Mimi nimekuja huku leo baada ya kumwona Queen Bakwata akidai Taraka... Mapenzi buanaaaa!
@stellamsokwa6785 Жыл бұрын
KWA kweli tulokuja huku gonga likes... 👍
@hshshsshjdjejjejejejej9823 Жыл бұрын
😅😅😅
@poucostantin4403 Жыл бұрын
Yaani
@rukiaelisam671 Жыл бұрын
Hakika na mimi nipo na wewe Hakuna marefu yasiyo na ncha
@janesiwingwa3142 Жыл бұрын
Hata mie
@magrethdastanhaule3449 Жыл бұрын
Nimeirudia hii interview Leo, tuliokuja huku Leo gonga likes😄
@abdulbogoyo12434 жыл бұрын
NIMEPENDA SANA HAYA MAZUNGUMZO, PIA NIMEJIFINZA MENGI, SHUKRANI ZENU NYOTE: MUNGU AWAFANYIE WEPESI. 👏
@OmanOman-bm1lr Жыл бұрын
Queen na dokta mwaka waliendana sana wallah huyo mwengine kakaa kama House girl
@folonatuszongo4754 жыл бұрын
Hongera Dk Mwaka kwa kumiliki Vizuri hiyo "Mizigo" ,"Mizigo" imejisitiri Vizuri ni funzo kwetu ,tumejifunza Kitu kizuri.
@safikisubi35924 жыл бұрын
Naam
@mwajabumussa48604 жыл бұрын
FOLONATUS ZONGO mizigo tena
@drstevedeomozartphd35734 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mHK6qXqeqth6Y5o
@aloycesimon41432 жыл бұрын
Ety mizigo😂😂😂😂
@evasanga25853 жыл бұрын
Shikamoo pesa wanaoamini pesa ndo sabuni ya roho gonga like tujuane
@josephariwo244 жыл бұрын
This is areal man with principals in life I love that
@khadijaamur60324 жыл бұрын
Dr ni Mcha Mungu...Allah ajaalie wanaume wote wa Kiislam wanaotaka kuongeza wake wapate barka kama za Dr...Aameen. Masha Allah
@evaristmbuya6220 Жыл бұрын
Bado unaamini hivi?
@kijonalusay4 жыл бұрын
Ma Shaa Allah Hakika Allah hivi ndivo vile anataka ndo ya uke wenza iwe Allah awadumishe katika ndoa hii Amiin
@princemaster87794 жыл бұрын
ALLAH AKBAR. kwa kawaida sio rahisi kwa hili jambo. ila ALLAH ndio muweza yote hayo. HONGERA SANA DR. NA WAKE ZAKO
@essserleem32544 жыл бұрын
Jamani uke wenza haujasilimu
@rosetenga6979 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@khalifamwasha66484 жыл бұрын
Nimeipenda hii interview vibaya mno. Nikiangalia wanavyojibu maswali au wanavyojieleza wote kwangu ni ukomavu wa hali ya juu na wanatumia busara sana. How a nice couple is this? . Allah awabariki duniani na akhera. Nimejifunza mengi sana. Big up doctor JJ Mwaka
@brenthylland25074 жыл бұрын
We dr mwaka nakupa respect sana wewe nikivutio cha dunia kuishi na mitala wake wakaelewana??? Wakati mmoja tuu ishu kubwa duuu I respect.
@salmaathuman91564 жыл бұрын
Mashaa allah hongera Dr mwaki kwa kisimamia ndoa kwa haki halafu wamebadili dini wamependeza Sana wallah mungu azidi kuwabariki aaminy
@cadabra74024 жыл бұрын
Maasha Allah docta mwaka kwa kuwaconvert wawili , Allah akulipe na akuongoeze katika misingi ya kiisalm.
@sulexzaha55384 жыл бұрын
haki itabakia kuwa haki tu siku zote.. na batili itabaki kuwa batili.. Allah akulipe dokta kwa uadilifu wako
@munaadan88242 жыл бұрын
Mash allha ❤🥰🥰🥰
@salumkomba76824 жыл бұрын
Kulala chumba kimoja na wake zake sio sawa kidini ...Allah awaongoze Inshaallah. Nimependa hii ndoa
@khariifagabwa79114 жыл бұрын
Hahah daa wewe hujaelewa nafikili
@salumkomba76824 жыл бұрын
@@khariifagabwa7911 nifahamishe sheikh wangu
@agathathobias86904 жыл бұрын
@@salumkomba7682 hawashirik tendo la ndoa kitanda kimoja wana lala tu
@saymarsaymar46544 жыл бұрын
Salum Komba uharamu umetokea wapi?
