Mashabiki wa yanga wenyew wanajiuliza kwann wanapendelewaga sana 😂😂ila nikwamba mechi ilishachezwa kwenye daftar na yanga wakashinda
@MohamedMohamed-s5w7q7 сағат бұрын
Makolo mna matatizo sana yaani mkishinda nyinyi mmeshinda kihalali tukishinda yanga tumependelewa,Tumenunua mechi,basi TFF iitoe tu yanga kwenye mashindano yote mbaki tu nyinyi mabingwa
@tatitati-h5r6 сағат бұрын
BADO HAMJAONGEA, TENA BADO SANA
@beatricesaitoti61256 сағат бұрын
Km nyie mlivyocheza kwenye daftar jana
@YusraSiyaleo-yk2fz6 сағат бұрын
Kama unaikubali yanga gonga like hapa wajue kabisa hatantukishinda kamoja kamoja kikubwa point 😂😂😂
@mwajumampokileomckapela75418 сағат бұрын
Point 3 muhimu ugenini 💛💛💛💛🖤💚💚💛🖤💚
@HassaniUlenge-j5j6 сағат бұрын
Ila diara atabakia na sifa zake kuwaongoza wachezaji kwenye eneo la ulinzi lakn Huyu wa leo hajui yy ni kudaka tu
@Ngoviabbas8 сағат бұрын
Ligi imekosa mvuto ushindi wa mipango kila mechi
@MichaelMathew-j3f8 сағат бұрын
Vp huyu ni kayoko au hahahahahahaha utani tu jmn mimi ni Simba!!! Bwana Yesu Kristo asifiwe!!
@AshaKilobwa8 сағат бұрын
Yanga Leo mmecheza mipira wahovyo kabisa
@Aminielymsengi-pg2ez6 сағат бұрын
Ch msing n 3 mhimu
@tatitati-h5r6 сағат бұрын
Na sasa kichapo cha tarehe 19 kimegeuza mashabiki wa PANYA ROAD FC kuwa V.A.R 🤪
@vedastusjimmy515810 сағат бұрын
Hongereni mabingwa
@AnnaJayden-k4m8 сағат бұрын
Manaake kwanza nicheke😂
@AshaKilobwa8 сағат бұрын
Kuna wachezaji yanga wanajiona mastaa sana kama pakome na ki azizi wanapoteza sana mipira
@bukaone75077 сағат бұрын
ustaa ukizidi sana ndio shida
@AljuhaniAllyy-dg4ld6 сағат бұрын
Utopolo hamna kitu bahasha tu ndo zimebaki
@QueenlizzyQueenlizzy6 сағат бұрын
Imekula kwako kolo ww bahasha huzionag au lile moja tumekupaje
@Nicodemashangi-z3o8 сағат бұрын
Mwisho wenu uko karibu,endeleeni kujifariji eti mna timu nzuri
@shabaninayopa-nw9cf8 сағат бұрын
Offside kabisa ila nyuma mwko Mungu anawaona
@Maalim_Seif_-_Zanzibar9 сағат бұрын
GSM kamfunga GSM 😂
@SaumuSaidi-z2v9 сағат бұрын
Yn goli la halali limekataliwa ila goli la of saidi la yanga limekubaliwa yn gsm na tff na injinia wanaharibu ligi kwa kwl. Lkn iko siku yataisha
@seciliamchalo56278 сағат бұрын
@@SaumuSaidi-z2vbado hamjasema
@MossesSolomonMollel8 сағат бұрын
Hii ni Clear offside sema yanga wanabebwa sana
@OnaryYohana7 сағат бұрын
Offside gani sasa hiyo
@malkavoice25706 сағат бұрын
Wazee wa mbeleko dadeki!
