PART 2 : "Kuna Siku huwa nalala na wake zangu kitanda kimoja" Dr. Mwaka

  Рет қаралды 816,968

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

Пікірлер: 1 100
@moseskisingi7696
@moseskisingi7696 Жыл бұрын
Mimi nimekuja huku leo baada ya kumwona Queen Bakwata akidai Taraka... Mapenzi buanaaaa!
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 Жыл бұрын
KWA kweli tulokuja huku gonga likes... 👍
@hshshsshjdjejjejejejej9823
@hshshsshjdjejjejejejej9823 Жыл бұрын
😅😅😅
@poucostantin4403
@poucostantin4403 Жыл бұрын
Yaani
@rukiaelisam671
@rukiaelisam671 Жыл бұрын
Hakika na mimi nipo na wewe Hakuna marefu yasiyo na ncha
@janesiwingwa3142
@janesiwingwa3142 Жыл бұрын
Hata mie
@magrethdastanhaule3449
@magrethdastanhaule3449 Жыл бұрын
Nimeirudia hii interview Leo, tuliokuja huku Leo gonga likes😄
@abdulbogoyo1243
@abdulbogoyo1243 4 жыл бұрын
NIMEPENDA SANA HAYA MAZUNGUMZO, PIA NIMEJIFINZA MENGI, SHUKRANI ZENU NYOTE: MUNGU AWAFANYIE WEPESI. 👏
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr Жыл бұрын
Queen na dokta mwaka waliendana sana wallah huyo mwengine kakaa kama House girl
@folonatuszongo475
@folonatuszongo475 4 жыл бұрын
Hongera Dk Mwaka kwa kumiliki Vizuri hiyo "Mizigo" ,"Mizigo" imejisitiri Vizuri ni funzo kwetu ,tumejifunza Kitu kizuri.
@safikisubi3592
@safikisubi3592 4 жыл бұрын
Naam
@mwajabumussa4860
@mwajabumussa4860 4 жыл бұрын
FOLONATUS ZONGO mizigo tena
@drstevedeomozartphd3573
@drstevedeomozartphd3573 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mHK6qXqeqth6Y5o
@aloycesimon4143
@aloycesimon4143 2 жыл бұрын
Ety mizigo😂😂😂😂
@evasanga2585
@evasanga2585 3 жыл бұрын
Shikamoo pesa wanaoamini pesa ndo sabuni ya roho gonga like tujuane
@josephariwo24
@josephariwo24 4 жыл бұрын
This is areal man with principals in life I love that
@khadijaamur6032
@khadijaamur6032 4 жыл бұрын
Dr ni Mcha Mungu...Allah ajaalie wanaume wote wa Kiislam wanaotaka kuongeza wake wapate barka kama za Dr...Aameen. Masha Allah
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 Жыл бұрын
Bado unaamini hivi?
@kijonalusay
@kijonalusay 4 жыл бұрын
Ma Shaa Allah Hakika Allah hivi ndivo vile anataka ndo ya uke wenza iwe Allah awadumishe katika ndoa hii Amiin
@princemaster8779
@princemaster8779 4 жыл бұрын
ALLAH AKBAR. kwa kawaida sio rahisi kwa hili jambo. ila ALLAH ndio muweza yote hayo. HONGERA SANA DR. NA WAKE ZAKO
@essserleem3254
@essserleem3254 4 жыл бұрын
Jamani uke wenza haujasilimu
@rosetenga6979
@rosetenga6979 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@khalifamwasha6648
@khalifamwasha6648 4 жыл бұрын
Nimeipenda hii interview vibaya mno. Nikiangalia wanavyojibu maswali au wanavyojieleza wote kwangu ni ukomavu wa hali ya juu na wanatumia busara sana. How a nice couple is this? . Allah awabariki duniani na akhera. Nimejifunza mengi sana. Big up doctor JJ Mwaka
@brenthylland2507
@brenthylland2507 4 жыл бұрын
We dr mwaka nakupa respect sana wewe nikivutio cha dunia kuishi na mitala wake wakaelewana??? Wakati mmoja tuu ishu kubwa duuu I respect.
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 4 жыл бұрын
Mashaa allah hongera Dr mwaki kwa kisimamia ndoa kwa haki halafu wamebadili dini wamependeza Sana wallah mungu azidi kuwabariki aaminy
@cadabra7402
@cadabra7402 4 жыл бұрын
Maasha Allah docta mwaka kwa kuwaconvert wawili , Allah akulipe na akuongoeze katika misingi ya kiisalm.
@sulexzaha5538
@sulexzaha5538 4 жыл бұрын
haki itabakia kuwa haki tu siku zote.. na batili itabaki kuwa batili.. Allah akulipe dokta kwa uadilifu wako
@munaadan8824
@munaadan8824 2 жыл бұрын
Mash allha ❤🥰🥰🥰
@salumkomba7682
@salumkomba7682 4 жыл бұрын
Kulala chumba kimoja na wake zake sio sawa kidini ...Allah awaongoze Inshaallah. Nimependa hii ndoa
@khariifagabwa7911
@khariifagabwa7911 4 жыл бұрын
Hahah daa wewe hujaelewa nafikili
@salumkomba7682
@salumkomba7682 4 жыл бұрын
@@khariifagabwa7911 nifahamishe sheikh wangu
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 жыл бұрын
@@salumkomba7682 hawashirik tendo la ndoa kitanda kimoja wana lala tu
@saymarsaymar4654
@saymarsaymar4654 4 жыл бұрын
Salum Komba uharamu umetokea wapi?
@salumkomba7682
@salumkomba7682 4 жыл бұрын
@@saymarsaymar4654 kama wanalala tuu hamna shida lakini kama wanashiriki tendo la ndoa hairuhusiwi kidini
@hawa-luumiwrty3144
@hawa-luumiwrty3144 4 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mwenyezi Mungu Azidi Kuwalinda, Nimependa Hiyo👏👏👏👏👏🙏🙏
@japhetv6157
@japhetv6157 4 жыл бұрын
Uongo huo
@cookwithme6660
@cookwithme6660 4 жыл бұрын
This is wrong and haram ...same bed is very wrong ..tiresome
@korogwetanga810
@korogwetanga810 4 жыл бұрын
MashaAllah Taabaraka Rahman Allah awadumishe katika ndoa yenu
@fathma1239
@fathma1239 2 жыл бұрын
mashallah tabaraka allah
@زليخهيوسف-ط1د
@زليخهيوسف-ط1د 4 жыл бұрын
Nimeipenda hiyo Ndoa 👏 👏 Inshaallah, Allah ani Jaliye na Mmi
@halimashigela7544
@halimashigela7544 4 жыл бұрын
Dr mwaka anajitambua wanaume wengine hawajitambui alafu wanatumia mabavu oooh naoa haunitishi ukiona vip undoka inakuwa nivurugu
@anwarsalim8925
@anwarsalim8925 4 жыл бұрын
MashaAllah, Allah ibarik, na iwe khery katika familia yenu. Natamani interview iendelee.
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@raydeus8192
@raydeus8192 4 жыл бұрын
duuuh! uyu ndo Dr mwaka bn
@raydeus8192
@raydeus8192 4 жыл бұрын
@@CyimSky mmh!
@babujinga5819
@babujinga5819 4 жыл бұрын
Hongera sana dkt mwaka... Hiyo haitopatikana popote pale ni kwako Niseme mungu amekupa zawadi
@barakamfugale1049
@barakamfugale1049 4 жыл бұрын
Mmm hii maada inawahus islamic people Ila shabik wa Dr.MWAKA
@rajabumussapetekwa467
@rajabumussapetekwa467 4 жыл бұрын
Dah mashallah Dr mwaka nimejifunza mengi ktk h czone hongera sn
@nasraiddy9678
@nasraiddy9678 4 жыл бұрын
Dr anahekima sana na hivyo ndivyo Allah amewahusia wanaume ...kawajua kuwa hawawezi kuishi bila matamanio lakini jee unaudilifuu ...??na ikiwa huna uadilifu basi ishi nae huyo mmoja ...mashallah wamependeza sana namavazi yao na walivyo Allah awajalie kheri na furaha
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 Жыл бұрын
Ndoa ni mme mmoja na mke moja period
@sirahchocolate8508
@sirahchocolate8508 2 ай бұрын
Exactly 💯
@erickmichael3349
@erickmichael3349 4 жыл бұрын
Dr.respect sana We kiboko Kwa maisha ya sasa lakin naomba utupe siri ni nn
@hamadamabali2895
@hamadamabali2895 4 жыл бұрын
Namuomba Mola na mimi pia anijaalie wawili tuu mwenye upendo kama hawa in sha Allah Amin
@rachelbahahazo6362
@rachelbahahazo6362 4 жыл бұрын
Unaela?
@anahbelamina7214
@anahbelamina7214 3 жыл бұрын
Nguvu ya kuwa bibi wa pili ninayo lakini nguvu yakumkubali mume wangu aoe mke wa pili ndo sina jamani,nimesoma lesson lakini mashaallah mungu awazidishie
@nadiarajabu8780
@nadiarajabu8780 4 жыл бұрын
Msitake kutudanganya...sura zenu tyu zinaonyesha hamna mapenzi ya kweli
@mweucchunda4244
@mweucchunda4244 4 жыл бұрын
Kweli
@pulikisia7963
@pulikisia7963 Ай бұрын
Uliona mbali😂
@zukhuraothman9838
@zukhuraothman9838 3 жыл бұрын
Hongera Ila kulaala na wake wawili chumba kimoja .turudini katka dini ya Allah haifai na si vizur .huo nu ukafir
@tatuyussuf7574
@tatuyussuf7574 4 жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah wajazaka llahu khayra..allah wape upendo huohuo
@halimambena6110
@halimambena6110 4 жыл бұрын
Tatu yussuf nakuona mke mwnzangu nasi tuzidi pendana
@tatuyussuf7574
@tatuyussuf7574 4 жыл бұрын
Halima Mbena kweli kabisa tuwe mfano kwa wenzetu..😆😆😆
@rechoclement6032
@rechoclement6032 3 жыл бұрын
Abu
@mwanahamisially5234
@mwanahamisially5234 4 жыл бұрын
Honger xna Docter kwakuwastir wanawake Kama ni Pesa Kuna watu wanapesa mbona hawajathubutu kuoa bhana big-up Allah awajaalie uchamungu dealing xna maan shetan naeeee hyko mbali👃👃👃
@khadijahhussan182
@khadijahhussan182 4 жыл бұрын
Mashallah jmn wazuri Queen kafanana na Zari
@siaammo1104
@siaammo1104 4 жыл бұрын
Sanaaaa
@haysanhassan2685
@haysanhassan2685 4 жыл бұрын
Mwanzo nlijua zari
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 4 жыл бұрын
Kabisaa yuko bomba baalaaa
@mariamiddi3024
@mariamiddi3024 4 жыл бұрын
Razima muwe marafiki sababu hamjui shida aliopitia bi mkubwa mpaka kuipata Mali hiyo wezi wakubwa nyie bi mkubwa popote ulipo nakupenda bureee kabisa wewe ndio mke wa doctor mwaka mwenye mapenzi ya kweli toka moyoni mungu akulindie Mrs mwaka og 😘😘😘😘😘😘😘😘😘hawa wengine wamefata Mali tu😏😏😏
@arqamibnarqam.7185
@arqamibnarqam.7185 4 жыл бұрын
Ukewenza Raha sana ALLAH atuwafikishe,nimeazimia kuongeza 2........4
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 4 жыл бұрын
Mimi ni mkristo lkn nimempenda Dr mwaka ni gentleman.anaonekana anatoa haki sawa kwa wake zake
@mozasaid3869
@mozasaid3869 4 жыл бұрын
Mashaallah Mwenyezi mungu awazidishie upendo wenu na mume wenu, Yaani hadi raha,
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@shamalhabsi3563
@shamalhabsi3563 4 жыл бұрын
Manshallah mwenyez mungu awazidishie mapemazi fidunia walakhera mzidi kupendana
@fatumaally3444
@fatumaally3444 4 жыл бұрын
Allah awajaze kheri inshallah nmewapenda wanawake wenzangu mnapendana sana
@mbarakahmed3892
@mbarakahmed3892 Жыл бұрын
Uko sahihi doctor kabisa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@prosperjuma905
@prosperjuma905 Жыл бұрын
Leo unalia. Tamaa ya maisha hii. Hatari sana.
@aminakondo7824
@aminakondo7824 2 жыл бұрын
YEAH..! Dr .mwaka.you're the greatest..Bravo.....!!!!!
@kenslogistics4377
@kenslogistics4377 4 жыл бұрын
Money is everything. Bila pesa kungekua na fujo kama zote...
@zaituniabdallah6045
@zaituniabdallah6045 4 жыл бұрын
Mwanaume nihela kwani wataka kuoa na hauna hela.
@tinahpinah
@tinahpinah 4 жыл бұрын
Even with money, I can't share a man.aende akiendanga.nonsence tupu hapa.
@kenslogistics4377
@kenslogistics4377 4 жыл бұрын
@@tinahpinah how sure are you that you are not sharing the man that you have now. You might be sharing na hujui. Men will always be men!!!
@azizakwileka1686
@azizakwileka1686 4 жыл бұрын
Kwa kweli nasisimkwa na maneno ya Queen nimependa sanaa anaposema anampenda sanaa mke mwenzake😍😍 kwa kweli mnanihamasisha jaman... Nawapenda sanaaa jamani sanaaaaaa😍😍 Waturuki wanasema seni çok seviyorum çok çok seviyorum😍😍
@muskhaj1230
@muskhaj1230 Жыл бұрын
Aziza nimependa ulipomalizia kwa kiturukiiii
@reubendick4033
@reubendick4033 4 жыл бұрын
Ungejua doctor mwaka malaya ata msingejisifu Mungu asimame nanyi tu.
@ashurakambangwa14
@ashurakambangwa14 4 жыл бұрын
Kuna mtu nilimsikia pia hahahahahaha
@bijampolamsemakweli9687
@bijampolamsemakweli9687 4 жыл бұрын
Ashawahi kuku....
@ndeletwaswai3530
@ndeletwaswai3530 4 жыл бұрын
Dr mwaka kachagua mashine haswaa wanafanana wazuri na wanaakili wako vzr mashalaah
@aminamohamed7063
@aminamohamed7063 4 жыл бұрын
Mashaallah jmn Allah awazidishie wengne cjui kma tutaweza hyo hali😢😢
@kaundamalale9845
@kaundamalale9845 4 жыл бұрын
Hahhaha wew naona mwenzangu mim😆🤣🤣🤣me yaan kwanz huyo mwanaume ajiandea au anitoe kweny list tuu🙆🏿🙆🏿
@fifo262
@fifo262 4 жыл бұрын
Ndoa ya mke zaidi ya mmoja mume km hatojiamini akawa smart ndipo mizozo haitoisha .honger kaka kwa kuwamudu wake zako allah akusimamie
@fatmaomar8497
@fatmaomar8497 4 жыл бұрын
Mashaa Allah....sio mtanga kila kitu anakitaka yeye mpk mke mwenziwe anamgombanisha ... pamoja na watoto... duuuuh huyu mtanganiliyekuwa nae mkemweza hatari...angekuwa kama hao tungesikilizana.. anawataka watoto wng wende kwake wawe vibaraka wake
@marryoscar745
@marryoscar745 4 жыл бұрын
😀😀😀😀eti wawe vibaraka
@AhmedSalah-ri3es
@AhmedSalah-ri3es 4 жыл бұрын
Heshima Dr.mwaka umenifurahisha sana umetoa funzo kubwa sana kwa jamii
@rhinakiza
@rhinakiza 4 жыл бұрын
Jamani mimi Christian, but I love those queens 👑 God bless you guys😘😘👏👏
@fatumaabubakar2063
@fatumaabubakar2063 4 жыл бұрын
Alf mabrook doctor Allah awazidishie mapenzi
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 жыл бұрын
Dr.mwaka mmmmm huo sio upumbavu sema tu unauchu wa wanawake,😁 anyway ,hongera ila hapo kwa wanawake kuelewana nahisi mwenye stress hapo ni dr.mwaka mtihani unao. ❤
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@sakinalujenje9989
@sakinalujenje9989 4 жыл бұрын
Mashallah ...Dr hongera sana,jambo jema,heri kuoa kuliko kuzini,Mwenyezi Mungu awazidishie baraka na upendo kati yako na wake zako na watoto kwa ujumla Inshaallah🤝
@halimamasai2234
@halimamasai2234 4 жыл бұрын
Maashaallah mungu awape afya na maisha marefu wote mkiwa pamoja inshalaah na hongereni sana
@emmanuelshukiah1236
@emmanuelshukiah1236 4 жыл бұрын
YESU awarehemu tu Kwa huo uovu wenu.
@mummycute6977
@mummycute6977 4 жыл бұрын
Hujui usemalo...hao ni wake zake wa halali...hapo uovu uko wapi...ulitaka azini?
@mariamnamwa188
@mariamnamwa188 4 жыл бұрын
Kweli kuacha yesu kwa jili ya tamaa zetu
@emmanuelshukiah1236
@emmanuelshukiah1236 4 жыл бұрын
@@mummycute6977 inategemea unatafsiri kutokea wapi? Ndio maana nimeandika kuwa Yesu awarehemu maana tafsiri yangu imejikita ktk Biblia?
@emmanuelshukiah1236
@emmanuelshukiah1236 4 жыл бұрын
@@mummycute6977 kwa tafsiri ya Quran yuko sahihi mnoooo tena bado anatakiwa aongezee mke mwingine ila kibiblia hawako sahihi hata kidogo huo unaitwa uovu,kwahio inategemea nimeongelea uovu kutokea angle gani?
@saumukaisi7003
@saumukaisi7003 4 жыл бұрын
Hongera sanaaaa wanawake mnapendana sn mnamoyo mwaya me siwezi ninawivu sn
@saidjuma9782
@saidjuma9782 4 жыл бұрын
I wish you happy marriage 💕💕💕
@nassorochura7838
@nassorochura7838 3 жыл бұрын
Wanawake hawa mungu awape subiri sana na msikubali kupotoshwa allah kawapa nusra haswa
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
Sipendi Aina hii ya ndoa Mungu aniepushe
@emmanueljoseph2576
@emmanueljoseph2576 4 жыл бұрын
Amin
@castruga6133
@castruga6133 4 жыл бұрын
Tamaa TU ndo inawatawala hawa wanawake mbaya zaidi walikuwa wakristu wangekuwa waislam ningesema wamelelewa hivyo .
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 4 жыл бұрын
@@castruga6133 kweli ni tamaa tena ile ya fisi kabsa,pesa imewafanya wawe watumwa wa ndoa
@castruga6133
@castruga6133 4 жыл бұрын
@@mathiaszakaria7052 umeona tena ni unafiki mtupu, wakishatengana kila mtu anakuwa na umimi anafanya kila awezalo ili aonekane bora kuliko mwingine na ndivyo ilivyo hiyo Siri anaijua Dr anawaenjoy tu. Kweli wanawake bado Sana. Nawa 2 alikuwa rafiki nawa 1 Leo kashakamatana nawa 3 jamani!!!! nao wamesema kuwa wanaendana nikweli.