@salumkomba76824 жыл бұрын
@@saymarsaymar4654 kama wanalala tuu hamna shida lakini kama wanashiriki tendo la ndoa hairuhusiwi kidini
@hawa-luumiwrty31444 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mwenyezi Mungu Azidi Kuwalinda, Nimependa Hiyo👏👏👏👏👏🙏🙏
@japhetv61574 жыл бұрын
Uongo huo
@cookwithme66604 жыл бұрын
This is wrong and haram ...same bed is very wrong ..tiresome
@korogwetanga8104 жыл бұрын
MashaAllah Taabaraka Rahman Allah awadumishe katika ndoa yenu
@fathma12392 жыл бұрын
mashallah tabaraka allah
@زليخهيوسف-ط1د4 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo Ndoa 👏 👏 Inshaallah, Allah ani Jaliye na Mmi
@halimashigela75444 жыл бұрын
Dr mwaka anajitambua wanaume wengine hawajitambui alafu wanatumia mabavu oooh naoa haunitishi ukiona vip undoka inakuwa nivurugu
@anwarsalim89254 жыл бұрын
MashaAllah, Allah ibarik, na iwe khery katika familia yenu. Natamani interview iendelee.
@CyimSky4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@raydeus81924 жыл бұрын
duuuh! uyu ndo Dr mwaka bn
@raydeus81924 жыл бұрын
@@CyimSky mmh!
@babujinga58194 жыл бұрын
Hongera sana dkt mwaka... Hiyo haitopatikana popote pale ni kwako Niseme mungu amekupa zawadi
@barakamfugale10494 жыл бұрын
Mmm hii maada inawahus islamic people Ila shabik wa Dr.MWAKA
@rajabumussapetekwa4674 жыл бұрын
Dah mashallah Dr mwaka nimejifunza mengi ktk h czone hongera sn
@nasraiddy96784 жыл бұрын
Dr anahekima sana na hivyo ndivyo Allah amewahusia wanaume ...kawajua kuwa hawawezi kuishi bila matamanio lakini jee unaudilifuu ...??na ikiwa huna uadilifu basi ishi nae huyo mmoja ...mashallah wamependeza sana namavazi yao na walivyo Allah awajalie kheri na furaha
@dorcaskarago2876 Жыл бұрын
Ndoa ni mme mmoja na mke moja period
@sirahchocolate85082 ай бұрын
Exactly 💯
@erickmichael33494 жыл бұрын
Dr.respect sana We kiboko Kwa maisha ya sasa lakin naomba utupe siri ni nn
@hamadamabali28954 жыл бұрын
Namuomba Mola na mimi pia anijaalie wawili tuu mwenye upendo kama hawa in sha Allah Amin
@rachelbahahazo63624 жыл бұрын
Unaela?
@anahbelamina72143 жыл бұрын
Nguvu ya kuwa bibi wa pili ninayo lakini nguvu yakumkubali mume wangu aoe mke wa pili ndo sina jamani,nimesoma lesson lakini mashaallah mungu awazidishie
@nadiarajabu87804 жыл бұрын
Msitake kutudanganya...sura zenu tyu zinaonyesha hamna mapenzi ya kweli
@mweucchunda42444 жыл бұрын
Kweli
@pulikisia7963Ай бұрын
Uliona mbali😂
@zukhuraothman98383 жыл бұрын
Hongera Ila kulaala na wake wawili chumba kimoja .turudini katka dini ya Allah haifai na si vizur .huo nu ukafir
Tatu yussuf nakuona mke mwnzangu nasi tuzidi pendana
@tatuyussuf75744 жыл бұрын
Halima Mbena kweli kabisa tuwe mfano kwa wenzetu..😆😆😆
@rechoclement60323 жыл бұрын
Abu
@mwanahamisially52344 жыл бұрын
Honger xna Docter kwakuwastir wanawake Kama ni Pesa Kuna watu wanapesa mbona hawajathubutu kuoa bhana big-up Allah awajaalie uchamungu dealing xna maan shetan naeeee hyko mbali👃👃👃
@khadijahhussan1824 жыл бұрын
Mashallah jmn wazuri Queen kafanana na Zari
@siaammo11044 жыл бұрын
Sanaaaa
@haysanhassan26854 жыл бұрын
Mwanzo nlijua zari
@ramsikhamis70834 жыл бұрын
Kabisaa yuko bomba baalaaa
@mariamiddi30244 жыл бұрын
Razima muwe marafiki sababu hamjui shida aliopitia bi mkubwa mpaka kuipata Mali hiyo wezi wakubwa nyie bi mkubwa popote ulipo nakupenda bureee kabisa wewe ndio mke wa doctor mwaka mwenye mapenzi ya kweli toka moyoni mungu akulindie Mrs mwaka og 😘😘😘😘😘😘😘😘😘hawa wengine wamefata Mali tu😏😏😏
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Ukewenza Raha sana ALLAH atuwafikishe,nimeazimia kuongeza 2........4
@CyimSky4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@patriciacarlo72364 жыл бұрын
Mimi ni mkristo lkn nimempenda Dr mwaka ni gentleman.anaonekana anatoa haki sawa kwa wake zake
@mozasaid38694 жыл бұрын
Mashaallah Mwenyezi mungu awazidishie upendo wenu na mume wenu, Yaani hadi raha,
@CyimSky4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@shamalhabsi35634 жыл бұрын
Manshallah mwenyez mungu awazidishie mapemazi fidunia walakhera mzidi kupendana
@fatumaally34444 жыл бұрын
Allah awajaze kheri inshallah nmewapenda wanawake wenzangu mnapendana sana
@mbarakahmed3892 Жыл бұрын
Uko sahihi doctor kabisa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@prosperjuma905 Жыл бұрын
Leo unalia. Tamaa ya maisha hii. Hatari sana.
@aminakondo78242 жыл бұрын
YEAH..! Dr .mwaka.you're the greatest..Bravo.....!!!!!
@kenslogistics43774 жыл бұрын
Money is everything. Bila pesa kungekua na fujo kama zote...
@zaituniabdallah60454 жыл бұрын
Mwanaume nihela kwani wataka kuoa na hauna hela.
@tinahpinah4 жыл бұрын
Even with money, I can't share a man.aende akiendanga.nonsence tupu hapa.
@kenslogistics43774 жыл бұрын
@@tinahpinah how sure are you that you are not sharing the man that you have now. You might be sharing na hujui. Men will always be men!!!
@azizakwileka16864 жыл бұрын
Kwa kweli nasisimkwa na maneno ya Queen nimependa sanaa anaposema anampenda sanaa mke mwenzake😍😍 kwa kweli mnanihamasisha jaman... Nawapenda sanaaa jamani sanaaaaaa😍😍 Waturuki wanasema seni çok seviyorum çok çok seviyorum😍😍
@muskhaj1230 Жыл бұрын
Aziza nimependa ulipomalizia kwa kiturukiiii
@reubendick40334 жыл бұрын
Ungejua doctor mwaka malaya ata msingejisifu Mungu asimame nanyi tu.
@ashurakambangwa144 жыл бұрын
Kuna mtu nilimsikia pia hahahahahaha
@bijampolamsemakweli96874 жыл бұрын
Ashawahi kuku....
