Mungu yupo hata mm simumwamin asikar akikukamata pinga kelele
@jacksonkoisi618911 сағат бұрын
Sii Kelele.ukipiga kelele hilo.ni kosa la kwanza.juu Wana kuambia ume waitia watu waje wapigwe.😂😂😂😊
@allythabiti81507 сағат бұрын
Piga kelele na kituon utaenda lazma, tambuen hata mbingun Kuna askar nchi bila mfumo wa askar haiwi nchi.
@henrymntangi77834 сағат бұрын
@@allythabiti8150 we mjinga, nina wasi wasi na uraia wako
@ankongalima185916 сағат бұрын
Askari wote hapo hawana jumba kama hilo, tuungane sote polisi. Maisha yenu sio safi.
@huyu199313 сағат бұрын
Wewe unazijua nyumba za hao police au unaropokwa ? Umeuponza kichwa wewe ropokwa tuu
@MwanakomboNassor-bw3by13 сағат бұрын
@@huyu1993si wezi tu hao wanakazi ya kula ruzuku pesa za watanzania wanajifanya chadema hawana lolote kuzua taharuki tu ndiyo kazi Yao kwa hiyo wewe unawafahamu hao police ndiyo maana unaongea utumbo wako
@aediayumgo854613 сағат бұрын
Nyummba Na uhaliffu. Wapi Na wapi
@jassonnelly344512 сағат бұрын
Wewe ni fala sana ngoja tukuache ivo ivo
@PiusJM10 сағат бұрын
. @@huyu1993Wewe hauyajui maisha ya polisi yalivyo ya shida si ndio? Au na wewe ni polisi, ukweli umekuuma
@aloyce658313 сағат бұрын
Kiongozi asiyejiamini hutumia nguvu kila wakati. Na watanzania walivyo waoga wataishia kulalamika kwenye mitandao tu.
@stephenmsanzu98509 сағат бұрын
Shida ya yako wewe sio police sasa Wacha police wafanya kazi yao .
@fortyyellu99719 сағат бұрын
Hao walikuwa wanajaribu kuteka sasa wameshindwa.. alafu kesho na keshokutwa mnatafuta watekaji wakowapi... wakati mambo ndo yanaonekana kama hivyo..? Tanzania michosho sana. Alafilu mama anazungumza eti kufa ni kawaida.
@MohammedAwadh-gq9si7 сағат бұрын
Kimbia uhame ! Na bora police wanakamata na kupeleka kituoni ,RAIA hatuna muda huo
@8pistons1943 сағат бұрын
Mama yake nan sasa
@godfreykeita980410 сағат бұрын
SHE MUST GO
@twalibulomy-cd4zd9 сағат бұрын
Kuma la babu yako. Tafta hela pimbi ww
@TatuCharles-f5m9 сағат бұрын
@@twalibulomy-cd4zdmatusi ya nini?atupishe🏃
@saumuabdallah1988 сағат бұрын
Naungan na ww🤝🤝
@AliAhmed-m1o2u8 сағат бұрын
Mnajidanganya tuu Kahuku nyie
@aproxaprox8 сағат бұрын
@@TatuCharles-f5m chuki za kidini zitakuua😜😛😛
@user-rd7vh8lz6r17 сағат бұрын
Kwel hii nch kuwa mpinzan dhambi
@jacksonkoisi618911 сағат бұрын
Popote pale ata ulaya.uliwai.mwona trambu.na business.pamoja.apana inatakiwa upinzani.wafanye Kaz yao.ya upinzani.na sii kupigana na serikali.
@ChoroTesla10 сағат бұрын
Wafute upinzani km wanaona hakutakiwi kua na upinzan manake wanasema wanakwamisha maendeleo na vitengo vyote wako wenyewe ccm its pathetic
@maarufuselemani923316 сағат бұрын
Nchi ishakuwa ya kisenge....
@jacksonkoisi618911 сағат бұрын
Sawa hama nenda Kenya au uganda.ila fanya mambo.yanayo.nyooka.uone kama umewai.kufuatwa.kwako.au kuitwa polis laaa hasha.tii.sheria bila shuruti.
