No video

Atoswa kwenye BAHARI ya Somalia, Wapelekwa na UPEPO mpaka INDIA, Mmoja afariki, Wakaa JELA miaka 5

  Рет қаралды 38,788

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Пікірлер: 97
@Josh_1194
@Josh_1194 Жыл бұрын
Mimi nimezamia miaka ya 80 hadi leo nipo UK , Allah awape wepesi mabaharia wotr
@rasjamal9854
@rasjamal9854 Жыл бұрын
Adventure umezamia 80 kupitia wapi?ume cross au umetoka na boti? sorry km ntakuwa Nime kukwaxa?
@Josh_1194
@Josh_1194 Жыл бұрын
@@rasjamal9854 nilitoka na meli Ras
@bainolatino3412
@bainolatino3412 Жыл бұрын
Nakukubali baharia uliepasi mitihani ya usafiri lakini naomba connection ya namba yako ya what's up broh
@rasjamal9854
@rasjamal9854 Жыл бұрын
@@Josh_1194 ok beach gani?Miimi mwenyewe michezo yangu hiyo ilikuwa hila nipo beach ulikuwa
@MohamedAli-ho5fq
@MohamedAli-ho5fq Жыл бұрын
Ulikwenda UK kwa meli?
@Benjathekingofficialtv
@Benjathekingofficialtv 8 ай бұрын
Huyu jamaa hajui kuoji wasimuliaji , mtu anaachiwa nafasi kwanza ajieleze
@aminmohammed4249
@aminmohammed4249 Жыл бұрын
Napenda hizi stori sana
@sueblake379
@sueblake379 Жыл бұрын
Wafriaka sisi huona majuu au Ulaya kama heaven lakini kusema kweli Afrika Kuna mazuri ambayo tunakuja kuyaona ukiwa inje ya inchi. Africa can be the best place to be if government make it fir the people.
@eyabdimaha3698
@eyabdimaha3698 Жыл бұрын
Hayo mazuri labda baada ya miaka 1000 maisha magumu kama jiwe unasema kuna mazuri rudi basi tuishi wote tule mazuri pamoja huku
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 Жыл бұрын
@@eyabdimaha3698 hah
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 Жыл бұрын
😂😂😂
@shamsaalrahbi5573
@shamsaalrahbi5573 Жыл бұрын
@@eyabdimaha3698 swa swa 😂😂😂😂
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Hipo hivyo ata Mimi natamani kurudi nyumbani lakini naogopa nikiwaza waya nilioupitia
@davidshebughe3422
@davidshebughe3422 Жыл бұрын
Huyu hajui kusimulia vizuri kama Kinyogoli.
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 Жыл бұрын
Lakini hakuna hasara saana amepata faida ya kujuwa Lugha mbili si mbaya
@nahishakiyeassuman5541
@nahishakiyeassuman5541 Жыл бұрын
Esco tunajifuza vitu vingi Sana kutoka kwa mahabaria kwakweli
@daudmtange8005
@daudmtange8005 Жыл бұрын
Daah jamaa sio mtam sana kwenye story big up sana mabaharia wenzangu
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 Жыл бұрын
Big thanks for the best story in your life
@saidsongoro9097
@saidsongoro9097 Жыл бұрын
Wanapaita Richard bye bye au Beach kidosho. Mwandishi na kuja kukupa story ngoja winter ipite nikija huko tupige story maana bahari wengi wapo huku juu.
@dicktv8762
@dicktv8762 Жыл бұрын
Naomba no yako
@bakari-si1pw
@bakari-si1pw Жыл бұрын
Yeah new chata 🔥🔥🔥🔥
@nemesjosephat5612
@nemesjosephat5612 Жыл бұрын
One love Eeeesco
@emmanueldeogratius3969
@emmanueldeogratius3969 Жыл бұрын
Napenda sana hii
@fallykhan2383
@fallykhan2383 Жыл бұрын
Sns hizi video za mabaharia nazipenda sana Bila shaka siko pekeangu, tuko wengi tunaopenda hivi video za mahojiano na mabaharia. Ombi langu naomba muwe munatuletea video za aina hii nyingi zaidi @ sns
@davidshebughe3422
@davidshebughe3422 Жыл бұрын
Tuko wote. 😂
@mudiluiz7081
@mudiluiz7081 Жыл бұрын
Naenjoy sana kuwasiklza mabaharia...
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 Жыл бұрын
Maskin pole sn kaka Allah akufanyie wepes ufanikiwe ktk maisha yako👏🤲
@newindiatelecom6829
@newindiatelecom6829 Жыл бұрын
Daaahh huruma sana
@saleemadhiyabalkhatri7800
@saleemadhiyabalkhatri7800 Жыл бұрын
Jamani uongo mbali shule muhimu sana tujitahidi sana kufahamisha watoto wetu nduguzetu hatakama mtoto siwako jaribu kumsemesha sasa hivi tunajuta tusiosoma unaambiwa nenda shule tunaona kama tunaonewa kumbe nikwafaida yetu leo unabaki kujilaumu yaret ningesoma wapi tumeshachelewa
@alexchungu6263
@alexchungu6263 Жыл бұрын
mzee nae, atulii
@stellajohn5647
@stellajohn5647 Жыл бұрын
Duh! Inasikitisha sana, maisha haya🥲
@alexchungu6263
@alexchungu6263 Жыл бұрын
Mzee anazungusha kamba
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 Жыл бұрын
Capeti pekee ya dunia NI bahari ndiyo kitu pekee Kiko level...
