yaani hata natamani hiyo 22 kesho iwe uwanjani wallah naxipenda movies zako baba joan kwa kweli mungu akulinde ns akuongoze ufike mbali sana kwa kweli🤲🤲🤲💓💓💓🎉
@PiliMundu2 ай бұрын
Wow nmewahi wa kwanza leo kutoka kenya 🇰🇪 mob love to team baba karobo
@NijimbereGREGOIRE-u4u2 ай бұрын
Nafulaha Kuwait sana ntindi njowakwanza wakufunxa mayisha salafi mimi namupendasana karobo mwezimungu mwenye Rehman amurinde kwakazi ana anza angari mudogo anajuwa sana Love you karobo❤
@swediPacificswedi2 ай бұрын
Safi sana ba2 kalobo Leo mimi ni wa pili courage vraiment 🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩
@erickathurima432 ай бұрын
Baba Joan nakukubali mwanangu...much love from Kenya
@gladysnatecho74762 ай бұрын
Congratulations kwenye waikizaji wa hii kipindi mungu awabariki sana kwenye mafunzo me mema 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@suleimankipyego51432 ай бұрын
Nipeni like jamani from Kenya 🇰🇪 mombasa County 🇰🇪
@RahmaJuma-x4z2 ай бұрын
Toa maon like wew siy baba kalob ok😂
@RahimaMct-ik8mr2 ай бұрын
HIV munazipelekaga wapi like😂😂😢
@lucinahmoranga23582 ай бұрын
😂😂😂kwani hii kipindi n y wakenya pekee 😂
@elizabethcatherine-jm8fr2 ай бұрын
@@lucinahmoranga2358eeeh tuko hapa 😂😂
@fredrickwambuamunyao2 ай бұрын
🎉🎉
@MasnamussaPp2 ай бұрын
Anae mkubali mama karobo alike hapa ili kuonesha upendo kwa mama karobo
@ATHUMANSALIM-c3v2 ай бұрын
❤🎉 Babajoan kazi inajieleza yakubalika watching from Kenya
@IshakaMachanoMakame-sb2xx2 ай бұрын
Nimewahi Leo wakwanza jamani ila sitaki like zenu Mana ubaguzi ni mwingi
@Junior-l4u4p2 ай бұрын
Leo nimewahi hata nimetoka burundi nime jithahidi naomba like zangu
@MsafiriMabewa2 ай бұрын
🎉
@NeemapauloLohay2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@OrnellaNdabarushimana2 ай бұрын
Unaitizama mouvie haitoku kwenye iko jamani fanyeni bas mutufuraishe Sisi Team baba karobo bna
@AishaJafari-sh4pe2 ай бұрын
WAOOOO TEAM STRONG WANAOKUBALI KAZI YA BABA KALOBO TUJUANE KWA LIKE APA 🎉🎉❤
@AmenaMm-r5t2 ай бұрын
Mi.mi ap namkubal kinoma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Marim-sj7oi2 ай бұрын
Tunamkubali kinoma🎉🎉🎉🎉
@maalimali55132 ай бұрын
Yupo vizuri Sana ❤❤❤
@pendotv51102 ай бұрын
Karobo ataweza kweli?