@saidtembele3070Сағат бұрын
Unasubiri nini kuhama ndugu
@CharlesKalembo16 сағат бұрын
Mimi cyo chadema ila cwez kuwa ccm never😢
@JustinMwakalukila14 сағат бұрын
Tunachagua wengne lkn wanapita wengne tutafanyeje wacha tuisome namba tyu CCM mbele kwa mbele inaumiza lkn hatuna namna
@jassonnelly344512 сағат бұрын
Wewe focus na kilimo
@AliphonceMartina-q1u12 сағат бұрын
Nimeipenda hii
@jacksonkoisi618911 сағат бұрын
Wewe sii CCM na sii.chadema bas wewe ni mtekaji.
@bintmrisho352611 сағат бұрын
Hii inaonyesha dhahiri hata mzee kibao police ndo waliomuua
@aminatanzanya747516 сағат бұрын
Police hamn jipya pamoj na mhe Rais wenu nchi imemshinda
@Abuu-gs1yi10 сағат бұрын
Hata nawe ni Rais wako hata kama hutaki labda uhamie Sudan
@EzekielKandonga10 сағат бұрын
Raisi wa nani,unalazimisha watu Raisi wao.Nani alimpigia kura😮
@DavidDeus-qb2uh10 сағат бұрын
@@EzekielKandongasio kila mtu anacccoment ana akili😂
@JamesDakki10 сағат бұрын
Wenye wanasheria mnaraha sana yan mnakoment tuu chochote
@IsanHomi9 сағат бұрын
Acha kukomenti utopolo wako kwenda huko
@rogerabdallah43916 сағат бұрын
Njama ya mama kauli yake ya juzi
@rogerabdallah43916 сағат бұрын
Mama mshenzi tu
@jacksonkoisi618911 сағат бұрын
Mama Sasa kaongea kama mwanaume wa nyumba kaweka Sauti yake ya masishi pembeni.mm namwambia hongera mama weka mazoeya.pembeni
@KhadijaMwenda9 сағат бұрын
Ninamchukia
@AmmarSadik-x5u8 сағат бұрын
Mama gagi sasa
@rogerabdallah4397 сағат бұрын
@@AmmarSadik-x5u nayeye ipo siku utasikia tu ata magu alisumbua lakini kikuwapi vilio vya watu wengi avimuachi mtu saalama amini
@OscarGregorymosha14 сағат бұрын
Zaburi 23
@SabihaibrahimRajabu12 сағат бұрын
Hawa ndio wanaoteka na kuuwa ila kutokana Hali watu wameshuhudia na pengine wakaona wamepigwa picha ndipo wakampeleka polisi ila hawa ndio wauwaji na wamemkosa leo ipo siku watamchukuwa tena hichi ni kitengo maalumu cha kuuwa
@jacksonkoisi618911 сағат бұрын
Kwa hii nawesa nikakuunga mkono.ndio.maana wanaitwa kitengo.cha ujasusi.yaani.kuwafuatilia wanasiasa.kujua wanafanya Nini na Wana panga.madudu.gani.ukikataa.kutoa ushirikiono.wewe umepoteswa.na wasio Julicana
@KhadijaMwenda9 сағат бұрын
Kabisa ndugu Mungu amlinde na awe makin sana
@noreenemanuel181914 сағат бұрын
Alisema mtanikumbuka😢😢😢😢😢
@experymassawe352112 сағат бұрын
Tutamkumbuka kwa lipi akiti yeye ndo alianzisha hii system ya utekaji
@binseif221611 сағат бұрын
We mjinga sana
@saluuhans7 сағат бұрын
Facts @@experymassawe3521
@saluuhans7 сағат бұрын
Akumbukwe kwa lipi 😂😂 labda kwa uovu kama huu
@NuruLutembeja-h1r3 сағат бұрын
Hatukumbuki wapumbavu,haya yote yeye ndiye mhusika mkuu,acha ujinga kabisa hatutaki ujinga tumechoka siku yakikufika utaelewa ujinga wako ulipo.
@songombingo1087 сағат бұрын
Kwa mtu kama huyu ambaye alishakuwa Meya wa hapo kwani Polisi wangempigia simu tu kwamba aripoti Polisi kungekuwa na tatizo gani??
@saidtembele3070Сағат бұрын
Mpaka nguvu kupitiliza inatumika jua na yeye alileta ujuaji.
