Hivi karibuni kuna mdada wa ki kenya alitusema vibaya sana akawasema mpaka wasanii wetu vibaya sema unajua sisi wa tz hatnaga mda yani tulimuona km punguani vile
@FelistersMejumaa-xi2ge4 ай бұрын
Alitumia kingereza na nyie wa Tz hamuelewi ndio maana mlinyamaza
@berthatz4 ай бұрын
Umeona ee..hawa wala hawakutakiwa kuomba msamaha…
@Ostica..Omie..junior4 ай бұрын
Tuwasamehe tu jamani...we both a human being..no one is perfectly..(only lord)
@benjo_brighter4 ай бұрын
Lakini si ameongea kutokana na mtazamo wake au 🤔
@fredrickmaitha44274 ай бұрын
We mwenyewe tembea kenya ujionee warembo alafu ukuje utupe matokeo kenyan oyee🎉 alafu huyu akisema stori za warembo awe mrembo kwanza 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@fatumamwalimu57654 ай бұрын
Achana nao na mikorogo yao ,ikiwa niwarembo hizo makeup za nini?
@BrianHuncho-kc5zs4 ай бұрын
Hiyo ni midoli inaongea ..Bullshit awajui ata kuoga...
Nyie wakenya ni ndugu zetu kabisa yani, Mtusamehe bhana, kwa niaba ya hao wasichana, sote ni wa Mungu na mavumbini tutarejea, no one is better than others 🙏🇹🇿🇰🇪 ASalaam alykum 👋
@LindaMakalaya4 ай бұрын
Nyie wa Tz hamtuwezi kwa lolote kwanza huo si urembo huo na makeup sisi tunajivunia urembo wetu juu si urembo wetu ni natural pili tz hmna pesa na swli lngu ni je mbna mwapnda kuja kufanya kzi uku
@zayumar29554 ай бұрын
Ni ukwel tu Kwa uzur Kenya tunawazidiiiii hata walete makasirikoo
@saidymbagalla66224 ай бұрын
Mimi sipokei uo msamaha na nabaki na msimamo wangu kua Kenya hakuna waremboo kwanza ni weusi kama matairi ya gari
Ww omba msamaha Ila mm kaka ako nimekaa kenya 15 years najua kule maajabu zero alaf utamaduni wao wa kizungu wanatumia karatasi nyeupe hawapendi mma wabaya bwana weeh
@Munshid_Rajab4 ай бұрын
Watu wanaomjua mungu wanaogopa utani..big up sana👏👏👏
@christianrukurugu43414 ай бұрын
Hata kama umewaomba msamaha lakini message sent. Hawajui kuvaa.
@nancyg86644 ай бұрын
😂😂😂kabisa
@yasminoluoch1694 ай бұрын
Sisi hatujui kuvaa but kwa akili tumeawaacha mbali upo😂😂😂 yani mbaliii😂😂
@jacquelinerayamu31874 ай бұрын
Mbona matusi jamani..kisha huko huko kenya ndio mkitaka kuinuka mnaomba Kenyans wawaboost shame ..shame on you kwa uzuri gani Kenya we lead others follow..we try Kenyans u cry... Kenyans are smart globally we lead ...makosa sana mbele ya Mungu hakuna Alie bora zaidi umetukwaza sana na tunavyowapenda jamani so 😢
@nancyg86644 ай бұрын
@@yasminoluoch169 bado hujasema
@Bahati474 ай бұрын
Mbona wa kenya wakitokosea hawatuombi msamaha? Kwani wao ni kinani?
@NicksonJuma-wo8nl4 ай бұрын
Huku ni Kenya nani
@HassanAbdallah-f6o4 ай бұрын
Kweli ww mzuri mashaallah
@najashdawood96804 ай бұрын
Yupo sahihi dada
@MsNajma-e6e4 ай бұрын
Wakenya wanasura za bba zao wanawake kama wanaume hawajui kuvaha
@zainabzain34344 ай бұрын
Astafirullah
@agwalubifaridah70794 ай бұрын
Good for them
@Quran-hidayat014 ай бұрын
wawo wenyewe mamekapu tuu vibaya
@JmmJacky4 ай бұрын
Ww mwenyewe una sura gani ..mh sura kama nyani.
