Yanga mna Raha sana. Naweza kusema miongoni mwa watu wenye Raha duniani na Yanga mpo kwenye Top 10.🎉🎉🎉
@MosesTumusime-cz1dc3 ай бұрын
Kutoka Rwanda shabiki muziri wa Yanga kutoka utotoni jamani Jangwani tujiandae kutafuta ubingwa Tena mwaka ujao Kilala heri team yetu mungu mwema awe nasi
@MosesTumusime-cz1dc3 ай бұрын
Yaani Jangwani tuko zaidi team uwanjani tu tuko family ndani ya uwanjani na inje ya uwanja kbsa
@osmundmtavangu3 ай бұрын
Mpira ni burudani zaidi ya dk 90 za ndani ya uwanja. Hongereni sana viongozi vijana kwa ubunifu wa kiwango cha SGR.👏👏👏👏🤪🤪🤪
@MasterG-dc1tx3 ай бұрын
Hahahahaha wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuenjoy tu maana tunaweza viva timu yangu young Africans,asanteni washabiki wenzangu na uongozi wote,hatuna dogo,daima mbele mwiko nyuma
@SuhuurFarxaan3 ай бұрын
😂😂😂duuh ila yanga nangoja 10 za master ki na 39 za screen protector ntazila hizo
@ismailseleman29523 ай бұрын
Munguawajalie wotemlioletakeki
@SIMONHERMAN-qv2ln3 ай бұрын
Mpora wa Bongo bana...😢 Ndo maan wachezaj wa kigan wakja Huwa hawapasahau
Muuza cake kapata Fursa ya kutangaza biashara ya cake
@LucasMganga-f6l3 ай бұрын
Young bab lao
@saidmasengo79883 ай бұрын
CHAMA TUNAYE NA TUNARINGA NAYE🎉🎉🎉🎉
@moiseszacariasmoisesmoises3 ай бұрын
jamani mim naupenda sana uwongozi wa yanga,wana mfano wa kuigwa.ningependa kwetu Moçambique tuige tanzania,.😊 nawapenda sana yanga.
@allysaidlyambange45003 ай бұрын
Mpili alitakuongeza keki ale😂😂😂😂
@CasianMchalo3 ай бұрын
Nawashukul sana
@OlivaMHANDO3 ай бұрын
❤❤❤❤❤I Love it, umwaaaaaaa
@PhilomenaSteven-x9h3 ай бұрын
Nyie ndo mnafanya mambo yawe magumu km kamali je mtaficha wapi sura zenu
@PaschalHose3 ай бұрын
Afu nasikia mwakani KAPOMBE tutatambanae
@BakaryOmally3 ай бұрын
Nashauri tuwe na wimbo wa utambulisho wa timu yetu ambao utapigwa kabla na baada ya mechi utawapa hamasa wachezaji kupambania timu
@innocentntabanganyimana21113 ай бұрын
YANGA 💛💚 team tunaipenda
@HusseinAlly-zp7sb3 ай бұрын
Yanga daima🎉
@remidusmwanandenje-yy5gs3 ай бұрын
🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🤣🤣🤣🤣🤣
@EstherDouglas-c5w3 ай бұрын
ILike it🎉❤
@babycandycharles78163 ай бұрын
Hongereni Sana hayomambo msimbazi hayapo kwann wachezaji wasije yanga namnaiyo lazima kuonesha mapenzi kwa wachezaji
@terrence94773 ай бұрын
Mkianza msimu, nitaleta keki kwa Pacome, lazima msimu uanze kwa mbwembwe
@dittosanga33583 ай бұрын
Welcome friend chama to Young Africans
@aziziabeid60523 ай бұрын
Ku?
@Maryc2G3 ай бұрын
Mikeki kama yote 🧁🥮
@PhilomenaSteven-x9h3 ай бұрын
Punguzeni izo sifa mnaonekana washamba bana
@Sunshine02223 ай бұрын
Dah hii timu kubwa sana
@neemamollel69723 ай бұрын
Sisi ni zaidi ya familia
@JANE-jv4eq3 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@IsaahTz2 ай бұрын
Dar yanga Daima mbele nyumba mwiko,
@amanilupembe97883 ай бұрын
Ku. Be mzee mpiiili upo
@exautmwalukasa20923 ай бұрын
Nyie yanga nyie hizi ni sifa sasa yanga tam taman
@angonzamujunangoma87753 ай бұрын
💚💛🇹🇿
@officialchokod13043 ай бұрын
❤❤❤❤ 😂😂😂
@anithqpaul39233 ай бұрын
Hayawi ayawi sasa yamekuwa
@JasmineSelemani-c2w3 ай бұрын
jasmine wajina wangu asante
@AgenesMugema3 ай бұрын
Makombe yaendelee🙏🙏🙏🙏
@vicentsagudasheyi5643 ай бұрын
💛💚🖤
@PillyLushete2 ай бұрын
Kalibu yanga Haina njaaaaaa
@nicksonmlay5423 ай бұрын
Wananchi Wamefurahiiiii💚💚💚💚💚💚💚💚✅
@ramadhanmanyacolour52363 ай бұрын
The hevent cakes ofisi Jasmin
@ZuberiMaulid-s5d3 ай бұрын
❤
@planctv59613 ай бұрын
Yanga 🙌
@GodliverByarugaba3 ай бұрын
Matako yenu
@SanziNzige3 ай бұрын
Wanayanga NI washamba mpaka mwisho wa dunia.kwaakiri yenu chama ndiyosba?. na mabango mnabandika ya Nini Sasa mbona Simba chamba hakubandikiwa mabango?. Nyie kila kitu bango mmekuwa mademu?.na nyie hamna timu timu ya akina mwigulu!. Chama amekuja kubeba majinihayabebwi na watoto.na chama lazima Ana wa kwake hapo.mko hapa
@Abuu-gs1yi3 ай бұрын
Mpira ni furaha Sasa makasiliko ya nn
@MlingaSawack453 ай бұрын
Pole kolo kwa povu
@gracemtonga32633 ай бұрын
Kolo hutoooooooo😂😂😂😂😂😂
@BraisonIssack3 ай бұрын
Oya uko sahihi kila kitu bango wasenge
@SaidAlly-uh4qw3 ай бұрын
Yanga raha
@gastonfuraha3 ай бұрын
🔥🔥🔥
@MobileMobigo23 ай бұрын
Yanga
@ommyzubery83583 ай бұрын
Tusipitilize sana shangwe wana yanga kuna na wachezaji wetu wengine nao wasije kujiona kama nao hawana thamani kwani nao wametutoa mbali jamani inatosha hayo mapokezi yasije yakazidi mipaka huo ndio ushauri wangu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!
@law93king3 ай бұрын
kitu cha kawaida sana wote huu ni utani wa jadi tu hata wao tumewaheshimisha msimu mzima na tutaendelea kuwaheshimisha bila ubaguzi
@jumannemsengi21953 ай бұрын
Na pia nao walishawahi kufanya haya baaada ya kumchukua MORRISON tukaumia mpka JK akasema nasi tufanye kuwaibia sasa huu ndio mpango mzima 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
@law93king3 ай бұрын
@@jumannemsengi2195 yeah ni vitu vya kawaida tu hata wao wachezaji wanajua
@sylvestercameo62633 ай бұрын
Nao watandaliwa keki yao siku ya kufungua Kambi huko Avic Town!
@vi3ayo16223 ай бұрын
Kazi kulishana cake ila kuwalipa wachezaji madeni ya ...aaah
@daudimichael73383 ай бұрын
Mchezaji gani anadai?
@ZuberiMaulid-s5d3 ай бұрын
❤
@law93king3 ай бұрын
😂😂😂
@SelemaniIsmail-o4r2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@MariaMsuku3 ай бұрын
Mwamba waka dugu
@AnithaMussa-k2s3 ай бұрын
Usanii
@Abuu-gs1yi3 ай бұрын
Sawa msanii mwenzetu
@jumannemsengi21953 ай бұрын
Msaniii anajulikana "MO"😂😂😂😂😂😂
@MarwaChacha-d8z3 ай бұрын
Simb
@ramadhanmanyacolour52363 ай бұрын
Bosi wangu Jasmini Umenipa jukumu la kukutengenezea ofisi mpya hapa Temeke Stereo Bigbon karibu na mpaka tegemea matokeo mazuri kutoka kwetu
@marthageorge50433 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@amanizavala3 ай бұрын
Nimeamni utopolo wenye akili ni wawili tu
@FatumaShabani-mp9vt3 ай бұрын
Lia 😂😂😂😂😋😋🤭
@mirajiali39263 ай бұрын
Acha wivu kolo wewe hiyo ndio team ya wananchi
@SadamSarita-t7z3 ай бұрын
Utopilo wengi akili hakua
@FatmaRajab-ll8gw3 ай бұрын
Unateseka ukiwa wapi nikiletee panadol za kenya
@SadamSarita-t7z3 ай бұрын
Kwenye period yako niletee Panadol ukipona nikutafune