@PaulOjiambo-p1f2 ай бұрын
mimi hapa nakupali🎉🎉
@EdikingMoz2 ай бұрын
Wa kwanza naoba like zangu from mozambique 🇲🇿🇲🇿
@graffinamisi2 ай бұрын
Hungesoma hungekuwa hunaomba like kwa mitandao,,,,,hona sasa
@AghHh-v3f2 ай бұрын
Pore sana baba karobo 🇧🇮 nafata movi zako kiramara nifasi yakujifuza kabisa ❤❤❤❤❤
@LewisHamiltonGLD2 ай бұрын
Nimewahi Namimi leo kutoka Kenya wapi likes za wakenya jameni 🎉🎉🎉
@KepsonJohnNamufwakage2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@KKK-v6j2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@-RydaJamal262 ай бұрын
One love sweee🇰🇪❤❤❤❤❤✌
@vxp52282 ай бұрын
🎉🎉🎉
@darkforceofficielle2 ай бұрын
@@vxp5228😊
@kingchiefking92652 ай бұрын
Hii sasa ni bonge la tz kutoka kwake baba kanusu na mukewe duuu!!! Movie nkali saana❤❤❤🔥🔥🔥❤️❤️❤️🔥🔥
@alexandrodieumerci89552 ай бұрын
Jameni BURUNDI 🇧🇮 nitaweza pata hata like moja mbona wote mnatoka katika nchi za mbaliiiiii
@ElkaMwesh2 ай бұрын
😂tupo🇧🇮🇧🇮🇧🇮😍
@AngechristaTwizeraneАй бұрын
tuko hapa🇧🇮🥰
@EmaJacob-r5uАй бұрын
Mambo uko wp
@ZayinabuVyukusengeАй бұрын
Tupo
@ewoiekaale2 ай бұрын
Safi kabisa 🇰🇪
@AlexSafari-pu5wkАй бұрын
Nambye rafk
@ZEPHANIAH.15882 ай бұрын
Leo ilikua jumapili njema kwangu imagine nmekua wakwanza toka Kenya nafurahia hiking kipindi Sana wapi likes za wakenya wenzangu
@EstherSophiabarisa-bj4bg2 ай бұрын
2:34
@kezianjuguna73782 ай бұрын
mimi nimekuwa addicted hii kipindi
@margaretatsianzi2 ай бұрын
Ujaenda kanisani leo mpendwa
@graffinamisi2 ай бұрын
@@kezianjuguna7378Pia mm😅
@lucinahmoranga23582 ай бұрын
Tupo🇰🇪hii kipindi👌🔥
@SaumuhamisiHamisi-w9r2 ай бұрын
jameni nani amkubali baba kalobo kwa kazi zake gonga like kaa zote hapa ili tumfikishe mbali baba kalobo
@martinkioko64372 ай бұрын
Tuko pamoja kumsuport baba karobo
@ZuleikhaMvury2 ай бұрын
pamoja penda sna babakarobo❤❤
@JjshHh-wp6rp2 ай бұрын
Ndazindutse baga mama kalobo tulia sikuzamwizi ni40🤣🤣🤣🤣♥️♥️♥️♥️
@PostineYesare2 ай бұрын
Ba karobo anajua kingereza wapi like zakeee❤❤😂
@MaryWabwile-pm1zk2 ай бұрын
😂😂😂❤❤❤
@judithauma-b7u2 ай бұрын
Mama karobo ana mdomo waa nimemuogopa
@DianeNduwamariya-t7t2 күн бұрын
Baba Joana nakubali sana💓 from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@mokenyejosiah51012 ай бұрын
Josiah mokenye from Kenya following your movie nicely bro my likes hizo
@karembo70822 ай бұрын
Yule mdada ambe hayuko ndie atawasidiea kwasababu dawa hikumpata😊😊
@Naomi-ug8yf2 ай бұрын
Yes😊
@VictorOmusula-yu2cn2 ай бұрын
Ma karobo makelele wueh wapi likes za wakenya wenzangu
@graffinamisi2 ай бұрын
Like za nini sasa
@Officialtz012 ай бұрын
Mnaelekea kuiharibu movie sasa😢😢😢
@sianguphilip53962 ай бұрын
ukweli wanayairibu
@yohanalukindo37372 ай бұрын
Tena sana
@BothainaBothaina-k6c2 ай бұрын
Woow movie nzuri sana next plz 🎉🎉❤
@omaraliy82072 ай бұрын
kzi nzur
@VailertJila2 ай бұрын
Hongereni sana kazi yenu ni Zur baba kalobo na kalobo nawakubali sana
@spanishboi0012 ай бұрын
Baba kipofu lakini zuzu akiskia atapewa kinyangala😂😂😂😂shikamoo kinyangala
@IssaAbdillah2 ай бұрын
Ila Kwa ss yabadilika sna 🎉🎉🎉,,,
@johncharlie61612 ай бұрын
Wangapi wamechukia mama karobo kuwategea metego kibanio na akafanikiwa gonga likes za kutosha
@imtvisaacmediatv91782 ай бұрын
Number 2 watching from Kenya keep it up I really love the show
