Coastal Union 0-1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 26/10/2024

  Рет қаралды 72,232

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 153
@seremusicofficial
@seremusicofficial 8 сағат бұрын
Mashabiki wa yanga wenyew wanajiuliza kwann wanapendelewaga sana 😂😂ila nikwamba mechi ilishachezwa kwenye daftar na yanga wakashinda
@MohamedMohamed-s5w7q
@MohamedMohamed-s5w7q 7 сағат бұрын
Makolo mna matatizo sana yaani mkishinda nyinyi mmeshinda kihalali tukishinda yanga tumependelewa,Tumenunua mechi,basi TFF iitoe tu yanga kwenye mashindano yote mbaki tu nyinyi mabingwa
@tatitati-h5r
@tatitati-h5r 6 сағат бұрын
BADO HAMJAONGEA, TENA BADO SANA
@beatricesaitoti6125
@beatricesaitoti6125 6 сағат бұрын
Km nyie mlivyocheza kwenye daftar jana
@YusraSiyaleo-yk2fz
@YusraSiyaleo-yk2fz 6 сағат бұрын
Kama unaikubali yanga gonga like hapa wajue kabisa hatantukishinda kamoja kamoja kikubwa point 😂😂😂
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 8 сағат бұрын
Point 3 muhimu ugenini 💛💛💛💛🖤💚💚💛🖤💚
@HassaniUlenge-j5j
@HassaniUlenge-j5j 6 сағат бұрын
Ila diara atabakia na sifa zake kuwaongoza wachezaji kwenye eneo la ulinzi lakn Huyu wa leo hajui yy ni kudaka tu
@Ngoviabbas
@Ngoviabbas 8 сағат бұрын
Ligi imekosa mvuto ushindi wa mipango kila mechi
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 8 сағат бұрын
Vp huyu ni kayoko au hahahahahahaha utani tu jmn mimi ni Simba!!! Bwana Yesu Kristo asifiwe!!
@AshaKilobwa
@AshaKilobwa 8 сағат бұрын
Yanga Leo mmecheza mipira wahovyo kabisa
@Aminielymsengi-pg2ez
@Aminielymsengi-pg2ez 6 сағат бұрын
Ch msing n 3 mhimu
@tatitati-h5r
@tatitati-h5r 6 сағат бұрын
Na sasa kichapo cha tarehe 19 kimegeuza mashabiki wa PANYA ROAD FC kuwa V.A.R 🤪
@vedastusjimmy5158
@vedastusjimmy5158 10 сағат бұрын
Hongereni mabingwa
@AnnaJayden-k4m
@AnnaJayden-k4m 8 сағат бұрын
Manaake kwanza nicheke😂
@AshaKilobwa
@AshaKilobwa 8 сағат бұрын
Kuna wachezaji yanga wanajiona mastaa sana kama pakome na ki azizi wanapoteza sana mipira
@bukaone7507
@bukaone7507 7 сағат бұрын
ustaa ukizidi sana ndio shida
@AljuhaniAllyy-dg4ld
@AljuhaniAllyy-dg4ld 6 сағат бұрын
Utopolo hamna kitu bahasha tu ndo zimebaki
@QueenlizzyQueenlizzy
@QueenlizzyQueenlizzy 6 сағат бұрын
Imekula kwako kolo ww bahasha huzionag au lile moja tumekupaje
@Nicodemashangi-z3o
@Nicodemashangi-z3o 8 сағат бұрын
Mwisho wenu uko karibu,endeleeni kujifariji eti mna timu nzuri
@shabaninayopa-nw9cf
@shabaninayopa-nw9cf 8 сағат бұрын
Offside kabisa ila nyuma mwko Mungu anawaona
@Maalim_Seif_-_Zanzibar
@Maalim_Seif_-_Zanzibar 9 сағат бұрын
GSM kamfunga GSM 😂
@SaumuSaidi-z2v
@SaumuSaidi-z2v 9 сағат бұрын
Yn goli la halali limekataliwa ila goli la of saidi la yanga limekubaliwa yn gsm na tff na injinia wanaharibu ligi kwa kwl. Lkn iko siku yataisha
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 8 сағат бұрын
​@@SaumuSaidi-z2vbado hamjasema
@MossesSolomonMollel
@MossesSolomonMollel 8 сағат бұрын
Hii ni Clear offside sema yanga wanabebwa sana
@OnaryYohana
@OnaryYohana 7 сағат бұрын
Offside gani sasa hiyo
@malkavoice2570
@malkavoice2570 6 сағат бұрын
Wazee wa mbeleko dadeki!