@LindaMakalaya4 ай бұрын
Mimi sipokei msamah and think before you talk
@aaa64sa134 ай бұрын
Ushapata msamaha wangu ❤🇰🇪🇹🇿🎉
@dogofiy62774 ай бұрын
Sote n w Allah huwez kumkosoa Allah sote ametuumba Allah muhim kusem alhamdulilah hmn mbaya mbele y Allah huwez kumkosoa Allah
@alibinali_4 ай бұрын
Siku nyengine mambo kama hayo yaki tokia musiseme wakenya simeni wa Nairobi hao wabara hawana heshima
@SuleAmber-lw2tx4 ай бұрын
Ukwel ndio huo Kenya wadada wazuri niwakuhesabu aseeh we know them, afu wakiambiwa wanakuja juuu😂 sie waTz hata watutukane vp we always never care them.
@fatumamwalimu57654 ай бұрын
Mokorogo Tanzania number 1,vigodoro usiulize, hajui wakenya ajitulize tu, mimi mwenyewe mdigo lakini kwenye family yetu tukijikusanya bila makeup na tunawashinda ,hakuna mtanzania atasimama kwenye camera ajitangaze kua ni mrembo bila makeup, kama niurembo wa makeup sawa mko mbele
@aishaarusha8944 ай бұрын
Wewe usijisifu wewe Tanzania ni wazuri kushinda wakenya huo ndo ukweli lazima uwaume
@aishaarusha8944 ай бұрын
Alafu kuhusu mikorogo kawaulize wa Congo man😅
@fatumamwalimu57654 ай бұрын
@@aishaarusha894 mkiacha makopo mtakua kama kina mwafulani, 😄😄🤣😂😆😄🤣, wakenya niwarembo tena wa asili, mikorogo itawauwa ,hamna urembo wowote Tanzania na huo ndio ukweli,
@fatumamwalimu57654 ай бұрын
@@aishaarusha894 mkorogo Tanzania inaongoza alafu mnasema mko asi ya kiarabu 😄🤣😂😆😄🤣,
@aishaarusha8944 ай бұрын
@@fatumamwalimu5765 sisi asili yetu wa TANZANIA ni weupe kabisa wanaojichubua ni wakenya na wakongo walio kimbia nchi zao kusema ukweli nyinyi ni wabaya wa tabia na kila kitu sasa vitu vya kipumbavu mnavishikia debe tunawangojea siku muuane wenyewe kwa wenyewe alafu tuwapokee kama wakimbizi
@user-sw6uo6rv6j4 ай бұрын
Tunao umia ni cc wenye asil ya nchi mbili daaah Tanzania nahama wallah
@hirizonetz95584 ай бұрын
Sasa Kwan Kenya Kuna warembo 😂😂😂
@paulinewangila-cs6ys4 ай бұрын
Umeanzaa watu wanasonga mbele unatafuta ugomvi😢
@lakasid38604 ай бұрын
@@paulinewangila-cs6ys mtusamehe 😢
@HassanAbdallah-f6o4 ай бұрын
Walizani kujua kiingereza ndio kuwa wazuri, wakenya kweli wabaya😂😂😂😂😂😂
@MuniraShughuli-kc7vj4 ай бұрын
Nimeona Titok tushakusemehe ddangu ila muombe Mungu pia ss sio wakamilifu
@oro_instru4 ай бұрын
Ethiopia 🇪🇹 is number one
@salimbilali51744 ай бұрын
Bahati yake
@khamismgunya45194 ай бұрын
Wapo pia wakenya wazuri ila huo ni utani tuu
@AhmedCastrohart2574 ай бұрын
Hhhhhhh yani kama uyo yuko anawaponda wenzake yan sijaona ata maajabu anayo mana yeye mwenyew mbovu sana
@MamodelPark4 ай бұрын
