BABA MTAKATIFU AMEMTEUA PADRE ROMANUS MIHALI KUWA ASKOFU MPYA WA JIMBO KATOLIKI IRINGA

  Рет қаралды 8,800

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC

Күн бұрын

Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Пікірлер: 14
@LucianaMgwama
@LucianaMgwama 7 күн бұрын
Hongera sana Baba askofu Mungu akutangulie ktk utumishi wako kwake na kwa taifa lake pamoja sana kwa sala
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 4 күн бұрын
Hongera sana askofu mteule na pia hongera sana askofu mstaafu ulinipa kipaimara kihesa jimbon mwaka 2006
@MILTONIMAKOTHA-s9e
@MILTONIMAKOTHA-s9e 8 күн бұрын
Hongereni sana Jimbo katoliki la iringa, Mungu amuongoze mteule wenu wa daraja la uaskofu.
@ProphetM-c9o
@ProphetM-c9o 8 күн бұрын
Hongera sana Mhashamu, Ask. Tarcius Ngalalekumtwa. Ulitupa sacrament ya Kipaimara Mwaka 1993. Hongera sana na Mungu azidi kukulinda.
@Abelly-j4w
@Abelly-j4w 8 күн бұрын
Ahsante sana baba tarcisius kwa upendo wako mkuu tunakuombea afyq tele baba yetu❤
@sofiakile2164
@sofiakile2164 8 күн бұрын
Paroko wangu father Romanus miale hongera sana father
@greysonmatogo4662
@greysonmatogo4662 8 күн бұрын
Tutakumiss babu ngalale, hongera kwa utume uliotukuka, baba askofu mpya utume mwema hapo unyalukoloni.
@nerryabel7512
@nerryabel7512 8 күн бұрын
Askofu ngalalekumtwa ndiye aliyenipa ubarikio wa kipaimara mafinga.Apumzike kwa kweli,Mungu ambariki kwa utumishi wake baba askofu 🙏🙏
@andrewmwanjonde5144
@andrewmwanjonde5144 8 күн бұрын
Kanisa katoliki halina sakramenti ya ubarikio , labda kama ulikuwa unamasnisha komunyo ya kwanza
@nerryabel7512
@nerryabel7512 8 күн бұрын
@andrewmwanjonde5144 Am sorry ni kwamba alinipa sakramenti ya kipaimara .
@carmelnkiggi6300
@carmelnkiggi6300 7 күн бұрын
Asante Mungu kwa zawadi ya utumishi wa Askofu Ngalekumtwa ktk nafasi mbalimbali hata kabla ya kumteua kuwa Askofu ktk Jimbo la Iringa, alifanya kazi kwa bidii akitumia vipawa ulivyomjalia hata ukamteua kuwa Askofu. Ee Mungu, tunakuomba umjalie afya na amani mtumishi wako, ili aweze kufurahia matunda ya utumishi wake ktk kustahafu.
@fadhilikisusange8650
@fadhilikisusange8650 8 күн бұрын
Kwakweli amedumu kwa muda mrefu, nikikumbuka ndiye aliyenipa Kipaimara. miaka mingi Mungu ampe nguvu katika mapumziko yake
@GeofreyDonald-ru2ou
@GeofreyDonald-ru2ou 8 күн бұрын
Ndio
@KelvinMrema-y9i
@KelvinMrema-y9i 8 күн бұрын
Kumbe adi maaskofu wakuu w a jimbo wanateuliwa na papa🙄🙄
ASKOFU KASSALA "PadreTimothy Nyasulu alikuwa pacha wangu Seminari"
8:11
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 3,8 М.
"Sio jambo rahisi" Kauli ya askofu mteule Jimbo Katoliki la Iringa Mhesh. Pd. Romanus Mihali
14:03
Air Sigma Girl #sigma
0:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 45 МЛН
БОЙКАЛАР| bayGUYS | 27 шығарылым
28:49
bayGUYS
Рет қаралды 1,1 МЛН
UTACHEKA NDACHA /  YESU WA KENYA /  WAISLAMU
1:11:18
GOSPEL CORNER
Рет қаралды 100 М.
Lissu Ataja UTAJIRI WAKE, Nchi YATETEMEKAAAAA!!!!!
17:15
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 322 М.
Askofu Niwemugizi afichua magumu aliyopitia
6:19
Mwananchi Digital
Рет қаралды 19 М.
Fuatilia kutangazwa Kwa askofu Mteule Jimbo Katoliki Iringa, ni Mhesh. Pd. Romanus Mihali
23:29
Air Sigma Girl #sigma
0:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 45 МЛН