Akikusaliti Fanya mambo haya matatu - Madam Lailah Aboubakar

  Рет қаралды 43,757

Kalamutz

Kalamutz

Күн бұрын

Пікірлер: 77
@HalimaHussen-o6z
@HalimaHussen-o6z 7 ай бұрын
Mm wawili wamenisaliti wakwanza baba wa Binti wangi mwengi ni WA pili amechaguwa dada angu inauma sana😔💔
@AlliyKhamiss
@AlliyKhamiss 8 ай бұрын
Mashallah madam nimekukubali uko vizuri safii sana Allah akubark.
@roiyajuma9709
@roiyajuma9709 Ай бұрын
🌺🌺🌺🌺mashaa Allah maua yako ukhty
@AzinatJuma
@AzinatJuma 8 ай бұрын
Allah akuhifadhi sana my love 💓
@badalichauchau6983
@badalichauchau6983 3 күн бұрын
Assalam aleikum warahmatullahi wabarakatuh
@FatoomaFatooma-h8s
@FatoomaFatooma-h8s 25 күн бұрын
Allah akuhifiz nakupenda Sana ❤kwajili ya allah 🙏
@LovelyBassetHound-ku1wx
@LovelyBassetHound-ku1wx 25 күн бұрын
Wangu alipoteza heshima na nilivyokuwa namuuliza ananiambia et namkalia niliondoka na alishaoa mara tatu ila alinichosha tuu awe tuu na maisha mema
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 8 ай бұрын
Dini yetu haijaacha kitu, kuhusu maswala y ndoa imeelea kwa kina zaidi. Tangu mtu anataka kuposa, hatua zimetajwa mpaka kwenye mifarakano mpaka ikifikia kuachana n baada ya kuachana, Utazungumza vipi suala hili kwa kutumia elimi y dunia au akili tu, hapo ndipo tunapo feli Baada ya kuelimishana inapelekea kupotezana.
@AsminEmmanuel
@AsminEmmanuel 15 күн бұрын
Mimi nilimfumania mume nichoambulia nikipigo halafu akafanya kama kahalisha hili jambo na na akaharibu mambo mengi ila nimezaa nae najikuta nashindwa kusamehe kwakuwa sijawahi kumsaliti linaniuma sana na wazazi wake wanamsaidia. Naomba ushauri dada
@ZeinabSwabir-h3p
@ZeinabSwabir-h3p 8 ай бұрын
Waogea maneno ya hekma sanaa
@ashrafissa778
@ashrafissa778 8 ай бұрын
Asalam alykm warahmtullah wabarakatuh Dada yetu Leyla shukran kwaushauli wako wamesema vibaya mbona hawafundishi kazi yao kutukana
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo 8 ай бұрын
Nakupongeza saana mm mukenya, mpwani......
@zayshabani5664
@zayshabani5664 8 ай бұрын
Allah akulipe
@badalichauchau6983
@badalichauchau6983 3 күн бұрын
Ngumu kumeza hiyo
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 11 күн бұрын
Kwani Allah ameeka msaliti/mzinifu alooa afanywe nn? Apigwe mawe mpaka kufa ssa Allah hakufikiria wtto itakuaje? Hii kujipangia na kutokumuamini kua Allah ni mueza wa kila jambo na ndio mwenye kueka wepesi penye mazito ndio inayofanya w’me wamekua wazinzi kupita kiasi. Unamfumania unadai talaka hataki kutoa unaendelea na maisha yako na Allah atakufanyia wepesi. Kwa sbbu kiisilam huyo anakua ni mfu.
@asmaafamau8307
@asmaafamau8307 8 ай бұрын
Mashaallah tabarakallah
@naharhaji639
@naharhaji639 8 ай бұрын
Asante sana madam yaan mm nlijua nikikaa kimya t nd ataelewa lkn kumbe apana ntajitahid nimwambie kwanza ndipo nikae kimya
@aboubakarjimmy5465
@aboubakarjimmy5465 27 күн бұрын
Assalam alaikum wa Rahmatullahi wa Barakaatuh. Apo mwanzo mlituonyesha baadhi ya Dali zikidhihirika kwa upande wa mume ima wa mke ikatosha kushtukiya kuwa mwenzi wake Kamsaliti. Sasa apa imefikiwa kipengele cha kushika uwamuzi baada ya kusalitiwa. Naona umejihusisha saana na Hatuwa aweza zikamata mwanamke baada ya kusalitiwa na mumewe. Zipi sasa Mojawapo mwa Hatuwa Aweza zikamata Mume baada ya kusalitiwa na Mkewe ???