@standardtv3494
@standardtv3494 Жыл бұрын
sasa huyu jamaa mbona anachezea kikambaa au ndo kumiss utotoni
@stanastana3199
@stanastana3199 Жыл бұрын
Jamaa ako standi sio
@janeongala6684
@janeongala6684 Жыл бұрын
Waindi wanashida sana
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG Жыл бұрын
Story izi za mabaharia zinavutia sana
@cristinasofla5090
@cristinasofla5090 Жыл бұрын
Esko mm napenda sana story hizi na unajua kutangaza
@onesmochuwa2996
@onesmochuwa2996 3 ай бұрын
Vp
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Baharia haagi kwao na unapondoka kichwani pako unasema wana nitawakuta huko huko juu kwa juu hivyo ndivyo ilivyo home boy mtangazaji
@hamzayusuf1894
@hamzayusuf1894 Жыл бұрын
Hamuna akkili wengi niwawona .mayiti karibu 30 bahari ya somaliya
@abdullaalwikabil3371
@abdullaalwikabil3371 Жыл бұрын
Iko wapi serikali
@ziyandamhlana8776
@ziyandamhlana8776 Жыл бұрын
Mzeee jmbee sanaaa
@cchimodzi3858
@cchimodzi3858 Жыл бұрын
Kipindi kizuri sana
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 Жыл бұрын
Uliza maswali ya msingi mzeeee unazunguka sana....muulize swali jamaa aflow mwenyewe
@hermanfrank6727
@hermanfrank6727 Жыл бұрын
Ktk maisha watu 2napitia changamoto mbalimbali,duh.
@saadiaahmed7624
@saadiaahmed7624 Жыл бұрын
Yemen alikua kijiji au mji gani atupe history kidogo ya hizo nchi somalia na yemen
@djtiffa9664
@djtiffa9664 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pnvEdoCwds1sndU KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO ..,.*#*#*# kzbin.info/www/bejne/pnvEdoCwds1sndU
@muhogomchungu1265
@muhogomchungu1265 Жыл бұрын
🇹🇿👍
@Y0u_tube
@Y0u_tube Жыл бұрын
Nakubali wakwanza kucomment
@miamia6155
@miamia6155 Жыл бұрын
Hongera mwaya
@rosemaryismaily001
@rosemaryismaily001 Жыл бұрын
So katoka nyumban anamiak mingap na amerud anamiaka mingap vipi changamoto za rugha nchi za watu ubaguzi huko gelezana ya life inakuwaj
@salimmohamed3603
@salimmohamed3603 Жыл бұрын
Balozi alichelewa sana kuwajibika
@rosemaryismaily001
@rosemaryismaily001 Жыл бұрын
Nimeskia kulia uchungu ulivosema mwenzako amefarik it's hurting 😢 ,yan kam ndo hivo maji yamekula wengi aiseee daaah sasa mwenzio nyumban kwao hajui mtu alipotelewa wapi kumbe alizikwa Somalia, au alimpa habari kabla ya kufa uwii
@sifatiiman
@sifatiiman Жыл бұрын
yaan ndio nyumban wanakua wanasemaga tu alisha potea daaa😢😭😭
@AliAli-rx6wu
@AliAli-rx6wu Жыл бұрын
Weeeeh Rosemary achana na huyo Muha pale dukani!!!! Ana ukimwi yule!!!
@gharbbllato7703
@gharbbllato7703 Жыл бұрын
Mbona hulizi miaka ilikua mwaka gn
@saidnasibu5803
@saidnasibu5803 Жыл бұрын
Amezamia taree 9 amekaa siku tano ndio akatoka taree 11😂😂😂😂😂 hapa ame tupamba😂😂😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️
@mwaserarashid5451
@mwaserarashid5451 Жыл бұрын
Sasa wakati huo walikuwa wadogo walielewaje kwa haraka izo nchi ama walikuwa wana tumia map
@Chemba67
@Chemba67 Жыл бұрын
WALIKUA WANAJIENDEA TU BORA LIENDE KAMA ULIVYOSIKIA NCHI WANAZONASA, MARA SOMALI, THAILAND, VIETNAM, PAKISTAN,MOZAMBIQUE, SOUTH AFRIKA,ANGOLA INDIA NCHI AMBAZO KIUKWELI KAMA WANGEKUA WANAJUA WASINGEKUBALI MAANA NCHI ZOTE HIZO WENYEJI WAO WAMECHOKA SASA WEWE MGENI UTAYATOA VIPI. WACHACHE SANA WALIONASA NCHI ZENYE MAISHA.