Kunya anye kuku akinya bata kaarisha kuna choko mmoja wa kenya alitutukana Tz nzima apa tukakausha wao kuambiwa mambo ya uzuri povu zinawatoka Mxieeeeeew Kwnza kwann ameomba msamaha kaniboa
@Pauline-t5k4 ай бұрын
Acha kutumia makeup first Kenya atumii makeup
@yasminoluoch1694 ай бұрын
Vile ametukanwa huyu tiktok😂😂😂😂 dah kenya achaneni nayo 😂😂😂
@touristmorgan40904 ай бұрын
Niliona mahali picha zao alafu jamaa kasema," vipua kama firimbi ya jehanamu, du ilikua kali😂😂
@Michealfarah-n1w4 ай бұрын
Mkorogo mwingi jisura kama kinyago Hana uzuri wowote uyo binti
@Sakinaamani-o1t4 ай бұрын
Mmmm maskini hata haelewi anachokisema
@nancyg86644 ай бұрын
Wakenya labda felicity shiru ndo mzur😂
@mercymulwa89174 ай бұрын
Mkorogo ndio mnasema nyinyi wazuri? Urembo wa maana ni kuwa na akili
@NeemaSamson-ti8pc4 ай бұрын
Point mwenzangu urembo au uzuri ni ziada tu, ila kuwa na akili na ukajua kuzitumia vizuri ndio muhimu
@EstarMichael4 ай бұрын
unataka kusema nini?? akili ninywele ama hujawasikia wahenga😂😂😂❤❤ alitania tu sio kasema halisi..mbona nyie mnasemaga hatujui English nahatujaandamana
@Pauline-t5k4 ай бұрын
Sura bila akili
@lilianjeremia10244 ай бұрын
Sasa kaomba msamaha wa nini ndo mtazamo wake ht angekuwa ni mimi ningesema ivyo
@Jibambeshow254k4 ай бұрын
Wakenya msimlaumu muelewe tu ni kienyejii wetu Tanzania ndio kwnza kafika mjini bado hajatembea sana 🤣🤣 Mweenyewe akitoa hio unga aliopaka atafanana poulpogba
@wemakalama64584 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@Mariam-fm8vq4 ай бұрын
Kwa maumbole gani hayo yakuchongesha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@kennethbenjamin2754 ай бұрын
Ehh wamekuwa mastarr
@htx18734 ай бұрын
Ningekua Mimi nisinge omba mtu Msamaha , kwani hawajui maana ya opinion??? Pumbavu
@Farajahelene230314 ай бұрын
The shes shes rate
@Qqambaa4 ай бұрын
Akuna mbya mbele ya Allah wabongo wanaroho nyepesi kweli
@shanimombasa94804 ай бұрын
Minaona huoweupe tu kama ndio uzuri
@GeorgeKatana-vl6cv4 ай бұрын
Njoo Kenya, uzunguni
@daprince75454 ай бұрын
Wanawake wote duniani ni warembo.
@aishaarusha8944 ай бұрын
KENYA NI WABAYA KABISA 😂
@GeorgeKatana-vl6cv4 ай бұрын
Tanzania wanatafuta kiki kwa wakenya
@KhadijaDija-ir2hq4 ай бұрын
Ila asikwambie mtu ukweli unaumwa😂😂maana si kufika mbali hivyoo
@berthatz4 ай бұрын
Sana🤣🤣
@surusuru19944 ай бұрын
Wadishi tee wachaganishi😏😏
@user-rt8ff3dm2o4 ай бұрын
Mikorogo inawadanganya saana
@nancyg86644 ай бұрын
😂we utakua mkenya wewe
@RoverRoom4 ай бұрын
😢Unajua aje?watu WA zuri Na watu WA mbaya ni kina Nani?