@Gdjn97416 сағат бұрын
Hayo ndio miuaji ya matukio yoote tz
@Mufti-g3x11 сағат бұрын
Wakati vyama vingi vinaanza Zanzibar kulifanyika mengii na wenzetu mkatubeza Sanaa mkisema wazanzibari kazi yao siasa tu vipi mnaona Basi ndio mjue haki haipatikani Kama unavyopewa kahawa au keki vile saivi Zanzibar peace and love
@ChoroTesla9 сағат бұрын
Unachosema na kilichotokea havi relate grow up
@Mufti-g3x9 сағат бұрын
@@ChoroTesla Basi yaonekana huna macho Wala masikio maana kutekwa watu Zanzibar walitekwa Sana kuzalilishwa walizalilisha Sana na mfano wa hayo Sasa kipi hakipo sawa ? Au umeanzakujua siasa juzi na Jana tu? U are baby aren't u? Don't talk things which u don't know
@ibrahimngulungu8 сағат бұрын
Nimeipeipenda hiyo "u are baby aren't you😂😂😂😂
@ChoroTesla8 сағат бұрын
@@ibrahimngulungu hahahhhaah Kiingereza hiki
@ibrahimngulungu7 сағат бұрын
@@ChoroTesla 😀😀😀
@MustaphaSeleman-z7c17 сағат бұрын
Lile jumba cy poa
@amazing_grace53922 сағат бұрын
uniform watu wanashona tu, alikuwa sahihi kuwatilia shaka👏👏👏
@user-ez4mm9ff7n5 сағат бұрын
Hata Mungu hapendi kabisa haya mambo yanayoendelea nchi ya Tanzania
@emmyandrew86708 сағат бұрын
Wanamuona done yy ni yajiri jumba km lote hao waliokwenda kumkagua hawana
@verdianabanabi22054 сағат бұрын
Mhhh vita. Ila mungu alyepo sirini atajibu maombi ya watu wake.
@jumashedafa11 сағат бұрын
Ni bora muwakamate ila msiwaue cz na sisi tunatak amani kama wanavuruga aman shughuliken nao...Yan utekaj na watu wamevaa unifom na sura zinaonekan na gar ni za polisi kwel? Yan nyie mnakuz mambo mno...kumvua nguo somet ni kwa usalama zaid je kama kaficha silaha
@NethrinePaul11 сағат бұрын
Hawa police ni waongo na hapo wanapekua ili waweke kitu waseme wamekuta kitu Yani sinachama chochote na hua sipigi kura na sitakaa nipige lakini Mungu atalaani Muhimili mzima wa serekali mm nasema Mungu yupo na mavumbini mtakwenda
@IsanHomi9 сағат бұрын
Una juaje na haupo kwenye tukio
@asinahussein21763 сағат бұрын
Analaani serikali mpaka na familia yake yote @@IsanHomi
@evansmoshi19232 сағат бұрын
Mm bora waniulie hapohapo kuliko kunichukua, wananchi mnashaangaa2 mtu anachukuliwa mbele yenu alafu, mnakuja kupata ameshauliwa mnachukua2 mwili manaenda kuzika alafu amaneno yanakua mengi.
@TeophilBuilding12 сағат бұрын
Wa Tz tuache mambo ya kishoga hii nchi hain uongoz ni ujinga tupu watu wanaporwa haki zao nakukandamizw kila siku jaman wanaoandamw ni binadam wenzetu tuwen na uchungu jamn leo kwangu kesho kwako tuache kusita wanatak tuwe mashoga tu ndo twende nao saw
@Mosmwampa10 сағат бұрын
Kwa namna mambo yanavyoendelea inaonesha Kuna pressure watawala wanayo, kwahiyo wanatumia vyombo vya dola kuizima
Kwa hili linaIdi kuwatia wananchi sumu sio sawa kabisa
@kulwankuba278516 сағат бұрын
Hatuwaamini Tena police maana siyo poa,
@thomaswilbert64314 сағат бұрын
🤔alafu huyu si meya huyu mbona wanamfanya kama raia wa kawaida😢
@AthanaseKiyoja15 сағат бұрын
Wanaume,punguzeni starehe na pombe,mnajazana kwenye mabar na kwenye mpira,nakuiacha nchi.inavurugika.Mnawaachia wanahangaika.
