Mm wawili wamenisaliti wakwanza baba wa Binti wangi mwengi ni WA pili amechaguwa dada angu inauma sana😔💔
@AlliyKhamiss8 ай бұрын
Mashallah madam nimekukubali uko vizuri safii sana Allah akubark.
@roiyajuma9709Ай бұрын
🌺🌺🌺🌺mashaa Allah maua yako ukhty
@AzinatJuma8 ай бұрын
Allah akuhifadhi sana my love 💓
@badalichauchau69833 күн бұрын
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh
@FatoomaFatooma-h8s25 күн бұрын
Allah akuhifiz nakupenda Sana ❤kwajili ya allah 🙏
@LovelyBassetHound-ku1wx25 күн бұрын
Wangu alipoteza heshima na nilivyokuwa namuuliza ananiambia et namkalia niliondoka na alishaoa mara tatu ila alinichosha tuu awe tuu na maisha mema
@zulekhaa68178 ай бұрын
Dini yetu haijaacha kitu, kuhusu maswala y ndoa imeelea kwa kina zaidi. Tangu mtu anataka kuposa, hatua zimetajwa mpaka kwenye mifarakano mpaka ikifikia kuachana n baada ya kuachana, Utazungumza vipi suala hili kwa kutumia elimi y dunia au akili tu, hapo ndipo tunapo feli Baada ya kuelimishana inapelekea kupotezana.
@AsminEmmanuel15 күн бұрын
Mimi nilimfumania mume nichoambulia nikipigo halafu akafanya kama kahalisha hili jambo na na akaharibu mambo mengi ila nimezaa nae najikuta nashindwa kusamehe kwakuwa sijawahi kumsaliti linaniuma sana na wazazi wake wanamsaidia. Naomba ushauri dada
@ZeinabSwabir-h3p8 ай бұрын
Waogea maneno ya hekma sanaa
@ashrafissa7788 ай бұрын
Asalam alykm warahmtullah wabarakatuh Dada yetu Leyla shukran kwaushauli wako wamesema vibaya mbona hawafundishi kazi yao kutukana
@kazungukakiyo8 ай бұрын
Nakupongeza saana mm mukenya, mpwani......
@zayshabani56648 ай бұрын
Allah akulipe
@badalichauchau69833 күн бұрын
Ngumu kumeza hiyo
@Fear_Allah39411 күн бұрын
Kwani Allah ameeka msaliti/mzinifu alooa afanywe nn? Apigwe mawe mpaka kufa ssa Allah hakufikiria wtto itakuaje? Hii kujipangia na kutokumuamini kua Allah ni mueza wa kila jambo na ndio mwenye kueka wepesi penye mazito ndio inayofanya w’me wamekua wazinzi kupita kiasi. Unamfumania unadai talaka hataki kutoa unaendelea na maisha yako na Allah atakufanyia wepesi. Kwa sbbu kiisilam huyo anakua ni mfu.
@asmaafamau83078 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah
@naharhaji6398 ай бұрын
Asante sana madam yaan mm nlijua nikikaa kimya t nd ataelewa lkn kumbe apana ntajitahid nimwambie kwanza ndipo nikae kimya
@aboubakarjimmy546527 күн бұрын
Assalam alaikum wa Rahmatullahi wa Barakaatuh. Apo mwanzo mlituonyesha baadhi ya Dali zikidhihirika kwa upande wa mume ima wa mke ikatosha kushtukiya kuwa mwenzi wake Kamsaliti. Sasa apa imefikiwa kipengele cha kushika uwamuzi baada ya kusalitiwa. Naona umejihusisha saana na Hatuwa aweza zikamata mwanamke baada ya kusalitiwa na mumewe. Zipi sasa Mojawapo mwa Hatuwa Aweza zikamata Mume baada ya kusalitiwa na Mkewe ???
@ARNOLDKARISA-fs3ht8 ай бұрын
shukran hata mie nmepata kisomo hapa
@TaarabChannel8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@sumayaishengoma4543Ай бұрын
Duh.. sielewi kabisaaaaa
@faudhiasaidi36698 ай бұрын
Kuishi na mzinifu ni kutafuta magonjwa
@alawimohd7 ай бұрын
Tena magonjwa ya moyo na magonjwa ya ukimwi na kaswende
@faudhiasaidi36697 ай бұрын
@@alawimohd Sana
@MariamObote2 ай бұрын
Uyu mama anaongea anajimaliza yameshamkuta kweli?
@JumaNgasinda8 ай бұрын
Kiukweri dada unazungumza vizuri ,lakini jambo la ndoa ni jambo la kihisia na kimwili na sio jambo la kiroho ,na kesi za ndoa sio kesi za kupeleka kwa baba au mama ,muhimu ni wanandoa ni muhimu kwa wanandoa kuelekezwa namna ya kuboresha ndoa zetu ,na bila ya kusahau tukumbuke ktk mahusiano wa kwanza kupeleka kesi nje ndio mkosa ,muhimu mtu akikukosea ww lenga sababu ,kwanini amekusality huenda ww ndio umemfanya mwenzio akusaliti.tukumbuke daima ndoa ni jambo linalotakiwa kuendesha kiakili na kihisia ,tukizingatia hapo tutaishi vizuri ktk mahusiano ya kijamii na ndoa pia ,tukumbuke daima ndoa sio jambo la kiroho.asilimia 99 kesi za ndoa zikipelekwa kwa watu huvunjika.tuwe makini kuishi mtu ni kujitolea muhanga .
