Produced By P Funk & Bizman BONGO RECORDS 2002 DAR ES SALAAM TANZANIA
Пікірлер: 110
@fabycreation19624 ай бұрын
Nani amekuja hapa baada ya INTERVIEW YA AY 2024... LIKE TUJUANE
@erickmbilinyi20564 ай бұрын
Nan kaja baada ya BONGO FLAVOR HONOR'S 2024 gonga like
@kuvetamzazi8689 Жыл бұрын
Kwa sasa ni vigumu kumpata rapa mwenye style nzuri na ya kuvutia kama hii.
@modrickaziz19895 жыл бұрын
Sijawai kuuchoka huu wimbo dah
@irenekui24574 жыл бұрын
Who else is here in 2020. From Kenya. AY & Jay D are two talented artists.
@senimashauri66964 жыл бұрын
Offcourse I apreciate, this song always rocking me much
@meshachkigumbi56762 жыл бұрын
Wap mango garden wap kaumba park wap moro hotel bwalo la mwema jamuhuri stadium. Lakini sasa nimeokoka nampenda Yesu.
@seifmziray25518 ай бұрын
Nipoooo
@SeeBayo26 күн бұрын
Hizi jam zinanikumbusha mbali kinoma 🔥🔥🎶🎶
@elimuhuru26585 жыл бұрын
One of My All Time Best Songs.... Nikitaja Nyimbo 10 Ambazo Nazipenda Katika Maisha Yangu Huu Upo..
@senimashauri66964 жыл бұрын
Natamani sana AY aifanyie remix ya video ngoma hii maana ina mahadhi ya level zingine kabisa
@innocentjulius92335 жыл бұрын
hataree sana kitambo kile cdhani kama kuna korabo nyingine kati yenu itakuja tena kama hii wacha ibaki story
@mathewsephraim74253 жыл бұрын
Miyongoni mwa nyimbo zilifanya nipende hip hop ay ulinishawishi na sinto isaliti HIP hop nakupenda HIP hop
@duniayakijani78685 жыл бұрын
Siku nyingi sana,.... Kipindi hicho no Facebook, no Twitter, no instragram... Life was good
@ticianmarando90276 ай бұрын
best of bongo flavour song of all times
@fadhilibakari32734 жыл бұрын
MASTA tutolee chupa ya hii TRUCK aisee tugonge like kama zoote hivi. All Time song 🙌🏻🙌🏻🔥🔥🔥
@josephjoni16123 жыл бұрын
Good blath
@shedrackmarundo1135 Жыл бұрын
Kilichoimbwa humu ndani kipo mpaka mwisho was dunia
@shabannassoro6764Ай бұрын
Ambwene Yessaya,,🎤
@bakarininga5195 жыл бұрын
Nlikuwa darasa LA kwnza daaah ila naukumbuka sana
@Pedeshee014 жыл бұрын
Mwaka gani duhh sisi tuliozaliwa 2000
@vincentcharles43855 жыл бұрын
This is AY’s style we are going to miss
@nomamatata7543 жыл бұрын
For sure
@nomamatata7543 жыл бұрын
Hili goma halichuji,halipotei, halipitwi. Daaaahh!!! good old days
@fadhilfadhili2218 ай бұрын
Hii ndiostailiyake niliokuwa naipenda sana
@monicageorge21813 жыл бұрын
Best Song Ever....BIG UP AY.
@alexandernyimbi81863 жыл бұрын
Enzi hizo When Hip Hop was Real and Artists were the realest one
@emmanuelmollel79775 жыл бұрын
when music was music..
@kiuwamhina28024 жыл бұрын
Old is gold..... We don't hear shit like this no more...... A forever hit.
@sammykaviha8871 Жыл бұрын
mf was lyrical genius,gangasta flow,hardcore style....am suree cant do such a hit song though am his number 1 fun forever ay
@senimashauri66964 жыл бұрын
Hapa ndipo nilipo wakubali watu hawa wakiwa kwenye Mikrophone hawana mchezo, du enzi hizo waliwakilisha vizuri EA muzic
@johannesmaloda82095 жыл бұрын
funga moyo usiwaamini,smtms akufaaye kwa dhiki ndo msaliti
@deogratiuswakwesa58944 жыл бұрын
Ukisikiliza kwa makini, kuna mismatch kati ya beat na chorus ya Jide. ila hio yote haimati kwa namna beat ilkua kali na flow za ay huku. one of the best songs of all time kwa bongo fleva
@edwinepaissi2 жыл бұрын
Ndio nimegundua Toka 2002 naskiliza
@emmanuelmsumali92372 ай бұрын
which mismatch unaongelea.....so far naona iko safi tu
@evancenchimbinapokea88398 ай бұрын
Hii Ngoma inakumbusha nipo bunge primary school aisee mwamba anamjua sana uyu,nyimbo za zamani Kali bhn
@thomaskeya40925 жыл бұрын
Nakumbuka sana ngoma hii nilikua na maisha ya tabu sana
@maka_veli895 ай бұрын
Ila si umeshatoboa saivi?