@noreenemanuel181914 сағат бұрын
Mmh so mtu asifanye qnachotaka
@user-ki3gt6gy1l10 сағат бұрын
Mwanashelria Gani wewe unaongea au unatoa maelezo ya kuwambiwa hata ujaona tukio hata kama je hao waliyo kupa maelezo ukiwaita kuja kutoa ushaidi watakuja kweli kumbuka wanashelia wengi hupata maelezo kwa kauli tarifa ndiyo maana mnaleta. Matatizo sana kuweni makini
@ChoroTesla9 сағат бұрын
Kasema kutokana na maelezo ya mteja hvi watanzania elimu zetu mbona zina mashaka hvie
@flavianmushi4 сағат бұрын
Naona kinachoendelea ni vigumu Sana MTU kuwa Mpzani maaana maisha yako yanakuwa atarini
@jamesmasome35913 сағат бұрын
Mimi wanasiasa huwa siwaamini hasa chadema Wanatengeneza matukio....
@hajikadoma165213 сағат бұрын
Kabisa yani watu wa uzushi uzushi yani kwa hizo tabia zao nimetokea kukichukia hicho chama
@fatmafatu112813 сағат бұрын
Mpuuzi wewe matukio yapi jinga wewe kwahy nahapo alivyo kamatwa katengeza tukio ili hakamatwe kichwa maji wewe
@hotkitchenapple8313 сағат бұрын
Na kujitiisha huruma
@regnaldmwanda-lf1uy12 сағат бұрын
Mimi ni mwana CCM kindakindaki lakini kuna baadhi ya mambo siyahelewi.R.I.P MAGUFULI. 2030 MAJALIWA NEXT PRESIDENT
@TeophilBuilding12 сағат бұрын
Kuma la mama Ako hadharani kisimi Cha bibi Ako ww ni shahawa za shoga ww mtu yeyote wa kijani ni upinde
@BakariMtangenange10 сағат бұрын
Waloniteka hawakuja na Noah, huu ni uvumi na kisanga ila kutekana Tena huu ni uhuni wakishamba, weka silaa chini situbishane kwa hoja
@FrenkMushi-i7f11 сағат бұрын
Ccm Iki chama akifai kabisaa jamn amkeni
@IsanHomi9 сағат бұрын
Amka wewe
@robartifabiani9 сағат бұрын
Alafu wewe ubaki ukiwa umelala au
@IsanHomi8 сағат бұрын
@@robartifabiani Mimi najielewa
@AbelJohn-tx4in10 сағат бұрын
Sasa taarifa za uongo na upekuzi wa nyumba wapi na wapi
@KhadijaMwenda9 сағат бұрын
Hao walitaka kumpeleka pasipojulikana hiyo ya upekuzi ni baada ya mpango wao kufeli
@ryobanchagwa24997 сағат бұрын
Wamepekua nyumba yake wewe nae kilaza
@saluuhans7 сағат бұрын
😂😂 uongo na upekuzi 😂😂😂 wapi kwa wapi
@saluuhans7 сағат бұрын
@@KhadijaMwendamission failed 😂
@KhadijaMwenda6 сағат бұрын
@@saluuhans eee
@godfrey392616 сағат бұрын
Jamani tusiiharibu nchi yetu, na viongozi wetu lazima wakubali demokrasia inavyofanya kazi..Kama hawa wamefanya makosa basi vielezwe vyote na kama ni vitu vidogp kama kusema uongo mtandaoni, basi hii ni aina pia ya demokrasia, as long as hawajasema makubwa ya kwenda kinyume na katiba au kuleta vurugu kubwa..
@Mosmwampa10 сағат бұрын
Sahihi
@SaidBakar-q4j5 сағат бұрын
Yani kunamda asila inanipanda Hadi naisi naweza kosea kusema acha ninyamaze ira sote tukae tukijuwa tutakufa
@sidemwambatz870711 сағат бұрын
Check alivyokua mdogodogo
@oscaroscy7738Сағат бұрын
safi sana Boni
@henrymntangi77834 сағат бұрын
ccm bila vyombo vya ulinzi HAMNA KITU
@dianafredrick88304 сағат бұрын
mungu atusaidie tuuu huyu alikua anaonekana sana kwenye msiba wa ally kibao ila mungu amsaidie tuu
@AnuaryKISEGE7 сағат бұрын
CCM WATOKE WAPUUZ SANA
@neemannko20404 сағат бұрын
Kwanini wasiende kusachi ccm kwanini wanaopenda kuonea wanachadema??? Ivi police mbona mna Chama wakati haitakiwi KUWA na Chama????