@KuvunaGonda-l4f8 ай бұрын
Umesema kweli daa
@ChukchukName2 ай бұрын
Mashaallah
@a.8568 ай бұрын
Jazakallah khayran
@TaarabChannel8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@FarhanahannanaHassanahАй бұрын
@@TaarabChannelwatu wanaangalia na kisikiliza mambo mema Inashawishi channel yako waone mambo ya laana huogopi muumba wako Human haya hujui vibaya Sheytwani unampa cheo
@FatumaMuzamil4 ай бұрын
Dada mm nimefumania kiukwel sikufanya kitu niliamua kuondoka na nikawaacha na mambo yao,alipo rud sikumwambia kitu ila dada haluwa na haha
@IbrahimSalumu-r6l8 ай бұрын
Jamn kma muislam unazijua hukum z ndoa n sheria zake pamoja n hukum y mzinifu alieoa n ambae hajaoa huwezibi kulumbana juu y hili jambo wasie n elim n hilo jambo wanakuaga nwachambuz wazur n wabishi sana nadhani mwenye elim n haya hawezikua mwenye kupinga zaidi kuelekeza kw busara n hekima mwenye kuelewa falhamndulilah
@muridundhikri8 ай бұрын
Katika uislamu ukifumania kwa ushahidi jambo linalopewa kipaumbele ni kuacha
@abdullahsaid40727 ай бұрын
Aslm aleikum dada nmekuelewa ila mm Kama mwanaume hapa umechemka sana na nahisi wanawake wakiiskia hii habari yako bc talaka zitaongezeka Sababu mm Kama mwanaume sifuati kupendwa na mwanamke Mm nataka mke anaenikubali sana katika maisha hasa katika kua kiongozi wa family kuwa provider kulikubali jasho langu katika utafutaji na kuifurahisha family pia Nafuata wema wa mke na ukarimu wake kwangu Kuniheshimu pia Hayo mengine ya kwako yatazalisha ushindani na yatamfanya aone mm anaweza kunidhibiti kwa adhabu na mwanaume ukishindana nae ndio unamfanya azidishe anachokufanyia Na unachomnyima atarudi kwengine atakipata kwa mapana So hamna dawa hapa kwa mwanaume tafuta nyengine au tuulize cc jinsi YETU tutakwambia
@hawamohamed55842 ай бұрын
Kuacha uzinz aaaah
@FatoomaFatooma-h8s25 күн бұрын
Shukuran San mama
@hidayamanda-gk7nf2 ай бұрын
❤❤❤
@NasraMohamedi-e8m8 ай бұрын
Shukran sana
@AbimeleckRichard-hy1mw8 ай бұрын
We wajaze ujinga, wakiufuata 100% watjijua
@fatmakombo97938 ай бұрын
Shukran my dear sister leyla ❤
@TaarabChannel8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@kazungukakiyo8 ай бұрын
@@TaarabChannel ,kwani unalipi??faida ya Akhera au hasara ya Moto
Hamnaga heri mtu anajitoa kwakile alichonacho atuelekeze nyie wasomi mpo kimya kukosoa2
@TaarabChannel8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@NasraMohamedi-e8m8 ай бұрын
Yaan comments usitegemee chanya tu wengine ni wabishi waasili,,but naamini hazitomyumbisha mfundishaji
@ContentSmartphone-rq6po8 ай бұрын
Tatizo la wanawake wengi mnatuhitaji zaidi wanaume kuliko mahitaji ya wanaume huo ndo ukweli
@RosyKaemdin7 ай бұрын
😂😂😂😂 wengine wanafikia hatua had kuoa wanaume ndo Kila kitu kwao Yan mtu anaona huyo mwanaume ndo familia ya pekee aliyonayo utafikir alipotoka hakua na familia.. waswahil wanasema anaekulisha ndo huyo huyo atakaekushindisha njaa
@nasramusaro8 ай бұрын
Lakini hapa unataja usaliti na pia unataja uoaji hii imekaaje? Na pia dini imeruhusu wake mpaka wanne
@EgallSamsam8 ай бұрын
Mi naona bora nikimfumania naenda muita Imamu namfungia ndoa kwani sitaki usinzi iliakome kuzini
@mamii79358 ай бұрын
Msaliti ni mume au mke alie kwenye ndoa Kisha akachepuka ndo "usaliti"
@TaarabChannel8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@TaarabChannel8 ай бұрын
@@EgallSamsamPitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@charleslupenza38798 ай бұрын
Kimsingi sijapaona pahala Laila Alienda TOFAUTI na misingi ya UISLAM. LAILA ANAELIMISHI NA KUSHAURI. TUWACHE ATUMIE KIPAJI CHAKE TUSIMKATISHE TAMAA NAFASI HIYO HAIPO. BINADAMU NYIE HAPANA NA NIKISEMA ROHO YA HUSUDA HIYO SIKOSEI. MWACHENI LAILA
