Unafaa kabisa kuwa Raisi wa nchi hii .Mungu akusaidie
@AbshirMubaarack3 ай бұрын
Dah pole sn Mh.Mpina 😢😢😢,najua tu baada ya taarf hii,watakuchkulia hatua ya kinidhamu,kisa kuvujisha taarf kwny vyombo vya habari
@FatumaHizza3 ай бұрын
Mafisad wanalindana mungu akulinda mpina tunajua wenzako hawapendi ukwel tunakuombea
@magesagambajr35463 ай бұрын
Bashe mwenyewe sio mtz ataanza vp kuwa mzalendo
@awadhally10523 ай бұрын
Kwel kabisaa
@jamesmartin70263 ай бұрын
Hivi tangu Magufuli amefariki Takukuru imejifia wapi? 😔😢
@hamisijuma32763 ай бұрын
Soma dalilli za nyakati zama hz Ni za..........
@SamwelJohn-dh9kk3 ай бұрын
Mhe mpina. Nakupata vizuri sana. Wewe ndie mbuge pekee unaepambana kwamasirahi ya watanzania.
@mayanmlingwa42503 ай бұрын
Kwa madudu haya naamini kabisa kuungua kwa kiwanda cha sukari morogoro kuna kundi la mafisadi papa nyuma yake.
@George-jz3jg3 ай бұрын
Mpina wewe mwamba upo vizuri
@EmanuelJophet-pp8qs3 ай бұрын
Halafu kuna mibunge wakati huyo choko spika, anakanusha yanapoga makofi mamayo zenu....
@magnusnkomola59503 ай бұрын
Hivi serikali mnafeli wapi? Mbona inaonyesha ni namna gani? Serikali inavyobariki wizi ,Hivi ni kwanini? Yaani mnatuona sisi watanzania ni Mafala kwa kiasi gani? Sasa kama serikalini hakuna wa kukemea hili ni nani? Awe mwokozo wetu. Basi niwaombe watanzania wenzangu njia ni moja tu Katiba na kuwapiga chini wabunge wote wanaobariki wizi ndani ya serikali. Hongera mpina ,naona una nia ya dhati kabisa na sisi wa Tanzania. Mungu akubariki.
@VASCoMgoli-to7ql3 ай бұрын
Tatzo la ccm mtu kama huyu wanamhalibu kwa kumpa uwazir yan akiwa wazili tuu amekua chwa hata usema ukweli tena
@warrenmgode18373 ай бұрын
Mupina Yuko vizuli anauzalendo na ichi yake,munataka mumupe azabu ya Nini tatizo wabunge wa muchongo,Tanganyika kwanza
@renatusgasembe33383 ай бұрын
good and very informative with facts
@LucasKisioki3 ай бұрын
Toboa Siri Dr mpina na Mungu akutangulie mbele ya maadui wko
@michaelmaziku9913 ай бұрын
😢huy Bashe mpigaji tu km wapigaji wengine
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur3 ай бұрын
hawa watu wakimbizi kama bashe na wengineo kwanini serikali ya Tanzania inawapa uongozi hawa tena uwaziri, bashe rudi somalia
@awadhally10523 ай бұрын
Kabisa arudi Somalia huyu mwiz
@EmmanuelSimion-d3e3 ай бұрын
Ila nchi hii jamani tumepigwa na vitu vizito dah!!!
@godwinkasaizi8823 ай бұрын
Kwa hiyo MO anahusika kutuhujumu Wana Yanga na Simba mpaka kwenye Sukari.
@jamesmartin70263 ай бұрын
Mbona serikali imekaa kimya? Au ndio inaupiga mwingi😂😂😂
@EmmanuelSimion-d3e3 ай бұрын
Yap!
@awadhally10523 ай бұрын
😂😂😂😂nacheka kwa uchunguu
@hamudshabani78013 ай бұрын
Eti mama anaupiga mwingi hahaha tumepigwa hatuna raisi nchi hii
@kasomishedrack50273 ай бұрын
Nchi hii basi tu Mungu airehemu la sivyo anaweza kuiteketeza kama sodoma na Gomola.
Mungu akubariki mhe. Ukimsikiliza bashe utasema mtu ni huyu lakin kumbe ni chura kiziwi
@AndreaHango3 ай бұрын
Hivi, nchi hii kweli haiwezi kuzalisha sukari ya kutosha nchi hii kweli! Mama yetu Samia piga marufuku kuagiza sukari nje ya nchi na mafuta ya kula. Baada ya miaka michache tu utaona jinsi watanzania watajiongeza na kuongeza ajira za kutosha nchini.
