HUYU HAPA MZEE ANAETAJWA KWENYE MITANDAO KAMA BABA WA CHIEF GODLOVE AMEFUNGUKA MENGI KUHUSU CHIEF GODLOVE ATOA MKWALA MZITO WATU WANAOMSEMA CHIEF #chiefgodlove
Пікірлер: 27
@petrodavid1389Күн бұрын
Uyu mzee hana akiili vzr au shida nn mbona sieleew 😊😊😊
@mohammedkidody56187 күн бұрын
Hamad's creativity is out of this world❤🎉
@AmbokileFumigation6 күн бұрын
Chief mungu anakuona 🤣🤣🤣🤣 wewe na babaako😅😅
@cleopajackson99343 күн бұрын
Kwani mnazungumzia Nini mbona sielewi😊😊
@joetemu81275 күн бұрын
Dishi limeyumba 😅
@AfricaQueen7 күн бұрын
Mzeee kashatia Temboooziiiii🤣😂🤣🫣🫣🤣😂
@AfricaQueen7 күн бұрын
Oyooooooo chief Leo umeingiliwa mitaani kwenuuuu 😂🤣🫣😂🤣Na mzee unafanana Na kijana wako copyyyyyyy🥁🎺🎻🕺🏿🗣️🗣️🗣️🥁🎷🎷🫣🤣😂
@monerexshowz52005 күн бұрын
carymastory samahani sana huyu sio baba mzazi ,tunamjua mchungaji mwakibete ndio baba yake mzazi achana na pumba hii
@Haarun-h4q4 күн бұрын
Waya zimecheza,watangazaji mumekosa habari
@fortunatusmabina71524 күн бұрын
Hamna kitu humu
@emanuelsichone80276 күн бұрын
Chai jabwa chiz km mwanae kiki nyingi
@sophiakimaro51745 күн бұрын
Kwani walimkata ulimi huyu mzee?
@SimonMabigi6 күн бұрын
Huyu dishi limeyumba
@monerexshowz52005 күн бұрын
75 2005 hapa kichwa kimeyumba
@ChadeWile5 күн бұрын
Siopoa
@benogeofrey57515 күн бұрын
Wanafanana
@richardtom386 күн бұрын
Islaeli huyu wa kyela
@Bilioneabichwa3317 күн бұрын
Huyu ni mlemavu wa akili anaitwA Israel a.k.a Chai Jaba,, hana hata mahali pa kulala, analala sokoni, stendi
@tumainichanya32687 күн бұрын
Wewe utakuwa wa kyela wewe kweli nimefurahi kumuona Israel Ila mlikomtoa Chai jaba
@AllyBabu-kr6lg6 күн бұрын
😅😅zarau😅
@YacintaJames6 күн бұрын
Ndio yeye, na ndio baba yake Godlove
@Bilioneabichwa3316 күн бұрын
@@YacintaJames Baba yake Godlove ni mchungaj kanisa la Lutheran yupo Mbeya ila nyumban kwao ni Ipinda kyela, huyo sio babake , tuulizeni wenyeji
@Bilioneabichwa3316 күн бұрын
@@AllyBabu-kr6lg sio dharau, tuulizeni wenyeji tupo nae mzee wetu chai jaba hapa kyela, ni chizi flesh, Siku moja alivamia msafara wa Magufuli alipigwa walifikiri ana akili timamu