@swalehsalim55698 ай бұрын
Kwani mwaowana nyinyi twaona wengi wamewekana tuu
@MariamAlly-hk7io2 ай бұрын
Kwa I hatujui dini Wajua wewe yu
@AkitakaHuwa8 ай бұрын
Hapana dada kuomba taraka ni haramu
@ZagazagaTanga8 ай бұрын
Yawesekana wanawake ndio vichaa ndio wanaharibu familia mara nyingi undani wamambo yamejificha je mwanamke kimfumania inakuwaje sema unajaribu kusema wanaostahiki ninani nanini cha kuomua hadisi katika ndoa sio kweli wanawake ndio waharibifu wafamilia
@TaarabChannel8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@zulekhaa68178 ай бұрын
Mtu unatakiwa usome kwanza kwamza ndio usomeshe, usiingilie mambo ya dini km hukujui, dini inapatikanwa kwa kusoma n sio kutumia akili. Tudikurupuke tu haswa sisi wanawake, tunatakiwa tujistiri n tusijianike, m Mfano himu mitandaoni
@AkitakaHuwa8 ай бұрын
Dada umesimama kama muubili wa kiisilam lakini mamemo yako hayana hata aya wala hadithi yaani unatoa mawaidha kulingana na maono yako na mitazamo yako mmmmmm jamani
@jamilakhamisshaaban4752Ай бұрын
Huyu mwana saikolojia sio muhubiri wa kidini kwa undani
@AkitakaHuwaАй бұрын
Ukiangalia hapo chini nilimwambia kuomba taraka ni haram sikatai ukisemacho lakini tuwaangalie wale wanasekorojia wa kikiristo kama akina Joel nanauka huwezi kuona anaruhusu kitu ambacho kimekatazwa na dini yake bali mada yake inakuwa inaendana na mafunzo ya kikiristo lakini sisi kwa wanasekorojia wa kiislamu hawalindi mipaka ya dini yao
@HadiaKhamis-bs9px20 күн бұрын
Huyu ni psychologist sio mhadhiri, jua kutofautisha
@HanifaJuma-c9t8 ай бұрын
Swadka
@zulekhaa68178 ай бұрын
Dada yangu nakushauri kasome dini, kwa sababu umeelezea vitu vinaenda kinyume kabisa na dini. Km mtu hujui bora nyamaza na jikubalishe kia hujui ili ukajifunze, Na sio ukajiona unajua kwa udhoefu wako ukapotosha watu. Mwisho Tuma muomba Allah atuongoze sote na atujaalie elimu yenye manufaa.
@nuruhassan97078 ай бұрын
Naomba unukuu point moja aloieleza inayoenda kinyume na Dini?Niko pale nasubiri jibu lako
@zulekhaa68178 ай бұрын
@@nuruhassan9707 Mwanamke haruhusiwi kumnyima mumewe tendo la ndoa, Mtume swalallahu alyhi wassalm Amesema mwamke atakae itwa n mumewe kitandani kumtakata kufanya nae tendo la ndoa halafu mke akamkatalia, basi hulaaniwa na malaika usika mzima.
@nuruhassan97078 ай бұрын
@@zulekhaa6817 Soma uelewe,usikariri,unajua moja ya mambo yanayoweza Fanya mwanamke ajivue Ndoa?Jibu hilo afu ntakuelewesha namna alichosema madam kinavyooana na sheria ya kiislam
@zulekhaa68178 ай бұрын
@@nuruhassan9707 Mtu akisema kweli anambiwa anakariri. Mm sishindani, na mlengwa sio ww, Ww unataka kuongea yako ungea Ila usihalalishe lililo haramu. ,
@JumaNgasinda8 ай бұрын
Ndoa ni jambo la kimwili na akili ni muhimu zaidi kuwapelekea wataalam ndoa mean wanasaikolojia lakin sio kuwapelekea watu wa kiroho ,hapo kuferi lazima.twaambiwa hivi kuishi na mtu inabidi uishi nae alivyo ,ila kumpenda mtu inabidi umpende ulivyo.so hauwezi kumpenda mtu alivyo utaferi ,maana watu huwa tunabadilika utamkataa,so ndoa ni jambo la akili ,tuwe makini na mafundisho munayo tupa
@SelemaniJuma-f9l8 ай бұрын
Huyu mwnamke hajielewi anaongea kufuru kumbe mtume wake ni kichaa ipi hukumu hii mpaka muumba wake anamtoa akili
@kazungukakiyo8 ай бұрын
Wapi kakufuru eleza ,,kwani kichaaa si niugonjwa tuu,,, au kamunasbisha wapi na muumba wetu. Una FAA upelekwe muhimbili.
Mie naona Madam Leila yupo vizuri tu. Kwa kuwa anachotoa ni Ushauri Kwa jamii nzima (waisramu na wasio waisramu) M/Mungu akubariki Sister. Japo muda mfupi tangu nimeanza kukufatilia lakini naona manufaa makubwa Kwa jamii itakayochua Ushauri wako.