@AshaMkweche9 сағат бұрын
Yanga wanacheza faulu za hovyo
@barackmoses70039 сағат бұрын
MWISHO WENU WA KUBEBWA UNAKARIBIA
@MariamHassan-l2y8 сағат бұрын
Sasa nyie simba munasema nin kwa yanga bado sana namutasema andno😮
@UledyCosmas-z7o6 сағат бұрын
Wameshangili kwa haraka walijua watafunga Tena Hawa 😂😂😂😂
@bukaone75078 сағат бұрын
moja moja
@Dullah_tz9 сағат бұрын
Hii ni maajab anafungwa coastal anae umia ni kolo😂😂😂😂😂
@AziCure8 сағат бұрын
Ona hili KOLO linavyoteseka😂😂😂
@KS-iw7qv8 сағат бұрын
Maabadi maabadi anaonekana ni mchezaji mzuri sana
@damianmcba95259 сағат бұрын
Mshery Ajitathmin huyu khomeny kipa mzuri
@EmanuelyMalugu9 сағат бұрын
Angalia mpira unavyo chezeka si lawama tu 😢😢😮😮😅😅😅😊😊
@saidmasoud90048 сағат бұрын
Hili ni clear goal
@AminaTanzania8 сағат бұрын
Yanga wazazi wenu ni baba na mama
@timothmwakakusyu45637 сағат бұрын
Ni kweli ni offside ni makosa ya kibendera. Ila gem yenu ni uongo hatukubebwa ninyi ndo mlibebwa na mkashindwa kutumia mbeleko mfano nafasi aliyopata ateba ilikuwa offside, dube alivutwa razak alistahili nyekundu, jana mmecheza na Namungo, Namungo wamenyimwa penalty kipindi cha kwanza. Makosa muwe mnaangalia na kwenu pia, dodoma mlibebwa penalty, musonda alifanyiwa faulo na camara ila mnaangalia diving za kibu na kusema penalty. 😂😂😂😂😂😂
@egnopokela50896 сағат бұрын
Ila baleke mwiziiii
@AminaTanzania8 сағат бұрын
Makolo mpo nyuma yetuu hata musemeje midomo niyenu sisi tunachanja mbugatuu ikibidi tuwapinge na supana mpaka myookee
@TeddyElisha8 сағат бұрын
Hamna maajabu nyie endeleeni kuhonga Marefa ili mshinde kila xiku kwakubebwa
@cristamelahashimu36797 сағат бұрын
Kama wanahongeka si muhonge na nyie??!! Kwa tatizo liko wapi? Tuhonge wote 😂
@josephgalandu1287 сағат бұрын
Kwahio nyie hamna hela ya kuhonga!??😂😂😂
@tatitati-h5r6 сағат бұрын
HELA WATAPATA WAPI, WAMECHOKA MBAYA KABISA, SI UMEONA JENGO LAO WAMEKODISHA KWA WATENGENEZA SIMUHADI ILE OFISI YA MWENYEKITI
@Nicodemashangi-z3o8 сағат бұрын
Endeleeni kubebwa mwisho wenu Iko karibu
@RamadhaniSalumu-i5h9 сағат бұрын
Yanga bado haijawa sawa kwenye kufunga wanapoteza nafas xnaaa
@GeofreyMwafinga7 сағат бұрын
kwan Simba na costal ilikuwaje? game y Simba vs cost Simba alibebwa alpewa penalty y uwongo pia refa almalza mpira tofaut na utaratib akihofia Simba kufungwa goal la 3,,, ko Simba alianza kubebwa yy,, dhid y cost,,, na Leo kabebwa yanga ko wote ni wanyanyanyi na team zote kubwa Simba yanga azam singida black stars Zina nunua match ko achen kujilalamisha nyie wote ni wambeleko tu
@IreneMerchades8 сағат бұрын
Utoppole wanapoteana xanaaaa
@PetroKibasa9 сағат бұрын
Yanga mnabebwa sana hata marefa wabovu tuuu
@seciliamchalo56278 сағат бұрын
Hamjasema
@AZALIAMWAMBELA-t9f8 сағат бұрын
Offside kabisa
@AnnaJayden-k4m8 сағат бұрын
Hamuoni ata aibu kigori kimoja nyoo😂 anagalieni kwa kaka zenu mjifunze
@RuthDaffa8 сағат бұрын
Atushindi magoal mengi sisi tushakuwa mabingwa tofauti na nyiee
@seciliamchalo56278 сағат бұрын
Nyie mbona waliwatoa jasho mkaambulia point 1 tupishee tushachukua point 3 hayo mengine siyo shida zetu
@LucyChanga-e8c8 сағат бұрын
Hawa nyie mlitoa droo,na mgefungwa sema refa alimaliza mpira chap
@rashidnzunda8 сағат бұрын
Of said gan japo wote mashabik
@OsianaKibona-k1t8 сағат бұрын
Simba tusiangauke yanga wancheza na marefa tu
@OnaryYohana7 сағат бұрын
😅😅😅😅mtajuta
@tatitati-h5r6 сағат бұрын
YAANI! HAMJAONGEA BADO
@anordkimaro82009 сағат бұрын
Yangaaaaaaaqq🎉🎉🎉🎉🎉
@emanuelimabula98879 сағат бұрын
Hapo kuna offside gani mbona wanabebwa hadi wanaboa sasa
@EdwardKyabon8 сағат бұрын
Yaani me nasemea simba yetu ilinyimwa goli maana kibu alifunga kama baleke alivyofunga alaf baleke alizidi sana kibu alikuwa sawa na diara pamoja na jobu na pia aucho alikuwa golini
@seciliamchalo56278 сағат бұрын
Poleni maan mnateseka
@saliminyusuph61229 сағат бұрын
Huu uwanja wa Shekh Amri Abed ni uwanja m bovu sana. Yanga akichezaga huu uwanja anashindwa kutandaza ule mpira kampa kampa tena.