@evemurugi33994 ай бұрын
Next time think twice, wakenya tutakupea depression ,the world knows that's 😂😂😂😂😂
@Qqambaa4 ай бұрын
Ethiopia will always win alafu eritrea djibout somalia comoros ni mtazamo 2
@allykassim11204 ай бұрын
😂😂umesema kweli dada usiombe msamaha
@AAa-it7nx4 ай бұрын
Mlikua mnabeap eaty eeeh kumbe mpesa zetu ziko full 😅😅
@kanankirannko61744 ай бұрын
Kiustaarabu tu hayo maneno sio mazuri Kwa kuwa inajumuisha wengi hasa nchi kwani ,izuri ni rangi ya asili au ni mchanganyiko Wa makeup na rangi asili, Mimi mnisaidie navyojua urembo ni nyongeza ya vipodozi lakini Uzuri ni asili ya ngozi ya mtu ,so huyu alimaanisha uzuri au urembo
@djyondergigi10274 ай бұрын
Kama nyinyi ni Wa zuri mbona mume toka Number 3
@nancyg86644 ай бұрын
😂😂😂top 3 unaijua lakin
@millymack13704 ай бұрын
Watoe makeup walizo jazz usoni alfu waje waseme tena Kenya hamna warembo
@MohamedHuseein-s5i4 ай бұрын
We have beautiful ladies in Kenya
@NuruJara4 ай бұрын
Mm mbona naipenda Tanzania tuu mmmh mmenikwaza Kwa mkorogo huwo ndio uzuri chefu hiyo anaongea basi mm useless mwiko mjinga huna hesma na hekma maybe msamaha kiama
@maryamsaid75214 ай бұрын
Na hio make up ni natural. wakwanza hio kwiyo😭😭😭
@mscantraah82104 ай бұрын
Kuongea vizuri bt matokeo ni jihanamu
@graciouskazuri23274 ай бұрын
Nimekuwa hapo kwa live wakiomba msamaha😅my fellow Kenyans tuwasemehe tu jmn ❤
@mesaidikazungu42994 ай бұрын
😂😂😂Nilijua watakuja omba msamaha
@graciouskazuri23274 ай бұрын
@@mesaidikazungu4299 watajuwa hawajui🤣🤣🤣
@naishoruamooke4 ай бұрын
Wamechomwa na mikorogo Yao ,hawatoki nje mchana,they stay indoors during the day to avoid sun rays,black is beautiful .😂😂😂😂
@lydiahmartinz9254 ай бұрын
If u disregard kenyans be ready for all critics including tracing where u come from😂 no jokes. Apology accepted dear
@NeemaSamson-ti8pc4 ай бұрын
Warembo wako wapi hapo au ni hizo make up walizopaka, mrembo ni yule ambaye hana make up na anavutia kama mimi
@Queen-be1uf4 ай бұрын
Wala asingeomba msamaha wowote kwani si maneno tuu hata kwenye kanga yapo. Wakenya wangemwambia former rais wao awatake radhi kutoka hadharani kalewa chakarira. Hao vera na huda fake kuanzia sura umbo mpaka rangi. Usingeomba radhi yoyote. Kwa lipi. Mbona wao huyasema tele ya watanzania. Kwendeni kuleee. Mna gubu la kikenya tuu
@paulinewangila-cs6ys4 ай бұрын
Mikorogoo msitumia na make up Tz😂
@fidelfidel-jz4iw4 ай бұрын
Nyie Kwa utani hamjambo nyie watawajia
@KareemRezaki4 ай бұрын
Sawa nyinyi wazur wa mkorogo..na surgery,sisi wakenya weng n original..Sasa makeup ndio za wasitir
@Rahima-kv6mn4 ай бұрын
