#ijuesheria #TLSAGM2024 Video kwa hisani ya Jambo TV
Пікірлер: 106
@sammykateregga623820 күн бұрын
Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone
@alfredsotoka285212 күн бұрын
Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %
@JammalMuhammad5 күн бұрын
Big up mwamb, sheria hazikubaliki, ubabe unatendeka nchi hii.
@denisipaulo778521 күн бұрын
Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana
@dignakanje450820 күн бұрын
Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.
@abdull_hafidh21 күн бұрын
Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana
@clarencehilary558821 күн бұрын
Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800
@TemuCalvinWilbard19 күн бұрын
Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda
@christinenyagiro666221 күн бұрын
Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.
@nestor38421 күн бұрын
Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile, Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..
@japhethbaalinda175614 күн бұрын
unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia
@gracekagoma323118 күн бұрын
Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉
@christinenyagiro666221 күн бұрын
Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.
@thagondale904111 күн бұрын
I stand with you learned counsel
@christinenyagiro666221 күн бұрын
Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.
@migerajacob58120 күн бұрын
We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,
@anosiata824221 күн бұрын
Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja
@BarnabaChota-tw7ol19 күн бұрын
Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu
@japhethbaalinda175614 күн бұрын
Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu
@user-ii7yw9ng5d21 күн бұрын
Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!
@jovinbikongoro346920 күн бұрын
Hongel sana watanganyik tuko nyuma yako unajua TLS baadhi Yao wamekua majangili
@christinenyagiro666221 күн бұрын
Tunawaombea Mwambukusi, Mpina na wote ambayo wachawa. Sasa kama TLS ati ni wachawa pia. Wanatufanya kutowamini kabisa.
@AndrewMwenda-ib1mx15 күн бұрын
Hawa ni watu wenye utu uliopitiliza be strong tunakuheshimu sawa sawa uko sawa mkuu
@phantyrhymes953619 күн бұрын
Duuh I wish TLS watafanyia kazi. Maana Wakili msomi kaeleza kwa ufasaha sana.
@josephpetro296821 күн бұрын
wasaka tonge na machawa wamekufanyia figisu watanganyika tunakuunga mkono
@FabianJustine-bq6qv21 күн бұрын
Nikweli unachokisema Lakini nikundi la mambepali diyo kundi lao hatutawaweza kishelia mpaka jeshi liamue au wanaichi bila hivyo hatutomboi
@christinenyagiro666221 күн бұрын
Ati hao ndiyo wanasheria? Tena wanashughulikia mwanasheria mwenzie je wakishughulikia sisi wanainchi na kama CCM ikiwemo?
@abdulmajidmageja656219 күн бұрын
Hongera sana wakili ❤
@simonnaivasha639320 күн бұрын
Tanzania tunahitaji Ibrahim Traore wa Bukinafaso,!!
Tupo sehem mbaya sana. Kama Taifa mwizi anakuibia. Halafu mahakama iseme kaelewaneni kwani. Mwizi .hawezi chukuliwa hatua
@user-ii7yw9ng5d21 күн бұрын
Wamekuengua kwa sababu ya ukweli unaouishi,mfumo wetu umetengenezewa kuupora uwazi na ukweli!
@HenryShaury19 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@isackphilipo987021 күн бұрын
This is double standard we won't vote
@MethodkasyupaMwifyusi20 күн бұрын
Kwan milad ayo hakujuaa kama una conference leoo Daaa jamaaa Kunguru sana yuleeee
@rizikiminga301019 күн бұрын
Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢
@user-fm3ew9tu9y21 күн бұрын
Akili kubwaaa hii ni hatari kwa majizi
@daudimichael733820 күн бұрын
Hawa ndo watetea haki?
@juliusjohnii782320 күн бұрын
Yap💪💪💪💪💪
@user-sw7tf1ob1b11 күн бұрын
Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm
@AmosRugaimukamu12 күн бұрын
Yaani mwabukusi, unanipa Raha, Kuna jambo najifunza kwako, hakika uko poa sana
@D.P.O11 күн бұрын
Tuko pamoja na wewe mzee wetu mpaka kieleweke
@denisipaulo778521 күн бұрын
Atuna Bunduki lakini tuna Mungu Tutakuombea
@gabapentin807021 күн бұрын
Mwabukusi🔥
@christinenyagiro666221 күн бұрын
Ukienda kuomba msaada unapelekwa kule kule ulikotoka kwa njia za ajabu sana.
@isackphilipo987021 күн бұрын
Hili hatukubaliani nalo
@NixonJohnson-zn8nk20 күн бұрын
Hivi huyu mbona anauchungu na nchi tumper tuone Hays majizi yatakimbilie wapi
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps20 күн бұрын
Tls iheshimiwe isiwe ya chama iwe ya Sheria tu
@EphraimMwasonya-s1w14 күн бұрын
Wewe wauongo sana huaminiki ulusema bandai hawatachukua wawekezaji yakowapi sasa hunajipya
@King_Of_Everything13 күн бұрын
👊👍✌️
@user-pw8ml6ts8r21 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
@AmosRugaimukamu12 күн бұрын
Mwabukusi nijembe sana
@AndrewMwenda-ib1mx15 күн бұрын
Corruption to our country only God will prevail
@user-jj7qv7kh2s21 күн бұрын
Tutakuunga mkono wakili msomi wala usihofu
@christinenyagiro666221 күн бұрын
Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.