@kizungasalum2230
@kizungasalum2230 4 жыл бұрын
Nothing else money is taking...but i like it
@constantinochalle856
@constantinochalle856 4 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii story !!!inafundisha mengi
@mundhiribrahim6292
@mundhiribrahim6292 2 жыл бұрын
Asiyejuwa atapongeza lakini haifai
@mwanamisaomar346
@mwanamisaomar346 4 жыл бұрын
Mashaallah na zidikuwaelewa..hongera doctor mwaka na wake zake rahaa kwl
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 4 жыл бұрын
Masha allah mungu awajalie kheri kwenye maisha yenu
@neemaloy889
@neemaloy889 Жыл бұрын
Mungu Asante sana kwa kuaibisha wazinzi waluiojificha ndani ya ndoa
@kassiannyamba805
@kassiannyamba805 Ай бұрын
😂
@OnlyRuky
@OnlyRuky 4 жыл бұрын
Wazuri Mashaalah
@restutarhamis4609
@restutarhamis4609 4 жыл бұрын
Wazuriiii
@majumajulius3915
@majumajulius3915 4 жыл бұрын
mnamwita baba poleni sana
@samanthaali873
@samanthaali873 4 жыл бұрын
Ya Rabby awazidishie upendo uzidi in sha Allah
@bijumakassim3697
@bijumakassim3697 4 жыл бұрын
Mashaallah Allah awafanyie wepesi inshaallah nme wapenda bure kwa mnavyo pendana Allah awazidishie Inshaallah
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 жыл бұрын
Mashaallah Allah awafanyie wepes inshaallah
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu 4 жыл бұрын
Mungu awape pepo.nshaallah
@nassraal-riyyami8387
@nassraal-riyyami8387 4 жыл бұрын
Roho ya Qeen ni safi kabisa
@emanuelmfanga5262
@emanuelmfanga5262 4 жыл бұрын
Kabisa
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 4 жыл бұрын
Mashallah nafurahi kuolewa mke wapili bimkubwa nampenda sana
@totosheretone7356
@totosheretone7356 4 жыл бұрын
Queen Mrembo mashaallah
@lilomo9323
@lilomo9323 4 жыл бұрын
Dr mwaka unafurahia maisha ya hii dunia mpaka raha,mke wangu sijui unakwama wapi legeza msimamo nimlete mdogo wako
@lollol-xi3oy
@lollol-xi3oy 4 жыл бұрын
😂😂😂😂🇬🇧
@maryamm7765
@maryamm7765 4 жыл бұрын
Wazuri Maasha Allah
@amirybeka9602
@amirybeka9602 Жыл бұрын
Mashaallah... Dahh wallah miasha km hv rahaa ya dunia... Jmn
@sophiarubambimpala5342
@sophiarubambimpala5342 4 жыл бұрын
Nilikuwa namuona mstarabu sana kumbe na yy yumo siwez olewa mke wa pili na kama nikiolewa sijampenda mwanaume nimependa pesa zake, asidanganye kila mtu ana wivu hao wanawake wamefata maisha mazuri anaepata maumivu ni mke wa kwanza anaemjua vizuri tangu wakipambana na maisha wakat mwingine ni vizuri kuwa na hela ila ukiwa na mwanaume mwenye pesa ishi ukijua ni cha ote sio wako labda akiwa hana pesa huyo ndo wako. Wala mm hujanifurahisha tabia ni kama ngoz haibadilk na mda si mref utaoa wa nne na bado michepuko itakuwepo mmmh jaman 🙉
@sharifaramadhani8079
@sharifaramadhani8079 4 жыл бұрын
Kwa kweli na kwa kua ana tamaa wakishafika wa4 atakachofanya ni kuacha mmoja kisha aongeze mwengine ni mwendo huo huo puu puu pesa hz
@khadijasaidy4765
@khadijasaidy4765 4 жыл бұрын