@vincentcharles43853 жыл бұрын
This AY’s style will forever live.
@darweshk73425 жыл бұрын
old SCHOOL will not be compared with these days uwezi fananisha kabisa na za Ss hv
@fredricklucian71554 жыл бұрын
Hip hop salute
@galeisaac34723 жыл бұрын
East Africa Radio 📻, Channel 5 📺 🇺🇬🇺🇬🇺🇬
@benedictdingobenedictdingo40374 жыл бұрын
Moja kati ya nyimbo bora kabisa kuwahi kuimbwa na AY
@omaryabdul02Ай бұрын
Hii inanikumbusha enzi ya 90's mwishoni
@mubarakamtambo67835 жыл бұрын
I miss those days dah!
@ismailmashimba34704 жыл бұрын
Pinfanki majani ilikua juu sana katika maproduza
@ericknkonya56822 жыл бұрын
AY alikua ana flow jaman dah
@johnstonemwesiga2363 жыл бұрын
Nyimbo bora ya muda wote
@jumabuckary76985 ай бұрын
Ay the master all way ❤ regend for life
@barackdavid90555 жыл бұрын
The flows UNDISPUTED RAPPER
@MusaShabani-pf6ev7 ай бұрын
Kipindi hicho tulimkaribisha zero brean nikiwa mdogo kuliko wote kabla sijapata wokovu
@ummuadam24234 жыл бұрын
Wangapi tumefika hku baada ya mwijaku kupata dhamana na kutoka nipe 👍
@ahimidiwembise85154 жыл бұрын
6/12/2019 saa kumi na dk 27 ntaiangalia tena siku nikijaaliwa
@erickodhiambo69944 ай бұрын
Legend
@jumamrisho48303 жыл бұрын
From USA, big up sana mwamba A, Y bado nakupata mpaka now2021
@benedictngingo7412 Жыл бұрын
Bonge moja la ngoma!!
@vedastokeya33442 жыл бұрын
Jamaa alichokiimba ndivyo tunavoishi hadi Sasa sijui tumeligwa na nani ?
@georgesalia27863 жыл бұрын
Good old days.....
@jumamrisho48303 жыл бұрын
Nakupata kwenye headphone 🎧 natoka zangu nevada nahingia zangu Chicago Illinois USA👏👏 2021
@AYMasta3 жыл бұрын
Enjoy the vibes na safari njema
@milemo6044 жыл бұрын
Ngoma zazamani hazi choshi.
@peterjames9294 жыл бұрын
Big time bongo mziki kaka wise jamii inapata elimu ya
@idrissakefea86245 жыл бұрын
No one like u bro in rapping style broo
@fredricklucian71554 жыл бұрын
HIP HOP SALUTE AY
@johannesmaloda82095 жыл бұрын
wagum kuelewa wepes wa kusahau..
@fatmakhamis64922 жыл бұрын
Nilikua form 5 wacha tu. Haya yalikua madini
@kareemkiwamba1393 ай бұрын
nyimbo bora ya muda wote
@OscarMakoye4 ай бұрын
Masta hii kitu ingetoka leo sijui ingekuwaje izimue na video
@farajimtima93313 жыл бұрын
Itakua ndoto binadam kutenda mema kabisaa
@antonysarota35884 жыл бұрын
💯pure flavour!
@raphtz56943 жыл бұрын
Mkwaju....this is the song of the years
@victorsir-nga77085 жыл бұрын
huyu ndo At bhana
@TheLugiko4 жыл бұрын
Hii ngoma iko deep sana
@denismwangalaba38024 жыл бұрын
2020 best song
@msonjoabdy66434 жыл бұрын
2020 🔥
@saidkhamis46623 жыл бұрын
Haya mashairi ndio yanakumbusha mbali
@tatuswaib69094 жыл бұрын
Miaka Mia 500 hii nyimbo ukiisikiliza unaweza ukasema imetoka Jana...
@chriskoech4993 Жыл бұрын
Wanadamu ni watu wa ajabu
@mbarakasaidi82433 жыл бұрын
this song is very strong i can't feeling tired to listen this song nakumbuka mbali sana