@jacksongidione-yo8vg
@jacksongidione-yo8vg Жыл бұрын
6
@axmedcumar6196
@axmedcumar6196 Жыл бұрын
Daaah Darasa la tatu miaka kumi na tano …! Baharia tuache kidogo
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Zamani walikua wanaanza shule wazee
@vincentakhwale1428
@vincentakhwale1428 Жыл бұрын
Miaka ya zamani mbona kawaida sana
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 Жыл бұрын
Way back umri wakuanza Shule ulikuwa mkubwa
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 Жыл бұрын
Hiyo enzi izo bro we mwenyewe saivi unaona watoto walivyo wadogo mashuleni
@rosemaryismaily001
@rosemaryismaily001 Жыл бұрын
Yan la 3 ilikuwa kama upo fom five au six hahah 😆 sio kam sisi tunasoma mbk kusomboloka
@mwaserarashid5451
@mwaserarashid5451 Жыл бұрын
Hawa watu mabahatia wana ni chekesha sana heti ameishia darasa la tatu
@yonicdontah6392
@yonicdontah6392 Жыл бұрын
We hata kuandika hujui, uliishia la ngap?
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 Жыл бұрын
@@yonicdontah6392 la kwanza 😂😂😂😂
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
@@yonicdontah6392 Noma labda ana form six kichwani 🤣
@kassimsalum1479
@kassimsalum1479 Жыл бұрын
Nawapata kutoka 🇧🇷🇧🇷🇧🇷 🙏
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Sao au rio
@dicktv8762
@dicktv8762 Жыл бұрын
Kassim naomba no yako
@kassimsalum1479
@kassimsalum1479 Жыл бұрын
São Paulo
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Жыл бұрын
Naielewa Sana hiyo nchi ipoje ndugu nijuze
@gurishaahadi1786
@gurishaahadi1786 Жыл бұрын
Qz
@husseinibnuhassan1272
@husseinibnuhassan1272 Жыл бұрын
Unapata watu sahihi na story zao ila hujui kuuliza maswali ya msingi na hauendi na flow ya story
@Sheisparis
@Sheisparis Жыл бұрын
Wee mjinga kweli ivi unadhani hii KAZI ni rahisi kama unavodhani😏😏😏😏😏 waulize wewe kama unaona simple nyooooo😏😏😏
@salehkhamis3000
@salehkhamis3000 Жыл бұрын
Nenda kaulize wewe watz sijui mna shida gan yan kila kitu kukosoa tu
@yusufally5168
@yusufally5168 Жыл бұрын
Wewe acha chuki zakijinga tafuta pesa acha makasiriko fara wewe. Jamaa anahoji vizur Sana wewe ukitaka ahoji swali kama lipi?? Isco yuko poa na hiki kipindi wewe ndokwanza ucheki Leo sisi kila cku tunaangalia mahojiano yake acha kuwa na roho mbaya wewe pasipo hitajika.
@husseinibnuhassan1272
@husseinibnuhassan1272 Жыл бұрын
@@yusufally5168 media ni kazi yangu inanipa kula nauwezo wakulisha familia yako nikawa hata baba yako
@yusufally5168
@yusufally5168 Жыл бұрын
@@husseinibnuhassan1272 Sawa sio tatizo kuwa baba lakini je unajitambua? Kama wewe mtu WA media huwezi andika comment mbovu ambayo haina uweredi. Unakosoa kitu hukijui brother usiwe na roho kama hiyo. Isco anafanya vizur Sana na ndokazi yake kumbuka ameajiliwa so usiandike comment ambayo inaweza kumtia rawama officen kwake.
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 Жыл бұрын
Somalians we're not racist like y'all tanzanian ppl.
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 Жыл бұрын
Tanzanian we're not racist too yr welcome my friend
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 Жыл бұрын
@@amiriramadhan7753 remember what happened to hamza?
@amiriramadhan7753
@amiriramadhan7753 Жыл бұрын
@@farikkaqueen2367 it's about him and police bro and all of us when that issue happens we feeling so bad & sad ,and we're with hamza side an till now bro Tanzanian police are fucking bullshit as hell!!
@fredybundala2336
@fredybundala2336 Жыл бұрын
Hamza was shooting police without any clear reasons
@farikkaqueen2367
@farikkaqueen2367 Жыл бұрын
@@fredybundala2336 you called those 4 polices?? lmfaooo more likely waizi wakubwa took his stuff that’s why. what kind of police officers getting killed it by they’re own weapons❓⁉️❔😂😂😂
@djtiffa9664
@djtiffa9664 Жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pnvEdoCwds1sndU KISOMO KIKUBWA CHA AYA ZA RUQYAH HUANGAMIZA NGUVU ZA UCHAWI NA USHETWANI NA MIKOSI NA VIFUNGO ..,.*#*#*# kzbin.info/www/bejne/pnvEdoCwds1sndU
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 7 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 12 МЛН