@emmanuellupiga9 сағат бұрын
Libaya liuwanja
@GaudenciaMawallo-mm4gi9 сағат бұрын
Yanga bingwa💚💚👍
@stanastana31999 сағат бұрын
Yanga inachukua bingwa mapema msimu huu
@malimahila94507 сағат бұрын
Yanga timu kubwa
@thehustlerafrica436810 сағат бұрын
Offside za Hawa marainzimen hivi inakuwaje????😂😂😂
@sophyodago50627 сағат бұрын
Tusubirini CAF LEAGUES ndo mtajua yanga hawana team
@lingwamalagila30037 сағат бұрын
Utasubiri sana Simba wana Timu ndo timu imeingia makundi na magoli 17 Utashangaa
@tatitati-h5r6 сағат бұрын
KESHENI MKISUBIRI
@ShaabanHassan-p8m7 сағат бұрын
Wanayanga acheni shobwe Angelina yenu
@mohdsaad27367 сағат бұрын
❤😊❤😊❤😊
@shallmolownicodem47349 сағат бұрын
Yanga bingwa 🎉😂❤
@anordkimaro82009 сағат бұрын
Hahahahahahha watu wa simba mtalalamika sana, iombeeni timu yenu, ushabiki wa hvyo hakuna...kuweni wazalendo. Kubalini kuwa yanga is the best team...wenzenu wanaingia wakiomba Mungu, nyie mnategemea mvua inyeshe. Asiyekubal kushindwa si mshindani
@rexgodwill73539 сағат бұрын
Mbona hata ilo goli clear offside 😂😂... Baleke anatokea nyuma kwa golikipa kwenda kugombea mpira unaogombewa na nyuma yake nakupeleka wavuni 😂... YANGA mtashinda Sana ligi ya Tanzania 🤦♂️🤦♂️.. Timu ya serikali
@goldmansun58599 сағат бұрын
@@rexgodwill7353mbona mliifunga azam offside zote,na dodoma jiji mbeleko,na yanga ngao ilikuwa mle nne, na coast mbeleko ilikuwa mle tatu, mechi saba moja au mbili tu mmetoka kihalal
@OmarSuleiman-o8o9 сағат бұрын
@@goldmansun5859at ww n simb ulitakiw juz ufungw 2
@goldmansun58599 сағат бұрын
@@rexgodwill7353kibu kafunga goal kama hilo hilo 😂
@abdillahhamisi32899 сағат бұрын
Nyie yanga hamna kitu mnashinda kwa upendeleo
@KelvinMkoma-x9z6 сағат бұрын
Makolo.nyiee utaongea nin kwa yangaa
@fidelfidel-jz4iw8 сағат бұрын
Offside kabisa hiyo
@OnaryYohana7 сағат бұрын
Unajua mpira kweli wewe
@tatitati-h5r6 сағат бұрын
@@OnaryYohana BAADA YA KICHAPO TIMU NZIMA IMEGEUKA KUWA VAR😃
@Ibrahimshaibu-b2q9 сағат бұрын
kwayanga hii mmmmh.. watasema
@AminaTanzania8 сағат бұрын
Makolo
@JoakimMarko9 сағат бұрын
Yanga mpila unaisha kila mechi kuna bahasha
@AthmaniBamvua-e9v9 сағат бұрын
Na bahashaa mwenyewe ni Young Africans 😳😳kubabaabakee
@GoodluckLesilwa-kq2ln8 сағат бұрын
Mpira unaisha ila point zinaongezeka
@jimmymnuano71656 сағат бұрын
Kuuliza sio ujinga kwani sikuhizi mpira wa kona kuna offside ? huo si mwenye kupata na apate offside mpira wa kona kweli ?
