Baadhi ya wazazi wamekuwa wakipata changamoto ya aina gani ya chakula cha kumpatia mtoto mwenye umri wa miaka miwili mpaka mitano. Dkt.Elizabeth Lyimo, anaelezea namna bora ya kufanya.
Пікірлер: 19
@sarahluzangi856 жыл бұрын
Hongera kwa somo zuri. Ingependeza zaidi hiyo elimu ya picha ikawa ya watanzania kuonyesha uhalisia
@sashercarlos77875 жыл бұрын
Sarah Luzangi sawasawa kabsaaaaaaa
@dianamasawe39306 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri dada
@user-jf8qt6rp9p5 ай бұрын
Jamani mimwanangu nimvivu kula anamiaka sita lakini akiona chakula anasema anausingizi
@PeninaJoseph-rg7nxАй бұрын
Umi wa miaka mitano mtto anatakiwa awe na uzito kias gani?
@cillyajoachimchuwa7432 Жыл бұрын
ASANTE SANA DADA NIMEJIFUNZA VYEMA 🙏
@benesiusbenedicto22952 жыл бұрын
Docta shukulan Sana Ila nataka nijue zaidi Mimi mtoto wangu anamiaka 4 mala nyingi anakuwa atoka jasho Sana mala kwa mala ususani akilala hat mchana nipe ushauli docita
@leilahmohamed22255 жыл бұрын
Wangu mvivu kula jamani hadi Nawaza nimpe dawa gani cjui
@wildflour209 Жыл бұрын
Lakini mbona mnapenda kuwatumia SANA watu weupe? Kwani hapa kwetu hakuna watoto?
@anatholiamsuri77422 жыл бұрын
Nimependa sana elimu hii
@euzebiayotham64592 жыл бұрын
Asante Sana doctor Mimi mtoto wangu Mara akira cha chakula Mara anaanza kutapika nahatakama amesha meza anatapika
@venantmarko48996 жыл бұрын
somo ni zulisana asante muandaji
@rahmaswaleh70735 жыл бұрын
Docta Elizabeth naomba no yako maana mm ninashida
@simonhanno81936 жыл бұрын
Asante kwa maelezo mazuri, natamani nipate namba yako ya simu please
@estherlushinta99565 жыл бұрын
nice
@hellenjared83786 жыл бұрын
Dr.Elizabeth naomba namba yako plz 0719436995
@brigitamsunga69615 жыл бұрын
Dr Eliza naomb unisaidie namba yako nahitaji unisaidie 0766587281.