Karibu sana kijana, nimekuona kwenye mechi una talent kubwa sana , ukiongoze bidii utafika mbali sana. Mungu akupe afya njema
@claratango926224 күн бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@davismwape750024 күн бұрын
Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri
@EliasHassan922 күн бұрын
Karibu sana andambwile
@ezrageofrey966822 күн бұрын
your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚
@fazo-kl9fu24 күн бұрын
Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda
@maliadii482924 күн бұрын
Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri
@adamuayubumwendolwa772324 күн бұрын
Ni Andabwile sio Andambwile
@ceciliadaudi163224 күн бұрын
All the best champ 🎉🎉
@goodluckabdul731624 күн бұрын
Karibu sanaaaaa Aziz
@ayubhumakuya846624 күн бұрын
Ckaribu kamanda🎉🎉🎉
@DaudFulberth24 күн бұрын
Good💪💪💪💪💪💪
@NahlaRashed24 күн бұрын
Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂
@IsmailKipande-ss1ty24 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga
@RenatusKasinga24 күн бұрын
Nakubari kaka angu kibwana
@ramadhanimrungu580624 күн бұрын
Chief kingalu waukae
@Fine_boe_1124 күн бұрын
Young African champion of caf champions league 24/25 🔰
@LuckyTemu23 күн бұрын
Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤
@HusseinJumahussein-lf1xk24 күн бұрын
Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪
@amaniomar175524 күн бұрын
Karibu kijana
@emanuelyngoi444024 күн бұрын
Good ❤ yanga 🎉🎉🎉
@andersonbruno625523 күн бұрын
Chief baba...🔥🔰🇹🇿
@chollejr_24 күн бұрын
Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂
@filemonkwaja618124 күн бұрын
Yanga bingwa
@yusuphkimomwe427624 күн бұрын
Toa vitaulo baba,chief kingalu
@brandinamwakasendeka475624 күн бұрын
Am the first today
@EsterPeter-h9d24 күн бұрын
Yangaaaa tamuuu
@abdullatifuhashimu459423 күн бұрын
Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika
@SylvesterSafari-nf4fy24 күн бұрын
Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube
@MomadeMudimoz70-cs2ud24 күн бұрын
💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥
@StavoBella-pf6hu24 күн бұрын
Mwamba kutoka mbeya sas
@salumkitam696024 күн бұрын
Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo
@user-to9xw2mc9m24 күн бұрын
Karibu jangwani🎉azizo
@maliadii482924 күн бұрын
Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana
@PascaziaBenedict23 күн бұрын
Yanga oyeeeeee
@JordanKaunga22 күн бұрын
Mh unaoji vizul sana
@kisinza607724 күн бұрын
Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.
@user-zx9jd4jt8e24 күн бұрын
Gud signing
@user-ql2hc7zt6b24 күн бұрын
Muñgu mwema
@Chinaomary-rn3qf24 күн бұрын
Mmh
@samsonkomba000024 күн бұрын
N andabwile
@marymoshi57224 күн бұрын
❤
@QuilalaselemaneSaide24 күн бұрын
❤❤❤
@Samweldlemaanda23 күн бұрын
Kila la kher xana mwaang
@chollejr_24 күн бұрын
Rafu zmeongezeka😂😂😂
@DismasPhidason-vu6bt24 күн бұрын
Kwahiyo atuna jersey za mazoezi??
@user-hy3en6vk5f24 күн бұрын
Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔
@mamuwadomu844824 күн бұрын
Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae
@zeddymourice424924 күн бұрын
Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.
Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!
@chollejr_24 күн бұрын
Kibwana katoa wapi madevu
@saididuri351821 күн бұрын
ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.
@dastankhalifa567224 күн бұрын
Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake
@zakayomaendeleo24 күн бұрын
😊😊😊
@fatmasuleiman388523 күн бұрын
Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin
@YusuphLukindo-vi9ow24 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@proisolution716624 күн бұрын
NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.
@proisolution716624 күн бұрын
AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE