Barikiwa nimejifunza mengi sasa muislam hataendelea kunidanganya
@BenjaminChome18 күн бұрын
Congratulations 🎊 pr ezekiel costa ujumbe wako unaguza Sana mungu akubariki
@ezekielkalerwa16 күн бұрын
Barikiwa pia mtumishi
@alyaqdhan520615 күн бұрын
Pastor unadai according to maandiko uliyo yasoma kama Mkristo anapo ongea sio yeye anae ongea, ni Roho ya Mungu aliye ndani yao ndiye anae nena na hiyo si kweli kwa sababu tunaona imani za madhehebu za Wakristo zinagongana tena kwenye misingi kuu ya imani si kwenye mambo madogo, kwa mfano Katoliki wanaamini kama Mungu ni mmoja lakini anafanya kazi kwa nafsi tatu ( Baba, Mwana na Roho Mtakatifu ) wakati Wasabato na Jehova’s Witnesses wanapinga hilo na wanaiyona ni Ukafiri, na pia Katoliki wanadai kama Yesu ni Mungu wakati Jehova’s witnesses wanapinga, sasa ni Mungu gani huyo ambae maneno yake yanagongana? Hii dalili kama maneno yako si kweli
@jumanjenga768210 күн бұрын
Jesus was no Christian and didn't go to Church. The pagans of Rome made the Jewish Carpenter to be God or son of God and worshipped Jesus instead of Eloi/Eloha/Allah.You quoted that Jesus knows everything and was asked about the last hour and he said Nobody's knows even Jesus or the Angels except God knows.You lied.