@AshaMkweche
@AshaMkweche 9 сағат бұрын
Yanga wanacheza faulu za hovyo
@barackmoses7003
@barackmoses7003 9 сағат бұрын
MWISHO WENU WA KUBEBWA UNAKARIBIA
@MariamHassan-l2y
@MariamHassan-l2y 8 сағат бұрын
Sasa nyie simba munasema nin kwa yanga bado sana namutasema andno😮
@UledyCosmas-z7o
@UledyCosmas-z7o 6 сағат бұрын
Wameshangili kwa haraka walijua watafunga Tena Hawa 😂😂😂😂
@bukaone7507
@bukaone7507 8 сағат бұрын
moja moja
@Dullah_tz
@Dullah_tz 9 сағат бұрын
Hii ni maajab anafungwa coastal anae umia ni kolo😂😂😂😂😂
@AziCure
@AziCure 8 сағат бұрын
Ona hili KOLO linavyoteseka😂😂😂
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 8 сағат бұрын
Maabadi maabadi anaonekana ni mchezaji mzuri sana
@damianmcba9525
@damianmcba9525 9 сағат бұрын
Mshery Ajitathmin huyu khomeny kipa mzuri
@EmanuelyMalugu
@EmanuelyMalugu 9 сағат бұрын
Angalia mpira unavyo chezeka si lawama tu 😢😢😮😮😅😅😅😊😊
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 8 сағат бұрын
Hili ni clear goal
@AminaTanzania
@AminaTanzania 8 сағат бұрын
Yanga wazazi wenu ni baba na mama
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 7 сағат бұрын
Ni kweli ni offside ni makosa ya kibendera. Ila gem yenu ni uongo hatukubebwa ninyi ndo mlibebwa na mkashindwa kutumia mbeleko mfano nafasi aliyopata ateba ilikuwa offside, dube alivutwa razak alistahili nyekundu, jana mmecheza na Namungo, Namungo wamenyimwa penalty kipindi cha kwanza. Makosa muwe mnaangalia na kwenu pia, dodoma mlibebwa penalty, musonda alifanyiwa faulo na camara ila mnaangalia diving za kibu na kusema penalty. 😂😂😂😂😂😂
@egnopokela5089
@egnopokela5089 6 сағат бұрын
Ila baleke mwiziiii
@AminaTanzania
@AminaTanzania 8 сағат бұрын
Makolo mpo nyuma yetuu hata musemeje midomo niyenu sisi tunachanja mbugatuu ikibidi tuwapinge na supana mpaka myookee
@TeddyElisha
@TeddyElisha 8 сағат бұрын
Hamna maajabu nyie endeleeni kuhonga Marefa ili mshinde kila xiku kwakubebwa
@cristamelahashimu3679
@cristamelahashimu3679 7 сағат бұрын
Kama wanahongeka si muhonge na nyie??!! Kwa tatizo liko wapi? Tuhonge wote 😂
@josephgalandu128
@josephgalandu128 7 сағат бұрын
Kwahio nyie hamna hela ya kuhonga!??😂😂😂
@tatitati-h5r
@tatitati-h5r 6 сағат бұрын
HELA WATAPATA WAPI, WAMECHOKA MBAYA KABISA, SI UMEONA JENGO LAO WAMEKODISHA KWA WATENGENEZA SIMUHADI ILE OFISI YA MWENYEKITI
@Nicodemashangi-z3o
@Nicodemashangi-z3o 8 сағат бұрын