@ARNOLDKARISA-fs3ht
@ARNOLDKARISA-fs3ht 8 ай бұрын
shukran hata mie nmepata kisomo hapa
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Ай бұрын
Duh.. sielewi kabisaaaaa
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 8 ай бұрын
Kuishi na mzinifu ni kutafuta magonjwa
@alawimohd
@alawimohd 7 ай бұрын
Tena magonjwa ya moyo na magonjwa ya ukimwi na kaswende
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 7 ай бұрын
@@alawimohd Sana
@MariamObote
@MariamObote 2 ай бұрын
Uyu mama anaongea anajimaliza yameshamkuta kweli?
@JumaNgasinda
@JumaNgasinda 8 ай бұрын
Kiukweri dada unazungumza vizuri ,lakini jambo la ndoa ni jambo la kihisia na kimwili na sio jambo la kiroho ,na kesi za ndoa sio kesi za kupeleka kwa baba au mama ,muhimu ni wanandoa ni muhimu kwa wanandoa kuelekezwa namna ya kuboresha ndoa zetu ,na bila ya kusahau tukumbuke ktk mahusiano wa kwanza kupeleka kesi nje ndio mkosa ,muhimu mtu akikukosea ww lenga sababu ,kwanini amekusality huenda ww ndio umemfanya mwenzio akusaliti.tukumbuke daima ndoa ni jambo linalotakiwa kuendesha kiakili na kihisia ,tukizingatia hapo tutaishi vizuri ktk mahusiano ya kijamii na ndoa pia ,tukumbuke daima ndoa sio jambo la kiroho.asilimia 99 kesi za ndoa zikipelekwa kwa watu huvunjika.tuwe makini kuishi mtu ni kujitolea muhanga .
@KuvunaGonda-l4f
@KuvunaGonda-l4f 8 ай бұрын
Umesema kweli daa
@ChukchukName
@ChukchukName 2 ай бұрын
Mashaallah
@a.856
@a.856 8 ай бұрын
Jazakallah khayran
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@FarhanahannanaHassanah
@FarhanahannanaHassanah Ай бұрын
​@@TaarabChannelwatu wanaangalia na kisikiliza mambo mema Inashawishi channel yako waone mambo ya laana huogopi muumba wako Human haya hujui vibaya Sheytwani unampa cheo
@FatumaMuzamil
@FatumaMuzamil 4 ай бұрын
Dada mm nimefumania kiukwel sikufanya kitu niliamua kuondoka na nikawaacha na mambo yao,alipo rud sikumwambia kitu ila dada haluwa na haha
@IbrahimSalumu-r6l
@IbrahimSalumu-r6l 8 ай бұрын
Jamn kma muislam unazijua hukum z ndoa n sheria zake pamoja n hukum y mzinifu alieoa n ambae hajaoa huwezibi kulumbana juu y hili jambo wasie n elim n hilo jambo wanakuaga nwachambuz wazur n wabishi sana nadhani mwenye elim n haya hawezikua mwenye kupinga zaidi kuelekeza kw busara n hekima mwenye kuelewa falhamndulilah
@muridundhikri
@muridundhikri 8 ай бұрын
Katika uislamu ukifumania kwa ushahidi jambo linalopewa kipaumbele ni kuacha
@abdullahsaid4072
@abdullahsaid4072 7 ай бұрын
Aslm aleikum dada nmekuelewa ila mm Kama mwanaume hapa umechemka sana na nahisi wanawake wakiiskia hii habari yako bc talaka zitaongezeka Sababu mm Kama mwanaume sifuati kupendwa na mwanamke Mm nataka mke anaenikubali sana katika maisha hasa katika kua kiongozi wa family kuwa provider kulikubali jasho langu katika utafutaji na kuifurahisha family pia Nafuata wema wa mke na ukarimu wake kwangu Kuniheshimu pia Hayo mengine ya kwako yatazalisha ushindani na yatamfanya aone mm anaweza kunidhibiti kwa adhabu na mwanaume ukishindana nae ndio unamfanya azidishe anachokufanyia Na unachomnyima atarudi kwengine atakipata kwa mapana So hamna dawa hapa kwa mwanaume tafuta nyengine au tuulize cc jinsi YETU tutakwambia
@hawamohamed5584
@hawamohamed5584 2 ай бұрын
Kuacha uzinz aaaah
@FatoomaFatooma-h8s
@FatoomaFatooma-h8s 25 күн бұрын
Shukuran San mama
@hidayamanda-gk7nf
@hidayamanda-gk7nf 2 ай бұрын
❤❤❤
@NasraMohamedi-e8m
@NasraMohamedi-e8m 8 ай бұрын
Shukran sana
@AbimeleckRichard-hy1mw
@AbimeleckRichard-hy1mw 8 ай бұрын
We wajaze ujinga, wakiufuata 100% watjijua
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 8 ай бұрын
Shukran my dear sister leyla ❤
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo 8 ай бұрын
@@TaarabChannel ,kwani unalipi??faida ya Akhera au hasara ya Moto
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