@siamollel60513 ай бұрын
Mungu akulinde na kukutunza,,,Mambo mengi ni magumu hapa Tunanyongwa kwenye kodi kuwanufaisha wageni 3:49
@ALEXMARISA-qw6em3 ай бұрын
Watu kama Hawa wapewe urais
@awadhally10523 ай бұрын
Kwel kabisa
@renatusblandes11313 ай бұрын
Mpina +Makonda
@hamisijuma32763 ай бұрын
Mpina + Makonda + Silaa + Aida Kenani
@salvatoryboniface10893 ай бұрын
Wakulima wamegomea kununua ufuta mikoa ya kusini kwa ajili ya mfumo uliowekwa wanunuzi wamegomea
@lulanjamd38863 ай бұрын
Bashe tumuangalie sana ni mpigaji yawezekana
@abdulikilala59023 ай бұрын
Bashe ni chizi tu mpina ww kiongozi bora
@kasomishedrack50273 ай бұрын
Mie najua watakugonga tu wanaotetea serikali kwamba,umewasilisha vielelezo kwa spika kwa nn umeita press kabla ya spika hajalitolea ufafanuzi kwa maana hiyo watakuweeken.
@danielnyangasi88083 ай бұрын
Kama ulijua ndugu yangu ulichoandika ndo kimetokea
@NeemaKishimbo3 ай бұрын
Miaka 5 kwa mpina
@remmymmewa3073 ай бұрын
Mpina, akili nyingi sana ilitakiwa uzaliwa Korea kaskazin ila huku kwetu daaa hapana
@geofreybakina60103 ай бұрын
Nafuu wamepopoana wenyewe huko
@SalumChema3 ай бұрын
Wataje.wote
@martinkisha63073 ай бұрын
Rais amtumbue mbashe
@InnocentSanga-zh9ck3 ай бұрын
Hizii teuzi za mawaziri ziangaliwe saana huyu bashe sio mtanzania na hawezi kuwa na uchungu na watanzania sukari imeuzwa mpaka 7000 kilo kweli? Na alikuwa anatoka hadharani anasema sababu na vita,mafuliko yaani alikuwa simple kujieleza
@gabapentin80703 ай бұрын
Bashe ndo mana kakonda wanangu
@aidankakulu3983 ай бұрын
Hatari sanaaa mwamba anachimba kinomaaa
@kaaakwakutuliaa51793 ай бұрын
kanunuliwa na kagera sugar
@George-jz3jg3 ай бұрын
wewe ndo zobe
@hamzakimaro37643 ай бұрын
inaonekana kuna watendaji wa serekali wanashirikiana ba mpina kumuhujumu waziri BASHE kwa akili ya kumuondoa ktkt wizara hizo kwa akili ya MASLAHI yao!!
@simonmwaliru85903 ай бұрын
Bashe ni mtu makini sana,nae atapata muda wa kujibu tuhuma hizi.
@ibrahimNkunda3 ай бұрын
Mpina uko vizur kufichua wezi
@George-jz3jg3 ай бұрын
Bashe hana lolote pale yeye ni mpiga makelele tu anawafilisi tu wakulima wewe utakuwa ni mmojawapo wa wanufaika kwenye utapeli huu anaouweka wazi huyu mwamba mpina
@simonmwaliru85903 ай бұрын
@@George-jz3jg Jenga hoja acha kutuhumu watu ili kukwepa hoja. Sie sote watanzania,usichukie maoni ya watu wengine.
@mbwanajumamohamedi14003 ай бұрын
Taarifa imetakiwa kwa SPIKA. Kuisoma kwa waandishi habari ni ukiukaji wa maadili. Huu no mchezo
@ShinjeMackenzie3 ай бұрын
Wew ni mpumbavu
@AbshirMubaarack3 ай бұрын
Km angeifkisha kwa spika,huend ingezimwa kmy kmy, that's why huend amefkiria kuwajuza kwnz wananchi
@ALEXMARISA-qw6em3 ай бұрын
Huyu Hana uchawa kabisaa
@simongwandu73923 ай бұрын
Waziri ajiuzulu
@shafiilikoko68713 ай бұрын
Bashe mtu wa maana sana
@AbshirMubaarack3 ай бұрын
Hata mm naona 😅😅😅
@frankmugomba34843 ай бұрын
Koko mwezio
@WilbertChambilo-yl1kc3 ай бұрын
Mm nimuombe tu Rais samia asimsikiliza huyu jamaa inawezekana anatumwa siyo bure. Kuwa kama chura tu kama ulivyosema mwacheni Bashe alete maendeleo na mapinduzi ya kilimo sisi wakulima tunamuelewa.
@George-jz3jg3 ай бұрын
Kuna maendeleo gani anayoyaleta bashe zaidi ya kuwafilisi tu wakulima?
@shafiilikoko68713 ай бұрын
Kama unampinga bashe ww sio mkulima
@joctanmtambi8953 ай бұрын
Mimi ni mkulima Ila bashe sio
@RubenMtuwaMungu-bz8ee3 ай бұрын
Hakuna haja ya kumtetea Bashe iwapo wewe si sehemu ya serikali. Ajitetee mwenyewe na ukweli utajulikana. Kwani kashfa ya Escrow Richmond na Dowans ilikuwaje?