Ndyo fikra zako zako zilipoishia hapo...wapo wake wenza mume anapesa na hawaelewani hata...mkiwa mnamjua Allah kwa dhati wala katka dunia hii hupati shida na chochote..ukiishi kidunia dunia kweli shida ipo
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Umeongea point
@drstevedeomozartphd3573
@drstevedeomozartphd3573 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mHK6qXqeqth6Y5o
@saumukaisi7003
@saumukaisi7003 4 жыл бұрын
Mashaallh hongera Doctor mwaka
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 4 жыл бұрын
Allah alisha sema uwoni wanawake hata wa 4 kama una uwezo wa kuwahudumia kwanzia mavazi mpk tendo la ndoa, na Allah amesema hivyo kwa sababu anawajua wanadamu vizuri kuliko sisi tunavyo jijua na amesema tuoe wanawake wengi ikiwa una uwezo kwa sababu Allah anajua kwamb wanaume hawawezi kutosheka na moja na pia kuna wajane Allah alisema wastirini
@grjon4191
@grjon4191 4 жыл бұрын
Alfalukau
@drstevedeomozartphd3573
@drstevedeomozartphd3573 4 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mHK6qXqeqth6Y5o
@mwanahamis5487
@mwanahamis5487 4 жыл бұрын
Mashaa Allah... Wallah nimeipenda saan hiyo ndoa ya Dokt Mwaka mungu awabariki saan
@mashakalonka9407
@mashakalonka9407 4 жыл бұрын
Mke wa pili(Queen) ni Big mind.Ila tunachojifunza katika ndoa hizi za Dk.Mwaka ni kwamba PESA ina nguvu kusimamia ndoa zetu.Tutafute pesa !...
@flaviusbenedict7513
@flaviusbenedict7513 4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@neemamsigwa5560
@neemamsigwa5560 4 жыл бұрын
Dr. Noma
@tunumakila2220
@tunumakila2220 4 жыл бұрын
Kama umeikubali kofia ya geah gonga like
@bovyckjacques482
@bovyckjacques482 4 жыл бұрын
Doct mwaka ,tupatiye na sisi Dawa ya kuishi na Ndoa, wa lalaje na wake wawili
@presenttruthpioneersministry
@presenttruthpioneersministry 4 жыл бұрын
Inahitajika mtubu, Matendo ya Mitume 17:30 [30]Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu. Yesu aliongelea hili jambo, Tena kwa undani, je, hamjui kuwa mnazini?? Mke ni mmoja😭😭
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Inamaana mpaka na Mitume wake ambao amewabashiria pepo watubu???? Mana wapo walooa zaidi ya mmoja. Nikisema Mitume sinamaana walokuja baada ya Muhammad s.a.w ambao wanakudanganyeni makanisani
@upendowilliam8088
@upendowilliam8088 4 жыл бұрын
Dr mwaka we ni kibokoooo
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 4 жыл бұрын
Huyu dada Queeni kafanan na zari akicheka mashaallah
@aishaally2730
@aishaally2730 4 жыл бұрын
True
@asareemmanuel3235
@asareemmanuel3235 4 жыл бұрын
Ukweli
@damsonwillison435
@damsonwillison435 4 жыл бұрын
Kinoma
@sakinat2527
@sakinat2527 4 жыл бұрын
Kabisa wamefanana
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 4 жыл бұрын
Nlifkiri macho yangu yananidaganya
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 4 жыл бұрын
Masha Allah hongera sana Dr. Mwaka your role model
@ladymashaallahilikeuaadvis997
@ladymashaallahilikeuaadvis997 4 жыл бұрын
Mabrook wa Masha ALLAH doctor mwaka