@OdetteNITUNGA-qy3vk2 ай бұрын
Vizuri sana🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@SaumuhamisiHamisi-w9r2 ай бұрын
jamani hii movie yani kila.uchao yazidi utamu tuu ,baba kalobo hongereni na team yako kwa jumla we bado robo ufikie kanumba.steveni wallah maana si kwa movies zako hizi kali kali
@valentineonyoni90652 ай бұрын
Representing Mombasa Kenya 🎉❤
@JudcBen-ye9cy2 ай бұрын
Wa 1 mm leo like zangu jamn😂😂❤
@HidayaJumaRavino....Sakina2 ай бұрын
🎉🎉🎉mwajua jamn mashallah ❤❤
@Khatib-xp6fp2 ай бұрын
Hongera baba karobo kadri kazi inavotok ndipo unapo nawiri tupo pamoja from 🇲🇫
@zeinabuAchiengOkara2 ай бұрын
Mungu awapee nguvu muweze kutoa zingine nzuri
@rajabokio2 ай бұрын
Mbona zujari mzuri hivo mtoto amebeba KWELI.mwaja lini Kenya nampenda😂😂
@tumusiimepeace5432 ай бұрын
Maama karobo fake siku moja otakuja sindwa namuganga wako iyi 😂😂😂. Baba kalobo be strong with faith there's no weapon formed against you shall prosper in Jesus Christ name Amen 🙏🙏
@barasaclaris62212 ай бұрын
Wa kwanza Leo from Kenya nipeni likes
@KepsonJohnNamufwakage2 ай бұрын
Apo vip
@lucinahmoranga23582 ай бұрын
Tuko jonjo😂
@BensonEvaristo2 ай бұрын
Baba kalobo na mama kalobo wanajua sana hadi mmeifanya mov kuwa nzur sana
@StellaKugomwa2 ай бұрын
Movies mkiiendesha San mwisho mnaiharibuu sasa ebu jaribuni kuiangalia vzr
@gatocarenzipporah68432 ай бұрын
Waambie tena na tena,ilishaanza kukera
@Officialtz012 ай бұрын
Nimeanza kukelekwa na hii movie maana mambo yamekua mengi😢😢
@Vanessa-xr4qn2 ай бұрын
Hâta mm
@DamianoCostantine-bn3rl2 ай бұрын
@@Vanessa-xr4qnhata mimi
@frankhoffa83562 ай бұрын
Mambogani au mi sijaona
@gatocarenzipporah68432 ай бұрын
Hata mimi inachosha
@Joyqiqi2 ай бұрын
Ata mimi namtaka baba karobo haone tena😢
@NtirenganyaNahasoni2 ай бұрын
Hata kama nimechelewa afadhali nimeona na ninawapenda sana tuko pamoja kutoka burundi 🇧🇮
@fatumaselemani38072 ай бұрын
Mashallah asanteni sana washilika mungu abaliki kazi zenu ❤❤❤❤❤❤❤
@Azizajangobo2 ай бұрын
❤❤❤naipenda sana hii movie
@user-help0462 ай бұрын
Mm leo nikajaribu jameni number 59 hapa like back please na wapenda sana ❤❤❤❤from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 i hop team strong muko hapa
@elizabethcatherine-jm8fr2 ай бұрын
Tuko 🇰🇪❤️
@PAVLOVEAUGUSTINMERVEILLE2 ай бұрын
Hii safi kinoma naipenda kutoka Kivu D.R.C Congo❤❤❤
@mashatlu1779Ай бұрын
Mimi hapa kutoka 🇰🇪 like zangu
@HidayaJumaRavino....Sakina2 ай бұрын
I LOVE Tz🇹🇿🇹🇿🎉🎉🎉you're the best
@JosephKatana-o5e2 ай бұрын
Kazi nzur Sana bro hongereni ila mama karobo katili kwel
@benjamimantoniomangoni67652 ай бұрын
Kazi nzuri sana 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@doreenkbdjbАй бұрын
Yani huyu anapenda mwingine juya matako😮😂I'm from +254🇰🇪
@veronicahmuricho2 ай бұрын
Sasa ndio movie imekua tamu❤thanks babake Joan❤❤cant wait next episode🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@SpystersEkered2 ай бұрын
Mama karobo ananiudhi from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Vanessa-xr4qn2 ай бұрын
Yani hii movie nzurii ila kilamtu anamuogopa mama karobo
@heshimakabondo54382 ай бұрын
Niko wa kwanza leo tokea Congo-Uvira 🇨🇩🇨🇩🇨🇩. Na ipenda kazi yenu sana
@Lucywanjirukagonye2 ай бұрын
Leo nimejalibu nimefika mapema 🚶🏾♂️🚶🏾♂️🤸🏾♂️🤸🏾♂️