TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID. #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 51
@saidrakwe872714 күн бұрын
Hii migogoro kama haishi na sisi hatuelewani bora Zanzibar iwe mkoa tu..kama waziri mizengo pinda alivyosema ❤
@yakoubfaki20262 ай бұрын
Jamanii njaaaaaaa ni kitu hatar
@AliSalim-yu4mo2 ай бұрын
Ana ushawishi mzuri wa kitapeli wa kibara hasaaa!
@komar93962 ай бұрын
Tatizo huyu Tadea Hana uwezo WA kuwa mwenyekiti WA PAC akiambiwa asikasirike akubali kawekwa hapo kwa maslahi ya ccm. Tuu Hana jipya zaidi ya kujipendekeza kwa ccm Kwa maslahi ya tumbo lake
@user-eo4bl3do8k2 ай бұрын
Ni kweli kabisa chama cha TADEA hata kibanda hawana ,hata mikutano hawafamyi,kama kura ATAPIGIWA NA MKEWE TU ,sasa Ana MENDIT AU ANA HAKI GANI KUWA KIONGOZI WA JUU? Anabebwa na IKULU YA CCM ,HALAFU ANAJIONA KAWAHI KUMBE SISI WANANCHI TUNAMUONA NI KIBARAKA NA LICHAWA LA CCM
@jombadulla2 ай бұрын
ttzo hujasoma,form two,hujui pia kuzungumza,hujazungumza point, mwanzo na mwisho ni porojo tu,kasome keanza,huyo hana hoja
@buku1812 ай бұрын
Ndio maana mpka Sasa nikipofu haoni kwa dhulma
@AbdallahSalim-is3db2 ай бұрын
Juma ali hatibu m/ mungu hakukujaalia kuwepo hapo mana mungu ktk siasa hayumo kabisa sasa kakujaalia vp wewe kuwepo hapo.. uwongo mtupu kila mmoja kwafungwa pingu za mdomo...
@Ablahisaid2 ай бұрын
Sisi tunataka mututeteni makodi mkubwa maisha magumu sio sikusifiana tu
@omarmohammed51572 ай бұрын
Yaaan hili baraza kusifiana tu ndio nilichokiona mimi
@alibakari9032 ай бұрын
Hana cha maana hata kimoja alichokisema
@YussufPandu-es7ou2 ай бұрын
Huyu jamaa sie mpinzani ni kibaraka wa ccm,,hana haki za kuwakilisha wapinzani chama chake hata mikutano hakiwezi kufanya si jaki yake kuitwa moinzani ni kibaraka wa ccm,,hongera muwakilishi wetu wa act umesema ukweli jamaa linakula pesa za bure
@AliBanly2 ай бұрын
Sisi hatuoni Faida zawakilishi nyinyi mupo kimasilahi lkn sio wadilifu
@amohammed33902 ай бұрын
Huyu amekasirika huyu Ali Khatibu ajitukana mwenyewe. Prof. Gogo wa Dhihaka na Prof. Omar Fakih (DEGREE IN ELECTRONIC, Masters Computer Engineering, PhD Computer….). Ajinusa mwenyewe huyu Hana hoja ovyooo
@hafidhhemed15142 ай бұрын
Huyu jamaa anatumia mda mwingi kulalamika na kujisifia, kuponda na kusifia watu wengine, ina mchango gani kwa taifa na kwa wananchi walowapa dhamana??? Uchawa umekua ni hasara kubwa Kwa Taifa na vijana wa Taifa hili
@jombadulla2 ай бұрын
mim ndo namjua elimu yake ni datasa la kum,chawa mkubwa sana,hana point sawa na yule muhindi
@hafidhhemed15142 ай бұрын
@@jombadulla dakika zote alizopewa ni wastage, Hana Cha maana alichokiongea.. mazungumzo yake inaonesha dhahir ni mtu anaepigania kiti chake Kwa mdomo na sio vitendo, ni mtu anaepigania tonge yake Kwa garama ya ya kuwasili na kuwauza wananchi... Ifike Mahala hizi takataka zisafishwe
@saidmc82062 ай бұрын
