Mabondia Said Mkola na Said Bwanga wamekutana ndani ya studio za Azam TV na kutunishiana misuli wenyewe kwa wenyewe huku kila mmoja akitamba kwa namna yake.
Пікірлер: 13
@Basagamp43 ай бұрын
Nakupenda Mkola ila Kwa Bwanga Umekwisha bro😅
@EbyakalaByagaluka3 ай бұрын
Mkola umeyakanyaga😢
@abduryjumbe74474 ай бұрын
Hahaha mkola kapotea mapema 😂😂😂
@FatimaFati-pu4lb3 ай бұрын
😂😂😂😂😂ameyakanyanga said mkola
@sirduliy1073 ай бұрын
Kwenye maneno mkola tushampiga sasa waukae tukampige na ulingon
@KhalfanSeleman3 ай бұрын
Bwangaa muto msimzalau bwanga moto chini
@MwazoaMwazoa3 ай бұрын
Mkola upunguze sana papara na usiweke akili yako kutegemea sana nguvu zako.Bali utumie Akili sana unacheza na bondia anaefikiria kufika mbali hivyo uwe makini sana