@@kazungukakiyo utayaangalia wewe sabasi mayubu usikucha aibu
@AmriAmri-hy6sg
@AmriAmri-hy6sg 8 ай бұрын
Hamnaga heri mtu anajitoa kwakile alichonacho atuelekeze nyie wasomi mpo kimya kukosoa2
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@NasraMohamedi-e8m
@NasraMohamedi-e8m 8 ай бұрын
Yaan comments usitegemee chanya tu wengine ni wabishi waasili,,but naamini hazitomyumbisha mfundishaji
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 8 ай бұрын
Tatizo la wanawake wengi mnatuhitaji zaidi wanaume kuliko mahitaji ya wanaume huo ndo ukweli
@RosyKaemdin
@RosyKaemdin 7 ай бұрын
😂😂😂😂 wengine wanafikia hatua had kuoa wanaume ndo Kila kitu kwao Yan mtu anaona huyo mwanaume ndo familia ya pekee aliyonayo utafikir alipotoka hakua na familia.. waswahil wanasema anaekulisha ndo huyo huyo atakaekushindisha njaa
@nasramusaro
@nasramusaro 8 ай бұрын
Lakini hapa unataja usaliti na pia unataja uoaji hii imekaaje? Na pia dini imeruhusu wake mpaka wanne
@EgallSamsam
@EgallSamsam 8 ай бұрын
Mi naona bora nikimfumania naenda muita Imamu namfungia ndoa kwani sitaki usinzi iliakome kuzini
@mamii7935
@mamii7935 8 ай бұрын
Msaliti ni mume au mke alie kwenye ndoa Kisha akachepuka ndo "usaliti"
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
​@@EgallSamsamPitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@charleslupenza3879
@charleslupenza3879 8 ай бұрын
Kimsingi sijapaona pahala Laila Alienda TOFAUTI na misingi ya UISLAM. LAILA ANAELIMISHI NA KUSHAURI. TUWACHE ATUMIE KIPAJI CHAKE TUSIMKATISHE TAMAA NAFASI HIYO HAIPO. BINADAMU NYIE HAPANA NA NIKISEMA ROHO YA HUSUDA HIYO SIKOSEI. MWACHENI LAILA
@swalehsalim5569
@swalehsalim5569 8 ай бұрын
Kwani mwaowana nyinyi twaona wengi wamewekana tuu
@MariamAlly-hk7io
@MariamAlly-hk7io 2 ай бұрын
Kwa I hatujui dini Wajua wewe yu
@AkitakaHuwa
@AkitakaHuwa 8 ай бұрын
Hapana dada kuomba taraka ni haramu
@ZagazagaTanga
@ZagazagaTanga 8 ай бұрын
Yawesekana wanawake ndio vichaa ndio wanaharibu familia mara nyingi undani wamambo yamejificha je mwanamke kimfumania inakuwaje sema unajaribu kusema wanaostahiki ninani nanini cha kuomua hadisi katika ndoa sio kweli wanawake ndio waharibifu wafamilia
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
Pitieni na kwangu ka videos na shorts zakusisimua ❤❤❤
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 8 ай бұрын
Mtu unatakiwa usome kwanza kwamza ndio usomeshe, usiingilie mambo ya dini km hukujui, dini inapatikanwa kwa kusoma n sio kutumia akili. Tudikurupuke tu haswa sisi wanawake, tunatakiwa tujistiri n tusijianike, m Mfano himu mitandaoni
@AkitakaHuwa
@AkitakaHuwa 8 ай бұрын
Dada umesimama kama muubili wa kiisilam lakini mamemo yako hayana hata aya wala hadithi yaani unatoa mawaidha kulingana na maono yako na mitazamo yako mmmmmm jamani
@jamilakhamisshaaban4752
@jamilakhamisshaaban4752 Ай бұрын
Huyu mwana saikolojia sio muhubiri wa kidini kwa undani
@AkitakaHuwa
@AkitakaHuwa Ай бұрын
Ukiangalia hapo chini nilimwambia kuomba taraka ni haram sikatai ukisemacho lakini tuwaangalie wale wanasekorojia wa kikiristo kama akina Joel nanauka huwezi kuona anaruhusu kitu ambacho kimekatazwa na dini yake bali mada yake inakuwa inaendana na mafunzo ya kikiristo lakini sisi kwa wanasekorojia wa kiislamu hawalindi mipaka ya dini yao
@HadiaKhamis-bs9px
@HadiaKhamis-bs9px 20 күн бұрын
Huyu ni psychologist sio mhadhiri, jua kutofautisha
@HanifaJuma-c9t
@HanifaJuma-c9t 8 ай бұрын
Swadka
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 8 ай бұрын
Dada yangu nakushauri kasome dini, kwa sababu umeelezea vitu vinaenda kinyume kabisa na dini. Km mtu hujui bora nyamaza na jikubalishe kia hujui ili ukajifunze, Na sio ukajiona unajua kwa udhoefu wako ukapotosha watu. Mwisho Tuma muomba Allah atuongoze sote na atujaalie elimu yenye manufaa.
