Hatuli ila tuna nenepa Asante viongozi mungu awazidishie
@djgaswamitulinga71853 ай бұрын
Nyuma ya dube akae chama kushoto pacome kulia aziz k
@RaphaeliAgustino3 ай бұрын
Tupe laha baba
@godsonmgisha55173 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Ndillehmalove3 ай бұрын
Pak waseme
@daudmoshi66233 ай бұрын
Yanga tafadhari jitahidini jezi ya chama ije ime printiwa jina lake ,, sio MTU akaprint mwnyewe apana bhana
@MauBonde3 ай бұрын
Ninachojiuliza ataingia kwenye mfumo wetu wa teamwork na sio ufather au kuridhika na mshahara.watoto wa jangwani daima mbele nyuma kwety mwiko...asije kuwa kama skudu makudubela.
@GabrielyMinde3 ай бұрын
Mi sisemi licha ya mateso ayaaa iyo ndio nyimbo pendwa yawale jamaa msimu unao kwenda kuanza 😂😂😂😂😂
@vicenttarimo22033 ай бұрын
Kaondoka chama kaja mutale mtoto mdogo miaka 22 kwa hiyo hakuna hasara zamu yenu kuchukua majina simba wanachukua vijana mbwembwe zitaisha kweli simba ina vipaji amefanya mazuri alipo kua simba malizieni uzee ujana wa simba
@LinuskalokolaNicolaus3 ай бұрын
Wahooo makoloal wanatetemeka jamn dah😂😂😂😂 yanga haoooooooo msimu huu makolo wataisoma namba😂😂😂 I love you yanga
@janiafaomaa51203 ай бұрын
alliy kamwe unafaya vizuri sana nduguyetu nasisi tukonawewe lakini kunamakosa yanafayika usikasirike kuhusu ndugu yetu jamayetu manji manji likuwa mukezaji wetu wazamani alitupa furaha sasa yeye ametagulia mbeleya haki hata siku 2 hazijapita wewe unaigiya mitaani kufaya furaha ya chama ugesubiri siku 3 chama yupo yanga ipo kwakweli sio vizuri sisi tupohuku marecani tulishagazwa kuona wewe ukomitani kwa furaha bada manji kufa
@ngwenyaflorence31933 ай бұрын
Jamani mayele arudi yanga yanga ilikuwa inatetema mpaka kanisani