOMME DE DIEU 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@janethjoseph79662 жыл бұрын
Hakika Mungu amenifunulia yaliyosirin kwenye familia yangu ,ubarikiwe sana mpakwa mafuta wa Bwana .nakwenda kushughulika nahizi roho sasa huu mwaka lazima kufunguliwa
@user-gs3ji9eg3m6 ай бұрын
Amen amen barikiwa sana Nabii wa MUNGU somo ni zuri sana 🙏🙏
@faustinriziki67872 жыл бұрын
Amen, Amen Asante Sana Apostle kwa mafundisho yenye baraka kwetu , barikiwa Sana mtumishi 🙏🙏
@leahtimothy72732 жыл бұрын
Amen amen hallelujah apostle mtalemwa 🔥watching from Saudi Arabia pray for me daddy
@sarahwawuda51642 жыл бұрын
Mungu akubariki Apostle kwa somo hili nimekuelewa nimejifunza.
@angelkanoga21752 жыл бұрын
Jesus Baba Asante sana kwa Ufunuo huu yan mimi kuna nguo nilikuwa nikivaa nawashwa siku moja nikasema natakasa nguo izi kwa damu ya Yesu nilivaa sikuwashwa tena na zile nguo.
@joannelson11372 жыл бұрын
Chief apostle we thanks God for you 🙌🙌🙌🙏🙏❤️❤️
@josephmallya55252 жыл бұрын
kwa hili nmefunguliwa sana
@vivienshubi87462 жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu, Mungu akubariki kwa mafundisho yenye mafunuo makubwa, akuinue zaidi uzidi kutulisha neno lake
@yohanamomburi231210 ай бұрын
You are truly the Man of God.... you are a blessing to us.
@pastorkennypauls94862 жыл бұрын
thank you Chief Apostle ❤️❤️❤️, eh Mungu nipe kutambua na kushinda nguvu za mizimu
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Amen
@billyclinton82 жыл бұрын
Amen
@stellangowa18932 жыл бұрын
EE mungu nipe kutambua na kushinda nguvu za mizimu.Amen.
@vj83132 жыл бұрын
Be blessed sana servant of God.
@friedamkiramweni95002 жыл бұрын
Asante, Mtumishi wa Mungu nimejifunza somo muhimu. Mungu aendelee kukupa mafunuo na kukubariki.
@deborankya2342 Жыл бұрын
Amen my mental, nimejifunza nisivyovijua lakini tunaishi navyo. Mungu akubariki Chief.
@mauwashomari81602 жыл бұрын
Eh Mungu mimi na familia yetu utupe kushinda roho ya mizimu katika jina layesu christo amen
@emmasidi94462 жыл бұрын
ameen ubarikiwe pastor apostle nimebarikiwa na hili neno
@enriqueganywamulume5702 жыл бұрын
Heheeee Come on homme de Dieu !! Tena ufunuo maalumu. Oh yes !
@janethtilia14462 жыл бұрын
Barikiwa sana mtu wa MUNGU unatufungua macho kweli inatuweka huru
@estinakadinde93442 жыл бұрын
Chief wa watu God bless you
@lucymziray72852 жыл бұрын
These teachings ni fire fire 🔥🔥 I cant wait for my three years in Dar again kupata hili neno tena moja kwa moja! I miss you my mentor!
@msangodiesel31322 жыл бұрын
Asante kwa kumiza kichwaa sana kuandaa somo zuri sana haya kwetu yapo nimeyaona ila Sasa wanaoigwa na maombi wameanza kuokoka
@silvesterryaga73652 жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana. Mungu akubarikie Afya, Hekima na Shauku ya kuendelea kutufunua akili.
@lucianaemilyo95452 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi by Iraq Baghdad
@evamanyama8268 Жыл бұрын
Neno tamu sana barikiwa sana mtumish umenigusa
@mchungajisecilia80292 жыл бұрын
Amen,,, Amen,,,, Amen.
@alicekalemela74352 жыл бұрын
Shalom Apostle, Asante Sana kwa mafundisho mazuri ya kutuvusha. Mimi binafsi nilipapambana na hii roho ya mizimu , namshukuru Mungu nimeshinda. God bless you and keep you.
@ramaaman402011 ай бұрын
Kama Mungu anawezakutumiakitunakuongea basi yesu sio mwanaeamungu ni mtumishiwa Mungu,mboanawengine hawakubali
@christianmwasakogo55792 жыл бұрын
Big up for your teachings Apostle
@sallygrace14952 жыл бұрын
Blessings you may of God 💝
@festokachunkwa42682 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi kwa fundisho la roho za mizimu ( tuliamo mtaremwa)
@Estherm3092 жыл бұрын
Asante sana asante sana nimejifunza nimejifunza nakataa maroho ya walio kufa kwa maisha yangu
@felistargabrielly12362 жыл бұрын
Ameeen chief, mimi binafsi nimejifunza vitu ambavo nilikua natamani Sana siku Moja nipate hili somo, maana hata mimi inanisumbua Sana🙏🙏🙏
@joyamani47462 жыл бұрын
Asante sana! Can’t wait for part 2
@pastorkari88022 жыл бұрын
Apostle uko sahihi Sana, ubarikiwe
@WinnerJ_2 жыл бұрын
Powerful 🔥🔥🔥 waiting for part two eagerly
@Estherm3092 жыл бұрын
Amen Amen nashukuru my angle kanipiganiaasante sana baba
@billyclinton82 жыл бұрын
Hilo Neno Lina nguvu sana
@alexluwaha67682 жыл бұрын
Pactor ubarikiwee nimesikiliza somo la Leo nimekuelewa vzur tunashukulu kwa ufafanuzi Mama Angu Anateseka na mizimu miaka mingi anasumbuliwa na mizimu ya mababu nilikuwa naomba msaada kwa hilo 🙏🙏
@floramongi1410 Жыл бұрын
Roho hizi za mizimu zimetufanya sisi wa Afrika kuwa maskini tufundishe baba tuelewe
@churchofrepentanceofchrist1392 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi wa Mungu maana uko kiroho kabisa
@alfredbomani80472 жыл бұрын
Siyo Mlokole lkn nimekukubali. Upeo wako mkubwa mno. Some gum umelifafanua vzr sana. Pia mistari ya Biiblia umeihusisha vyema ktk kujenga ufahamu. Bila mbwembwe. Asante sana
@agustinohizza13952 жыл бұрын
Amina. Apostle
@violetamati2571 Жыл бұрын
Thank you man of God
@samwelinyaku38102 жыл бұрын
Asante kwa kuendelea kufungua fahamu zetu za kiroho na kimwili baba
@dilurai42042 жыл бұрын
Chenye umehubiri ni kweli kabsa ata sisi kwetu tunasumbuliwa sana juu ya chele tulizochanjwa na shangazi
@marthafransi98682 жыл бұрын
Ee MUNGU wangu Mimi na nyumba yangu tukutumikie wewe utuongoze katika njia zako kuu
@floramongi1410 Жыл бұрын
Uko vizuri ubarikiwe
@dilurai42042 жыл бұрын
Amen Amen
@upendoeliudi51962 жыл бұрын
Asante kwa masomo, barikiwa sana
@danieltungira38372 жыл бұрын
Be blessed Paster
@liliankira10742 жыл бұрын
lilian matengele flom tanga niombee baba
@sifumungu22 жыл бұрын
Ufunuo kweli 🙏🙏🙏
@jacklineikoki6653 Жыл бұрын
You're too much chief very very very true chief
@gladnessmajala3295 Жыл бұрын
Amen 🙌
@simonzakaria47709 ай бұрын
Ee Mungu nisamehe sirudii tena
@mildredwekesa58442 жыл бұрын
Asante saana mtumishi najifunza zaidi
@agnesspaul18666 ай бұрын
❤❤❤❤ Aminaaa
@lydiakagai58082 жыл бұрын
Asante sana tunangoja maombi yakuharibu roho hizi mbaya
@Flevydan2 жыл бұрын
Be blessed Son of Major one you really bless me each and every time I listen the word of God through you listening out from Kenya
@maryamsuleiman634011 ай бұрын
Ninakuelewa sana ilatunaiepuka vp mizimu
@mwanahamisifafi74832 жыл бұрын
Amen
@lwanjiedna52332 жыл бұрын
Asante apostle mafunzo mazuri
@churchofrepentanceofchrist1392 жыл бұрын
sawa mtumishi
@karlymathew55002 жыл бұрын
Nashukuru kwa somo zuri nimefunguka maana mizimu inatesa watu wengi
@martinisadru98992 жыл бұрын
Mungu nisaidie
@jonasmpita22062 жыл бұрын
Somo zuri sana japo gumu kumeza
@kadzomasha85392 жыл бұрын
Nikitaka kutowa sandaka Nita fanya nini juu Niko mataifa za inje🇩🇪⭐🙏⭐
@sululungasa38492 жыл бұрын
ameniii 🙏
@maryamsuleiman634011 ай бұрын
Mimi ni Islam lkn nakuelewa hadi machizi ,niukweli ulioje wengi tunasumbuliwa nahaya mamizimu ,nanimigumu kukuacha ,
@jumarama7782 жыл бұрын
Haleluya👏👏👏👏🇰🇪
@karlymathew55002 жыл бұрын
Na mimi ni muanga na haya ma roho ni Mungu ananisaidia