Yeye ndio karambishwa asali sasa anataka kuchonga mzinga, foolish 😮
@saidmc82062 ай бұрын
Njaa bwana Huyu alikua hatoki makao makuu ya (CUF zamani ) kila kitu akisaidiwa mpaka mabomba ya mikutano yake, njaa sasa anajua kuvaa suti, kahama jitini magomeni eti kawa muheshimiwa😅😮
@nassorally-xi6zh2 ай бұрын
Tokeni hapa uumbavu tu
@user-eo4bl3do8k2 ай бұрын
Ni kweli kabisa ccm imempa ulaji tokea kipindi cha sheni mpaka Leo anaendelea kula pesa zetu bure LENGO LA CCM NI KUMTUMIA KIBABARAKA WAO NA NI MNAFIKI KUMTUMIA KWA KUWASIFIA MA CCM ,HILO CHAMA LA TADEA HATA WANACHAMA HALINA ,HALIJAWAHI KUFANYA MKUTANO WA HADHARA TOKEA KIANZISHWE ,,HATA HAYA HANA
@jumakapilima72952 ай бұрын
Siasa= Si ha sa
@KhamisSalum-wz8cy3 күн бұрын
Pumbavuuuuuuuuui
@aaahadventures42142 ай бұрын
Kiukweli huyu jamaa ni Mbumbumbu. Yaani Jichwa kavu..😅😅
@OmerSuley-gl7go2 ай бұрын
Kwenda me cjakuelew ata moja maana kuongea hujui
@SleimanMsellem2 ай бұрын
Kashasahau kam chamabchake kinagombea uraisi uyoo
@amanmohd94352 ай бұрын
Juma Ali Khatib ni tapeli tu...
@DuuSaid2 ай бұрын
Sisi wapiga kura wako unatusaliti ivi ivi daa hazarani 😂😂😂
@jombadulla2 ай бұрын
elimu yake ni form two ndo tatizo,nenda kweny hoja,usimlenge mtu
@jombadulla2 ай бұрын
hana point Yule, ndo mana akaambiwa ingia kweny hoja,ata alipoambiwa hvo akaendelea kusifia tu,nampongeza nampongeza nampongeza,
@rushydahmed91792 ай бұрын
baraza la mipasho na ujinga, hoja za kipumbavu anaweza kuzisikiliza ni mjinga tu, mfano kama hao wanapiga makofi na kushangilia. Mchango na hoja za Prof Omar ni za kisomi na kitaalam sio hizo kauli za dubu na ngumbaro na mipasho yake.
@alinassor3912 ай бұрын
Unajulikana ww ni wa kimjini mjini
@pavillioncry52412 ай бұрын
Rudi darasan
@lusakaone77822 ай бұрын
Acha kelele toa hoja
@feiz31802 ай бұрын
Utoto mwingi,,,,
@AliSalim-yu4mo2 ай бұрын
Jina lake ni Juma tapeli!
@Nassor23772 ай бұрын
Zulma tuuu mnamjua Allah nyinyi
@fahadfaraj64742 ай бұрын
We ushakua Mungu sasa kusema nani anamjua Mungu na nani hamjui Mungu acheni kufika mahala mkaona Mungu ni wenu nyie na wengine hawamjui usilete hisia zako za kibindamu
@YahyaOthman-et2ki2 ай бұрын
Jibu unalo mbona Akili ndogo haiwezi kutawala akili kubwa
@ummuhammad75712 ай бұрын
Kampeni ndani ya baraza
@islambinomar87162 ай бұрын
Huna chama balahau na umetumia mda mwingi kulalamika kuliko kujenga hoja
@OmerSuley-gl7go2 ай бұрын
Anapiga kelele tu
@user-wu8yy4mw5p2 ай бұрын
Ww mbona unaongea pumba umefika latatu c Nini porojoti
@mohdahmed53892 ай бұрын
Upuuzi mtupu,kaleni urojo huko,watu wana njaa nyinyi munatuletea ujinga
@DuuSaid2 ай бұрын
Tuongezee basi kura yako ccm utapata cheo hicho hicho tena😂😂😂
@hassanmakame43822 ай бұрын
Ww mbwa baadae pitia coment uone mcivyo usivyo pendwa naccm wanzako,umevaa ngozi ya kondoo muhuni ww ila kumbuka mauti pia
@salyali78072 ай бұрын
Hili kweli baraza la wakilishi zanzibar? Aibu mkubwa ... nani kamchagua huyu jamaa