Endeleeni kubebwa mwisho wenu Iko karibu
@RamadhaniSalumu-i5h
@RamadhaniSalumu-i5h 9 сағат бұрын
Yanga bado haijawa sawa kwenye kufunga wanapoteza nafas xnaaa
@GeofreyMwafinga
@GeofreyMwafinga 7 сағат бұрын
kwan Simba na costal ilikuwaje? game y Simba vs cost Simba alibebwa alpewa penalty y uwongo pia refa almalza mpira tofaut na utaratib akihofia Simba kufungwa goal la 3,,, ko Simba alianza kubebwa yy,, dhid y cost,,, na Leo kabebwa yanga ko wote ni wanyanyanyi na team zote kubwa Simba yanga azam singida black stars Zina nunua match ko achen kujilalamisha nyie wote ni wambeleko tu
@IreneMerchades
@IreneMerchades 8 сағат бұрын
Utoppole wanapoteana xanaaaa
@PetroKibasa
@PetroKibasa 9 сағат бұрын
Yanga mnabebwa sana hata marefa wabovu tuuu
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 8 сағат бұрын
Hamjasema
@AZALIAMWAMBELA-t9f
@AZALIAMWAMBELA-t9f 8 сағат бұрын
Offside kabisa
@AnnaJayden-k4m
@AnnaJayden-k4m 8 сағат бұрын
Hamuoni ata aibu kigori kimoja nyoo😂 anagalieni kwa kaka zenu mjifunze
@RuthDaffa
@RuthDaffa 8 сағат бұрын
Atushindi magoal mengi sisi tushakuwa mabingwa tofauti na nyiee
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 8 сағат бұрын
Nyie mbona waliwatoa jasho mkaambulia point 1 tupishee tushachukua point 3 hayo mengine siyo shida zetu
@LucyChanga-e8c
@LucyChanga-e8c 8 сағат бұрын
Hawa nyie mlitoa droo,na mgefungwa sema refa alimaliza mpira chap
@rashidnzunda
@rashidnzunda 8 сағат бұрын
Of said gan japo wote mashabik
@OsianaKibona-k1t
@OsianaKibona-k1t 8 сағат бұрын
Simba tusiangauke yanga wancheza na marefa tu
@OnaryYohana
@OnaryYohana 7 сағат бұрын
😅😅😅😅mtajuta
@tatitati-h5r
@tatitati-h5r 6 сағат бұрын
YAANI! HAMJAONGEA BADO
@anordkimaro8200
@anordkimaro8200 9 сағат бұрын
Yangaaaaaaaqq🎉🎉🎉🎉🎉
@emanuelimabula9887
@emanuelimabula9887 9 сағат бұрын
Hapo kuna offside gani mbona wanabebwa hadi wanaboa sasa
@EdwardKyabon
@EdwardKyabon 8 сағат бұрын
Yaani me nasemea simba yetu ilinyimwa goli maana kibu alifunga kama baleke alivyofunga alaf baleke alizidi sana kibu alikuwa sawa na diara pamoja na jobu na pia aucho alikuwa golini
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 8 сағат бұрын
Poleni maan mnateseka
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 9 сағат бұрын
Huu uwanja wa Shekh Amri Abed ni uwanja m bovu sana. Yanga akichezaga huu uwanja anashindwa kutandaza ule mpira kampa kampa tena.
