BALAA BARAZANI UPINZANI HAPATOSHI VIONGOZI WABAGUANA"WEWE PROFESA ACT WAZALENDO"ISHI KISIASA

  Рет қаралды 6,716

Tifu Tv

Tifu Tv

Күн бұрын

TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
#Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Пікірлер: 51
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 14 күн бұрын
Hii migogoro kama haishi na sisi hatuelewani bora Zanzibar iwe mkoa tu..kama waziri mizengo pinda alivyosema ❤
@yakoubfaki2026
@yakoubfaki2026 2 ай бұрын
Jamanii njaaaaaaa ni kitu hatar
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 2 ай бұрын
Ana ushawishi mzuri wa kitapeli wa kibara hasaaa!
@komar9396
@komar9396 2 ай бұрын
Tatizo huyu Tadea Hana uwezo WA kuwa mwenyekiti WA PAC akiambiwa asikasirike akubali kawekwa hapo kwa maslahi ya ccm. Tuu Hana jipya zaidi ya kujipendekeza kwa ccm Kwa maslahi ya tumbo lake
@user-eo4bl3do8k
@user-eo4bl3do8k 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa chama cha TADEA hata kibanda hawana ,hata mikutano hawafamyi,kama kura ATAPIGIWA NA MKEWE TU ,sasa Ana MENDIT AU ANA HAKI GANI KUWA KIONGOZI WA JUU? Anabebwa na IKULU YA CCM ,HALAFU ANAJIONA KAWAHI KUMBE SISI WANANCHI TUNAMUONA NI KIBARAKA NA LICHAWA LA CCM
@jombadulla
@jombadulla 2 ай бұрын
ttzo hujasoma,form two,hujui pia kuzungumza,hujazungumza point, mwanzo na mwisho ni porojo tu,kasome keanza,huyo hana hoja
@buku181
@buku181 2 ай бұрын
Ndio maana mpka Sasa nikipofu haoni kwa dhulma
@AbdallahSalim-is3db
@AbdallahSalim-is3db 2 ай бұрын
Juma ali hatibu m/ mungu hakukujaalia kuwepo hapo mana mungu ktk siasa hayumo kabisa sasa kakujaalia vp wewe kuwepo hapo.. uwongo mtupu kila mmoja kwafungwa pingu za mdomo...
@Ablahisaid
@Ablahisaid 2 ай бұрын
Sisi tunataka mututeteni makodi mkubwa maisha magumu sio sikusifiana tu
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 2 ай бұрын
Yaaan hili baraza kusifiana tu ndio nilichokiona mimi
@alibakari903
@alibakari903 2 ай бұрын
Hana cha maana hata kimoja alichokisema
@YussufPandu-es7ou
@YussufPandu-es7ou 2 ай бұрын
Huyu jamaa sie mpinzani ni kibaraka wa ccm,,hana haki za kuwakilisha wapinzani chama chake hata mikutano hakiwezi kufanya si jaki yake kuitwa moinzani ni kibaraka wa ccm,,hongera muwakilishi wetu wa act umesema ukweli jamaa linakula pesa za bure
@AliBanly
@AliBanly 2 ай бұрын
Sisi hatuoni Faida zawakilishi nyinyi mupo kimasilahi lkn sio wadilifu
@amohammed3390
@amohammed3390 2 ай бұрын
Huyu amekasirika huyu Ali Khatibu ajitukana mwenyewe. Prof. Gogo wa Dhihaka na Prof. Omar Fakih (DEGREE IN ELECTRONIC, Masters Computer Engineering, PhD Computer….). Ajinusa mwenyewe huyu Hana hoja ovyooo
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 2 ай бұрын
Huyu jamaa anatumia mda mwingi kulalamika na kujisifia, kuponda na kusifia watu wengine, ina mchango gani kwa taifa na kwa wananchi walowapa dhamana??? Uchawa umekua ni hasara kubwa Kwa Taifa na vijana wa Taifa hili
@jombadulla
@jombadulla 2 ай бұрын
mim ndo namjua elimu yake ni datasa la kum,chawa mkubwa sana,hana point sawa na yule muhindi
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 2 ай бұрын
@@jombadulla dakika zote alizopewa ni wastage, Hana Cha maana alichokiongea.. mazungumzo yake inaonesha dhahir ni mtu anaepigania kiti chake Kwa mdomo na sio vitendo, ni mtu anaepigania tonge yake Kwa garama ya ya kuwasili na kuwauza wananchi... Ifike Mahala hizi takataka zisafishwe
@saidmc8206
@saidmc8206 2 ай бұрын
Yeye ndio karambishwa asali sasa anataka kuchonga mzinga, foolish 😮
@saidmc8206
@saidmc8206 2 ай бұрын
Njaa bwana Huyu alikua hatoki makao makuu ya (CUF zamani ) kila kitu akisaidiwa mpaka mabomba ya mikutano yake, njaa sasa anajua kuvaa suti, kahama jitini magomeni eti kawa muheshimiwa😅😮
@nassorally-xi6zh
@nassorally-xi6zh 2 ай бұрын
Tokeni hapa uumbavu tu
@user-eo4bl3do8k
@user-eo4bl3do8k 2 ай бұрын
