Da inasikitisha sanaaa mungu ailaze rooh yake mahali pema peponi
@user-nw6nh7yb4q3 ай бұрын
Bas kama VP tumpe nch mabeho
@user-ex4hi7fj5c3 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Sintokaaaa nimsahau Magufuli... Uchungu huwa haushi kwa mtu alyeyafanya mambo tuyaonayo hadi leo😭😭😭😭😭😭
@mwabimulungamulungamwabi72012 ай бұрын
nashanga sana kwanini alipumunzikisha tu baada ya mangufuli kufa? hapo kuna swali
@IssaMwaluko3 ай бұрын
mungu aisaidie famlly yake amina
@ConradMbokosi3 ай бұрын
Asante
@philipo63183 ай бұрын
Demokrasia nzuri sana iliyotumika katika kipindi hicho kigumu cha Maombolezo ya Hayati JPM. Mabeo Kongore sana. Ulisimama Imara Sana.
@EmmanuelJohn-eg9rg3 ай бұрын
Nilimpenda sana sana rais magufuli yaani kama angekua ni tim ya mpira nathani kwake ningekua shabiki wake ambaye ni wa damu!! Ila mungu kampenda zaidi😢😢😢
@elishaworkout611615 күн бұрын
Kwa sasa nchi imekuwa na miladi mingi isioisha wapigaji tu
@OmaryHamisi-fz7hqАй бұрын
😢😢😢
@MaikoMamboleo-qt9df3 ай бұрын
Safi sana
@abdalahgunda13193 ай бұрын
Haya mambo tuyayachokoza hayawezi tusadia watanzania sababu maisha ya makufuli yashapita kinachofuata ni kimuweka mabeyo ktk maswali mengi ambayo mabeyo hawezi kuyajibu kwa nn haya ni mambo ndani ya team ya ccm ktk utawala wao makufuli akiwa mwenyekiti wa ccm mabeyo ni mkuu wa majeshi sio team ya ccm km mwenyekiti wa ccm leadership tumuache tusitafute kumuweke ktk wakati mgumu badala yake mabeyo anaweza kujikuta tayari yuko ndani ya pressure ktk maneno yake kutoa maelezo juu ya makufuli kifo Chake
@elishaworkout611615 күн бұрын
Ila kaka unaongea kwa huzuni sana ad inanchoma, me toka magufuli afariki sinaga muda na siasa kabsa na spendi maana saiv imekuwa tofaut sana
@lwanjiedna52333 ай бұрын
Kwa nini mke wake hakuletwa amuuguze labda angepata nafuu jamani🥲
@AnnaKipetha2 ай бұрын
Hakika watanzania tulishampoteza, jembe,mungu mtangulie huko alipo.
@PendoMwitewe-on3hj3 ай бұрын
Nilimwamini Sana . Nanilimuelewa . Amefanyamakubwa kwa macho tunayaona. Mungu amlinde
@abeidsanga73612 күн бұрын
Apewe
@marianmartin74833 ай бұрын
Baba wewe ni mwamba, mwenyezi MUNGU awe pamoja nawe. Akupe miaka mingi na heri duniani.
@user-pw8xm8gm2u3 ай бұрын
huo usemi unatufundisha nini?sauti ya raisi ni sheria alisema nirudisheni nyumbani mkakataa hamjui kuwa mlimpa stress? Na hao wote umesema walikuwa wametawanyika,nani aliwapa majukumu?
@bensonwissa57773 ай бұрын
Alikua sahihi alitakiwa kufia hapohapo mkuu wa nchi hawezi kufa kienyeji ivo
@DaniKadaga2 ай бұрын
Goody xong
@OmaryHamisi-fz7hqАй бұрын
Hakika duniya ime jaa wa nafika kuda deki machoni kama watu
@user-ne7cl4cx9o3 ай бұрын
Makamu wa Rais yupo Tanga, Waziri Mku Dodoma ama somewhere else na Katibu Mkuu Kiongozi Dodoma......yaani wote hawana shughuli kutwa nzima Rais alipokua anaugua? CDF Mabeyo yanaumiza hayo kwani Kuna hisia za jama fiche hapo. Hata mke wake aliyefaa kua karibu zaidi hayupo. Yanaumiza haya, tulipenda Rais Magufuli Sana.
@shadymsigwa3 ай бұрын
Duuuuh mungu saidia taifa rangu
@rashidkihunga29383 ай бұрын
mabeyo wewe ni jembe hukuyumbishwa hukuteteleka mpaka sasa simamia kikamilifu kwa ktengo ulicho nacho mungu akulinde
@user-pw8xm8gm2u3 ай бұрын
Tunaumia sana
@SiriOmari3 ай бұрын
😭😭😭
@user-yg9fh9sj1wАй бұрын
Nimependa Jins anavojua kuelezea mambo
@ErnestMeshackАй бұрын
. . No❤
@HussenMashaka-os9ok3 ай бұрын
Nikweli Tanzania inashirikiana.
@isalamKhasanКүн бұрын
😂tuna kukunbuka sana
@omuze12903 ай бұрын
Mnatukumbusha maumivu tuliyokwisha kupoa!
@fanueledmund64083 ай бұрын
Kwanini hamkumrudisha nyumbani? Kuna siku kilicho pandwa kitaota
@livematchcentre213 ай бұрын
Moyo wa kizarendo
@user-po5mm5vk6d3 ай бұрын
Hakika mchango wake hauto saulika ntawasimulia wajukuu zangu juu ya mama ya hyu aliye chaguliwa na mungu rest in peace magufuri
@sandalakabalo54423 ай бұрын
Mkisema miaka mi3 ya kifo cha maguful kwangu mm naona kama jana2 kwan cwez sahau
@user-hd7zx9ns7qАй бұрын
Ukitaka kujiunga unafanyaje
@esterlogoseАй бұрын
Hana lolote ni msakiti
@mapesaevarist90943 ай бұрын
Huyu mwamba alinyoosha 😂
@edmundphilemon30543 ай бұрын
Mzee jpm alikufa akililia taifa hili 😢😢
@user-pw8xm8gm2u3 ай бұрын
lakini vyombo vya ulinzi mmchunguze mzee wa misoga
@miltonjohn97793 ай бұрын
Kiwete wa mzoga atawauea wote wakimchunguza
@EmmanuelLupoja3 ай бұрын
😂hela
@user-pw8xm8gm2u3 ай бұрын
Bado tuna majonzi kuhusu kulala kwa J P M
@JosephKowelo3 ай бұрын
Natak kuchat na pendo
@ObediKinkusha-gq8fw3 ай бұрын
Hao walioisahau katiba walikuwa akina nani na nini yalikuwa maoni yao?