@mimaakenirram1405
@mimaakenirram1405 4 жыл бұрын
Mashallah allha awazidishie upendo zaidi na zaidi lnshallha nimewapenda bure
@modestmkali3436
@modestmkali3436 4 жыл бұрын
Siri Ni Hela tu, Nothing Else, Ukiwq Na hela Kila kitu Huwa Laini
@jamilasalimvilog6752
@jamilasalimvilog6752 4 жыл бұрын
Kabisa
@nuruabraham3769
@nuruabraham3769 4 жыл бұрын
Modest Mkali ni kweli aisee
@g-rock1606
@g-rock1606 4 жыл бұрын
Hahaha kweli kabxa
@t33pelos77
@t33pelos77 4 жыл бұрын
Sure
@rosemunyali8728
@rosemunyali8728 4 жыл бұрын
Kabisa
@suleimansalim8744
@suleimansalim8744 4 жыл бұрын
Mke wa kwanza mzurii safii tuu
@soccertv293
@soccertv293 4 жыл бұрын
Kuoa sio upumbavu Dr mwaka umeniangusha,hapo umenusurika na zinaa unasema niupumbavu
@CyimSky
@CyimSky 4 жыл бұрын
Wakenya wamtaka Rais Magufuli aende kwao akawanyooshe kidogo. kzbin.info/www/bejne/eaemZmelh65spNk
@milkamgeta4534
@milkamgeta4534 4 жыл бұрын
DlaeldlLa
@aishahasina7451
@aishahasina7451 4 жыл бұрын
Hakika
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 4 жыл бұрын
Maashaallah tabaraqallah..allah awajaalie aman
@paulmafuru7283
@paulmafuru7283 4 жыл бұрын
Yote tisa lkn kumi lzma uwe n hela bila hela utayasikia tu kwa doctor mwaka
@kulwaajaba9159
@kulwaajaba9159 4 жыл бұрын
kweli kabisa
@villanjimmy7625
@villanjimmy7625 4 жыл бұрын
Kabisaaaa ukwel ndio huo
@cristinacosmas2156
@cristinacosmas2156 4 жыл бұрын
Hahahaaaaa
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 4 жыл бұрын
Paul mafuru umeonaeee
@godfreylutengano9367
@godfreylutengano9367 4 жыл бұрын
Huo ndio ukweli
@jacobmakono389
@jacobmakono389 4 жыл бұрын
..na uzinzi wako bado unapita kura za maoni!Mungu kweli aachwe aitwd Mungu..Upendo wa Yesu unatisha!ila tubu,ukifa na hao wake zako utatupwa motoni!acha upuuzi wako wewe,mke mmoja Mme mmoja ndiyo marlekezo ya Yesu!
@angiewamuchomba8106
@angiewamuchomba8106 4 жыл бұрын
As Long as you have Money...You good to go....
@iddykasiaga2464
@iddykasiaga2464 3 жыл бұрын
Maumivu yako na mke kwanza hao wengine wez lazima wapendane
@iddykasiaga2464
@iddykasiaga2464 3 жыл бұрын
Maumivu yako na mke wa kwanza hao wawili wezi lazima wapendana
@qal6469
@qal6469 2 жыл бұрын
Masha Allah barakallahu fiik wajazakallahu khair
@fatinaaman241
@fatinaaman241 4 жыл бұрын
Mke wa pili unapoint sana , bado mmoja dr mwaka itimie wanne
@lunaelysambo8129
@lunaelysambo8129 4 жыл бұрын
Hongera
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 жыл бұрын
Wewe unaona rahisi tu
@revinastephen7621
@revinastephen7621 4 жыл бұрын
Asante baba nawamekubali kuwa wote kwa sababu unawahudumia vizuri wote na wanafanya kazi wanajua wanachokifanya
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 127 МЛН
Миллионер | 1 - серия
34:31
Million Show
Рет қаралды 2,4 МЛН
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 10 МЛН
Bike Vs Tricycle Fast Challenge
00:43
Russo
Рет қаралды 109 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 127 МЛН