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 9 сағат бұрын
Libaya liuwanja
@GaudenciaMawallo-mm4gi
@GaudenciaMawallo-mm4gi 9 сағат бұрын
Yanga bingwa💚💚👍
@stanastana3199
@stanastana3199 9 сағат бұрын
Yanga inachukua bingwa mapema msimu huu
@malimahila9450
@malimahila9450 7 сағат бұрын
Yanga timu kubwa
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 10 сағат бұрын
Offside za Hawa marainzimen hivi inakuwaje????😂😂😂
@sophyodago5062
@sophyodago5062 7 сағат бұрын
Tusubirini CAF LEAGUES ndo mtajua yanga hawana team
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 7 сағат бұрын
Utasubiri sana Simba wana Timu ndo timu imeingia makundi na magoli 17 Utashangaa
@tatitati-h5r
@tatitati-h5r 6 сағат бұрын
KESHENI MKISUBIRI
@ShaabanHassan-p8m
@ShaabanHassan-p8m 7 сағат бұрын
Wanayanga acheni shobwe Angelina yenu
@mohdsaad2736
@mohdsaad2736 7 сағат бұрын
❤😊❤😊❤😊
@shallmolownicodem4734
@shallmolownicodem4734 9 сағат бұрын
Yanga bingwa 🎉😂❤
@anordkimaro8200
@anordkimaro8200 9 сағат бұрын
Hahahahahahha watu wa simba mtalalamika sana, iombeeni timu yenu, ushabiki wa hvyo hakuna...kuweni wazalendo. Kubalini kuwa yanga is the best team...wenzenu wanaingia wakiomba Mungu, nyie mnategemea mvua inyeshe. Asiyekubal kushindwa si mshindani
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 9 сағат бұрын
Mbona hata ilo goli clear offside 😂😂... Baleke anatokea nyuma kwa golikipa kwenda kugombea mpira unaogombewa na nyuma yake nakupeleka wavuni 😂... YANGA mtashinda Sana ligi ya Tanzania 🤦‍♂️🤦‍♂️.. Timu ya serikali
@goldmansun5859
@goldmansun5859 9 сағат бұрын
​@@rexgodwill7353mbona mliifunga azam offside zote,na dodoma jiji mbeleko,na yanga ngao ilikuwa mle nne, na coast mbeleko ilikuwa mle tatu, mechi saba moja au mbili tu mmetoka kihalal
@OmarSuleiman-o8o
@OmarSuleiman-o8o 9 сағат бұрын
​@@goldmansun5859at ww n simb ulitakiw juz ufungw 2
@goldmansun5859
@goldmansun5859 9 сағат бұрын
​@@rexgodwill7353kibu kafunga goal kama hilo hilo 😂
@abdillahhamisi3289
@abdillahhamisi3289 9 сағат бұрын
Nyie yanga hamna kitu mnashinda kwa upendeleo
@KelvinMkoma-x9z
@KelvinMkoma-x9z 6 сағат бұрын
Makolo.nyiee utaongea nin kwa yangaa
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 8 сағат бұрын
Offside kabisa hiyo
@OnaryYohana
@OnaryYohana 7 сағат бұрын
Unajua mpira kweli wewe
@tatitati-h5r
@tatitati-h5r 6 сағат бұрын
@@OnaryYohana BAADA YA KICHAPO TIMU NZIMA IMEGEUKA KUWA VAR😃
@Ibrahimshaibu-b2q
@Ibrahimshaibu-b2q 9 сағат бұрын
kwayanga hii mmmmh.. watasema
@AminaTanzania
@AminaTanzania 8 сағат бұрын
Makolo
@JoakimMarko
@JoakimMarko 9 сағат бұрын
Yanga mpila unaisha kila mechi kuna bahasha
@AthmaniBamvua-e9v
@AthmaniBamvua-e9v 9 сағат бұрын
Na bahashaa mwenyewe ni Young Africans 😳😳kubabaabakee
@GoodluckLesilwa-kq2ln
@GoodluckLesilwa-kq2ln 8 сағат бұрын
Mpira unaisha ila point zinaongezeka
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 6 сағат бұрын
Kuuliza sio ujinga kwani sikuhizi mpira wa kona kuna offside ? huo si mwenye kupata na apate offside mpira wa kona kweli ?