@ndeletwaswai35304 жыл бұрын
Dr mwaka kachagua mashine haswaa wanafanana wazuri na wanaakili wako vzr mashalaah
@aminamohamed70634 жыл бұрын
Mashaallah jmn Allah awazidishie wengne cjui kma tutaweza hyo hali😢😢
@kaundamalale98454 жыл бұрын
Hahhaha wew naona mwenzangu mim😆🤣🤣🤣me yaan kwanz huyo mwanaume ajiandea au anitoe kweny list tuu🙆🏿🙆🏿
@fifo2624 жыл бұрын
Ndoa ya mke zaidi ya mmoja mume km hatojiamini akawa smart ndipo mizozo haitoisha .honger kaka kwa kuwamudu wake zako allah akusimamie
@fatmaomar84974 жыл бұрын
Mashaa Allah....sio mtanga kila kitu anakitaka yeye mpk mke mwenziwe anamgombanisha ... pamoja na watoto... duuuuh huyu mtanganiliyekuwa nae mkemweza hatari...angekuwa kama hao tungesikilizana.. anawataka watoto wng wende kwake wawe vibaraka wake
@marryoscar7454 жыл бұрын
😀😀😀😀eti wawe vibaraka
@AhmedSalah-ri3es4 жыл бұрын
Heshima Dr.mwaka umenifurahisha sana umetoa funzo kubwa sana kwa jamii
@rhinakiza4 жыл бұрын
Jamani mimi Christian, but I love those queens 👑 God bless you guys😘😘👏👏
@fatumaabubakar20634 жыл бұрын
Alf mabrook doctor Allah awazidishie mapenzi
@aminanamoyo834 жыл бұрын
Dr.mwaka mmmmm huo sio upumbavu sema tu unauchu wa wanawake,😁 anyway ,hongera ila hapo kwa wanawake kuelewana nahisi mwenye stress hapo ni dr.mwaka mtihani unao. ❤
@CyimSky4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@sakinalujenje99894 жыл бұрын
Mashallah ...Dr hongera sana,jambo jema,heri kuoa kuliko kuzini,Mwenyezi Mungu awazidishie baraka na upendo kati yako na wake zako na watoto kwa ujumla Inshaallah🤝
@halimamasai22344 жыл бұрын
Maashaallah mungu awape afya na maisha marefu wote mkiwa pamoja inshalaah na hongereni sana
@emmanuelshukiah12364 жыл бұрын
YESU awarehemu tu Kwa huo uovu wenu.
@mummycute69774 жыл бұрын
Hujui usemalo...hao ni wake zake wa halali...hapo uovu uko wapi...ulitaka azini?
@mariamnamwa1884 жыл бұрын
Kweli kuacha yesu kwa jili ya tamaa zetu
@emmanuelshukiah12364 жыл бұрын
@@mummycute6977 inategemea unatafsiri kutokea wapi? Ndio maana nimeandika kuwa Yesu awarehemu maana tafsiri yangu imejikita ktk Biblia?
@emmanuelshukiah12364 жыл бұрын
@@mummycute6977 kwa tafsiri ya Quran yuko sahihi mnoooo tena bado anatakiwa aongezee mke mwingine ila kibiblia hawako sahihi hata kidogo huo unaitwa uovu,kwahio inategemea nimeongelea uovu kutokea angle gani?
@saumukaisi70034 жыл бұрын
Hongera sanaaaa wanawake mnapendana sn mnamoyo mwaya me siwezi ninawivu sn
@saidjuma97824 жыл бұрын
I wish you happy marriage 💕💕💕
@nassorochura78383 жыл бұрын
Wanawake hawa mungu awape subiri sana na msikubali kupotoshwa allah kawapa nusra haswa
@mathiaszakaria70524 жыл бұрын
Sipendi Aina hii ya ndoa Mungu aniepushe
@emmanueljoseph25764 жыл бұрын
Amin
@castruga61334 жыл бұрын
Tamaa TU ndo inawatawala hawa wanawake mbaya zaidi walikuwa wakristu wangekuwa waislam ningesema wamelelewa hivyo .
@mathiaszakaria70524 жыл бұрын
@@castruga6133 kweli ni tamaa tena ile ya fisi kabsa,pesa imewafanya wawe watumwa wa ndoa
@castruga61334 жыл бұрын
@@mathiaszakaria7052 umeona tena ni unafiki mtupu, wakishatengana kila mtu anakuwa na umimi anafanya kila awezalo ili aonekane bora kuliko mwingine na ndivyo ilivyo hiyo Siri anaijua Dr anawaenjoy tu. Kweli wanawake bado Sana. Nawa 2 alikuwa rafiki nawa 1 Leo kashakamatana nawa 3 jamani!!!! nao wamesema kuwa wanaendana nikweli.