Ni kweli kabisa ccm imempa ulaji tokea kipindi cha sheni mpaka Leo anaendelea kula pesa zetu bure LENGO LA CCM NI KUMTUMIA KIBABARAKA WAO NA NI MNAFIKI KUMTUMIA KWA KUWASIFIA MA CCM ,HILO CHAMA LA TADEA HATA WANACHAMA HALINA ,HALIJAWAHI KUFANYA MKUTANO WA HADHARA TOKEA KIANZISHWE ,,HATA HAYA HANA
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 ай бұрын
Siasa= Si ha sa
@KhamisSalum-wz8cy
@KhamisSalum-wz8cy 3 күн бұрын
Pumbavuuuuuuuuui
@aaahadventures4214
@aaahadventures4214 2 ай бұрын
Kiukweli huyu jamaa ni Mbumbumbu. Yaani Jichwa kavu..😅😅
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 2 ай бұрын
Kwenda me cjakuelew ata moja maana kuongea hujui
@SleimanMsellem
@SleimanMsellem 2 ай бұрын
Kashasahau kam chamabchake kinagombea uraisi uyoo
@amanmohd9435
@amanmohd9435 2 ай бұрын
Juma Ali Khatib ni tapeli tu...
@DuuSaid
@DuuSaid 2 ай бұрын
Sisi wapiga kura wako unatusaliti ivi ivi daa hazarani 😂😂😂
@jombadulla
@jombadulla 2 ай бұрын
elimu yake ni form two ndo tatizo,nenda kweny hoja,usimlenge mtu
@jombadulla
@jombadulla 2 ай бұрын
hana point Yule, ndo mana akaambiwa ingia kweny hoja,ata alipoambiwa hvo akaendelea kusifia tu,nampongeza nampongeza nampongeza,
@rushydahmed9179
@rushydahmed9179 2 ай бұрын
baraza la mipasho na ujinga, hoja za kipumbavu anaweza kuzisikiliza ni mjinga tu, mfano kama hao wanapiga makofi na kushangilia. Mchango na hoja za Prof Omar ni za kisomi na kitaalam sio hizo kauli za dubu na ngumbaro na mipasho yake.
@alinassor391
@alinassor391 2 ай бұрын
Unajulikana ww ni wa kimjini mjini
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 ай бұрын
Rudi darasan
@lusakaone7782
@lusakaone7782 2 ай бұрын
Acha kelele toa hoja
@feiz3180
@feiz3180 2 ай бұрын
Utoto mwingi,,,,
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 2 ай бұрын
Jina lake ni Juma tapeli!
@Nassor2377
@Nassor2377 2 ай бұрын
Zulma tuuu mnamjua Allah nyinyi
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 ай бұрын
We ushakua Mungu sasa kusema nani anamjua Mungu na nani hamjui Mungu acheni kufika mahala mkaona Mungu ni wenu nyie na wengine hawamjui usilete hisia zako za kibindamu
@YahyaOthman-et2ki
@YahyaOthman-et2ki 2 ай бұрын
Jibu unalo mbona Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa
@ummuhammad7571
@ummuhammad7571 2 ай бұрын
Kampeni ndani ya baraza
@islambinomar8716
@islambinomar8716 2 ай бұрын
Huna chama balahau na umetumia mda mwingi kulalamika kuliko kujenga hoja
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 2 ай бұрын
Anapiga kelele tu
@user-wu8yy4mw5p
@user-wu8yy4mw5p 2 ай бұрын
Ww mbona unaongea pumba umefika latatu c Nini porojoti
@mohdahmed5389
@mohdahmed5389 2 ай бұрын
Upuuzi mtupu,kaleni urojo huko,watu wana njaa nyinyi munatuletea ujinga
@DuuSaid
@DuuSaid 2 ай бұрын
Tuongezee basi kura yako ccm utapata cheo hicho hicho tena😂😂😂
@hassanmakame4382
@hassanmakame4382 2 ай бұрын
Ww mbwa baadae pitia coment uone mcivyo usivyo pendwa naccm wanzako,umevaa ngozi ya kondoo muhuni ww ila kumbuka mauti pia
@salyali7807
@salyali7807 2 ай бұрын
Hili kweli baraza la wakilishi zanzibar? Aibu mkubwa ... nani kamchagua huyu jamaa
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 2 ай бұрын
Jussa kasema sio baraza hilo ni barza 😂
@salyali7807
@salyali7807 2 ай бұрын
@@OmerSuley-gl7go 🤣🤣🤣🤣
@alinassor391
@alinassor391 2 ай бұрын
Atakuchagua tena wewe ni chawa wa ccm unajulikana
@nassorally-xi6zh
@nassorally-xi6zh 2 ай бұрын
Hamna lolote hoja za kijinga tu ovyoo
Kaunti ya Lamu na Garissa wazozania mpaka
3:50
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 5 М.
MASANJA MKANDAMIZAJI ATAPELIWA NA WEZI WA MITANDAO.... Wampa ujumbe wa kwenda kanisani KWAKE
11:04
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 16 МЛН
Mtoto Yohana Tumpongeze Rais Magufuli wimbo wake mpya akiimba Mito ya Baraka Church
8:31
MPINA KAMA MPELELEZI ANASA NYARAKA / ABAINI UOZO HUU
13:28
Uhondo TV
Рет қаралды 13 М.