@EdwinDaudKimbulu
@EdwinDaudKimbulu 6 сағат бұрын
Mpira wa kurusha tu ndio hauna offside
@SophiaWanene
@SophiaWanene 6 сағат бұрын
Wote wa GSM ndomaana halamikii of cd tulishawajua ila caf hamna gsm
@rukaiyakondo5265
@rukaiyakondo5265 7 сағат бұрын
Kila mech mnafung kagol kamoja, na hata hako kamoja mnakoshinda kila mechi kana utata😂😂 laki timu inazungk mtandaoni ikijiita bingwa🤦eeh muwe mnaanglia na mechi z nje mjue maana halis y bingw
@elizabethvucentkabwa
@elizabethvucentkabwa 7 сағат бұрын
Kwakweli
@tatitati-h5r
@tatitati-h5r 7 сағат бұрын
za nje hazituhusu tunataka mechi na nyie panya road
@sarahsalum997
@sarahsalum997 6 сағат бұрын
ndo simba watajuta kwanini waliwauza na kuwaita wazee😂😂😂😂
@scopy0428
@scopy0428 6 сағат бұрын
Wachezaji wa Yanga wanakabiliwa na uchovu
@NSHIMIYIMANAXXX-t3i
@NSHIMIYIMANAXXX-t3i 9 сағат бұрын
💗💗💓💓🙆
@hamishasan7737
@hamishasan7737 7 сағат бұрын
Gsm anacheza na gsm
@karingtonisimwinga122
@karingtonisimwinga122 9 сағат бұрын
upumbavu tu
@Chikophehussein
@Chikophehussein 8 сағат бұрын
Hpo hkna league tna ytu macho2 mtabebwa mkifka kmataifa aibu
@emmanuellupiga
@emmanuellupiga 9 сағат бұрын
Huu uwanja sio poa wanautumia wa nn
@rashidmaulid7312
@rashidmaulid7312 10 сағат бұрын
Offside
@goldmansun5859
@goldmansun5859 9 сағат бұрын
Sio offside jifunze mpira
@OmarSuleiman-o8o
@OmarSuleiman-o8o 9 сағат бұрын
​@@goldmansun5859offside kwan hatuon unaon pek yko
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 9 сағат бұрын
Kama hujui mpira kaa kimya wewe
@OmarSuleiman-o8o
@OmarSuleiman-o8o 9 сағат бұрын
@@matrida.lunyilija5196 ach ushabik maandaz kwa sabab n yang wamept wao il wangepat coast sijui ungesemaj
@AnnaJayden-k4m
@AnnaJayden-k4m 8 сағат бұрын
@@goldmansun5859haha Poleni mpaka huruma jifunzeni kwa kaka zenu baadae mtanishukuru
@amanizo96
@amanizo96 9 сағат бұрын
Watu wame sakwa Leo nyuma mwiko wali tepet
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 8 сағат бұрын
Baada ya hapo walipoteza si ndio 😂😂😂
@anthonymilinga8696
@anthonymilinga8696 9 сағат бұрын
Yanga haina mpira wowote tutaijua vizuri club bingwa maana kule Kayoko hayupo.
@vedastusjimmy5158
@vedastusjimmy5158 9 сағат бұрын
Kwani klabu bingwa hatukuwepo mkawaita mamelodi wabovu😅
@econmirajifacts5411
@econmirajifacts5411 9 сағат бұрын
Yanga haina mpira mwenye mpira ni simba utabaki hivyo hivyo bwege wewe.
@greysonkisinda7390
@greysonkisinda7390 9 сағат бұрын
​@@vedastusjimmy5158panya road wanahangaika kutafta excuse ,na watatumia sehem zote kuongea😂
@econmirajifacts5411
@econmirajifacts5411 9 сағат бұрын
@@vedastusjimmy5158 ukamulize mamelody yanga nani atakwambiya
@AnnaJayden-k4m
@AnnaJayden-k4m 8 сағат бұрын
@@econmirajifacts5411pokea maua yako baba🎉
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 7 сағат бұрын
Uchezaji wa hivi vilabu vidogo ninkukamia tu na kuumiza wachezaji tu
@BashirAhmed-zb1zq
@BashirAhmed-zb1zq 10 сағат бұрын
Ilkuwa off
@mahadshekh398
@mahadshekh398 10 сағат бұрын
Ya Kibu na hili ni baba moja mama moja.Offside
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 9 сағат бұрын
Mbona mwaka jana ilikuwa chini ya mo na haijaifanya kitu yanga? Au napo walikuwa wanalinda udhamini wa nani?