@kizungasalum22304 жыл бұрын
Nothing else money is taking...but i like it
@constantinochalle8564 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii story !!!inafundisha mengi
@mundhiribrahim62922 жыл бұрын
Asiyejuwa atapongeza lakini haifai
@mwanamisaomar3464 жыл бұрын
Mashaallah na zidikuwaelewa..hongera doctor mwaka na wake zake rahaa kwl
@sharifaabdullah68254 жыл бұрын
Masha allah mungu awajalie kheri kwenye maisha yenu
@neemaloy889 Жыл бұрын
Mungu Asante sana kwa kuaibisha wazinzi waluiojificha ndani ya ndoa
@kassiannyamba805Ай бұрын
😂
@OnlyRuky4 жыл бұрын
Wazuri Mashaalah
@restutarhamis46094 жыл бұрын
Wazuriiii
@majumajulius39154 жыл бұрын
mnamwita baba poleni sana
@samanthaali8734 жыл бұрын
Ya Rabby awazidishie upendo uzidi in sha Allah
@bijumakassim36974 жыл бұрын
Mashaallah Allah awafanyie wepesi inshaallah nme wapenda bure kwa mnavyo pendana Allah awazidishie Inshaallah
@salmadalaquimane23644 жыл бұрын
Mashaallah Allah awafanyie wepes inshaallah
@mdalamgir-gu9hu4 жыл бұрын
Mungu awape pepo.nshaallah
@nassraal-riyyami83874 жыл бұрын
Roho ya Qeen ni safi kabisa
@emanuelmfanga52624 жыл бұрын
Kabisa
@jamilasalimvilog67524 жыл бұрын
Mashallah nafurahi kuolewa mke wapili bimkubwa nampenda sana
@totosheretone73564 жыл бұрын
Queen Mrembo mashaallah
@lilomo93234 жыл бұрын
Dr mwaka unafurahia maisha ya hii dunia mpaka raha,mke wangu sijui unakwama wapi legeza msimamo nimlete mdogo wako
@lollol-xi3oy4 жыл бұрын
😂😂😂😂🇬🇧
@maryamm77654 жыл бұрын
Wazuri Maasha Allah
@amirybeka9602 Жыл бұрын
Mashaallah... Dahh wallah miasha km hv rahaa ya dunia... Jmn
@sophiarubambimpala53424 жыл бұрын
Nilikuwa namuona mstarabu sana kumbe na yy yumo siwez olewa mke wa pili na kama nikiolewa sijampenda mwanaume nimependa pesa zake, asidanganye kila mtu ana wivu hao wanawake wamefata maisha mazuri anaepata maumivu ni mke wa kwanza anaemjua vizuri tangu wakipambana na maisha wakat mwingine ni vizuri kuwa na hela ila ukiwa na mwanaume mwenye pesa ishi ukijua ni cha ote sio wako labda akiwa hana pesa huyo ndo wako. Wala mm hujanifurahisha tabia ni kama ngoz haibadilk na mda si mref utaoa wa nne na bado michepuko itakuwepo mmmh jaman 🙉
@sharifaramadhani80794 жыл бұрын
Kwa kweli na kwa kua ana tamaa wakishafika wa4 atakachofanya ni kuacha mmoja kisha aongeze mwengine ni mwendo huo huo puu puu pesa hz
@khadijasaidy47654 жыл бұрын
Ndyo fikra zako zako zilipoishia hapo...wapo wake wenza mume anapesa na hawaelewani hata...mkiwa mnamjua Allah kwa dhati wala katka dunia hii hupati shida na chochote..ukiishi kidunia dunia kweli shida ipo
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Umeongea point
@drstevedeomozartphd35734 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mHK6qXqeqth6Y5o
@saumukaisi70034 жыл бұрын
Mashaallh hongera Doctor mwaka
@hassanisadiki8244 жыл бұрын
Allah alisha sema uwoni wanawake hata wa 4 kama una uwezo wa kuwahudumia kwanzia mavazi mpk tendo la ndoa, na Allah amesema hivyo kwa sababu anawajua wanadamu vizuri kuliko sisi tunavyo jijua na amesema tuoe wanawake wengi ikiwa una uwezo kwa sababu Allah anajua kwamb wanaume hawawezi kutosheka na moja na pia kuna wajane Allah alisema wastirini
@grjon41914 жыл бұрын
Alfalukau
@drstevedeomozartphd35734 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mHK6qXqeqth6Y5o
@mwanahamis54874 жыл бұрын
Mashaa Allah... Wallah nimeipenda saan hiyo ndoa ya Dokt Mwaka mungu awabariki saan
@mashakalonka94074 жыл бұрын
Mke wa pili(Queen) ni Big mind.Ila tunachojifunza katika ndoa hizi za Dk.Mwaka ni kwamba PESA ina nguvu kusimamia ndoa zetu.Tutafute pesa !...