@nuruhassan9707
@nuruhassan9707 8 ай бұрын
Naomba unukuu point moja aloieleza inayoenda kinyume na Dini?Niko pale nasubiri jibu lako
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 8 ай бұрын
@@nuruhassan9707 Mwanamke haruhusiwi kumnyima mumewe tendo la ndoa, Mtume swalallahu alyhi wassalm Amesema mwamke atakae itwa n mumewe kitandani kumtakata kufanya nae tendo la ndoa halafu mke akamkatalia, basi hulaaniwa na malaika usika mzima.
@nuruhassan9707
@nuruhassan9707 8 ай бұрын
@@zulekhaa6817 Soma uelewe,usikariri,unajua moja ya mambo yanayoweza Fanya mwanamke ajivue Ndoa?Jibu hilo afu ntakuelewesha namna alichosema madam kinavyooana na sheria ya kiislam
@zulekhaa6817
@zulekhaa6817 8 ай бұрын
@@nuruhassan9707 Mtu akisema kweli anambiwa anakariri. Mm sishindani, na mlengwa sio ww, Ww unataka kuongea yako ungea Ila usihalalishe lililo haramu. ,
@JumaNgasinda
@JumaNgasinda 8 ай бұрын
Ndoa ni jambo la kimwili na akili ni muhimu zaidi kuwapelekea wataalam ndoa mean wanasaikolojia lakin sio kuwapelekea watu wa kiroho ,hapo kuferi lazima.twaambiwa hivi kuishi na mtu inabidi uishi nae alivyo ,ila kumpenda mtu inabidi umpende ulivyo.so hauwezi kumpenda mtu alivyo utaferi ,maana watu huwa tunabadilika utamkataa,so ndoa ni jambo la akili ,tuwe makini na mafundisho munayo tupa
@SelemaniJuma-f9l
@SelemaniJuma-f9l 8 ай бұрын
Huyu mwnamke hajielewi anaongea kufuru kumbe mtume wake ni kichaa ipi hukumu hii mpaka muumba wake anamtoa akili
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo 8 ай бұрын
Wapi kakufuru eleza ,,kwani kichaaa si niugonjwa tuu,,, au kamunasbisha wapi na muumba wetu. Una FAA upelekwe muhimbili.
@nuruhassan9707
@nuruhassan9707 8 ай бұрын
​@@kazungukakiyoAmekariri uyu mjinga,ulicho muuliza Hawezi kukujibu
@ibrahimmalabeja3692
@ibrahimmalabeja3692 8 ай бұрын
Mie naona Madam Leila yupo vizuri tu. Kwa kuwa anachotoa ni Ushauri Kwa jamii nzima (waisramu na wasio waisramu) M/Mungu akubariki Sister. Japo muda mfupi tangu nimeanza kukufatilia lakini naona manufaa makubwa Kwa jamii itakayochua Ushauri wako.
Mkeo akifanya haya muache - Leilah Aboubakar
13:14
Kalamutz
Рет қаралды 49 М.
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 9 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 15 МЛН
😜 #aminkavitaminka #aminokka #аминкавитаминка
00:14
Аминка Витаминка
Рет қаралды 1,4 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,6 МЛН
KAMA USHAAWAHI SALITIWA NA MUME AU MKE DAWA YAKE SIKILIZA HII
31:50
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 584 М.
KUMNYIMA HAKI YA NDOA NI UKATILI PIA (HUBBUL HALAL)
29:07
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 8 М.
SAIKOLOJIA YA MWANAMME
53:34
Elmi TV
Рет қаралды 42 М.
CHANGAMOTO YA UKAIDI KATIKA NDOA FULL
44:06
BUSATI ONLINE TV
Рет қаралды 1,7 М.
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 9 МЛН