No video

BALAA! MGOMBEA URAIS AFUNGUKA SIRI NZITO YALIYOPO TLS, SAKATA LA MWABUKUSI, ADAI YEYE HATOJIONDOA

  Рет қаралды 2,855

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

Ай бұрын

#TANZANIA: Mgombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), afunguka mazito sakata la Mwabukusi na yaliyomo kwenye chama hicho, adai pamoja na kuenguliwa kwa Wakili Mwabukusi kinyume na sheria, yeye ataendelea kugombea Urais wa TLS.
Zaidi: • BALAA! MGOMBEA URAIS A...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 10
@user-lj6ey7mr4w
@user-lj6ey7mr4w Ай бұрын
We need Mwabukusi cause ni mzalendo wa rasilimali za Tanganyika
@ephraimsaimon3125
@ephraimsaimon3125 25 күн бұрын
Wasomi Tanzania hawana maana kuwepo Kama nchi kwenda kwa mtindo huu. Pole. Wasomi .
@damianjosephkanuti3863
@damianjosephkanuti3863 Ай бұрын
uchaguz usimame
@damianjosephkanuti3863
@damianjosephkanuti3863 Ай бұрын
huyu ni mwoga keshafeli
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Ай бұрын
Ni aibu kwa wanasheria kukubali kutumika bila kujali umuhimu wa kazi zao. Na kama mnamchagua anayependwa na Raisi au chama tawala badala ya kuangalia maslahi ya nchi, haki na watu wake basi hatuna mawakili. Itabidi tukawakodi toka nje na nchi yetu haitathaminika hata. Mmeshajionea mfano wa mawakili wa serikali waliopelekwa Marekani hata sifa hawakuwa nazo kabisa na ikawa so disgraceful kwa Taifa letu. Bila aibu tena naona yanajirudia. Umoja wa wanasheria katika kila nchi ni muhimu sana. Acheni utoto, uchawa na uchama. Muwe profesional angalau kutokana na kielimu mlizozisomea na adabu zake.
@carolsangawe2024
@carolsangawe2024 Ай бұрын
Kwanini unadhani mwabukusi asipiganie haki yake na wakati huohuo unakubali kuwa uongozi ni uozo na kunahitajika mabadiliko makubwa? Yaani yeye asihangaike kugombea urais lakini wewe ubaki kugombea! Bado sijaelewa kwakweli 😢
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Ай бұрын
Without unity can be easy mwabukusi win such group because is the network of ccm creat lmotion into that tls tanzania low sosayart election get president of that organization but is not going to easy for mwabukusi to win them although team organization of tls want mwabukusi to be president of tls anless thouse who sport mwabukusi take responsibility to go back to odinary Tanzania population backing mwabukusi so that can Tengforce power to achieve tls plan on court
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 Ай бұрын
Huyu hamna kitu kibaraka mkubwa wa ugawaji wa majiko ya gesi nchi mzima
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw Ай бұрын
Kwan mwabukusi nchi ni nani? Mbona mnakuwa na akili ya kushikiwa?? Ccm oyeee😂😂
@eliajimmy95
@eliajimmy95 Ай бұрын
CCM inahusikaje hapo? We ni chawa
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 125 МЛН
Look at two different videos 😁 @karina-kola
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 8 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
MWANZO HABARI LIVE: CHADEMA KUWASHITAKI AWADHI NA NYAHOZA
22:12
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 2,6 М.
Kumekucha MAZITO YAIBULIWA SAKATA LA MSIGWA KUMBE IKO HIVI
22:07
BONGO 24 NEWS
Рет қаралды 65 М.
Кадр сыртындағы қызықтар | Келінжан
00:16