@flaviusbenedict75134 жыл бұрын
Kweli kabisa
@neemamsigwa55604 жыл бұрын
Dr. Noma
@tunumakila22204 жыл бұрын
Kama umeikubali kofia ya geah gonga like
@bovyckjacques4824 жыл бұрын
Doct mwaka ,tupatiye na sisi Dawa ya kuishi na Ndoa, wa lalaje na wake wawili
@presenttruthpioneersministry4 жыл бұрын
Inahitajika mtubu, Matendo ya Mitume 17:30 [30]Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu. Yesu aliongelea hili jambo, Tena kwa undani, je, hamjui kuwa mnazini?? Mke ni mmoja😭😭
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Inamaana mpaka na Mitume wake ambao amewabashiria pepo watubu???? Mana wapo walooa zaidi ya mmoja. Nikisema Mitume sinamaana walokuja baada ya Muhammad s.a.w ambao wanakudanganyeni makanisani
@upendowilliam80884 жыл бұрын
Dr mwaka we ni kibokoooo
@zaiiomary89704 жыл бұрын
Huyu dada Queeni kafanan na zari akicheka mashaallah
@aishaally27304 жыл бұрын
True
@asareemmanuel32354 жыл бұрын
Ukweli
@damsonwillison4354 жыл бұрын
Kinoma
@sakinat25274 жыл бұрын
Kabisa wamefanana
@antybabybintrashid23334 жыл бұрын
Nlifkiri macho yangu yananidaganya
@abdallahkambangwa72154 жыл бұрын
Masha Allah hongera sana Dr. Mwaka your role model
@ladymashaallahilikeuaadvis9974 жыл бұрын
Mabrook wa Masha ALLAH doctor mwaka
@mimaakenirram14054 жыл бұрын
Mashallah allha awazidishie upendo zaidi na zaidi lnshallha nimewapenda bure
@modestmkali34364 жыл бұрын
Siri Ni Hela tu, Nothing Else, Ukiwq Na hela Kila kitu Huwa Laini
@jamilasalimvilog67524 жыл бұрын
Kabisa
@nuruabraham37694 жыл бұрын
Modest Mkali ni kweli aisee
@g-rock16064 жыл бұрын
Hahaha kweli kabxa
@t33pelos774 жыл бұрын
Sure
@rosemunyali87284 жыл бұрын
Kabisa
@suleimansalim87444 жыл бұрын
Mke wa kwanza mzurii safii tuu
@soccertv2934 жыл бұрын
Kuoa sio upumbavu Dr mwaka umeniangusha,hapo umenusurika na zinaa unasema niupumbavu
@CyimSky4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@milkamgeta45344 жыл бұрын
DlaeldlLa
@aishahasina74514 жыл бұрын
Hakika
@jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын
Maashaallah tabaraqallah..allah awajaalie aman
@paulmafuru72834 жыл бұрын
Yote tisa lkn kumi lzma uwe n hela bila hela utayasikia tu kwa doctor mwaka
@kulwaajaba91594 жыл бұрын
kweli kabisa
@villanjimmy76254 жыл бұрын
Kabisaaaa ukwel ndio huo
@cristinacosmas21564 жыл бұрын
Hahahaaaaa
@sarahmwaluko24804 жыл бұрын
Paul mafuru umeonaeee
@godfreylutengano93674 жыл бұрын
Huo ndio ukweli
@jacobmakono3894 жыл бұрын
..na uzinzi wako bado unapita kura za maoni!Mungu kweli aachwe aitwd Mungu..Upendo wa Yesu unatisha!ila tubu,ukifa na hao wake zako utatupwa motoni!acha upuuzi wako wewe,mke mmoja Mme mmoja ndiyo marlekezo ya Yesu!
@angiewamuchomba81064 жыл бұрын
As Long as you have Money...You good to go....
@iddykasiaga24643 жыл бұрын
Maumivu yako na mke kwanza hao wengine wez lazima wapendane
@iddykasiaga24643 жыл бұрын
Maumivu yako na mke wa kwanza hao wawili wezi lazima wapendana
@qal64692 жыл бұрын
Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair
@fatinaaman2414 жыл бұрын
Mke wa pili unapoint sana , bado mmoja dr mwaka itimie wanne
@lunaelysambo81294 жыл бұрын
Hongera
@mutwalesylvie74434 жыл бұрын
Wewe unaona rahisi tu
@revinastephen76214 жыл бұрын
Asante baba nawamekubali kuwa wote kwa sababu unawahudumia vizuri wote na wanafanya kazi wanajua wanachokifanya