@saidtembele3070Сағат бұрын
Majeshini ni order na utiifu, na aliyepo madarakani ndiye atatiiwa
@starspreandprimaryschools30758 сағат бұрын
Yes mwanangu, pole
@AngelMazola8 сағат бұрын
Verry so sad 😢😢😢😢😢😢😢 the things going on in this country are very sad😢😢😢😢
@herrymathayo1159Сағат бұрын
Kuna vitu vinafurahisha sana hivi unadhani mbongo ni mtu wa kujifanya unatetea haki zetu.bro tunza family yako wa tz hatupo hivyo kaka unateseka Bure ndugu.usiwafatishe wapigania haki wa mda ule ila Kwa Sasa bro angalia maisha yako.
@starlily0714 сағат бұрын
Samia must go
@binseif221611 сағат бұрын
Wewe ndo uondoke
@starlily0711 сағат бұрын
@@binseif2216 mtoto wa samia 🤣🤣🤣 unatesekea wapi
@bakarpaul50469 сағат бұрын
Acha umaku we mngese,makota ya shangazi yako ,unadinywa nini@@binseif2216
@IsanHomi9 сағат бұрын
Hatupo Kenya hapa acha kuiga
@allythabiti81507 сағат бұрын
Go ya nyoko😂😂😂
@user-ly2tv5og1n8 сағат бұрын
Ukweli haupatikani kwa maelezo ya Mtuhumiwa tu kwamba kulikuwa na mazingira ya kutisha. Acheni tusikie pande zote mbili Mahakamani tujue penye tatizo. Kama anahusishwa kutumia Mtandao vibaya kwani siyo kosa?
@edosmithrichardigogo-xm9ve7 сағат бұрын
Kesi ya mahindi upeleke kwa nyani,,unaleta stories za shule ya msingi Yan unamwibia mwenzio penseli halafu unamsaidia kutafuta.tafakar kwa kina
@edwindavid70378 сағат бұрын
Hivi huyo RCO anaitwa nani vile?
@vincentcharles43853 сағат бұрын
Mwigulu Nchemba
@neemanziku54033 сағат бұрын
Yan nyie police ipo siku Mungu atawadondoshen humo kwenye magar yenu
@RaphaelMbughi-n1g12 сағат бұрын
Tunaikumbuka Hotuba ya Mweshimiwa akihutubia Jeshi!!
@allythabiti81507 сағат бұрын
Chadema; mchezo unacheza kwa kutafuta maslah ya kisiasa, ila juen nchi inaongozaa kwa sheria na taratibu., Hawa hata maelezo yao wanajikanyaga. Hii nchi haitoenda kwa chadema hata cku moja,,
@jumarajab531612 сағат бұрын
safi sana polisi kamata hayo yote maropokaji ya mitandao
@googleus490310 сағат бұрын
Hekima Mwasipu mwalimu wangu wa History form 3, mjomba chuma essay introduction mistari 8-10, kila point maelezo mistari 3 kwenda mbele, na tunafunga na mistari 8-10
@ActiveMedia-j9y6 сағат бұрын
MWILI UMEMSAIDIA SANA JAMAA KAWATUPA TUPA SANA PALE SINZA ANGEKUWA MWEMBAMBA KAZI INGEKUWA IMEISHA
@wemamtundu79063 сағат бұрын
Hivi kesi ya Mwanajeshi imeishia wapi, maana kimya
@franciscojohn575112 сағат бұрын
Dawa inaandaliwa tu ipo siku mambo yatakua sawa
@hassnsalim51568 сағат бұрын
MAGUFULI ALIJUA TU SIKU AKIFA WATANZANIA WANYONGE WAPATA TABU SANA YAMETIMIA
@ChukiMjinga-jw2ql16 сағат бұрын
Sasa hivi tembeeni na vilipi Imani na polisi hakuna tena
@agathahasote989410 сағат бұрын
Nilijua tu😂😂 hii nchi ngumu kinoma
@user-rm9iz3yi5c3 сағат бұрын
Kwahiyo sikuizi Wambea awasutwi ni mwendo wa mateka na kuuliwa, ila wizi wabakaji wauwaji na wafisadi wanaishi, amakweli ni mwendo wakesho ikawale Leo, naleo ikawa kesho hapo sijui nimesema nini mtajuta Tu👌🤔🤐🙏