Ukisema surgery ipo kila mji Sasa ivi na tunawajua waliyofanya ivo na juzi tu mmoja katengeneza mdomo hapo nadhani unamfahamu ila hao walikuwa wanatania tu jamani
@KareemRezaki4 ай бұрын
Kwan uko kwenu sio wote wamefanya hizo surgery za midomo e.g uwoya na wengine wote..Kenya hatutumii filters
@Niget-us1np4 ай бұрын
@@KareemRezakiutakuwa ulewe utani hakuwa selias mbon nyie Kila siku munatsnis mpk raid wenu pia wa tanzania atujui English kwn wote hat ujui lkn si utani tu Nan kapanik sas alafu pia yeye muungwan pia kaomba radhi
@KareemRezaki4 ай бұрын
@@Niget-us1np vile alianza ndio tumejib..kama ingekuwa n sisi mungeenuka nyote..hatutak shobo
@JosephKingwere4 ай бұрын
Umez mashauz
@Pauline-t5k4 ай бұрын
SS wewe unijieka Kwa wazuri
@Massey-xx8td4 ай бұрын
Kwa uzuri gni huo fyuuu
@MamyHamso4 ай бұрын
Nyie wenyewe mmesaidiwa na hilo jivu mwasema ni makeup alafu namba kubwa ni surgery ndio mnashoboka hapa😂😂😂
@Lingisa474 ай бұрын
Yeye mwenyewe amesaidiwa na make up ata io make up haijamkaa bullshit kabisa hawo wasichana ata nje ya mji wao hawajatoka
@rukiaiddyyahaya95064 ай бұрын
Kimemramba
@roselynealima36184 ай бұрын
Next time kujeni bila make up na mikorogo guoka guoka silly
@SheikhaSheikha-ee6is4 ай бұрын
U
@l.marley_25424 ай бұрын
Sio makosa Yao Hawa hivi wanaijua Mombasa au 😊
@TatoOman-s5t4 ай бұрын
😂😂😂
@AishaHaji-jn7sg4 ай бұрын
Lakini wakenya sio wazuri kweli wengi wao hawana hata muonekano mzuri wa kuvutia wakaka ndo wabayaa kwakwel😩😩😩na wanawake baadhi yaooo khaaa 💔😂😂😂
@JamalAhmed-j7s4 ай бұрын
Kukumako
@Mammy-eq7ef4 ай бұрын
Anzini kujikubali kwanza
@AishaHaji-jn7sg4 ай бұрын
@@JamalAhmed-j7s mama ako ana memory card au si anayo hio hio mbwa wewe
@AishaHaji-jn7sg4 ай бұрын
@@JamalAhmed-j7s ya mama ako nenda kaitafutie jina
@AishaHaji-jn7sg4 ай бұрын
@@Mammy-eq7ef sasa anzini nayo ni nini…?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wabaya tu kwakweli
@bajagihaji89234 ай бұрын
Makosa ya muuliza swali si wewe
@wemakalama64584 ай бұрын
Wajinga nyie mwanangu pekeake anawatoa nduki kwa uzuri mxieeeeu😏😏😏#karibuni kenya.
@Fgldesigns4 ай бұрын
Kumbe unajijua ni mbaya ndomaana unataka kumshindanisha mwanao na si wewe😅😅😅
@eastkanye2544 ай бұрын
Tz nyinyi ni watu wajinga kupindukia. Upgrade your education ndio mjue Kenya si level yenu. Nyie shikaneni mikono mukule ujamaa😂😂
@Fgldesigns4 ай бұрын
Nyie ni matahira na mnanuka.
@sarahmcharo15484 ай бұрын
hawakuwa serious matako yao wakome kuropoka kazi kukalia tu filter, mikorogo nk kichwani akili hakuna warudi shule kwanza mxieww
@alecbayrine71614 ай бұрын
Hatuombe msamaha kwa kweli maana ukweli unauma, na imetuuma sana. Lol
@rogerabdallah4394 ай бұрын
Wakwanza mimi nawaombea msamahaa awa ni chura achanane nao awa