@mahadshekh398
@mahadshekh398 9 сағат бұрын
@@elishakayagwa9371 Haijawahi kuwa chini ya Mo get your facts right.Coastal walianza kudhaminiwa na GSM tokea msimu uliopita.
@sultanmsolon8428
@sultanmsolon8428 10 сағат бұрын
Ni mwendo wa jamo jamo tu kikubwa nukta tuta
@ViraNgulula
@ViraNgulula 9 сағат бұрын
Nyie mademu wa yanga vp na nyie mnadhamiwa na Gsm ....maana kila siku yanga anawafunga wenye nembo ya gsm na nyie vichwa maji mnayo nembo iyo ya mme wenu
@estervumilia7974
@estervumilia7974 9 сағат бұрын
Kumbe na Simba ana nembo hiyo
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 8 сағат бұрын
Hata Simba mademu wa Yanga au unajisahaulisha tulichowafanyia
@DEVISMOMO
@DEVISMOMO 10 сағат бұрын
Mwaka huu mpk waseme.
@iddihamisiharuna8261
@iddihamisiharuna8261 10 сағат бұрын
COAST UNION Watapiga nje ili kulinda udhamini wa GSM. Lakin wangefunga magoli mengi😅😅
@vedastusjimmy5158
@vedastusjimmy5158 9 сағат бұрын
Cry moreeee😂
@Dullah_tz
@Dullah_tz 9 сағат бұрын
Yanga bingwa
@EdwardKyabon
@EdwardKyabon 10 сағат бұрын
Sasa ili goli la baleke na la kibu utofauti ni nni hapo
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 10 сағат бұрын
Kibu n mchezaji wa klabu ya Shirikisho na Baleke n mchezaji wa klabu ya mabingwa, goli la Kibu n sawa na goli aliloshinda mchezaji wa coastal apo, Wale Kenge tushawashona mechi 4 mfululizo na bado hawajasema😅
@edwardmwacha
@edwardmwacha 9 сағат бұрын
Tofauti alie toa assist n mpinzan na sio mchezaj wa yanga simle and clear 😅😅
@seciliamchalo5627
@seciliamchalo5627 8 сағат бұрын
​@@abdulmohd6880😂😂😂
@Yassin-z6o
@Yassin-z6o 9 сағат бұрын
Tunashinda mpaka kwenye viwanja vibovu. Hiyo ndiyo yanga. Nyie mbumbumbu endeleeni kulalamika.
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 9 сағат бұрын
Una ubovu gani uwanja? Pitch? Majukwaa?
@AnnaJayden-k4m
@AnnaJayden-k4m 8 сағат бұрын
Pole sana 😂
@andrewpaul8147
@andrewpaul8147 9 сағат бұрын
Mwendowa kichapo tu
@official_mr_bery
@official_mr_bery 9 сағат бұрын
𝚆𝚊𝚓𝚒𝚗𝚐𝚊 𝚗𝚢𝚒𝚎𝚎 .. 𝚖𝚗𝚊𝚋𝚞𝚝𝚞𝚞 𝚋𝚞𝚝𝚞𝚊𝚊 𝚝𝚞𝚞 𝚋𝚒𝚕𝚊 𝚑𝚊𝚝𝚊 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚝𝚞𝚕𝚒𝚊𝚊
@OsianaKibona-k1t
@OsianaKibona-k1t 8 сағат бұрын
Simba tusiangauke yanga wancheza na marefa tu
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
ЗНАЛИ? ТОЛЬКО ОАЭ 🤫
00:13
Сам себе сушист
Рет қаралды 3 МЛН
GB 64 AWAKA KWA HASIRA YANGA WAMEBEBWA, COASTAL UNION WAMENYIMWA GOLI
12:33
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47