@user-pv8iu6em6l21 күн бұрын
Watu kamanynyi ndo,mliobak kutetea nchi baba simama Imala
@adelinelyaruu303619 күн бұрын
Haki huinua taifa
@NorbethJosphath-hm1zb19 күн бұрын
Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya
@user-bs7cw1oi6z21 күн бұрын
Hapo saachochea au mnaonaje, siku Moja nilimuona anaandamana mwanza dar es mwanza
@freddymdassa18 күн бұрын
Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura. Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.
@NixonJohnson-zn8nk20 күн бұрын
Mwamba tunakuhitaji mno
@mathiasombella751621 күн бұрын
Naomben mamba yake aise
@user-sw7tf1ob1b11 күн бұрын
Mawakili mulishindwa machinga wataiondoa ccm
@user-ph7ht5iw8x19 күн бұрын
Kaka povu la nn ongea na mawakili wenzio na muelewane kuliko kukimbilia mitandaoni,jipange na kujuwa unakosea wapi mpaka wanakubaguwa,?
@D.P.O11 күн бұрын
Akinyea pilau😂😂😂
@josephpetro296821 күн бұрын
machawa yana comment uchawa toa hoja mwabukusi hoja zake zinamashiko shindanisha hoja .
@manethmwiyanja76549 күн бұрын
Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.
@sagandamalechampullo65919 күн бұрын
Mwabukusi weka Namba ya Phone/ Bank Account tukuchangie kiasi cha Pesa Sisi Wapenda Haki
@akramissa339317 күн бұрын
TLS ILISHAOZA, INAHITAJI WHOLE OVERALL. Sasa kama wanasheria wenyewe hawaamini sheria nakuisimamia,😂 maskini atapata haki kweli😃😃
@GidionKombe-h1p17 күн бұрын
Huyu jamaa anachoongea kina mantiki jaribun kutumia hekima nyie Tls mtazalilika
@ayububrantaya662418 күн бұрын
Myaki tulipamopene
@hawaelymaricca760213 күн бұрын
Kumbe kelele zote ni uroho wa madaraka ili uwapande watu kichwani.
@simonnaivasha639320 күн бұрын
TLS ACHENI AIBU, WATANZANIA TUTAKIMBILIA WAPI??😂 HAPA MMEKUTANA NA MTAALAM WA SHERIA W😢AKILI MWAMBUSI, MTAJUA KUMBE HAMJUI !
@FedrickNgonyani19 күн бұрын
Duuu kumbe ni michango😂😂😂😂basi acha povu zamu yako ikifika na wewe utakula tu
@DiwaniMwafongo17 күн бұрын
Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?
@jumamnumbwa948313 күн бұрын
Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?
@lucymsheshi587119 күн бұрын
Hatutapiga kura wakati ukifika
@GidionKombe-h1p17 күн бұрын
Unajua nyie wasomi ndy tunawategemea xaxa mnakuwaje hamjielewi tena
@gracekagoma323118 күн бұрын
Siasa ni m b aya
@user-bq4tk6yq2q19 күн бұрын
Hao mawakili waonaogozwa na rushwa kuunga mkono maovu ya ukandamizaji ni hatari kwa taifa
@menyemusic18 күн бұрын
Na wao kwa rushwa? hapo vipi? hii ni kesi shetani vs shetani. laana ya dhuluma ndio inawatafuna
@christianmwabukusi813219 күн бұрын
Sasa inabidi urais wa nchi na sio TLS… Nitakusaidia kiroho na kimwili
@denisipaulo778521 күн бұрын
Niko nyuma yako mkuu
@user-nl3vn6dg6j21 күн бұрын
Mbona unajikamua sanaaaa? Angalia usijetokwa na haja kubwa
@laninjeje829018 күн бұрын
Hata huyu mropokaji anataka uongozi?? Duuh!! Dunia imeisha, uongozi unataka mtu mwenye busara na hekima
@hamidmussa83821 күн бұрын
Ww unacheza na serikali. Wala bado.
@user-nl3vn6dg6j21 күн бұрын
Palipobaki tafuta ngurue ufuge .
@user-vg9sd2fc1k21 күн бұрын
Mmmh😢😢
@user-jj7qv7kh2s21 күн бұрын
wewe huhitambui
@user-nl3vn6dg6j21 күн бұрын
Wewe kwa mazungumzo yako tu huwezi kua kiongozi hata wa nyumba kumi achilia mbali kua rais wa TLS. Huna sifa zakuongoza ndugu
@Kwelihukuwekahuru21 күн бұрын
Ni sifa zipi alizokosa ndugu kamilisha hoja
@cyprianonesmo183221 күн бұрын
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ndg! @@Kwelihukuwekahuru
@user-jj7qv7kh2s21 күн бұрын
wewe jizi kubwa katika Taifa letu.
@user-lw3tg3yg5b21 күн бұрын
Na wewe una sifa gani ?ya uchawa ?achana na Mwabukusi wewe huyu ni wale waliotumwa na Mungu kutetea raia na taifa kwa ujumla
@abdull_hafidh21 күн бұрын
Kiongozi makini ni yule mwenye msimamo kama huyu Magu alikua na msimamo ndio maana Watanzania tulio wengi tulimpenda sana
@simonnaivasha639320 күн бұрын
Kumbe ndiyo sababu hawataki Katiba mpya kuna kundi la wahuni wanafaidi . Sema wakili sema ,usiposema mawe yatasema ! Amandla!