@fxmeddy956712 сағат бұрын
SAMIA MUST GO
@ednamollel57696 сағат бұрын
Jamani Hali hii mpaka lini Acheni fitina na kumfanya Rais aonekane mbaya
@noeljacob964431 минут бұрын
Kwahiyo Hao police walienda kupekua nyumbani kwake hizo taarifa za uongo kama zipo😂😂😂
@saumuabdallah1988 сағат бұрын
nyoooo... watekaji wakubwa nyie! cjui mlidhamiria kumpeleka wap baba wa wa2!!!😕😕😕 yote hayo ku2nyamazish kwa maovu ya serikali... ety anasambaz taarifa za uongo which uongo?😒😒😒 ni vile2 mmegumiw kubabake
@FatmaKudra-s3t11 сағат бұрын
Alikaidi hivyo alistahili hatua hizo alzochukuliwa
@paulmashiliba318310 сағат бұрын
Waje wamfuate babako ndo utajua siyo watu wazuri
@frankcryk324110 сағат бұрын
Acha uchawa
@RamadhaniKitala-gx6wc9 сағат бұрын
Ni Bora ukaidi utakusaidia kuliko kilichomtokea Mzee wetu kibao
@DivineWisdom-o8y6 сағат бұрын
Nikiona mtu amecomment ujinga kama huu hua naangalua jina kujiridhisha Kisha najua kua hakuna kitu kibaya kama njaa na ujinga najuta sana kuzaliwa nchi mmoja na wasilamu
Chadema wote lazima wapekuliwe. Mana wanataka kuharibu amani ya nchi.
@saluuhans7 сағат бұрын
Police kuwavamia na kuwakamata wapinzani mnaweza lakini kuwakamata watekaji aaanha!
@saidtembele3070Сағат бұрын
Wazee wa kutengeneza matukio na kutafuta huruma 😂😂😂😂. Sasa kama alijulishwa anahitajika na kaleta ujuaji mlitakaje 😂😂😂
@DaudiMakaza7 сағат бұрын
Huyu rais kwr kamua kuimaliza bara
@saluuhans7 сағат бұрын
Hatujawahi kusikia hata siku moja police wamemkamata kiongozi wa ccm wanakamatwa wapinzani tu hii nchii hii inatisha sana hakuna aman hata kidogo
@chemstry40916 сағат бұрын
2 much Man Chamdomo... leteni sera mtatufamyia nini wananchi walala hoi...acheni haya mambo ya janja janja....
@tumainiamani11110 сағат бұрын
Kila chenye mwanzo hakikosi mwisho pia Tanzania ndio nchi police akifanyiwa maafa na wananchi kwenye siku moja au mbili tu utasikia wamekamatwa au wamesha chukuliwa hatua za kisheria, Lakini sasa mwananchi akifanyiwa maafa na police kilasiku utasiki bado tunaendelea na uchunguzi Mfano mzuri tuu ni kesi ya tundulisu mapaleo hii ukienda police watakwambia bado tunaendelea na upelelezi😔😞
@tumainiamani11110 сағат бұрын
Halafu mbona kila wakati wa kuelekea uchaguzi kunakua na haya mambo, kabisa hii nipicha yakuwa ccm hawawezi kushida uchaguzi pasipo kuwatisha wapinzania au kuwafanyia vurugu tuu mbona atusiki mwanachama wa ccm akifanyi vitu kama hivi au Sikuna sakata la bashe na mwenzake mpina mambo yako shwari tuu lakini kama mpina angekuwa upinzani sijui kama angekuwa salama kuongea kama anavyoongea kwenye vyombo vya habari.
@geofreymgeni26687 сағат бұрын
Ahh nchii Hata mangu hakufanya hivyo
@Zenny8917 сағат бұрын
Naona CCM inaamua kuwafutia nyumbani.
@ireneshao795010 сағат бұрын
Huu ni upuuzi alaf msifikir Mungu haoni
@IsackIsack-x7e9 сағат бұрын
kumbuka mungu ni wetu sote
@Patrick-w1j2 сағат бұрын
Hotuba ya mama ndio imesababisha haya....
