Hivi mashindano haya yanaanza lini nimeimis kuion Zanzibar heros tena
@gyeong597210 ай бұрын
Hakuna tena Zanzibar Hereos Imemezwa Kwa kisingizio cha Muungano
@salehkhamis95606 жыл бұрын
Zanzibar vipaji vipo ila wenzetu tanganyika wanatubana hawatupi fursa ya kuingia Fifa au mnaona tutawafunika kisoka
@abdulshamte45936 жыл бұрын
Mungu azidi kutusaidia Zanzibar tuzidi kufika mbali kisoka
@famionlineapdates93716 жыл бұрын
Abdul Shamte aaamin
@takdirmahmoud6 жыл бұрын
Zanzibar tunaweza
@yussufkhamis46316 жыл бұрын
mungu atuwekee inshalla
@usher_bambi946 жыл бұрын
Kaz nzur mubebe kassim khamis mido10
@achimleli33056 жыл бұрын
Mashalaàh nzazibar taifa star mjiuzulu wote
@mnzavachris54236 жыл бұрын
Achi Mleli kili star shehe
@issasuleiman52076 жыл бұрын
Zanzibar juu
@rashidmohamedomar83006 жыл бұрын
Tanzania bara ama tanganyika ya zamani inanishangaza sana. Kwangu imekuwa ni kawaiada kuifunga ilihali wachezaji wao wapo juu kimajina au sijui ndo ni media zinawaharibu, zinawafanya wanalewa sifa. Nakumbuka nilipokua chuoni tulikuwa tunawafunga sana ijapokuwa timu yao inaonekana bora kwa majina ya mchezaji mmoja mmoja na karibu timu yote ya chuo inaundwa na wao. Lakini hao wachezaji watatu au wannene kutoka Zanzibar tunakua ndo mihimili ya timu kiasi kwaba hakuna significant replacement na sana safu ya viungo na washambuliaji, tuliobaki tunacheza kwa spirit ya hali ya juu, cha kushangaza wengine tunaonekana uwanjani wakati wa mechi tu. Matokeo hayana tafauti na haya 2-1, 3-1, 2-0, 2-2, 3-1. Kwa pale chuoni sababu nilioifikiria ni kipaji na kujitunza (kuepuka starehe za kupoteza energy and materials)
@dulakess89285 жыл бұрын
rashidmohamed omar
@abdallahsalum48066 жыл бұрын
Timu nyingi za Taifa jezi zke zinachukua sura ya bendera ya taifa,like Brazil, spein Cameron na mataifa mengine,kwa nn sisi jezi zetu azifanani na hali halisi ya bendera zetu?
@omarabeid88916 жыл бұрын
tanganyika hamna wacheza mpira kuna wauza sura magezetini wacha wanywa urojo waoneshe nyambavu
@yahyamzee20136 жыл бұрын
soka zuri twacheza na kutandika wagojwa pia twawatandika
@hijaabbas8976 жыл бұрын
Tunataka nafac ya fifa mutuachie ili ulmwengu ukaone hyo nusu bendera ya tz ikiwa ktk znzbr maana mudhaletewa mpaka wazngu kutoka brazil ila bado ni vichwa vya samaki tu tupeni nafac tukauoneshe ulmwengu kwenye fifa
@dullahkesi95475 жыл бұрын
hija abbas i
@PanduPandu-xo7uh6 жыл бұрын
Hawana mambo hao tanganyika.
@daviegamah53706 жыл бұрын
how come country playing against its own city team ...??.... I need to be told I dnt understand pliz
@rashidsuleiman26636 жыл бұрын
Zanzibar is a country which form union with Tanganyika and has internal authority within Tanzania
@mahadshekh3986 жыл бұрын
Mtaacha kupotea wapi na wachezaji wenu wa magazeti.Kufunga kwenye mechi na Stand United na Njombe Mji basi watasifiwa kama wachezaji wa maana kumbe hamna lolote. Mpira ni uwanjani magazeti yapo maktaba.
@mnzavachris54236 жыл бұрын
Mahad Shekh we bhna we acha kabx ani aibu yetu asee!
@bonifacemsigwa53246 жыл бұрын
Hao taifa stars tunazidi kupata homa mpya, hatuna raha hata kidogo zaidi ya kuzitia hasara timu zetu, wachezaji wanagharamiwa fedha nyingi na clab lakini vilabu vinaingia hasara kubwa za kukosa huduma za wachezaji, aa! jamani inauma sana cyo siri, ona majeruhi ya Yondani jana hasara kwetu wanayanga tayari. Soka la Tanzania tusubiri sana hadi mwaka2900 ijayo.
@agnesreuben65856 жыл бұрын
duuuu stars kwa mwendo huo kweli turafika
@yussufkhamis46316 жыл бұрын
kamwe huwez kuchukia kipaji
@afropanorama47306 жыл бұрын
Zanzibar vipaji vipo vingi ila soka la tanzania ni siasa tupu utanganyika na zanzibar unalitafuna taifa
@mnzavachris54236 жыл бұрын
nilitabiri angalau tunaeza kuwa watatu haya mashindano lakin sasa naona hata makundi kupita napo kazi kaa!
@rashidmohamedomar83006 жыл бұрын
Mnzava Chris Polelini watanzania wenzangu musiogope ila mujiangalie na timu yenu ni ya kwetu
@mnzavachris54236 жыл бұрын
wewe umekua kiasi siyo kama wavisiwani wenzio!
@jumamisinzo92346 жыл бұрын
kwakweliiii
@bakarymussa99444 жыл бұрын
Oy vp
@natafutamatatizo43826 жыл бұрын
TANGANYIKA WASHENZI LAZIMA TUWAUMBUE VIKALI
@sulegboy23752 жыл бұрын
4
@qaraiserq65326 жыл бұрын
tuna potea tanganyika
@mnzavachris54236 жыл бұрын
kizzi chetu bado ni cha kubutua wengi walihisi ngongoro heroes ingecheza mechi hizi ingekua poa sana
@yahyamzee20136 жыл бұрын
history inajirejea wenyewe... mpira wa Tanganyika ni maguvu akili kidogo.... Soka liko Zanzibar.... Tanganyika ni gumzo tu la vyombo vya habari ndio linalowaendesha matege kujiona wanaweza ila hawana lao...
@mnzavachris54236 жыл бұрын
Yahya Mzee ila hivi ni kweli maan nasikia mna timu 20+ kwa kisiwa kimoja upande wa ligi?! maan kama ndivyo ndoman mna timu nzuri ya taifa + timu za ligi mbovu maan na nyie ndomn hamfiki mbali kene ligi