@EdwinDaudKimbulu6 сағат бұрын
Mpira wa kurusha tu ndio hauna offside
@SophiaWanene6 сағат бұрын
Wote wa GSM ndomaana halamikii of cd tulishawajua ila caf hamna gsm
@rukaiyakondo52657 сағат бұрын
Kila mech mnafung kagol kamoja, na hata hako kamoja mnakoshinda kila mechi kana utata😂😂 laki timu inazungk mtandaoni ikijiita bingwa🤦eeh muwe mnaanglia na mechi z nje mjue maana halis y bingw
@elizabethvucentkabwa7 сағат бұрын
Kwakweli
@tatitati-h5r7 сағат бұрын
za nje hazituhusu tunataka mechi na nyie panya road
@sarahsalum9976 сағат бұрын
ndo simba watajuta kwanini waliwauza na kuwaita wazee😂😂😂😂
@scopy04286 сағат бұрын
Wachezaji wa Yanga wanakabiliwa na uchovu
@NSHIMIYIMANAXXX-t3i9 сағат бұрын
💗💗💓💓🙆
@hamishasan77377 сағат бұрын
Gsm anacheza na gsm
@karingtonisimwinga1229 сағат бұрын
upumbavu tu
@Chikophehussein8 сағат бұрын
Hpo hkna league tna ytu macho2 mtabebwa mkifka kmataifa aibu
@emmanuellupiga9 сағат бұрын
Huu uwanja sio poa wanautumia wa nn
@rashidmaulid731210 сағат бұрын
Offside
@goldmansun58599 сағат бұрын
Sio offside jifunze mpira
@OmarSuleiman-o8o9 сағат бұрын
@@goldmansun5859offside kwan hatuon unaon pek yko
@matrida.lunyilija51969 сағат бұрын
Kama hujui mpira kaa kimya wewe
@OmarSuleiman-o8o9 сағат бұрын
@@matrida.lunyilija5196 ach ushabik maandaz kwa sabab n yang wamept wao il wangepat coast sijui ungesemaj
@AnnaJayden-k4m8 сағат бұрын
@@goldmansun5859haha Poleni mpaka huruma jifunzeni kwa kaka zenu baadae mtanishukuru
@amanizo969 сағат бұрын
Watu wame sakwa Leo nyuma mwiko wali tepet
@seciliamchalo56278 сағат бұрын
Baada ya hapo walipoteza si ndio 😂😂😂
@anthonymilinga86969 сағат бұрын
Yanga haina mpira wowote tutaijua vizuri club bingwa maana kule Kayoko hayupo.
@vedastusjimmy51589 сағат бұрын
Kwani klabu bingwa hatukuwepo mkawaita mamelodi wabovu😅
@econmirajifacts54119 сағат бұрын
Yanga haina mpira mwenye mpira ni simba utabaki hivyo hivyo bwege wewe.
@greysonkisinda73909 сағат бұрын
@@vedastusjimmy5158panya road wanahangaika kutafta excuse ,na watatumia sehem zote kuongea😂
Uchezaji wa hivi vilabu vidogo ninkukamia tu na kuumiza wachezaji tu
@BashirAhmed-zb1zq10 сағат бұрын
Ilkuwa off
@mahadshekh39810 сағат бұрын
Ya Kibu na hili ni baba moja mama moja.Offside
@elishakayagwa93719 сағат бұрын
Mbona mwaka jana ilikuwa chini ya mo na haijaifanya kitu yanga? Au napo walikuwa wanalinda udhamini wa nani?
@mahadshekh3989 сағат бұрын
@@elishakayagwa9371 Haijawahi kuwa chini ya Mo get your facts right.Coastal walianza kudhaminiwa na GSM tokea msimu uliopita.
@sultanmsolon842810 сағат бұрын
Ni mwendo wa jamo jamo tu kikubwa nukta tuta
@ViraNgulula9 сағат бұрын
Nyie mademu wa yanga vp na nyie mnadhamiwa na Gsm ....maana kila siku yanga anawafunga wenye nembo ya gsm na nyie vichwa maji mnayo nembo iyo ya mme wenu
@estervumilia79749 сағат бұрын
Kumbe na Simba ana nembo hiyo
@seciliamchalo56278 сағат бұрын
Hata Simba mademu wa Yanga au unajisahaulisha tulichowafanyia
@DEVISMOMO10 сағат бұрын
Mwaka huu mpk waseme.
@iddihamisiharuna826110 сағат бұрын
COAST UNION Watapiga nje ili kulinda udhamini wa GSM. Lakin wangefunga magoli mengi😅😅
@vedastusjimmy51589 сағат бұрын
Cry moreeee😂
@Dullah_tz9 сағат бұрын
Yanga bingwa
@EdwardKyabon10 сағат бұрын
Sasa ili goli la baleke na la kibu utofauti ni nni hapo
@abdulmohd688010 сағат бұрын
Kibu n mchezaji wa klabu ya Shirikisho na Baleke n mchezaji wa klabu ya mabingwa, goli la Kibu n sawa na goli aliloshinda mchezaji wa coastal apo, Wale Kenge tushawashona mechi 4 mfululizo na bado hawajasema😅
@edwardmwacha9 сағат бұрын
Tofauti alie toa assist n mpinzan na sio mchezaj wa yanga simle and clear 😅😅
@seciliamchalo56278 сағат бұрын
@@abdulmohd6880😂😂😂
@Yassin-z6o9 сағат бұрын
Tunashinda mpaka kwenye viwanja vibovu. Hiyo ndiyo yanga. Nyie mbumbumbu endeleeni kulalamika.