@JumaMkiji8 сағат бұрын
Duuu iyo ndio Tanzania nibola uwe jambazi utakua na Amani kuliko kuwa mwanasiasa utakoma
@Hapomwanzo15 сағат бұрын
Ccm mwisho wenu utafika tu, uonezi kama huo mwisho wake ukaribu sana.
@kalebphilip34267 сағат бұрын
Kuna askar mmoja namdai walai iko SKU nitavmba naye
@makongoronyerere15646 сағат бұрын
Haha, malizana nae Hawa Jamaa wasenge
@MngwaliAllykizangwa5 сағат бұрын
Usijianike,kama unaweza fanya kimyakimya hayo unayotaka ,serikari haina dogo
@Simions-q2i15 сағат бұрын
Acheni uongo wa kusema eti mazingira sio ya kumkata na hawakuja kama kumkamata. Inamana manataka police waje na vigoma vya mtundiko na kucheza ndio mkamatwe. Nyie inatakiwa mkamatwe kama kenge. Maana hamna adabu siasa zetu chadema ni hovyo kabisa.
@ChoroTesla9 сағат бұрын
Km waoa wanahimiza tii sheria bila shuruti basi hata wao hawako above the law ukikamatwa lazima uambiwe unakamatwa kwa lipi na si kila kosa la kukamatwa mengine unapewa wito tu mbona simple
@edgarjoseph55737 сағат бұрын
Hapo ndipo akili yako ilipoishia, Jitathmini kwenye hizi comment utapata majibu wewe upo upande gani? Wanaojielewa au wasiosielewa
@NtamamiloGibson2 сағат бұрын
Jua tukimaluza CHADEMA tunafuata wasio na Kazi maalum
@zaburi2386Сағат бұрын
Hv mtu ukisambaza taarifa za uongo wanatakiwa waende kukukagua kwako
@noonelike63829 сағат бұрын
Minawashauri watanzania:. Muweke utaratibu wa kuwapigia kelele za wizi Kwa kila askari atakaye katisha mitaani. Piga kelele za wizi ukimuona askari mtaani.
@Rehema-h6t9 сағат бұрын
Hawa maasikali wetu siku hizi hawaaminki tahazali kwa jamii akija asikali kukukamata ita maji lani wapige picha kwanza
@SalmaAthuman-hp3en13 сағат бұрын
Lengo Lao wamteke maana bibi milemba anayofurahia watu kutekwa na kuawa
@bahatikarume32038 сағат бұрын
Kama but not
@evansmoshi19232 сағат бұрын
Mm jeshi la police silamini kabisaa,
@severinmmassy7627Сағат бұрын
Afrika ukiwa mpinzan kupekuliwa nikila siku hiv tuko na tatzo gana jamani Africa
@Stanley.kapumbira10 сағат бұрын
Tarifa za mitandao za uongo ndo wakasachi mbaka nyumbani kweli
@GloryMwacha-rx2sc9 сағат бұрын
Watu wa Mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa
@marcynhumbi353410 сағат бұрын
Mmeshindwa kuwatafuta watu wasiojulikana,mpo mnadili na mambo ambayo hayana kichwa wala miguu
@salama11139 сағат бұрын
Sasa kwann walivyo ona hivyo hawajapiga picha mtu anaweza kupotea hivihivi nawatu wanamuona😢😢😢
@SurprisedCamel-ow6md911 сағат бұрын
Mnamatatizo mmekaa kila mda utekaji tuyy uwongo wenu
@navioma48826 сағат бұрын
Huuu ushezi wa hali ya juuu
@rejius118 сағат бұрын
Tanzania hakuna chombo maalum cha kuhoji uongozi wa juu unapokosea
@lilianjonas22587 сағат бұрын
Nahisi inapswa tusikubali polisi kumchukua mtu mbele yetu…. Hii ndo inaleta wapa hawa polisi nguvu
@4karimu_11 сағат бұрын
Waandishi ulizeni maswali ya msingi kuvaa nguo za Askari haikupi UHAKIKA kuwa huyo NI askali ,,kitambulisho muhimu na sio nguo za askali acheni kukulupuka kwenye maswali